Uchambuzi: Siioni Simba ikipata ushindi mbele ya Azam

Uchambuzi: Siioni Simba ikipata ushindi mbele ya Azam

Kama utakuwa professional kwenye soka lanchi hii jaribu kuweka bikosi vya Azam na Simba kwenye mzani
.... lazima utaona kuwa kikosi cha Azam kina uwezo kuliko kile Cha Simba ...,.

Kimasihara Simba anaenda kula 4G Kwa Azam Kwasababu zifuatazo

1. Simba ni dhaifu Kwa viwanja vya ugenini ..,. kitendo Cha mchezo kufanyika Zanzibar....Simba ishapigwa....coz haiwezi kushinda ugenini
2. Azam itashambulia sana coz lazima ikamie hizi timu Ili kupunguza gapes la point Ili kujiweka nafas nzuri

3. Uchawi wa Simba hauvuki bahari ....
That's y Simba haijawahi shinda ugenini...wanategemea Kwa mkapa

Utabiri wangu
FT: Simba 1........3 Azam View attachment 3107105
Pumzika sasa na huu upuuzi wako
Leo pia unaomba BAN ya muda gani ikiwa matokeo yakiwa nje ya matarajio yako?
Hathubutu tena huo upuuzi wake
 
Kama utakuwa professional kwenye soka lanchi hii jaribu kuweka bikosi vya Azam na Simba kwenye mzani
.... lazima utaona kuwa kikosi cha Azam kina uwezo kuliko kile Cha Simba ...,.

Kimasihara Simba anaenda kula 4G Kwa Azam Kwasababu zifuatazo

1. Simba ni dhaifu Kwa viwanja vya ugenini ..,. kitendo Cha mchezo kufanyika Zanzibar....Simba ishapigwa....coz haiwezi kushinda ugenini
2. Azam itashambulia sana coz lazima ikamie hizi timu Ili kupunguza gapes la point Ili kujiweka nafas nzuri

3. Uchawi wa Simba hauvuki bahari ....
That's y Simba haijawahi shinda ugenini...wanategemea Kwa mkapa

Utabiri wangu
FT: Simba 1........3 Azam View attachment 3107105
Ungeomba na ban iwapo Simba atashinda Ili kukazia huu utabiri
 
AZAM ni timu ndogo sana. na huwa nafurahi sana ikifungwa kwasababu tu feiza toto aliyetetewa na mama kizmkazi anachezea kule. nitakuja kuwaonea huruma akifukuzwa na kule.
Acha chuki mkuu, huo sio ulokole
 
Kama utakuwa professional kwenye soka lanchi hii jaribu kuweka bikosi vya Azam na Simba kwenye mzani
.... lazima utaona kuwa kikosi cha Azam kina uwezo kuliko kile Cha Simba ...,.

Kimasihara Simba anaenda kula 4G Kwa Azam Kwasababu zifuatazo

1. Simba ni dhaifu Kwa viwanja vya ugenini ..,. kitendo Cha mchezo kufanyika Zanzibar....Simba ishapigwa....coz haiwezi kushinda ugenini
2. Azam itashambulia sana coz lazima ikamie hizi timu Ili kupunguza gapes la point Ili kujiweka nafas nzuri

3. Uchawi wa Simba hauvuki bahari ....
That's y Simba haijawahi shinda ugenini...wanategemea Kwa mkapa

Utabiri wangu
FT: Simba 1........3 Azam View attachment 3107105
Hapo Vipi
 
Kama utakuwa professional kwenye soka lanchi hii jaribu kuweka bikosi vya Azam na Simba kwenye mzani
.... lazima utaona kuwa kikosi cha Azam kina uwezo kuliko kile Cha Simba ...,.

Kimasihara Simba anaenda kula 4G Kwa Azam Kwasababu zifuatazo

1. Simba ni dhaifu Kwa viwanja vya ugenini ..,. kitendo Cha mchezo kufanyika Zanzibar....Simba ishapigwa....coz haiwezi kushinda ugenini
2. Azam itashambulia sana coz lazima ikamie hizi timu Ili kupunguza gapes la point Ili kujiweka nafas nzuri

3. Uchawi wa Simba hauvuki bahari ....
That's y Simba haijawahi shinda ugenini...wanategemea Kwa mkapa

Utabiri wangu
FT: Simba 1........3 Azam View attachment 3107105

Mchambuzi uchwara.
Uchambuzi na utabiri wako umefeli kwa 100%
 
Safari hii huombi ufanywe chochote?
 
Hahah, mtabiriii.
Sasa umeiona simba iliyoshjnda mbele ya azam?
Simba ni timu kubwa mbele ya azam, af mpira ukiujua haukupi shida, simba ndy ilikuwa timu superb mbele ya azam kabla ya mchezo wa leo na imejidhihirisha kuwa azam ni inferior mbele ya simba.

😂 sasa pumzika kwa amani. This is simba 🦁 nguvu moja.
 
Utakuwa umekatili mdgo ako .....coz spicies zetu hizi .....Zina ng'ang'niwa sana huku


Sisi ndo kile kizazi Cha magenius, (Einstein )pesa mingi ..... handsome

So imagine what a loss ur going to incur
Pole sana...
Hili ni gundu...
Natamani useme tena
 
Naitwa Lucha A.K.A Puff Daddy karibu nyumbani tujadili kuhusu hiyo mechi
 
We laban ifike hatua utulie tu pale simba anapocheza hivi huoni aibu unavyovuliwa nguo kila siku. Na leo umeshituka mapema haujaomba upigwe ban
 
Atakua ana changamoto labda jamani...
We laban ifike hatua utulie tu pale simba anapocheza hivi huoni aibu unavyovuliwa nguo kila siku. Na leo umeshituka mapema haujaomba upigwe ban
 
Back
Top Bottom