Uchambuzi; Usafiri wa ndege ni salama kuliko usafiri mwingine wowote, ajali ya precision lawama kwa waokoaji. Hongera rubani

Uchambuzi; Usafiri wa ndege ni salama kuliko usafiri mwingine wowote, ajali ya precision lawama kwa waokoaji. Hongera rubani

Tungejikita kwenye ishu nzima ya kujadili namna ya uokoaji ..
Ninachoishangaa hii nchi, Kila kitu ni kichekesho, mpka sahv hakuna takwimu ya kueleweka ya abiria waliokuwa wamepanda ndege..

Ndege kuvutwa na wavuvi Tena kwa kamba, 🤣🤣🤣🤣
.
Kuna wengine wawili walidandia njiani
 
Mimi mwenyewe naona tunafail kwenye kujipanga na uokoaji yani tunafanya mambo kama tuko zama za 1920, hata boti zilizokuwa zimeizunguka hiyo ndege ni za wavuvi.

Ndege haikuanguka mbali sana na ufukweni kama kungekuwa na uokoaji wa maana basi hasara ya kwa uhai wa binadamu ingekuwa low.

Aisee sisi bado tunaishi zama zetu hili tukio limenishangaza nikawaza kama hapo karibu hali ni hii, ingekuwa katikati si ndio basi tena.
Mv nyerere ilipozama, mkuu wa mkoa akasema waokoaji wamechoka waende kupumzika kesho warudi. As if walikuwa wamewawekea viota manusura waliosalia majini. Matokeo yake, watu wakafa zaidi.

Kipaumbele cha ccm ni kuhakikisha wanashinda uchaguzi na sio maendeleo
 
Ulipoanza kuongelea parachute kwenye precision nikaacha kusoma hapo hapo...sio kila kitu cha kujifanya mjuaji mkuu..tusubir mamlaka husika ziseme neno, kuongea ongea kama unaangalia muvi ni kujitia aibu
Mamlaka hizihizi za kisiasa ndo tuzisubiri.
Bota hata tusahihishane humuhumu ndgu yangu.

Wakiona makosa yatailemea serikali basi utaambiwa rubani alisinzia, akishapost milard ayo hiyo habari ndo basi tena Tz nzima watamlaani rubani na wengine watamroga kabisa.
 
Mamlaka hizihizi za kisiasa ndo tuzisubiri.
Bota hata tusahihishane humuhumu ndgu yangu.

Wakiona makosa yatailemea serikali basi utaambiwa rubani alisinzia, akishapost milard ayo hiyo habari ndo basi tena Tz nzima watamlaani rubani na wengine watamroga kabisa.
Rubani kafanya sehem yake, msaada ndo umekosekana kutokana na poor rescue team
 
Ndege ni chombo cha usafiri kinachoongoza kwa usalama kuliko vyombo vingine!

Ukubwa wa ajali ya ndege hutegemea na uzembe wa mamlaka zingine saidizi!

Ndege ina injini zaidi moja, mfano zilizopo Tanzania nyingi zina injini tatu!
Injini moja ikifeli haizuii ndege kutua kwa kutumia injini nyingine kwa dharula!

Ajali ya precision air huko Bukoba, Rubani kafanya kazi yake kwa usahihi kabisa!

Ndege inapoaanza safari huhifadhi oksjeni ya kutosha kulingana na ukubwa wa ndege!
Hewa hiyo ndiyo hutumika na abiria wawapo angani hadi wafikapo safari!

Ndege inapowashwa ndipo mitambo ya hali ya hewa kwenye ndege nayo hufanya kazi!
Ndege ikizimwa hata hewa hukosekana inakuwa sawa na chupa iliyofungwa!

Hivyo kama ndege hutegemea Hali ya hewa kupaa na kutua maana yake kazi ya rubani ni kuhakikisha anaipaisha au kuitua kulingana na Hali!
Tukio la precision linampa pongezi kubwa rubani kwamba baada ya hali kuwa mbaya!

Jambo la kwanza ilikuwa kuangalia yuko umbali gani kutoka ardhini! Karibu au mbali

Kama angekuwa juu sana na hali ikawa mbaya kutokana na hitilafu za chombo kuna namna nyingine ya kuokoa abiria

Lakini kama yuko mbali na chombo ni kizima lakini shida ni mawasiliano Basi hupaswa kutua uwanja uliyokaribu au kurudi!

Shida ni hapo akiwa karibu na ardhini halafu hali ya hewa iwe mbaya ambayo kuendelea na safari angani haiwezekani na mawasiliano ni mabovu!

Njia pekee ya rubani katika hali hiyo ni kupunguza risk! Yaani kuhakikisha anaitua ndege porini, jangwani au ziwani/baharini!

Rubani wa precision alifanikiwa sana kutua ndege salama! Shida yoyote ambayo huhatarisha uhai katika mazingira hayo ni ukosefu wa huduma saidizi! (Poor rescue team with modern technology)

Kama nilivyosema hapo awali ndege hutegemea hewa iliyotoka nayo ili watu wapumue!
Sasa ikitua baharini kama hakujapasuliwa kioo hewa haipiti watu ni rahisi kuzimia (faint)

Pia wanaowahi kuja kuokoa wakizibua vibaya maji huingia na watu hukanyagana kutokana na kutaka kuokolewa haraka!

Tukio la precision rubani kafanya kazi yake. Vyema! Mengine ni uzembe wa rescue team!

Wavuvi wamefanya wanachoweza kujitolea! Uzembe ni kwa mamlaka za uokoaji!

Kwa ajali za kuruka na parachute bado abiria wanaweza toka wote kwenye Ndege angani! Lakini huku duniani wakaenda kutua juu ya mbuga ya wanyama kama hakuna msaada watakufa hata juu ya mchongoma!

Usafiri wa ndege ni salama angani! Kuna rubani namba moja, rubani namba mbili, Technician Fundi rubani namba tatu usalama ni mkubwa kwa waongozaji hata mmoja akilala.

Matatizo yapo huku chini duniani namna ya uokoaji!

Na baada ya kugundua hili ni tatizo maboresho ya kizazi cha ndege kuelea kinafanyiwa kazi, ili hata ndege ikifa angani yenyewe nzima nzima iwe na parachute la kuelea taratibu, na ikitua baharini iweze pia kuelea kama meli!!

Lakini kwa sasa tatizo kubwa ni uokoaji kwa wakati! Vifo vingi ni uzembe kwa waokoaji!
Umenikumbusha MV Bk ilizama taratiiibu mpaka simu za kuagana zilipigwa. Ni miaka mingapi imepita, hatujajifunza tu. Au maybe TZ hatuna Rescue teams
 
Ulipoanza kuongelea parachute kwenye precision nikaacha kusoma hapo hapo...sio kila kitu cha kujifanya mjuaji mkuu..tusubir mamlaka husika ziseme neno, kuongea ongea kama unaangalia muvi ni kujitia aibu
Hao kwenye parachute amezinda kwakwel
 
Taarifa kamili zitawekwa bayana, na uzuri ni kwamba rubani yungali hai...

Huenda ni hitilafu ya ndege yenyewe, huenda ni hali ya mbaya ya hewa, huenda rubani mkuu alipata tatizo la kiafya dakika chache kabla ya touch down n.k n.k

'Usafiri' wa ndege bado utabaki kuwa salama...
Rubani yupi bado ni salama? Mbona taarifa zinasema wamekufa wote wawili?
 
Mbona watu mnang'ang'ania parachute wakati kuna mambo ya maana kayaandika?

Kwa ujumla mleta Uzi amezungumzia zoezi la uokoaji yaani usalama kwa abiria. Hata kama sehemu nyengine ameteleza ila kiitifaki inabidi wachangiaji wajikite kwenye zoezi la uokoaji hususani kwa hili tukio la leo. Lakini watu wanajifanya ujuaji mwingi na kuacha kujadili hoja ya msingi.
Ndege Haina palachuti
 
Wakati naandika hiyo comment, RC wa Kagera alisema wamewasiliana na rubani aliye ndani ya ndege...

Sasa sijui RC alidanganya au rubani alikuwa hai kwa muda fulani...
RC aliwasiliana pia na magufuli wakati taifa linaomboleza
 
Nimezungumza general, ulitaka nichambue mpaka aina ya ndege mkuu
Context yaako ilikuwa ni ndege ya abiria yaani pore ision air..na umeongelea option alizokuwa nazo hao rubani
 
Ndege ni chombo cha usafiri kinachoongoza kwa usalama kuliko vyombo vingine!

Ukubwa wa ajali ya ndege hutegemea na uzembe wa mamlaka zingine saidizi!

Ndege ina injini zaidi moja, mfano zilizopo Tanzania nyingi zina injini tatu!
Injini moja ikifeli haizuii ndege kutua kwa kutumia injini nyingine kwa dharula!

Ajali ya precision air huko Bukoba, Rubani kafanya kazi yake kwa usahihi kabisa!

Ndege inapoaanza safari huhifadhi oksjeni ya kutosha kulingana na ukubwa wa ndege!
Hewa hiyo ndiyo hutumika na abiria wawapo angani hadi wafikapo safari!

Ndege inapowashwa ndipo mitambo ya hali ya hewa kwenye ndege nayo hufanya kazi!
Ndege ikizimwa hata hewa hukosekana inakuwa sawa na chupa iliyofungwa!

Hivyo kama ndege hutegemea Hali ya hewa kupaa na kutua maana yake kazi ya rubani ni kuhakikisha anaipaisha au kuitua kulingana na Hali!
Tukio la precision linampa pongezi kubwa rubani kwamba baada ya hali kuwa mbaya!

Jambo la kwanza ilikuwa kuangalia yuko umbali gani kutoka ardhini! Karibu au mbali

Kama angekuwa juu sana na hali ikawa mbaya kutokana na hitilafu za chombo kuna namna nyingine ya kuokoa abiria

Lakini kama yuko mbali na chombo ni kizima lakini shida ni mawasiliano Basi hupaswa kutua uwanja uliyokaribu au kurudi!

Shida ni hapo akiwa karibu na ardhini halafu hali ya hewa iwe mbaya ambayo kuendelea na safari angani haiwezekani na mawasiliano ni mabovu!

Njia pekee ya rubani katika hali hiyo ni kupunguza risk! Yaani kuhakikisha anaitua ndege porini, jangwani au ziwani/baharini!

Rubani wa precision alifanikiwa sana kutua ndege salama! Shida yoyote ambayo huhatarisha uhai katika mazingira hayo ni ukosefu wa huduma saidizi! (Poor rescue team with modern technology)

Kama nilivyosema hapo awali ndege hutegemea hewa iliyotoka nayo ili watu wapumue!
Sasa ikitua baharini kama hakujapasuliwa kioo hewa haipiti watu ni rahisi kuzimia (faint)

Pia wanaowahi kuja kuokoa wakizibua vibaya maji huingia na watu hukanyagana kutokana na kutaka kuokolewa haraka!

Tukio la precision rubani kafanya kazi yake. Vyema! Mengine ni uzembe wa rescue team!

Wavuvi wamefanya wanachoweza kujitolea! Uzembe ni kwa mamlaka za uokoaji!

Kwa ajali za kuruka na parachute bado abiria wanaweza toka wote kwenye Ndege angani! Lakini huku duniani wakaenda kutua juu ya mbuga ya wanyama kama hakuna msaada watakufa hata juu ya mchongoma!

Usafiri wa ndege ni salama angani! Kuna rubani namba moja, rubani namba mbili, Technician Fundi rubani namba tatu usalama ni mkubwa kwa waongozaji hata mmoja akilala.

Matatizo yapo huku chini duniani namna ya uokoaji!

Na baada ya kugundua hili ni tatizo maboresho ya kizazi cha ndege kuelea kinafanyiwa kazi, ili hata ndege ikifa angani yenyewe nzima nzima iwe na parachute la kuelea taratibu, na ikitua baharini iweze pia kuelea kama meli!!

Lakini kwa sasa tatizo kubwa ni uokoaji kwa wakati! Vifo vingi ni uzembe kwa waokoaji!
Nakubaliana na wee kabisaaa
 
Back
Top Bottom