Elections 2015 Uchambuzi wa ahadi za mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John Pombe Magufuli

Elections 2015 Uchambuzi wa ahadi za mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John Pombe Magufuli

magufuli ni Rais ila kwenye kuunda baraza ngoja nijipe mda kidogo ila najua muhongo,deo,kigwangala,mwigulu,gama nk
 
Mchapa kazi hapo ni mmoja tu,Kagasheki!!

Makamba mchapa kazi wa wapi??!!

Hussein Mwinyi yupo almost 20 years na Uwaziri,anafanya nini??!!

Tibaijuka??!! Magufuli hana jipya zaidi ya uhodari wa UKASUKU!!!
 
Hata uchaguzi hujashinda anafikiria baraza la mawaziri, anaumwa huyu Magufuli
 
Amesikika Kwa Kusistiza Kuwa Ataunda Baraza Dogo La Mawaziri Lakin Hao Mawaziri Hatawafumbia Macho Eti Anayesema Mambo Yako Kwenye Mchakato Atfte Pa Kuchakatia, Nadhan Baraza Lake La Mawazir Kwa Mawazo Yangu
1. Waziri Mkuu, William Lukuvi
2. Ujenz Na Uchukuz Mwakyembe
3.Fedha , Mwigulu Nchemba
4. Utalii, Khamis Kagashek
5. Elimu Michezo Na Sanaa, Nchimbi Kwa Kuteuliwa
6. Mambo Ya Nje, Diodorus Kamala
7. Mambo Ya Ndan, Deo Kunjombe
8, Sheria Na Katiba, Migiro Kuteuliwa
9. Nishat Na Madin, Sospeter Mhuongo
10. Sayansi Mawasiliano Na Techn, Yusuph Makamba
11. Jinsia Na Watoto, Atateuliwa
12. Viwanda Kilimo Na Biashara, Atateuliwa Aliye Makin
13, Afya, Husein Mwinyi
14. Elimu Ya Juu Na Ajira, Anna Tibaijuka, Au Kigwangalla,
15.Wizara Ya Maadili Na Kushughulikia Rushwa, Makongoro Nyerere,

Spika Wa Bunge Mussa Zungu Wa Ilala, Uo Ni Mtazamo Juu Ya Baraza Dogo La Mawaziri Kumi Na Watano Tu, Na Wawajibikaji, NAWE TOA MAONI YAKO

labda serikali ya jehanamu ila sio ya JMT KWANI RAIS NI LOWASSA
 
mtazamo mbovu kuliko mitazamo yote ndugu mtoa mada
 
Amesikika Kwa Kusistiza Kuwa Ataunda Baraza Dogo La Mawaziri Lakin Hao Mawaziri Hatawafumbia Macho Eti Anayesema Mambo Yako Kwenye Mchakato Atfte Pa Kuchakatia, Nadhan Baraza Lake La Mawazir Kwa Mawazo Yangu
1. Waziri Mkuu, William Lukuvi
2. Ujenz Na Uchukuz Mwakyembe
3.Fedha , Mwigulu Nchemba
4. Utalii, Khamis Kagashek
5. Elimu Michezo Na Sanaa, Nchimbi Kwa Kuteuliwa
6. Mambo Ya Nje, Diodorus Kamala
7. Mambo Ya Ndan, Deo Kunjombe
8, Sheria Na Katiba, Migiro Kuteuliwa
9. Nishat Na Madin, Sospeter Mhuongo
10. Sayansi Mawasiliano Na Techn, Yusuph Makamba
11. Jinsia Na Watoto, Atateuliwa
12. Viwanda Kilimo Na Biashara, Atateuliwa Aliye Makin
13, Afya, Husein Mwinyi
14. Elimu Ya Juu Na Ajira, Anna Tibaijuka, Au Kigwangalla,
15.Wizara Ya Maadili Na Kushughulikia Rushwa, Makongoro Nyerere,

Spika Wa Bunge Mussa Zungu Wa Ilala, Uo Ni Mtazamo Juu Ya Baraza Dogo La Mawaziri Kumi Na Watano Tu, Na Wawajibikaji, NAWE TOA MAONI YAKO


Seems MTAZAMO wako hauvuki bahari.
 
Mchapa kazi hapo ni mmoja tu,Kagasheki!!

Makamba mchapa kazi wa wapi??!!

Hussein Mwinyi yupo almost 20 years na Uwaziri,anafanya nini??!!

Tibaijuka??!! Magufuli hana jipya zaidi ya uhodari wa UKASUKU!!!

Mwakyembe Vp
 
Mtazamo Wako Unasaidia Kuwajua Wachapakaz Hvo Vema Kuwaweka Unaoona Wanafaa
 
Ikiwa CCM watqshinda uchaguzi huu basi iwe iwavyo spika wa bunge ni lazima atatoka upinzani na CCM wataunda kambi rasmi ya upinzani bungeni!
 
Amesikika Kwa Kusistiza Kuwa Ataunda Baraza Dogo La Mawaziri Lakin Hao Mawaziri Hatawafumbia Macho Eti Anayesema Mambo Yako Kwenye Mchakato Atfte Pa Kuchakatia, Nadhan Baraza Lake La Mawazir Kwa Mawazo Yangu
1. Waziri Mkuu, William Lukuvi
2. Ujenz Na Uchukuz Mwakyembe
3.Fedha , Mwigulu Nchemba
4. Utalii, Khamis Kagashek
5. Elimu Michezo Na Sanaa, Nchimbi Kwa Kuteuliwa
6. Mambo Ya Nje, Diodorus Kamala
7. Mambo Ya Ndan, Deo Kunjombe
8, Sheria Na Katiba, Migiro Kuteuliwa
9. Nishat Na Madin, Sospeter Mhuongo
10. Sayansi Mawasiliano Na Techn, Yusuph Makamba
11. Jinsia Na Watoto, Atateuliwa
12. Viwanda Kilimo Na Biashara, Atateuliwa Aliye Makin
13, Afya, Husein Mwinyi
14. Elimu Ya Juu Na Ajira, Anna Tibaijuka, Au Kigwangalla,
15.Wizara Ya Maadili Na Kushughulikia Rushwa, Makongoro Nyerere,

Spika Wa Bunge Mussa Zungu Wa Ilala, Uo Ni Mtazamo Juu Ya Baraza Dogo La Mawaziri Kumi Na Watano Tu, Na Wawajibikaji, NAWE TOA MAONI YAKO

Hapo kagasheki na Deo ni penyewe.
 
Aunde baraza ambalo halitawapiga wananchi kwa kutumia police
 
Nami naruhusiwa tabiria baba zangu wadogo , sio"!?
 
Amesikika Kwa Kusistiza Kuwa Ataunda Baraza Dogo La Mawaziri Lakin Hao Mawaziri Hatawafumbia Macho Eti Anayesema Mambo Yako Kwenye Mchakato Atfte Pa Kuchakatia, Nadhan Baraza Lake La Mawazir Kwa Mawazo Yangu
1. Waziri Mkuu, William Lukuvi
2. Ujenz Na Uchukuz Mwakyembe
3.Fedha , Mwigulu Nchemba
4. Utalii, Khamis Kagashek
5. Elimu Michezo Na Sanaa, Nchimbi Kwa Kuteuliwa
6. Mambo Ya Nje, Diodorus Kamala
7. Mambo Ya Ndan, Deo Kunjombe
8, Sheria Na Katiba, Migiro Kuteuliwa
9. Nishat Na Madin, Sospeter Mhuongo
10. Sayansi Mawasiliano Na Techn, Yusuph Makamba
11. Jinsia Na Watoto, Atateuliwa
12. Viwanda Kilimo Na Biashara, Atateuliwa Aliye Makin
13, Afya, Husein Mwinyi
14. Elimu Ya Juu Na Ajira, Anna Tibaijuka, Au Kigwangalla,
15.Wizara Ya Maadili Na Kushughulikia Rushwa, Makongoro Nyerere,

Spika Wa Bunge Mussa Zungu Wa Ilala, Uo Ni Mtazamo Juu Ya Baraza Dogo La Mawaziri Kumi Na Watano Tu, Na Wawajibikaji, NAWE TOA MAONI YAKO
Sijaona Riz1 usidhani anatoa povu hivi hivi.
 
Duh watu walewale na Ccm ni ile ile..mabadiliko yataishaje
 
HUYU NDIE KIONGOZI BORA Magufuli kupiga ‘stop’ makongamano, semina“haya yanayofanyika sasa ya makongamano na semina ni marufuku katika Serikali itakayoongozwa na Magufuli.“Wananchi hawapati huduma fedha zao zinatumika kwenye shughuli hizi, tunasema tutazifuta. Kuendelea kufanyika mambo haya ni ufujaji wa fedha za umma,” alisema Dk. Magufuli
 
Back
Top Bottom