SoC03 Uchambuzi: Namna ambavyo ubovu wa mifumo endeshi ya kiutawala inavyofifisha utawala bora na namna ya kuuendea utatuzi wake ili kuleta mabadiliko

SoC03 Uchambuzi: Namna ambavyo ubovu wa mifumo endeshi ya kiutawala inavyofifisha utawala bora na namna ya kuuendea utatuzi wake ili kuleta mabadiliko

Stories of Change - 2023 Competition

Almalik mokiwa

Senior Member
Joined
Jun 5, 2020
Posts
147
Reaction score
157
Kwa mataifa mengi duniani, imekuwa kawaida watawala kutumia mifumo ya kiutawala inayokiuka misingi ya utawala bora. Katika kukuza na kudumisha utawala unao zingatia zaidi uhuru wa kujieleza, uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa mahakama, uwazi, haki na umoja, ushirikishwaji wa wananchi na utawala wa sheria, dhana ya uwajibikaji siyo ya KUEPUKIKA. Na hii ndio huchora tafsiri halisi ya dhana ya utawala bora.

Tanzania ni moja ya nchi zenye viashiria vya kudhoofika kwa misingi ya utawala wa sheria, uhuru wa kujieleza, uhuru wa mahakama, kusheheni kwa matukio ya ufisadi na rushwa, kukosekana kwa uwazi, uwajibikaji MBOVU wa viongozi wa umma, ushirikishwaji hafifu wa wananchi katika kuamua, kudhoofika kwa uhuru wa vyombo vya habari na kuzorota kwa umoja na haki unaotokana na migongano ya tofauti za kiitikadi. Uchambuzi huu utaenda kugusa moja kwa moja ni kwa namna gani mifumo ya uendeshaji wa kiutawala umekuwa ukikiuka misingi ya utawala bora, na namna ya kuuendea utatuzi wake ili kuhuisha na kusimika nguzo ya utawala bora.

Licha ya Tanzania kutumia mfumo endeshi wa kidemokrasia kama nyenzo kuu ya kupitia ili kudumisha utawala ambao unaitanabaisha serikali kuwa serikali ya watu, inayoipa mamlaka makubwa wananchi katika kufanya maamuzi, lakini bado imeonekana kuwa ni demokrasia iliyochujwa kutokana na ubabaishaji katika kufatwa kwa kanuni zake.

Mambo machache, yanayo dhoofisha utawala bora ni kama ifuatavyo;

Kudhoofu kwa uhuru wa vyombo vya habari;
Tanzania imekuwa ikiingia katika ukakasi juu uhuru wa vyombo vya habari, ambapo umeonekana kuzorota kutokana na kujitokeza kwa matukio mbalimbali ambayo yamekuwa yakitishia usalama wa waandishi wa habari. Mwishoni mwa mwaka 2017, vichwa vya habari vya magazeti mbali mbali nchini, viliripoti taarifa ya kupotea katika mazingira ya kutatanisha kwa mwandishi machachari wa habari za uchunguzi aliyekuwa akihudumu katika gazeti la Mwananchi, ndugu Azory Gwanda. Matukio hayo yamekuwa yakiendelea kujitokeza ambapo waandishi wengine hasa wa habari za uchunguzi, kama Stan Katabalo, Daudi Mwangosi, Josephat Isango na Ben Sanaane kupotea na maisha yao kuwa katika mashaka. Waandishi hawa machachari wameonekana kuingia mashakani hasa baada ya kuonekana wakihoji juu ya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma. Kutungwa kwa sheria kandamizi za habari zinazowapa karaha waandishi wa habari na kufifisha utendaji na uwajibikaji wao katika kuuhabarisha umma. Mfano , sheria ya makosa ya kimtandao ya 2015 pamoja na kanuni za maudhui ya mtandaoni ya mwaka 2018.


IMG-20230730-WA0078.jpg

Picha kutoka StockImages

Kuzorota kwa uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa wananchi
Kumekuwa na ushirikishwaji mdogo wa wananchi katika kushiriki kwenye shughuli za maendeleo ya nchi, kama vile ushiriki katika uundaji wa bajeti ya taifa, kama katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyo ainisha katika ibara ya 8, vile vile kudogodeshwa kwa ushiriki wa umma katika kufanya maamuzi juu ya ulinzi na utunzaji wa rasilimali zao kumekuwa kukionyesha ukinzani baina ya watawala na dhana ya utawala bora. Mfano azimio la Bandari, na kuidhinishwa kwa makubaliano ya ubinafsishaji wa bandari kwa DP world bila kusikilizwa na kuchambuliwa kwa kina kwa maoni ya wananchi, kumechora tafsiri halisi ya kupunjwa kwa ushirikishwaji wa wananchi katika kufanya maamuzi.

DEMOCRACY.jpg

Picha kutoka PA times

Kukiukwa kwa misingi ya utawala wa Sheria na kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi na Rushwa
Yapo matukio tofauti tofauti yanayo dhihirisha ukiukwaji wa utawala wa sheria, ambapo viongozi wameonekana kujiingiza katika matendo yasio randana na sheria za nchi yetu, tunaweza kujikumbusha kupitia zuio la mikutano ya vyama vya siasa lililowekwa kinyume na sheria za vyama vya siasa. Kutofatwa kwa misingi ya utawala wa sheria kumesababisha kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi, kwani wanao husishwa na vitendo hivyo wamekuwa wakitoa RUSHWA ili wasiwajibishwe na sheria kutochukua mkondo wake.
IMG-20230730-WA0086.jpg

Picha kutoka AdobeStock

NAMNA YA KUUENDEA UTATUZI WAKE ILI KUKUZA DHANA YA UTAWALA BORA KWA MANUFAA YA JAMII.

Uchambuzi wa makala hii umelenga kuleta utatuzi juu ya masuala yanayo zorotesha dhana ya utawala bora na kusimamisha nguzo ya utawala wenye tija katika jamii, ili jamii ipate kunufaika.

Kuundwa kwa mifumo ya uwajibishwaji wa viongozi
Mifumo hiyo inaweza kuwa, utunzi wa sheria ya kuwachukulia hatua viongozi wote wa umma wanaohusishwa na ufisadi kutoka katika ripoti ya mkaguzi wa hesabu za serikali (CAG) kama vile, kifungo cha maisha na kutaifishwa kwa mali za mshitakiwa wa makosa ya ufisadi. Mwaka 2021 ripoti ya CAG ilimtuhumu mkurugenzi mtendaji wa bandari kwa kumhusisha na ufisadi wa fedha za umma bilioni 3.7 na kuishiwa kusimamishwa kazi tu.

b32890f32a9906f55320423e4da0f538.jpg

Picha kutoka Daily News


Mabadiliko katika mitaala ya elimu, yenye kulenga kuwajenga vijana kuwa WAZALENDO
Vijana ndio nguzo na muelekeo wa leo na kesho ya taifa lolote duniani, taasisi za kielimu zinapaswa kuwalea vijana katika makuzi ya kizalendo, kuwafanya vijana kuwa viziwi wa kutosikia sauti zenye maudhui ya kupewa RUSHWA, vipofu wasioona ubora katika kujibinafsisha na kujilimbikizia mali za umma, viwete wasio weza kuuendea ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma, mbadala wake, wawe wakali pale rasilimali zao zinapoguswa na walowezi. Vilevile, taasisi za elimu ziweke somo la sheria kuwa la lazima, kwa lengo la kuwaandaa vijana kuwa weledi katika kuzielewa vyema sheria za nchi yao, hii itasaidia katika kudumisha ulinzi wa rasilimali na kuhuisha utawala wa sheria.

Hero - Transforming Education (11).jpg

Picha kutoka UNICEF

Matumizi ya sanaa katika kuchochea utawala bora
Mtawala mwenye maono ya kulifikisha taifa au taasisi katika nchi ya ahadi, iliyo na miti ya mitende, mito ya maziwa na harufu ya Haluwa, anapaswa kufanya uwekezaji mkubwa katika sanaa, kuwaondolea vikwazo vyote kwa wasanii wenye roho ya ujasiri wa kudadavua athari za uwajibikaji mbovu wa viongozi wa umma na kukosoa vikali vitendo vya RUSHWA na UFISADI kupitia kutanua na kuupigia chepeo UHURU WA KUJIELEZA. Hii itachangia katika kukuza utawala bora.
shutterstock_187662866-1.jpg

Picha kutoka East Side Online

Kuundwa kwa mfumo wa kielektroniki unaoupa umma fursa ya kuweka maoni juu ya viwango vya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma
Mfumo huu utaweza kuonyesha utendaji wa viongozi kupitia viwango vilivyopendekezwa na umma, kiongozi ambae anaonekana kuwa na viwango vya chini zaidi anapaswa kuondolewa na kubadilisha kuweka mwingine ambae ataendana na kasi ya mahitaji ya wanajamii. Hii itachochea uwajibikaji wa viongozi wa umma.

IMG-20230730-WA0091.jpg

Picha kutoka Adobe Stock

Mwisho; Ili kudumisha utawala bora mahakama zinapaswa kuwa huru kupitia kupunguza mamlaka ya rais kuteua majaji, mbadala wake iundwe tume ya majaji kwaajili ya kuteua majaji.
 
Upvote 55
Kwani hamna whistleblowing in Tanzania ama viongozi tu hawashitakiwi hata kama wako reported??? ama watu hawajui wapi pa ku report viongozi wabovu?...andiko zuri lakini...
Wengine wanafahamu ni wapi pa kuripoti, ila kesi zao nyingi zinafukiwa. Hata lile sakata la Escrow, lililo husisha ubadhirifu wa Fedha, wahusika walijulikana (Akina Ngeleja, Tibaijuka na wengine) lakini serikali haikuchukua hatua zozote. Ni kawaida kukosekana kwa uwajibikaji wa kisheria katika matendo ya ufisadi kutokana na RUSHWA.

Yote na Yote, ahsante sana Anita. Ikikupendeza, karibu unipigie kura. Ubarikiwe.
 
Wengine wanafahamu ni wapi pa kuripoti, ila kesi zao nyingi zinafukiwa. Hata lile sakata la Escrow, lililo husisha ubadhirifu wa Fedha, wahusika walijulikana (Akina Ngeleja, Tibaijuka na wengine) lakini serikali haikuchukua hatua zozote. Ni kawaida kukosekana kwa uwajibikaji wa kisheria katika matendo ya ufisadi kutokana na RUSHWA.

Yote na Yote, ahsante sana Anita, na karibu unipigie kura ikikupendeza.
Kura yangu nishakupa mkuu ndio hio ya 20 🤣🤣😊😊 mkuu kama kuna rushwa huoni Hata wakiweka hio electronic system ya rating kwa wananchi ku report ni kazi bure, hakuna wa kuwawajibisha viongozi wetu, hizo reports zitabaki kwenye mafaili/files tu… stored in a computer… hii ishu ya uwajibikaji iko complicated, ulicho suggest ni kizuri lakini sidhani kama itafanya kazi seriously
 
Kwa mataifa mengi duniani, imekuwa kawaida watawala kutumia mifumo ya kiutawala inayokiuka misingi ya utawala bora. Katika kukuza na kudumisha utawala unao zingatia zaidi uhuru wa kujieleza, uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa mahakama, uwazi, haki na umoja, ushirikishwaji wa wananchi na utawala wa sheria, dhana ya uwajibikaji siyo ya KUEPUKIKA. Na hii ndio huchora tafsiri halisi ya dhana ya utawala bora.

Tanzania ni moja ya nchi zenye viashiria vya kudhoofika kwa misingi ya utawala wa sheria, uhuru wa kujieleza, uhuru wa mahakama, kusheheni kwa matukio ya ufisadi na rushwa, kukosekana kwa uwazi, uwajibikaji MBOVU wa viongozi wa umma, ushirikishwaji hafifu wa wananchi katika kuamua, kudhoofika kwa uhuru wa vyombo vya habari na kuzorota kwa umoja na haki unaotokana na migongano ya tofauti za kiitikadi. Uchambuzi huu utaenda kugusa moja kwa moja ni kwa namna gani mifumo ya uendeshaji wa kiutawala umekuwa ukikiuka misingi ya utawala bora, na namna ya kuuendea utatuzi wake ili kuhuisha na kusimika nguzo ya utawala bora.

Licha ya Tanzania kutumia mfumo endeshi wa kidemokrasia kama nyenzo kuu ya kupitia ili kudumisha utawala ambao unaitanabaisha serikali kuwa serikali ya watu, inayoipa mamlaka makubwa wananchi katika kufanya maamuzi, lakini bado imeonekana kuwa ni demokrasia iliyochujwa kutokana na ubabaishaji katika kufatwa kwa kanuni zake.

Mambo machache, yanayo dhoofisha utawala bora ni kama ifuatavyo;

Kudhoofu kwa uhuru wa vyombo vya habari; Tanzania imekuwa ikiingia katika ukakasi juu uhuru wa vyombo vya habari, ambapo umeonekana kuzorota kutokana na kujitokeza kwa matukio mbalimbali ambayo yamekuwa yakitishia usalama wa waandishi wa habari. Mwishoni mwa mwaka 2017, vichwa vya habari vya magazeti mbali mbali nchini, viliripoti taarifa ya kupotea katika mazingira ya kutatanisha kwa mwandishi machachari wa habari za uchunguzi aliyekuwa akihudumu katika gazeti la Mwananchi, ndugu Azory Gwanda. Matukio hayo yamekuwa yakiendelea kujitokeza ambapo waandishi wengine hasa wa habari za uchunguzi, kama Stan Katabalo, Daudi Mwangosi, Josephat Isango na Ben Sanaane kupotea na maisha yao kuwa katika mashaka. Waandishi hawa machachari wameonekana kuingia mashakani hasa baada ya kuonekana wakihoji juu ya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma. Kutungwa kwa sheria kandamizi za habari zinazowapa karaha waandishi wa habari na kufifisha utendaji na uwajibikaji wao katika kuuhabarisha umma. Mfano , sheria ya makosa ya kimtandao ya 2015 pamoja na kanuni za maudhui ya mtandaoni ya mwaka 2018.View attachment 2704166
Picha kutoka StockImages

Kuzorota kwa uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa wananchi: Kumekuwa na ushirikishwaji mdogo wa wananchi katika kushiriki kwenye shughuli za maendeleo ya nchi, kama vile ushiriki katika uundaji wa bajeti ya taifa, kama katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyo ainisha katika ibara ya 8, vile vile kudogodeshwa kwa ushiriki wa umma katika kufanya maamuzi juu ya ulinzi na utunzaji wa rasilimali zao kumekuwa kukionyesha ukinzani baina ya watawala na dhana ya utawala bora. Mfano azimio la Bandari, na kuidhinishwa kwa makubaliano ya ubinafsishaji wa bandari kwa DP world bila kusikilizwa na kuchambuliwa kwa kina kwa maoni ya wananchi, kumechora tafsiri halisi ya kupunjwa kwa ushirikishwaji wa wananchi katika kufanya maamuzi.
View attachment 2704180
Picha kutoka PA times

Kukiukwa kwa misingi ya utawala wa Sheria na kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi na Rushwa; Yapo matukio tofauti tofauti yanayo dhihirisha ukiukwaji wa utawala wa sheria, ambapo viongozi wameonekana kujiingiza katika matendo yasio randana na sheria za nchi yetu, tunaweza kujikumbusha kupitia zuio la mikutano ya vyama vya siasa lililowekwa kinyume na sheria za vyama vya siasa. Kutofatwa kwa misingi ya utawala wa sheria kumesababisha kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi, kwani wanao husishwa na vitendo hivyo wamekuwa wakitoa RUSHWA ili wasiwajibishwe na sheria kutochukua mkondo wake.
View attachment 2704183
Picha kutoka AdobeStock

NAMNA YA KUUENDEA UTATUZI WAKE ILI KUKUZA DHANA YA UTAWALA BORA KWA MANUFAA YA JAMII.

Uchambuzi wa makala hii umelenga kuleta utatuzi juu ya masuala yanayo zorotesha dhana ya utawala bora na kusimamisha nguzo ya utawala wenye tija katika jamii, ili jamii ipate kunufaika.

Kuundwa kwa mifumo ya uwajibishwaji wa viongozi; Mifumo hiyo inaweza kuwa, utunzi wa sheria ya kuwachukulia hatua viongozi wote wa umma wanaohusishwa na ufisadi kutoka katika ripoti ya mkaguzi wa hesabu za serikali (CAG) kama vile, kifungo cha maisha na kutaifishwa kwa mali za mshitakiwa wa makosa ya ufisadi. Mwaka 2021 ripoti ya CAG ilimtuhumu mkurugenzi mtendaji wa bandari kwa kumhusisha na ufisadi wa fedha za umma bilioni 3.7 na kuishiwa kusimamishwa kazi tu.
View attachment 2704187
Picha kutoka Daily News

Mabadiliko katika mitaala ya elimu, yenye kulenga kuwajenga vijana kuwa WAZALENDO; Vijana ndio nguzo na muelekeo wa leo na kesho ya taifa lolote duniani, taasisi za kielimu zinapaswa kuwalea vijana katika makuzi ya kizalendo, kuwafanya vijana kuwa viziwi wa kutosikia sauti zenye maudhui ya kupewa RUSHWA, vipofu wasioona ubora katika kujibinafsisha na kujilimbikizia mali za umma, viwete wasio weza kuuendea ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma, mbadala wake, wawe wakali pale rasilimali zao zinapoguswa na walowezi. Vilevile, taasisi za elimu ziweke somo la sheria kuwa la lazima, kwa lengo la kuwaandaa vijana kuwa weledi katika kuzielewa vyema sheria za nchi yao, hii itasaidia katika kudumisha ulinzi wa rasilimali na kuhuisha utawala wa sheria.
View attachment 2704191
Picha kutoka UNICEF

Matumizi ya sanaa katika kuchochea utawala bora; Mtawala mwenye maono ya kulifikisha taifa au taasisi katika nchi ya ahadi, iliyo na miti ya mitende, mito ya maziwa na harufu ya Haluwa, anapaswa kufanya uwekezaji mkubwa katika sanaa, kuwaondolea vikwazo vyote kwa wasanii wenye roho ya ujasiri wa kudadavua athari za uwajibikaji mbovu wa viongozi wa umma na kukosoa vikali vitendo vya RUSHWA na UFISADI kupitia kutanua na kuupigia chepeo UHURU WA KUJIELEZA. Hii itachangia katika kukuza utawala bora.
View attachment 2704193
Picha kutoka East Side Online

Kuundwa kwa mfumo wa kielektroniki unaoupa umma fursa ya kuweka maoni juu ya viwango vya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma; Mfumo huu utaweza kuonyesha utendaji wa viongozi kupitia viwango vilivyopendekezwa na umma, kiongozi ambae anaonekana kuwa na viwango vya chini zaidi anapaswa kuondolewa na kubadilisha kuweka mwingine ambae ataendana na kasi ya mahitaji ya wanajamii. Hii itachochea uwajibikaji wa viongozi wa umma.
View attachment 2704196
Picha kutoka Adobe Stock

Mwisho; Ili kudumisha utawala bora mahakama zinapaswa kuwa huru kupitia kupunguza mamlaka ya rais kuteua majaji, mbadala wake iundwe tume ya majaji kwaajili ya

Kwa mataifa mengi duniani, imekuwa kawaida watawala kutumia mifumo ya kiutawala inayokiuka misingi ya utawala bora. Katika kukuza na kudumisha utawala unao zingatia zaidi uhuru wa kujieleza, uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa mahakama, uwazi, haki na umoja, ushirikishwaji wa wananchi na utawala wa sheria, dhana ya uwajibikaji siyo ya KUEPUKIKA. Na hii ndio huchora tafsiri halisi ya dhana ya utawala bora.

Tanzania ni moja ya nchi zenye viashiria vya kudhoofika kwa misingi ya utawala wa sheria, uhuru wa kujieleza, uhuru wa mahakama, kusheheni kwa matukio ya ufisadi na rushwa, kukosekana kwa uwazi, uwajibikaji MBOVU wa viongozi wa umma, ushirikishwaji hafifu wa wananchi katika kuamua, kudhoofika kwa uhuru wa vyombo vya habari na kuzorota kwa umoja na haki unaotokana na migongano ya tofauti za kiitikadi. Uchambuzi huu utaenda kugusa moja kwa moja ni kwa namna gani mifumo ya uendeshaji wa kiutawala umekuwa ukikiuka misingi ya utawala bora, na namna ya kuuendea utatuzi wake ili kuhuisha na kusimika nguzo ya utawala bora.

Licha ya Tanzania kutumia mfumo endeshi wa kidemokrasia kama nyenzo kuu ya kupitia ili kudumisha utawala ambao unaitanabaisha serikali kuwa serikali ya watu, inayoipa mamlaka makubwa wananchi katika kufanya maamuzi, lakini bado imeonekana kuwa ni demokrasia iliyochujwa kutokana na ubabaishaji katika kufatwa kwa kanuni zake.

Mambo machache, yanayo dhoofisha utawala bora ni kama ifuatavyo;

Kudhoofu kwa uhuru wa vyombo vya habari; Tanzania imekuwa ikiingia katika ukakasi juu uhuru wa vyombo vya habari, ambapo umeonekana kuzorota kutokana na kujitokeza kwa matukio mbalimbali ambayo yamekuwa yakitishia usalama wa waandishi wa habari. Mwishoni mwa mwaka 2017, vichwa vya habari vya magazeti mbali mbali nchini, viliripoti taarifa ya kupotea katika mazingira ya kutatanisha kwa mwandishi machachari wa habari za uchunguzi aliyekuwa akihudumu katika gazeti la Mwananchi, ndugu Azory Gwanda. Matukio hayo yamekuwa yakiendelea kujitokeza ambapo waandishi wengine hasa wa habari za uchunguzi, kama Stan Katabalo, Daudi Mwangosi, Josephat Isango na Ben Sanaane kupotea na maisha yao kuwa katika mashaka. Waandishi hawa machachari wameonekana kuingia mashakani hasa baada ya kuonekana wakihoji juu ya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma. Kutungwa kwa sheria kandamizi za habari zinazowapa karaha waandishi wa habari na kufifisha utendaji na uwajibikaji wao katika kuuhabarisha umma. Mfano , sheria ya makosa ya kimtandao ya 2015 pamoja na kanuni za maudhui ya mtandaoni ya mwaka 2018.View attachment 2704166
Picha kutoka StockImages

Kuzorota kwa uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa wananchi: Kumekuwa na ushirikishwaji mdogo wa wananchi katika kushiriki kwenye shughuli za maendeleo ya nchi, kama vile ushiriki katika uundaji wa bajeti ya taifa, kama katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyo ainisha katika ibara ya 8, vile vile kudogodeshwa kwa ushiriki wa umma katika kufanya maamuzi juu ya ulinzi na utunzaji wa rasilimali zao kumekuwa kukionyesha ukinzani baina ya watawala na dhana ya utawala bora. Mfano azimio la Bandari, na kuidhinishwa kwa makubaliano ya ubinafsishaji wa bandari kwa DP world bila kusikilizwa na kuchambuliwa kwa kina kwa maoni ya wananchi, kumechora tafsiri halisi ya kupunjwa kwa ushirikishwaji wa wananchi katika kufanya maamuzi.
View attachment 2704180
Picha kutoka PA times

Kukiukwa kwa misingi ya utawala wa Sheria na kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi na Rushwa; Yapo matukio tofauti tofauti yanayo dhihirisha ukiukwaji wa utawala wa sheria, ambapo viongozi wameonekana kujiingiza katika matendo yasio randana na sheria za nchi yetu, tunaweza kujikumbusha kupitia zuio la mikutano ya vyama vya siasa lililowekwa kinyume na sheria za vyama vya siasa. Kutofatwa kwa misingi ya utawala wa sheria kumesababisha kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi, kwani wanao husishwa na vitendo hivyo wamekuwa wakitoa RUSHWA ili wasiwajibishwe na sheria kutochukua mkondo wake.
View attachment 2704183
Picha kutoka AdobeStock

NAMNA YA KUUENDEA UTATUZI WAKE ILI KUKUZA DHANA YA UTAWALA BORA KWA MANUFAA YA JAMII.

Uchambuzi wa makala hii umelenga kuleta utatuzi juu ya masuala yanayo zorotesha dhana ya utawala bora na kusimamisha nguzo ya utawala wenye tija katika jamii, ili jamii ipate kunufaika.

Kuundwa kwa mifumo ya uwajibishwaji wa viongozi; Mifumo hiyo inaweza kuwa, utunzi wa sheria ya kuwachukulia hatua viongozi wote wa umma wanaohusishwa na ufisadi kutoka katika ripoti ya mkaguzi wa hesabu za serikali (CAG) kama vile, kifungo cha maisha na kutaifishwa kwa mali za mshitakiwa wa makosa ya ufisadi. Mwaka 2021 ripoti ya CAG ilimtuhumu mkurugenzi mtendaji wa bandari kwa kumhusisha na ufisadi wa fedha za umma bilioni 3.7 na kuishiwa kusimamishwa kazi tu.
View attachment 2704187
Picha kutoka Daily News

Mabadiliko katika mitaala ya elimu, yenye kulenga kuwajenga vijana kuwa WAZALENDO; Vijana ndio nguzo na muelekeo wa leo na kesho ya taifa lolote duniani, taasisi za kielimu zinapaswa kuwalea vijana katika makuzi ya kizalendo, kuwafanya vijana kuwa viziwi wa kutosikia sauti zenye maudhui ya kupewa RUSHWA, vipofu wasioona ubora katika kujibinafsisha na kujilimbikizia mali za umma, viwete wasio weza kuuendea ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma, mbadala wake, wawe wakali pale rasilimali zao zinapoguswa na walowezi. Vilevile, taasisi za elimu ziweke somo la sheria kuwa la lazima, kwa lengo la kuwaandaa vijana kuwa weledi katika kuzielewa vyema sheria za nchi yao, hii itasaidia katika kudumisha ulinzi wa rasilimali na kuhuisha utawala wa sheria.
View attachment 2704191
Picha kutoka UNICEF

Matumizi ya sanaa katika kuchochea utawala bora; Mtawala mwenye maono ya kulifikisha taifa au taasisi katika nchi ya ahadi, iliyo na miti ya mitende, mito ya maziwa na harufu ya Haluwa, anapaswa kufanya uwekezaji mkubwa katika sanaa, kuwaondolea vikwazo vyote kwa wasanii wenye roho ya ujasiri wa kudadavua athari za uwajibikaji mbovu wa viongozi wa umma na kukosoa vikali vitendo vya RUSHWA na UFISADI kupitia kutanua na kuupigia chepeo UHURU WA KUJIELEZA. Hii itachangia katika kukuza utawala bora.
View attachment 2704193
Picha kutoka East Side Online

Kuundwa kwa mfumo wa kielektroniki unaoupa umma fursa ya kuweka maoni juu ya viwango vya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma; Mfumo huu utaweza kuonyesha utendaji wa viongozi kupitia viwango vilivyopendekezwa na umma, kiongozi ambae anaonekana kuwa na viwango vya chini zaidi anapaswa kuondolewa na kubadilisha kuweka mwingine ambae ataendana na kasi ya mahitaji ya wanajamii. Hii itachochea uwajibikaji wa viongozi wa umma.
View attachment 2704196
Picha kutoka Adobe Stock

Mwisho; Ili kudumisha utawala bora mahakama zinapaswa kuwa huru kupitia kupunguza mamlaka ya rais kuteua majaji, mbadala wake iundwe tume ya majaji kwaajili ya kuteua majaji.
Andiko lako Bwana Mokiwa Limekamilika barabbara, natamani ndugu zako waliokusaidia kufika hapa waone uwezo wako wa kutafakari mambo na kuyatolea hoja kuwa hawajapoteza kwako hata kidogo. Wewe ni Hazina kubwa sana kwako na kwa jamii yako, Kongole sana 🤙
 
Kura yangu nishakupa mkuu ndio hio ya 20 🤣🤣😊😊 mkuu kama kuna rushwa huoni Hata wakiweka hio electronic system ya rating kwa wananchi ku report ni kazi bure, hakuna wa kuwawajibisha viongozi wetu, hizo reports zitabaki kwenye mafaili/files tu… stored in a computer… hii ishu ya uwajibikaji iko complicated, ulicho suggest ni kizuri lakini sidhani kama itafanya kazi seriously
Ahsante sana Makirita.

Na ndio maana, moja ya sehemu ya andiko langu nimeandika kuhusu namna ya kuhuisha utawala wa sheria. Utawala unao zingatia zaidi kuishi kwa kuenenda misingi ya sheria kupitia, utunzi wa sheria utakao wawajibisha wanao chota mali za umma na kujilimbikizia kwenye mabenki na utekelezaji wa sheria hizo. Sheria haziruhusu ufisadi. Lakini pia, vitendo hivi vinatendeka kutokana na viongozi wa umma kukosa uzalendo wa kweli, na hii imenichochea pia kupandisha hoja ya kulelewa kwa vijana katika misingi ya kizalendo, ili isiwawie rahisi kutoa au kupokea Rushwa. Uwajibikaji mdogo wa kimahakama, pamoja kuto tekelezwa kwa matakwa ya sheria, kumefifishwa na kusheheni kwa vitendo vya Rushwa. Hii electronic rating system itasaidia kudumisha uwajibikaji wa viongozi haswa wale wa kuteuliwa.
 
Ahsante sana Makirita.

Na ndio maana, moja ya sehemu ya andiko langu nimeandika kuhusu namna ya kuhuisha utawala wa sheria. Utawala unao zingatia zaidi kuishi kwa kuenenda misingi ya sheria kupitia, utunzi wa sheria utakao wawajibisha wanao chota mali za umma na kujilimbikizia kwenye mabenki na utekelezaji wa sheria hizo. Sheria haziruhusu ufisadi. Lakini pia, vitendo hivi vinatendeka kutokana na viongozi wa umma kukosa uzalendo wa kweli, na hii imenichochea pia kupandisha hoja ya kulelewa kwa vijana katika misingi ya kizalendo, ili isiwawie rahisi kutoa au kupokea Rushwa. Uwajibikaji mdogo wa kimahakama, pamoja kuto tekelezwa kwa matakwa ya sheria, kumefifishwa na kusheheni kwa vitendo vya Rushwa. Hii electronic rating system itasaidia kudumisha uwajibikaji wa viongozi haswa wale wa kuteuliwa.
Mkuu embu nielimishe mimi shule ilinipitia kushoto, je sasa hivi hamna sheria za kuwashitaki mafisadi?...

Hao viongozi wa kuteuliwa sidhani kama wanaweza kuwajibishwa hata kama wakiwa reported, sababu wengi wao wanajua kucheza na system ya UCHAWAZZZZZZZZZZZ 😁 😁 😁 kujipendekeza kwa mkubwa kulinda cheo chako imekuwa norm, na ndio maana hamna uwajibikaji,kiongozi anateua na walioteuliwa wanaona kazi ni kulipa hisani kwa waliowateua na sio wananchi.....namna hii hata ukireport ni kazi bure seriously....
 
Kura yangu nishakupa mkuu ndio hio ya 20 🤣🤣😊😊 mkuu kama kuna rushwa huoni Hata wakiweka hio electronic system ya rating kwa wananchi ku report ni kazi bure, hakuna wa kuwawajibisha viongozi wetu, hizo reports zitabaki kwenye mafaili/files tu… stored in a computer… hii ishu ya uwajibikaji iko complicated, ulicho suggest ni kizuri lakini sidhani kama itafanya kazi seriously
Anita......

This is our country 😂😂

Ni kujipa mda huenda inawezekana kwa badae ila sio sasa ila najishtukia Tena KUSEMA hivi.

Itawesekana ikiwa MFUMO WA inheritance of position kwenye democratic state ideology itaisha.

Tukichagua moja kawa ni kupasiana kijiti basi kijiti kivushwe na MFUMO WA UWAJIBIKAJI uwepo wa kivijiti zaidi sasa hivi ni demokrasia wanapsisha na wanafanya as they wish.

Bwana atupee roho mazee😁
 
Mkuu embu nielimishe mimi shule ilinipitia kushoto, je sasa hivi hamna sheria za kuwashitaki mafisadi?...

Hao viongozi wa kuteuliwa sidhani kama wanaweza kuwajibishwa hata kama wakiwa reported, sababu wengi wao wanajua kucheza na system ya UCHAWAZZZZZZZZZZZ 😁 😁 😁 kujipendekeza kwa mkubwa kulinda cheo chako imekuwa norm, na ndio maana hamna uwajibikaji,kiongozi anateua na walioteuliwa wanaona kazi ni kulipa hisani kwa waliowateua na sio wananchi.....namna hii hata ukireport ni kazi bure seriously....
😂😂😂

Madam wewe inaonekana unaona mbali, uliona wapi nyoka akajing'ata mkia.

Watu wako busy kutengeneza chain sehemu nyingi ukitajiwa MAJINA ya wataeule fatilia ngazi za juu utakuta Kuna mwenye jina kama sio baba, mama, kaka au dada basi ni mjomba, shangazi na nk wewe niambie kwa njia hiyo unawajibisha nani hata kama taarifa au report zikija ?

Utumbuliwe, uhamishwe kitengo, ujikute una kesi au basi 😁

Hii mifumo ya UWAJIBIKAJI HALISI inahitaji somo na reform za maana kwenye mifumo hii na kule top panahitaji roho isiyo ya huruma na negotiations nyingi 😲
 
IMG-20230802-WA0032.jpg

Wakuu, ili kupiga kura, gusa kialama cha ^ (cha kijani) baada ya kugusa kitabadilika na kuwa chekundu kisha utaona neno "UPVOTED" na kura zitaongezeka. Katika andiko hili, kura za wana jamii zimebeba asilimia 40% ya ushindi. Natanguliza shukrani🙏
 
Mkuu embu nielimishe mimi shule ilinipitia kushoto, je sasa hivi hamna sheria za kuwashitaki mafisadi?...

Hao viongozi wa kuteuliwa sidhani kama wanaweza kuwajibishwa hata kama wakiwa reported, sababu wengi wao wanajua kucheza na system ya UCHAWAZZZZZZZZZZZ 😁 😁 😁 kujipendekeza kwa mkubwa kulinda cheo chako imekuwa norm, na ndio maana hamna uwajibikaji,kiongozi anateua na walioteuliwa wanaona kazi ni kulipa hisani kwa waliowateua na sio wananchi.....namna hii hata ukireport ni kazi bure seriously....
Hii iko sahihi, na ndio maana tunadai utawala bora. Utawala bora unaanzia moyoni mwetu, na kwangu mimi na wewe. Ili kuondoa hili, tunapaswa kuisafirisha jamii ya kizazi chetu kwa kuwajenga watoto wetu wakue katika mazingira ya ya kuithamini haki na kweli. Hii itapunguza uchawa. Ukirejea katika andiko hili, nimeeleza namna ya kuwajenga vijana katika misingi hii. Ahsante.
 
Kwa mataifa mengi duniani, imekuwa kawaida watawala kutumia mifumo ya kiutawala inayokiuka misingi ya utawala bora. Katika kukuza na kudumisha utawala unao zingatia zaidi uhuru wa kujieleza, uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa mahakama, uwazi, haki na umoja, ushirikishwaji wa wananchi na utawala wa sheria, dhana ya uwajibikaji siyo ya KUEPUKIKA. Na hii ndio huchora tafsiri halisi ya dhana ya utawala bora.

Tanzania ni moja ya nchi zenye viashiria vya kudhoofika kwa misingi ya utawala wa sheria, uhuru wa kujieleza, uhuru wa mahakama, kusheheni kwa matukio ya ufisadi na rushwa, kukosekana kwa uwazi, uwajibikaji MBOVU wa viongozi wa umma, ushirikishwaji hafifu wa wananchi katika kuamua, kudhoofika kwa uhuru wa vyombo vya habari na kuzorota kwa umoja na haki unaotokana na migongano ya tofauti za kiitikadi. Uchambuzi huu utaenda kugusa moja kwa moja ni kwa namna gani mifumo ya uendeshaji wa kiutawala umekuwa ukikiuka misingi ya utawala bora, na namna ya kuuendea utatuzi wake ili kuhuisha na kusimika nguzo ya utawala bora.

Licha ya Tanzania kutumia mfumo endeshi wa kidemokrasia kama nyenzo kuu ya kupitia ili kudumisha utawala ambao unaitanabaisha serikali kuwa serikali ya watu, inayoipa mamlaka makubwa wananchi katika kufanya maamuzi, lakini bado imeonekana kuwa ni demokrasia iliyochujwa kutokana na ubabaishaji katika kufatwa kwa kanuni zake.

Mambo machache, yanayo dhoofisha utawala bora ni kama ifuatavyo;

Kudhoofu kwa uhuru wa vyombo vya habari; Tanzania imekuwa ikiingia katika ukakasi juu uhuru wa vyombo vya habari, ambapo umeonekana kuzorota kutokana na kujitokeza kwa matukio mbalimbali ambayo yamekuwa yakitishia usalama wa waandishi wa habari. Mwishoni mwa mwaka 2017, vichwa vya habari vya magazeti mbali mbali nchini, viliripoti taarifa ya kupotea katika mazingira ya kutatanisha kwa mwandishi machachari wa habari za uchunguzi aliyekuwa akihudumu katika gazeti la Mwananchi, ndugu Azory Gwanda. Matukio hayo yamekuwa yakiendelea kujitokeza ambapo waandishi wengine hasa wa habari za uchunguzi, kama Stan Katabalo, Daudi Mwangosi, Josephat Isango na Ben Sanaane kupotea na maisha yao kuwa katika mashaka. Waandishi hawa machachari wameonekana kuingia mashakani hasa baada ya kuonekana wakihoji juu ya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma. Kutungwa kwa sheria kandamizi za habari zinazowapa karaha waandishi wa habari na kufifisha utendaji na uwajibikaji wao katika kuuhabarisha umma. Mfano , sheria ya makosa ya kimtandao ya 2015 pamoja na kanuni za maudhui ya mtandaoni ya mwaka 2018.View attachment 2704166
Picha kutoka StockImages

Kuzorota kwa uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa wananchi: Kumekuwa na ushirikishwaji mdogo wa wananchi katika kushiriki kwenye shughuli za maendeleo ya nchi, kama vile ushiriki katika uundaji wa bajeti ya taifa, kama katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyo ainisha katika ibara ya 8, vile vile kudogodeshwa kwa ushiriki wa umma katika kufanya maamuzi juu ya ulinzi na utunzaji wa rasilimali zao kumekuwa kukionyesha ukinzani baina ya watawala na dhana ya utawala bora. Mfano azimio la Bandari, na kuidhinishwa kwa makubaliano ya ubinafsishaji wa bandari kwa DP world bila kusikilizwa na kuchambuliwa kwa kina kwa maoni ya wananchi, kumechora tafsiri halisi ya kupunjwa kwa ushirikishwaji wa wananchi katika kufanya maamuzi.
View attachment 2704180
Picha kutoka PA times

Kukiukwa kwa misingi ya utawala wa Sheria na kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi na Rushwa; Yapo matukio tofauti tofauti yanayo dhihirisha ukiukwaji wa utawala wa sheria, ambapo viongozi wameonekana kujiingiza katika matendo yasio randana na sheria za nchi yetu, tunaweza kujikumbusha kupitia zuio la mikutano ya vyama vya siasa lililowekwa kinyume na sheria za vyama vya siasa. Kutofatwa kwa misingi ya utawala wa sheria kumesababisha kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi, kwani wanao husishwa na vitendo hivyo wamekuwa wakitoa RUSHWA ili wasiwajibishwe na sheria kutochukua mkondo wake.
View attachment 2704183
Picha kutoka AdobeStock

NAMNA YA KUUENDEA UTATUZI WAKE ILI KUKUZA DHANA YA UTAWALA BORA KWA MANUFAA YA JAMII.

Uchambuzi wa makala hii umelenga kuleta utatuzi juu ya masuala yanayo zorotesha dhana ya utawala bora na kusimamisha nguzo ya utawala wenye tija katika jamii, ili jamii ipate kunufaika.

Kuundwa kwa mifumo ya uwajibishwaji wa viongozi; Mifumo hiyo inaweza kuwa, utunzi wa sheria ya kuwachukulia hatua viongozi wote wa umma wanaohusishwa na ufisadi kutoka katika ripoti ya mkaguzi wa hesabu za serikali (CAG) kama vile, kifungo cha maisha na kutaifishwa kwa mali za mshitakiwa wa makosa ya ufisadi. Mwaka 2021 ripoti ya CAG ilimtuhumu mkurugenzi mtendaji wa bandari kwa kumhusisha na ufisadi wa fedha za umma bilioni 3.7 na kuishiwa kusimamishwa kazi tu.
View attachment 2704187
Picha kutoka Daily News

Mabadiliko katika mitaala ya elimu, yenye kulenga kuwajenga vijana kuwa WAZALENDO; Vijana ndio nguzo na muelekeo wa leo na kesho ya taifa lolote duniani, taasisi za kielimu zinapaswa kuwalea vijana katika makuzi ya kizalendo, kuwafanya vijana kuwa viziwi wa kutosikia sauti zenye maudhui ya kupewa RUSHWA, vipofu wasioona ubora katika kujibinafsisha na kujilimbikizia mali za umma, viwete wasio weza kuuendea ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma, mbadala wake, wawe wakali pale rasilimali zao zinapoguswa na walowezi. Vilevile, taasisi za elimu ziweke somo la sheria kuwa la lazima, kwa lengo la kuwaandaa vijana kuwa weledi katika kuzielewa vyema sheria za nchi yao, hii itasaidia katika kudumisha ulinzi wa rasilimali na kuhuisha utawala wa sheria.
View attachment 2704191
Picha kutoka UNICEF

Matumizi ya sanaa katika kuchochea utawala bora; Mtawala mwenye maono ya kulifikisha taifa au taasisi katika nchi ya ahadi, iliyo na miti ya mitende, mito ya maziwa na harufu ya Haluwa, anapaswa kufanya uwekezaji mkubwa katika sanaa, kuwaondolea vikwazo vyote kwa wasanii wenye roho ya ujasiri wa kudadavua athari za uwajibikaji mbovu wa viongozi wa umma na kukosoa vikali vitendo vya RUSHWA na UFISADI kupitia kutanua na kuupigia chepeo UHURU WA KUJIELEZA. Hii itachangia katika kukuza utawala bora.
View attachment 2704193
Picha kutoka East Side Online

Kuundwa kwa mfumo wa kielektroniki unaoupa umma fursa ya kuweka maoni juu ya viwango vya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma; Mfumo huu utaweza kuonyesha utendaji wa viongozi kupitia viwango vilivyopendekezwa na umma, kiongozi ambae anaonekana kuwa na viwango vya chini zaidi anapaswa kuondolewa na kubadilisha kuweka mwingine ambae ataendana na kasi ya mahitaji ya wanajamii. Hii itachochea uwajibikaji wa viongozi wa umma.
View attachment 2704196
Picha kutoka Adobe Stock

Mwisho; Ili kudumisha utawala bora mahakama zinapaswa kuwa huru kupitia kupunguza mamlaka ya rais kuteua majaji, mbadala wake iundwe tume ya majaji kwaajili ya kuteua majaji.
Taifa makini ni lenye vijana makini ambao baadaye huwa wazee wenye busara na makini, ili uwe kiongozi wa juu kwa nchi yetu ni lazima uwe mtu wa makamo. Ukiwa kijana hohehae na unapenda uongozi tutegemee kuwa na kiongozi mbumbumbu katika siku za usoni. Andiko zuri sana kijana, nakuona mbali sana....✍
 
Kwa mataifa mengi duniani, imekuwa kawaida watawala kutumia mifumo ya kiutawala inayokiuka misingi ya utawala bora. Katika kukuza na kudumisha utawala unao zingatia zaidi uhuru wa kujieleza, uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa mahakama, uwazi, haki na umoja, ushirikishwaji wa wananchi na utawala wa sheria, dhana ya uwajibikaji siyo ya KUEPUKIKA. Na hii ndio huchora tafsiri halisi ya dhana ya utawala bora.

Tanzania ni moja ya nchi zenye viashiria vya kudhoofika kwa misingi ya utawala wa sheria, uhuru wa kujieleza, uhuru wa mahakama, kusheheni kwa matukio ya ufisadi na rushwa, kukosekana kwa uwazi, uwajibikaji MBOVU wa viongozi wa umma, ushirikishwaji hafifu wa wananchi katika kuamua, kudhoofika kwa uhuru wa vyombo vya habari na kuzorota kwa umoja na haki unaotokana na migongano ya tofauti za kiitikadi. Uchambuzi huu utaenda kugusa moja kwa moja ni kwa namna gani mifumo ya uendeshaji wa kiutawala umekuwa ukikiuka misingi ya utawala bora, na namna ya kuuendea utatuzi wake ili kuhuisha na kusimika nguzo ya utawala bora.

Licha ya Tanzania kutumia mfumo endeshi wa kidemokrasia kama nyenzo kuu ya kupitia ili kudumisha utawala ambao unaitanabaisha serikali kuwa serikali ya watu, inayoipa mamlaka makubwa wananchi katika kufanya maamuzi, lakini bado imeonekana kuwa ni demokrasia iliyochujwa kutokana na ubabaishaji katika kufatwa kwa kanuni zake.

Mambo machache, yanayo dhoofisha utawala bora ni kama ifuatavyo;

Kudhoofu kwa uhuru wa vyombo vya habari; Tanzania imekuwa ikiingia katika ukakasi juu uhuru wa vyombo vya habari, ambapo umeonekana kuzorota kutokana na kujitokeza kwa matukio mbalimbali ambayo yamekuwa yakitishia usalama wa waandishi wa habari. Mwishoni mwa mwaka 2017, vichwa vya habari vya magazeti mbali mbali nchini, viliripoti taarifa ya kupotea katika mazingira ya kutatanisha kwa mwandishi machachari wa habari za uchunguzi aliyekuwa akihudumu katika gazeti la Mwananchi, ndugu Azory Gwanda. Matukio hayo yamekuwa yakiendelea kujitokeza ambapo waandishi wengine hasa wa habari za uchunguzi, kama Stan Katabalo, Daudi Mwangosi, Josephat Isango na Ben Sanaane kupotea na maisha yao kuwa katika mashaka. Waandishi hawa machachari wameonekana kuingia mashakani hasa baada ya kuonekana wakihoji juu ya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma. Kutungwa kwa sheria kandamizi za habari zinazowapa karaha waandishi wa habari na kufifisha utendaji na uwajibikaji wao katika kuuhabarisha umma. Mfano , sheria ya makosa ya kimtandao ya 2015 pamoja na kanuni za maudhui ya mtandaoni ya mwaka 2018.View attachment 2704166
Picha kutoka StockImages

Kuzorota kwa uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa wananchi: Kumekuwa na ushirikishwaji mdogo wa wananchi katika kushiriki kwenye shughuli za maendeleo ya nchi, kama vile ushiriki katika uundaji wa bajeti ya taifa, kama katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyo ainisha katika ibara ya 8, vile vile kudogodeshwa kwa ushiriki wa umma katika kufanya maamuzi juu ya ulinzi na utunzaji wa rasilimali zao kumekuwa kukionyesha ukinzani baina ya watawala na dhana ya utawala bora. Mfano azimio la Bandari, na kuidhinishwa kwa makubaliano ya ubinafsishaji wa bandari kwa DP world bila kusikilizwa na kuchambuliwa kwa kina kwa maoni ya wananchi, kumechora tafsiri halisi ya kupunjwa kwa ushirikishwaji wa wananchi katika kufanya maamuzi.
View attachment 2704180
Picha kutoka PA times

Kukiukwa kwa misingi ya utawala wa Sheria na kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi na Rushwa; Yapo matukio tofauti tofauti yanayo dhihirisha ukiukwaji wa utawala wa sheria, ambapo viongozi wameonekana kujiingiza katika matendo yasio randana na sheria za nchi yetu, tunaweza kujikumbusha kupitia zuio la mikutano ya vyama vya siasa lililowekwa kinyume na sheria za vyama vya siasa. Kutofatwa kwa misingi ya utawala wa sheria kumesababisha kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi, kwani wanao husishwa na vitendo hivyo wamekuwa wakitoa RUSHWA ili wasiwajibishwe na sheria kutochukua mkondo wake.
View attachment 2704183
Picha kutoka AdobeStock

NAMNA YA KUUENDEA UTATUZI WAKE ILI KUKUZA DHANA YA UTAWALA BORA KWA MANUFAA YA JAMII.

Uchambuzi wa makala hii umelenga kuleta utatuzi juu ya masuala yanayo zorotesha dhana ya utawala bora na kusimamisha nguzo ya utawala wenye tija katika jamii, ili jamii ipate kunufaika.

Kuundwa kwa mifumo ya uwajibishwaji wa viongozi; Mifumo hiyo inaweza kuwa, utunzi wa sheria ya kuwachukulia hatua viongozi wote wa umma wanaohusishwa na ufisadi kutoka katika ripoti ya mkaguzi wa hesabu za serikali (CAG) kama vile, kifungo cha maisha na kutaifishwa kwa mali za mshitakiwa wa makosa ya ufisadi. Mwaka 2021 ripoti ya CAG ilimtuhumu mkurugenzi mtendaji wa bandari kwa kumhusisha na ufisadi wa fedha za umma bilioni 3.7 na kuishiwa kusimamishwa kazi tu.
View attachment 2704187
Picha kutoka Daily News

Mabadiliko katika mitaala ya elimu, yenye kulenga kuwajenga vijana kuwa WAZALENDO; Vijana ndio nguzo na muelekeo wa leo na kesho ya taifa lolote duniani, taasisi za kielimu zinapaswa kuwalea vijana katika makuzi ya kizalendo, kuwafanya vijana kuwa viziwi wa kutosikia sauti zenye maudhui ya kupewa RUSHWA, vipofu wasioona ubora katika kujibinafsisha na kujilimbikizia mali za umma, viwete wasio weza kuuendea ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma, mbadala wake, wawe wakali pale rasilimali zao zinapoguswa na walowezi. Vilevile, taasisi za elimu ziweke somo la sheria kuwa la lazima, kwa lengo la kuwaandaa vijana kuwa weledi katika kuzielewa vyema sheria za nchi yao, hii itasaidia katika kudumisha ulinzi wa rasilimali na kuhuisha utawala wa sheria.
View attachment 2704191
Picha kutoka UNICEF

Matumizi ya sanaa katika kuchochea utawala bora; Mtawala mwenye maono ya kulifikisha taifa au taasisi katika nchi ya ahadi, iliyo na miti ya mitende, mito ya maziwa na harufu ya Haluwa, anapaswa kufanya uwekezaji mkubwa katika sanaa, kuwaondolea vikwazo vyote kwa wasanii wenye roho ya ujasiri wa kudadavua athari za uwajibikaji mbovu wa viongozi wa umma na kukosoa vikali vitendo vya RUSHWA na UFISADI kupitia kutanua na kuupigia chepeo UHURU WA KUJIELEZA. Hii itachangia katika kukuza utawala bora.
View attachment 2704193
Picha kutoka East Side Online

Kuundwa kwa mfumo wa kielektroniki unaoupa umma fursa ya kuweka maoni juu ya viwango vya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma; Mfumo huu utaweza kuonyesha utendaji wa viongozi kupitia viwango vilivyopendekezwa na umma, kiongozi ambae anaonekana kuwa na viwango vya chini zaidi anapaswa kuondolewa na kubadilisha kuweka mwingine ambae ataendana na kasi ya mahitaji ya wanajamii. Hii itachochea uwajibikaji wa viongozi wa umma.
View attachment 2704196
Picha kutoka Adobe Stock

Mwisho; Ili kudumisha utawala bora mahakama zinapaswa kuwa huru kupitia kupunguza mamlaka ya rais kuteua majaji, mbadala wake iundwe tume ya majaji kwaajili ya kuteua majaji.
Hili ni zaidi ya andiko kuna kitu cha kujifunza kutoka kwa vijana wenye maono makubwa
 
Kwa mataifa mengi duniani, imekuwa kawaida watawala kutumia mifumo ya kiutawala inayokiuka misingi ya utawala bora. Katika kukuza na kudumisha utawala unao zingatia zaidi uhuru wa kujieleza, uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa mahakama, uwazi, haki na umoja, ushirikishwaji wa wananchi na utawala wa sheria, dhana ya uwajibikaji siyo ya KUEPUKIKA. Na hii ndio huchora tafsiri halisi ya dhana ya utawala bora.

Tanzania ni moja ya nchi zenye viashiria vya kudhoofika kwa misingi ya utawala wa sheria, uhuru wa kujieleza, uhuru wa mahakama, kusheheni kwa matukio ya ufisadi na rushwa, kukosekana kwa uwazi, uwajibikaji MBOVU wa viongozi wa umma, ushirikishwaji hafifu wa wananchi katika kuamua, kudhoofika kwa uhuru wa vyombo vya habari na kuzorota kwa umoja na haki unaotokana na migongano ya tofauti za kiitikadi. Uchambuzi huu utaenda kugusa moja kwa moja ni kwa namna gani mifumo ya uendeshaji wa kiutawala umekuwa ukikiuka misingi ya utawala bora, na namna ya kuuendea utatuzi wake ili kuhuisha na kusimika nguzo ya utawala bora.

Licha ya Tanzania kutumia mfumo endeshi wa kidemokrasia kama nyenzo kuu ya kupitia ili kudumisha utawala ambao unaitanabaisha serikali kuwa serikali ya watu, inayoipa mamlaka makubwa wananchi katika kufanya maamuzi, lakini bado imeonekana kuwa ni demokrasia iliyochujwa kutokana na ubabaishaji katika kufatwa kwa kanuni zake.

Mambo machache, yanayo dhoofisha utawala bora ni kama ifuatavyo;

Kudhoofu kwa uhuru wa vyombo vya habari; Tanzania imekuwa ikiingia katika ukakasi juu uhuru wa vyombo vya habari, ambapo umeonekana kuzorota kutokana na kujitokeza kwa matukio mbalimbali ambayo yamekuwa yakitishia usalama wa waandishi wa habari. Mwishoni mwa mwaka 2017, vichwa vya habari vya magazeti mbali mbali nchini, viliripoti taarifa ya kupotea katika mazingira ya kutatanisha kwa mwandishi machachari wa habari za uchunguzi aliyekuwa akihudumu katika gazeti la Mwananchi, ndugu Azory Gwanda. Matukio hayo yamekuwa yakiendelea kujitokeza ambapo waandishi wengine hasa wa habari za uchunguzi, kama Stan Katabalo, Daudi Mwangosi, Josephat Isango na Ben Sanaane kupotea na maisha yao kuwa katika mashaka. Waandishi hawa machachari wameonekana kuingia mashakani hasa baada ya kuonekana wakihoji juu ya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma. Kutungwa kwa sheria kandamizi za habari zinazowapa karaha waandishi wa habari na kufifisha utendaji na uwajibikaji wao katika kuuhabarisha umma. Mfano , sheria ya makosa ya kimtandao ya 2015 pamoja na kanuni za maudhui ya mtandaoni ya mwaka 2018.View attachment 2704166
Picha kutoka StockImages

Kuzorota kwa uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa wananchi: Kumekuwa na ushirikishwaji mdogo wa wananchi katika kushiriki kwenye shughuli za maendeleo ya nchi, kama vile ushiriki katika uundaji wa bajeti ya taifa, kama katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyo ainisha katika ibara ya 8, vile vile kudogodeshwa kwa ushiriki wa umma katika kufanya maamuzi juu ya ulinzi na utunzaji wa rasilimali zao kumekuwa kukionyesha ukinzani baina ya watawala na dhana ya utawala bora. Mfano azimio la Bandari, na kuidhinishwa kwa makubaliano ya ubinafsishaji wa bandari kwa DP world bila kusikilizwa na kuchambuliwa kwa kina kwa maoni ya wananchi, kumechora tafsiri halisi ya kupunjwa kwa ushirikishwaji wa wananchi katika kufanya maamuzi.
View attachment 2704180
Picha kutoka PA times

Kukiukwa kwa misingi ya utawala wa Sheria na kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi na Rushwa; Yapo matukio tofauti tofauti yanayo dhihirisha ukiukwaji wa utawala wa sheria, ambapo viongozi wameonekana kujiingiza katika matendo yasio randana na sheria za nchi yetu, tunaweza kujikumbusha kupitia zuio la mikutano ya vyama vya siasa lililowekwa kinyume na sheria za vyama vya siasa. Kutofatwa kwa misingi ya utawala wa sheria kumesababisha kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi, kwani wanao husishwa na vitendo hivyo wamekuwa wakitoa RUSHWA ili wasiwajibishwe na sheria kutochukua mkondo wake.
View attachment 2704183
Picha kutoka AdobeStock

NAMNA YA KUUENDEA UTATUZI WAKE ILI KUKUZA DHANA YA UTAWALA BORA KWA MANUFAA YA JAMII.

Uchambuzi wa makala hii umelenga kuleta utatuzi juu ya masuala yanayo zorotesha dhana ya utawala bora na kusimamisha nguzo ya utawala wenye tija katika jamii, ili jamii ipate kunufaika.

Kuundwa kwa mifumo ya uwajibishwaji wa viongozi; Mifumo hiyo inaweza kuwa, utunzi wa sheria ya kuwachukulia hatua viongozi wote wa umma wanaohusishwa na ufisadi kutoka katika ripoti ya mkaguzi wa hesabu za serikali (CAG) kama vile, kifungo cha maisha na kutaifishwa kwa mali za mshitakiwa wa makosa ya ufisadi. Mwaka 2021 ripoti ya CAG ilimtuhumu mkurugenzi mtendaji wa bandari kwa kumhusisha na ufisadi wa fedha za umma bilioni 3.7 na kuishiwa kusimamishwa kazi tu.
View attachment 2704187
Picha kutoka Daily News

Mabadiliko katika mitaala ya elimu, yenye kulenga kuwajenga vijana kuwa WAZALENDO; Vijana ndio nguzo na muelekeo wa leo na kesho ya taifa lolote duniani, taasisi za kielimu zinapaswa kuwalea vijana katika makuzi ya kizalendo, kuwafanya vijana kuwa viziwi wa kutosikia sauti zenye maudhui ya kupewa RUSHWA, vipofu wasioona ubora katika kujibinafsisha na kujilimbikizia mali za umma, viwete wasio weza kuuendea ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma, mbadala wake, wawe wakali pale rasilimali zao zinapoguswa na walowezi. Vilevile, taasisi za elimu ziweke somo la sheria kuwa la lazima, kwa lengo la kuwaandaa vijana kuwa weledi katika kuzielewa vyema sheria za nchi yao, hii itasaidia katika kudumisha ulinzi wa rasilimali na kuhuisha utawala wa sheria.
View attachment 2704191
Picha kutoka UNICEF

Matumizi ya sanaa katika kuchochea utawala bora; Mtawala mwenye maono ya kulifikisha taifa au taasisi katika nchi ya ahadi, iliyo na miti ya mitende, mito ya maziwa na harufu ya Haluwa, anapaswa kufanya uwekezaji mkubwa katika sanaa, kuwaondolea vikwazo vyote kwa wasanii wenye roho ya ujasiri wa kudadavua athari za uwajibikaji mbovu wa viongozi wa umma na kukosoa vikali vitendo vya RUSHWA na UFISADI kupitia kutanua na kuupigia chepeo UHURU WA KUJIELEZA. Hii itachangia katika kukuza utawala bora.
View attachment 2704193
Picha kutoka East Side Online

Kuundwa kwa mfumo wa kielektroniki unaoupa umma fursa ya kuweka maoni juu ya viwango vya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma; Mfumo huu utaweza kuonyesha utendaji wa viongozi kupitia viwango vilivyopendekezwa na umma, kiongozi ambae anaonekana kuwa na viwango vya chini zaidi anapaswa kuondolewa na kubadilisha kuweka mwingine ambae ataendana na kasi ya mahitaji ya wanajamii. Hii itachochea uwajibikaji wa viongozi wa umma.
View attachment 2704196
Picha kutoka Adobe Stock

Mwisho; Ili kudumisha utawala bora mahakama zinapaswa kuwa huru kupitia kupunguza mamlaka ya rais kuteua majaji, mbadala wake iundwe tume ya majaji kwaajili ya kuteua majaji.
Ooh!! Hakika ni kweli kabisa kuyafahamu haya kwa ajili ya maendeleo kiujumla,hongera saana Mr.Almalik mokiwa kwa chapisho bora
 
Kwa mataifa mengi duniani, imekuwa kawaida watawala kutumia mifumo ya kiutawala inayokiuka misingi ya utawala bora. Katika kukuza na kudumisha utawala unao zingatia zaidi uhuru wa kujieleza, uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa mahakama, uwazi, haki na umoja, ushirikishwaji wa wananchi na utawala wa sheria, dhana ya uwajibikaji siyo ya KUEPUKIKA. Na hii ndio huchora tafsiri halisi ya dhana ya utawala bora.

Tanzania ni moja ya nchi zenye viashiria vya kudhoofika kwa misingi ya utawala wa sheria, uhuru wa kujieleza, uhuru wa mahakama, kusheheni kwa matukio ya ufisadi na rushwa, kukosekana kwa uwazi, uwajibikaji MBOVU wa viongozi wa umma, ushirikishwaji hafifu wa wananchi katika kuamua, kudhoofika kwa uhuru wa vyombo vya habari na kuzorota kwa umoja na haki unaotokana na migongano ya tofauti za kiitikadi. Uchambuzi huu utaenda kugusa moja kwa moja ni kwa namna gani mifumo ya uendeshaji wa kiutawala umekuwa ukikiuka misingi ya utawala bora, na namna ya kuuendea utatuzi wake ili kuhuisha na kusimika nguzo ya utawala bora.

Licha ya Tanzania kutumia mfumo endeshi wa kidemokrasia kama nyenzo kuu ya kupitia ili kudumisha utawala ambao unaitanabaisha serikali kuwa serikali ya watu, inayoipa mamlaka makubwa wananchi katika kufanya maamuzi, lakini bado imeonekana kuwa ni demokrasia iliyochujwa kutokana na ubabaishaji katika kufatwa kwa kanuni zake.

Mambo machache, yanayo dhoofisha utawala bora ni kama ifuatavyo;

Kudhoofu kwa uhuru wa vyombo vya habari; Tanzania imekuwa ikiingia katika ukakasi juu uhuru wa vyombo vya habari, ambapo umeonekana kuzorota kutokana na kujitokeza kwa matukio mbalimbali ambayo yamekuwa yakitishia usalama wa waandishi wa habari. Mwishoni mwa mwaka 2017, vichwa vya habari vya magazeti mbali mbali nchini, viliripoti taarifa ya kupotea katika mazingira ya kutatanisha kwa mwandishi machachari wa habari za uchunguzi aliyekuwa akihudumu katika gazeti la Mwananchi, ndugu Azory Gwanda. Matukio hayo yamekuwa yakiendelea kujitokeza ambapo waandishi wengine hasa wa habari za uchunguzi, kama Stan Katabalo, Daudi Mwangosi, Josephat Isango na Ben Sanaane kupotea na maisha yao kuwa katika mashaka. Waandishi hawa machachari wameonekana kuingia mashakani hasa baada ya kuonekana wakihoji juu ya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma. Kutungwa kwa sheria kandamizi za habari zinazowapa karaha waandishi wa habari na kufifisha utendaji na uwajibikaji wao katika kuuhabarisha umma. Mfano , sheria ya makosa ya kimtandao ya 2015 pamoja na kanuni za maudhui ya mtandaoni ya mwaka 2018.View attachment 2704166
Picha kutoka StockImages

Kuzorota kwa uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa wananchi: Kumekuwa na ushirikishwaji mdogo wa wananchi katika kushiriki kwenye shughuli za maendeleo ya nchi, kama vile ushiriki katika uundaji wa bajeti ya taifa, kama katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyo ainisha katika ibara ya 8, vile vile kudogodeshwa kwa ushiriki wa umma katika kufanya maamuzi juu ya ulinzi na utunzaji wa rasilimali zao kumekuwa kukionyesha ukinzani baina ya watawala na dhana ya utawala bora. Mfano azimio la Bandari, na kuidhinishwa kwa makubaliano ya ubinafsishaji wa bandari kwa DP world bila kusikilizwa na kuchambuliwa kwa kina kwa maoni ya wananchi, kumechora tafsiri halisi ya kupunjwa kwa ushirikishwaji wa wananchi katika kufanya maamuzi.
View attachment 2704180
Picha kutoka PA times

Kukiukwa kwa misingi ya utawala wa Sheria na kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi na Rushwa; Yapo matukio tofauti tofauti yanayo dhihirisha ukiukwaji wa utawala wa sheria, ambapo viongozi wameonekana kujiingiza katika matendo yasio randana na sheria za nchi yetu, tunaweza kujikumbusha kupitia zuio la mikutano ya vyama vya siasa lililowekwa kinyume na sheria za vyama vya siasa. Kutofatwa kwa misingi ya utawala wa sheria kumesababisha kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi, kwani wanao husishwa na vitendo hivyo wamekuwa wakitoa RUSHWA ili wasiwajibishwe na sheria kutochukua mkondo wake.
View attachment 2704183
Picha kutoka AdobeStock

NAMNA YA KUUENDEA UTATUZI WAKE ILI KUKUZA DHANA YA UTAWALA BORA KWA MANUFAA YA JAMII.

Uchambuzi wa makala hii umelenga kuleta utatuzi juu ya masuala yanayo zorotesha dhana ya utawala bora na kusimamisha nguzo ya utawala wenye tija katika jamii, ili jamii ipate kunufaika.

Kuundwa kwa mifumo ya uwajibishwaji wa viongozi; Mifumo hiyo inaweza kuwa, utunzi wa sheria ya kuwachukulia hatua viongozi wote wa umma wanaohusishwa na ufisadi kutoka katika ripoti ya mkaguzi wa hesabu za serikali (CAG) kama vile, kifungo cha maisha na kutaifishwa kwa mali za mshitakiwa wa makosa ya ufisadi. Mwaka 2021 ripoti ya CAG ilimtuhumu mkurugenzi mtendaji wa bandari kwa kumhusisha na ufisadi wa fedha za umma bilioni 3.7 na kuishiwa kusimamishwa kazi tu.
View attachment 2704187
Picha kutoka Daily News

Mabadiliko katika mitaala ya elimu, yenye kulenga kuwajenga vijana kuwa WAZALENDO; Vijana ndio nguzo na muelekeo wa leo na kesho ya taifa lolote duniani, taasisi za kielimu zinapaswa kuwalea vijana katika makuzi ya kizalendo, kuwafanya vijana kuwa viziwi wa kutosikia sauti zenye maudhui ya kupewa RUSHWA, vipofu wasioona ubora katika kujibinafsisha na kujilimbikizia mali za umma, viwete wasio weza kuuendea ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma, mbadala wake, wawe wakali pale rasilimali zao zinapoguswa na walowezi. Vilevile, taasisi za elimu ziweke somo la sheria kuwa la lazima, kwa lengo la kuwaandaa vijana kuwa weledi katika kuzielewa vyema sheria za nchi yao, hii itasaidia katika kudumisha ulinzi wa rasilimali na kuhuisha utawala wa sheria.
View attachment 2704191
Picha kutoka UNICEF

Matumizi ya sanaa katika kuchochea utawala bora; Mtawala mwenye maono ya kulifikisha taifa au taasisi katika nchi ya ahadi, iliyo na miti ya mitende, mito ya maziwa na harufu ya Haluwa, anapaswa kufanya uwekezaji mkubwa katika sanaa, kuwaondolea vikwazo vyote kwa wasanii wenye roho ya ujasiri wa kudadavua athari za uwajibikaji mbovu wa viongozi wa umma na kukosoa vikali vitendo vya RUSHWA na UFISADI kupitia kutanua na kuupigia chepeo UHURU WA KUJIELEZA. Hii itachangia katika kukuza utawala bora.
View attachment 2704193
Picha kutoka East Side Online

Kuundwa kwa mfumo wa kielektroniki unaoupa umma fursa ya kuweka maoni juu ya viwango vya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma; Mfumo huu utaweza kuonyesha utendaji wa viongozi kupitia viwango vilivyopendekezwa na umma, kiongozi ambae anaonekana kuwa na viwango vya chini zaidi anapaswa kuondolewa na kubadilisha kuweka mwingine ambae ataendana na kasi ya mahitaji ya wanajamii. Hii itachochea uwajibikaji wa viongozi wa umma.
View attachment 2704196
Picha kutoka Adobe Stock

Mwisho; Ili kudumisha utawala bora mahakama zinapaswa kuwa huru kupitia kupunguza mamlaka ya rais kuteua majaji, mbadala wake iundwe tume ya majaji kwaajili ya kuteua majaji.
Andiko limesheheni na linajieleza kwa ustadi mkubwa, I wish VIONGOZI wa umma wangelisoma Ili liwachome na wabadilishe mienendo yao Kwa ajili ya Tanzania Bora. HONGERA kaka Kwa makala hii fupi but full of content!!!
 

Attachments

  • 240_F_246071689_VdA5lCZ2luoVBRfFEnTWBRFkGoEcI2je.jpg
    240_F_246071689_VdA5lCZ2luoVBRfFEnTWBRFkGoEcI2je.jpg
    30 KB · Views: 3
Kwa mataifa mengi duniani, imekuwa kawaida watawala kutumia mifumo ya kiutawala inayokiuka misingi ya utawala bora. Katika kukuza na kudumisha utawala unao zingatia zaidi uhuru wa kujieleza, uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa mahakama, uwazi, haki na umoja, ushirikishwaji wa wananchi na utawala wa sheria, dhana ya uwajibikaji siyo ya KUEPUKIKA. Na hii ndio huchora tafsiri halisi ya dhana ya utawala bora.

Tanzania ni moja ya nchi zenye viashiria vya kudhoofika kwa misingi ya utawala wa sheria, uhuru wa kujieleza, uhuru wa mahakama, kusheheni kwa matukio ya ufisadi na rushwa, kukosekana kwa uwazi, uwajibikaji MBOVU wa viongozi wa umma, ushirikishwaji hafifu wa wananchi katika kuamua, kudhoofika kwa uhuru wa vyombo vya habari na kuzorota kwa umoja na haki unaotokana na migongano ya tofauti za kiitikadi. Uchambuzi huu utaenda kugusa moja kwa moja ni kwa namna gani mifumo ya uendeshaji wa kiutawala umekuwa ukikiuka misingi ya utawala bora, na namna ya kuuendea utatuzi wake ili kuhuisha na kusimika nguzo ya utawala bora.

Licha ya Tanzania kutumia mfumo endeshi wa kidemokrasia kama nyenzo kuu ya kupitia ili kudumisha utawala ambao unaitanabaisha serikali kuwa serikali ya watu, inayoipa mamlaka makubwa wananchi katika kufanya maamuzi, lakini bado imeonekana kuwa ni demokrasia iliyochujwa kutokana na ubabaishaji katika kufatwa kwa kanuni zake.

Mambo machache, yanayo dhoofisha utawala bora ni kama ifuatavyo;

Kudhoofu kwa uhuru wa vyombo vya habari; Tanzania imekuwa ikiingia katika ukakasi juu uhuru wa vyombo vya habari, ambapo umeonekana kuzorota kutokana na kujitokeza kwa matukio mbalimbali ambayo yamekuwa yakitishia usalama wa waandishi wa habari. Mwishoni mwa mwaka 2017, vichwa vya habari vya magazeti mbali mbali nchini, viliripoti taarifa ya kupotea katika mazingira ya kutatanisha kwa mwandishi machachari wa habari za uchunguzi aliyekuwa akihudumu katika gazeti la Mwananchi, ndugu Azory Gwanda. Matukio hayo yamekuwa yakiendelea kujitokeza ambapo waandishi wengine hasa wa habari za uchunguzi, kama Stan Katabalo, Daudi Mwangosi, Josephat Isango na Ben Sanaane kupotea na maisha yao kuwa katika mashaka. Waandishi hawa machachari wameonekana kuingia mashakani hasa baada ya kuonekana wakihoji juu ya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma. Kutungwa kwa sheria kandamizi za habari zinazowapa karaha waandishi wa habari na kufifisha utendaji na uwajibikaji wao katika kuuhabarisha umma. Mfano , sheria ya makosa ya kimtandao ya 2015 pamoja na kanuni za maudhui ya mtandaoni ya mwaka 2018.View attachment 2704166
Picha kutoka StockImages

Kuzorota kwa uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa wananchi: Kumekuwa na ushirikishwaji mdogo wa wananchi katika kushiriki kwenye shughuli za maendeleo ya nchi, kama vile ushiriki katika uundaji wa bajeti ya taifa, kama katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyo ainisha katika ibara ya 8, vile vile kudogodeshwa kwa ushiriki wa umma katika kufanya maamuzi juu ya ulinzi na utunzaji wa rasilimali zao kumekuwa kukionyesha ukinzani baina ya watawala na dhana ya utawala bora. Mfano azimio la Bandari, na kuidhinishwa kwa makubaliano ya ubinafsishaji wa bandari kwa DP world bila kusikilizwa na kuchambuliwa kwa kina kwa maoni ya wananchi, kumechora tafsiri halisi ya kupunjwa kwa ushirikishwaji wa wananchi katika kufanya maamuzi.
View attachment 2704180
Picha kutoka PA times

Kukiukwa kwa misingi ya utawala wa Sheria na kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi na Rushwa; Yapo matukio tofauti tofauti yanayo dhihirisha ukiukwaji wa utawala wa sheria, ambapo viongozi wameonekana kujiingiza katika matendo yasio randana na sheria za nchi yetu, tunaweza kujikumbusha kupitia zuio la mikutano ya vyama vya siasa lililowekwa kinyume na sheria za vyama vya siasa. Kutofatwa kwa misingi ya utawala wa sheria kumesababisha kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi, kwani wanao husishwa na vitendo hivyo wamekuwa wakitoa RUSHWA ili wasiwajibishwe na sheria kutochukua mkondo wake.
View attachment 2704183
Picha kutoka AdobeStock

NAMNA YA KUUENDEA UTATUZI WAKE ILI KUKUZA DHANA YA UTAWALA BORA KWA MANUFAA YA JAMII.

Uchambuzi wa makala hii umelenga kuleta utatuzi juu ya masuala yanayo zorotesha dhana ya utawala bora na kusimamisha nguzo ya utawala wenye tija katika jamii, ili jamii ipate kunufaika.

Kuundwa kwa mifumo ya uwajibishwaji wa viongozi; Mifumo hiyo inaweza kuwa, utunzi wa sheria ya kuwachukulia hatua viongozi wote wa umma wanaohusishwa na ufisadi kutoka katika ripoti ya mkaguzi wa hesabu za serikali (CAG) kama vile, kifungo cha maisha na kutaifishwa kwa mali za mshitakiwa wa makosa ya ufisadi. Mwaka 2021 ripoti ya CAG ilimtuhumu mkurugenzi mtendaji wa bandari kwa kumhusisha na ufisadi wa fedha za umma bilioni 3.7 na kuishiwa kusimamishwa kazi tu.
View attachment 2704187
Picha kutoka Daily News

Mabadiliko katika mitaala ya elimu, yenye kulenga kuwajenga vijana kuwa WAZALENDO; Vijana ndio nguzo na muelekeo wa leo na kesho ya taifa lolote duniani, taasisi za kielimu zinapaswa kuwalea vijana katika makuzi ya kizalendo, kuwafanya vijana kuwa viziwi wa kutosikia sauti zenye maudhui ya kupewa RUSHWA, vipofu wasioona ubora katika kujibinafsisha na kujilimbikizia mali za umma, viwete wasio weza kuuendea ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma, mbadala wake, wawe wakali pale rasilimali zao zinapoguswa na walowezi. Vilevile, taasisi za elimu ziweke somo la sheria kuwa la lazima, kwa lengo la kuwaandaa vijana kuwa weledi katika kuzielewa vyema sheria za nchi yao, hii itasaidia katika kudumisha ulinzi wa rasilimali na kuhuisha utawala wa sheria.
View attachment 2704191
Picha kutoka UNICEF

Matumizi ya sanaa katika kuchochea utawala bora; Mtawala mwenye maono ya kulifikisha taifa au taasisi katika nchi ya ahadi, iliyo na miti ya mitende, mito ya maziwa na harufu ya Haluwa, anapaswa kufanya uwekezaji mkubwa katika sanaa, kuwaondolea vikwazo vyote kwa wasanii wenye roho ya ujasiri wa kudadavua athari za uwajibikaji mbovu wa viongozi wa umma na kukosoa vikali vitendo vya RUSHWA na UFISADI kupitia kutanua na kuupigia chepeo UHURU WA KUJIELEZA. Hii itachangia katika kukuza utawala bora.
View attachment 2704193
Picha kutoka East Side Online

Kuundwa kwa mfumo wa kielektroniki unaoupa umma fursa ya kuweka maoni juu ya viwango vya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma; Mfumo huu utaweza kuonyesha utendaji wa viongozi kupitia viwango vilivyopendekezwa na umma, kiongozi ambae anaonekana kuwa na viwango vya chini zaidi anapaswa kuondolewa na kubadilisha kuweka mwingine ambae ataendana na kasi ya mahitaji ya wanajamii. Hii itachochea uwajibikaji wa viongozi wa umma.
View attachment 2704196
Picha kutoka Adobe Stock

Mwisho; Ili kudumisha utawala bora mahakama zinapaswa kuwa huru kupitia kupunguza mamlaka ya rais kuteua majaji, mbadala wake iundwe tume ya majaji kwaajili ya kuteua majaji.
I appreciate your ideas and thoughts Mr Almariki mokiwa (Wordsmith). Keep it up brother one day those ideas will pay off 💯
 
Back
Top Bottom