Uchambuzi na upelelezi wa tukio la kifo cha padri Francis uanzie hapa

Nchi hii kuna watu kwa vile wao wameendekeza ngono na hata ukikutana nao utasikia harufu ya ngono wanadhani kila mtu anafanya ngono. Reasoning ya ajabu sana hii!
Mleta maada kaanisha aina za tuhuma
 
Mkuu tusaidiane nyama kwa kweli hapa moyo wangu hautulii natamani ningepewa kibali binafsi kufwatilia kwa kina whts goin on[emoji849] inafikirisha sana
Atwambie kwa nini na kauliwa na nani na wapi na je kwenye aliletwa baada ya kuuliwa au kauliwa hapo hapo
 
Kuna shida huyu likely kauliwa na wazito
WAUE Ili wapate nini!? Chunguza na wewe uje na majibu yako!
Unaelezwa kisayansi unaleta porojo!

Mauaji ya wazito yanataratibu zake na formula yake! Hata iweje haziwezi kuingiliana!
Hili tukio jepesi sana wala halihitaji PhD ya upelelezi!
Lingekuwa tukio la mauaji taarifa zingeanza kuyumba kuanzia hospital!
Hapo ndipo ingetakiwa uchunguzi uongezewe nguvu
 
Hapa ndipo kanisa linapopataka wakati mgumu,lipotezee habari ipite,au lifuatilie ukweli ujulikane lipate aibu?kwa nini hawa jamaa wasiluhusiwe tu kuoa?

Vatican yenyewe kuna kesi za miaka kibao
Na hivi wazungu hawafichagi unakuta wazee wa miaka hata 70 wanasema walilawitiwa wakiwa wadogo

Na mimi nakazia waoe tu
 
Umefafanuanvizuri
 
Sitaki kuamini kuwa padre alipanda kwenye tank akiwa mzima akajitupa huko ili afe kifo cha maji ambacho kitachukua muda mrefu. Narudia sitaki kuamini kuwa alipanda kwenye tank akiwa mzima halafu akadumbukia huko. Hivi maeneo ya karibu hakuna CCTV Camera? Nyumba yao imepakana na Shule za st . Joseph na Cathedral Bookshop na Tanzania Commercial Bank zamani Bank ya Posta pia kuna Insurance coy jirani. Je kote huku hakuna CCTV? Je wao hawana CCTV? Ngoja nitulie niendelee kusikia ya kusemwa.
 
Alikutwaje humo kwenye tanki.Yaani walihisi vipi kwamba kwenye tanki yumo mtu.

Ni maumivu makubwa sana ikiwa wale ambao tunawategemea watupe msaada wa kisaikolojia ndiyo wanaogeuka wahanga wa kisaikolojia.
 
Waoe,hakuna mwanaume anayekula vizuri asitooooo........m.............
 
Ata mm sielewi
 
Aisee nidhamu ni ya muhimu sana yaani unaongelea watumishi wa Mungu kama unaongea na wala unga hivi,hekima ni muhimu sana katika kutoa ushauri kumbuka kuna rika zote humu hata kama ni jukwaa huru hakuna asiyejua matusi ila kulinganisha hawa wapakwa mafuta na wahuni nadhani ni bora kukaa kimya maana zaidi watakaa kimya kwakuwa umedhamiria kutumia ubongo wako kuwafedhehesha,Haipendezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…