Uchambuzi: Siioni Simba ikipata ushindi mbele ya Azam

Uchambuzi: Siioni Simba ikipata ushindi mbele ya Azam

Daah! Mkuu naona unamfukuzia Muhasibu kwa kuanzisha nyuzi za kukudhuru.
Hapana mkuu magoli ni ya offside

Sometimes utabiri waweza kua affected na some technicalities

Mfano
Offside
Key player injury during match
Uchawi
That's what happened to a simba- Azam match...... Whe're simba had to lose this match....but due that factors above ......they ended up winning [emoji14][emoji14]
 
Hapana mkuu magoli ni ya offside

Sometimes utabiri waweza kua affected na some technicalities

Mfano
Offside
Key player injury during match
Uchawi
Usijali Mkuu. 🤝

Japo mie mechi yenyewe hata sikuiona ujue.
 
Kama utakuwa professional kwenye soka lanchi hii jaribu kuweka bikosi vya Azam na Simba kwenye mzani
.... lazima utaona kuwa kikosi cha Azam kina uwezo kuliko kile Cha Simba ...,.

Kimasihara Simba anaenda kula 4G Kwa Azam Kwasababu zifuatazo

1. Simba ni dhaifu Kwa viwanja vya ugenini ..,. kitendo Cha mchezo kufanyika Zanzibar....Simba ishapigwa....coz haiwezi kushinda ugenini
2. Azam itashambulia sana coz lazima ikamie hizi timu Ili kupunguza gapes la point Ili kujiweka nafas nzuri

3. Uchawi wa Simba hauvuki bahari ....
That's y Simba haijawahi shinda ugenini...wanategemea Kwa mkapa

Utabiri wangu
FT: Simba 1........3 Azam View attachment 3107105
Haya, nenda kachambue mchele sasa.
 
kwahiyo kuichukia azam ni dhambi.
Wewe unamchukia Feisal sio Azam ndio maana umekiri mwenyewe chuki yako kwa Azam ni sababu ya Feisal kuchezea Azam, hiyo chuki yako kwa huyu kijana haikusaidii chochote.
 
Hapana mkuu magoli ni ya offside

Sometimes utabiri waweza kua affected na some technicalities

Mfano
Offside
Key player injury during match
Uchawi
That's what happened to a simba- Azam match...... Whe're simba had to lose this match....but due that factors above ......they ended up winning [emoji14][emoji14]
Kwemaaa 🥵🥵🥵🥵
 
Simba anaenda kula 4G Kwa Azam
  1. Simba anaenda kula 4G Kwa Azam ................................................... ........ X
  2. Simba ni dhaifu Kwa viwanja vya ugenini ............................................... X
  3. Azam itashambulia sana Ili kupunguza gapes la point.................. X
  4. Uchawi wa Simba hauvuki bahari ................................................................. X
  5. Simba haijawahi shinda ugenini...wanategemea Kwa mkapa...X
  6. Utabiri wangu FT: Simba 1........3 Azam ........................................................... X

0/6 ... Umekosa zote, hufai kuwa mtabiri wa hali ya hewa
 
  1. Simba anaenda kula 4G Kwa Azam ................................................... ........ X
  2. Simba ni dhaifu Kwa viwanja vya ugenini ............................................... X
  3. Azam itashambulia sana Ili kupunguza gapes la point.................. X
  4. Uchawi wa Simba hauvuki bahari ................................................................. X
  5. Simba haijawahi shinda ugenini...wanategemea Kwa mkapa...X
  6. Utabiri wangu FT: Simba 1........3 Azam ........................................................... X

0/6 ... Umekosa zote, hufai kuwa mtabiri wa hali ya hewa
Daaah [emoji23][emoji23]
 
Kama utakuwa professional kwenye soka lanchi hii jaribu kuweka bikosi vya Azam na Simba kwenye mzani
.... lazima utaona kuwa kikosi cha Azam kina uwezo kuliko kile Cha Simba ...,.

Kimasihara Simba anaenda kula 4G Kwa Azam Kwasababu zifuatazo

1. Simba ni dhaifu Kwa viwanja vya ugenini ..,. kitendo Cha mchezo kufanyika Zanzibar....Simba ishapigwa....coz haiwezi kushinda ugenini
2. Azam itashambulia sana coz lazima ikamie hizi timu Ili kupunguza gapes la point Ili kujiweka nafas nzuri

3. Uchawi wa Simba hauvuki bahari ....
That's y Simba haijawahi shinda ugenini...wanategemea Kwa mkapa

Utabiri wangu
FT: Simba 1........3 Azam View attachment 3107105
Huyu Aliyepost Ujinga huu , ni Mjinga Mmoja Ambaye Ata Mpira wa Makaratasi au Chandimu ajacheza, Kwa hiyo ni WakumpuunzaTu
 
Hapana mkuu magoli ni ya offside

Sometimes utabiri waweza kua affected na some technicalities

Mfano
Offside
Key player injury during match
Uchawi
That's what happened to a simba- Azam match...... Whe're simba had to lose this match....but due that factors above ......they ended up winning [emoji14][emoji14]
Tunasubiri cAF ranking tunaona Bado uko kimya
 
Back
Top Bottom