Uko wapi huo mkataba?Huo mkataba hata mie kwa akili zangu ndogo na sijui sheria, ila baada ya kuusoma tena kifungu kidg hapo hapo niliuona hauna maana, ndo iwe yeye Rais??
Acheni kutetea kila kitu bhana. Khaaaah
Hata wakisimamia Ni faida gani ikiwa hawawezi kumuwajibisha mwekezaji?Watu wamerukia article ya 23 kuhusu termination wakaacha articles za awali kuhusu jinsi miradi iliopo kwenye makubaliano itakavoendeshwa.
Kila mradi utakuwa agreements (Host Government Agreements) zake. Nafasi ya TPA kama muakilishi wa serikali kwa upande wa Tanzania ni kusimamia hizi agreements za kila mradi ziwe ni kwa muda gani.
Kumbe ubaguzi tu unakusunbuwa, wewe kwenu wapi?
"Kule zenji" kama ghuelewi mkataba na Dubai walianza na eyapoti, wa bandari ukafatia.
Mbona ni zamani mpaka imekuwa historia, wewe ulikuwa umelala
Kumbe ubaguzi tu unakusunbuwa, wewe kwenu wapi?
"Kule zenji" kama ghuelewi mkataba na Dubai walianza na eyapoti, wa bandari ukafatia.
Mbona ni zamani mpaka imekuwa historia, wewe ulikuwa umelala?
Ehe ehe tupeni faida mnazopata nyie omba omba wahead! Tuondoleeni biashara ya utumwa hapa!Kumbe ubaguzi tu unakusunbuwa, wewe kwenu wapi?
"Kule zenji" kama ghuelewi mkataba na Dubai walianza na eyapoti, wa bandari ukafatia.
Mbona ni zamani mpaka imekuwa historia, wewe ulikuwa umelala?
Kwani hivyo vifungu vinavyoletwa hapa na tunavijadili n nn?Uko wapi huo mkataba?
Weka mkataba kamili. Kuujadili mkataba kwa vineno vichache vya kuokoteza okoteza kunaitwa kujadili nje ya maudhui "out if context".Kwani hivyo vifungu vinavyoletwa hapa na tunavijadili n nn?
Lazima uteteee si hao wa madina ni wajomba zakoWeka mkataba kamili. Kuujadili mkataba kwa vineno vichache vya kuokoteza okoteza kunaitwa kujadili nje ya maudhui "out if context".
Ni ujinga.
Acha kabisa Kuongea ujinga Nchii inauzwa hii alisema Job..na inatokea kweli.Huu mkataba unaiingiza rasmi Tanzania kwenye biashara za Kimataifa.
Wenye uelewa wa biashara za Kimataifa watalielewa hilo.
Mambumbumbu wa biashara mtabaki bandari imeuzwa, imeuzwa.
Imeuzwa kupelekwa wapi?
Na yeye anaweza kukuwajibisha wapi kama hujafata mkataba?Hata wakisimamia Ni faida gani ikiwa hawawezi kumuwajibisha mwekezaji?
Mimi wangu ujinga, wewe wako ujanja mbadala uko wapi?Acha, Acha..
Acha kabisa Kuongea ujinga Nchii inauzwa hii alisema Job..na inatokea kweli.
Mkataba ni pande mbili. Hakuna mwenye mali ataeingia mkataba na asiye na mali.Kwa akili zangu ndogo ninavyojua mkataba ilibidi aandae mwenye mali
Mkataba kabla haujawekwa kisheria hua kuna mazungumzo, mazungumzo nayo hayakueleweka?Acha mzaha Rais anaweza soma mavifungu yote hayo yenye lugha za kisheria ,hata akisoma ataelewa? Hata wewe hapo kama sio Mwanasheria hakuna unachoelewa,Ndio maana kuna wasaidizi..
Unless useme hivi aliambiwa ukweli na kama alijadiliana na Waarabu wakakubaliana hapo ni sawa..
Kwa sababu kama alidanganywa mda huu angeshakuwa amewaweka korokoloni wahusika ila Kwa kuwa alikuwa ndio maana Yuko kimya..
Kwa staili hii nadhani Kila mtu apiganie maslahi yake ,inakera sana
Hakuna mkataba uliofungwaMkataba kabla haujawekwa kisheria hua kuna mazungumzo, mazungumzo nayo hayakueleweka?
Mwarubaini❎ = mwarobaini ☑️Hilo lisikupe shida, toka mama alipoenda Dubai lilikuwa tayari.
Halihusishi Bandari ya Dar tu. Bandari zote na mifumo yake.
Nyinyi kaeni mnalalamika bandari inapoteza mapato kila kukicha. Mama kapata Mwarubaini wake.
Ndanib ya miezi mitatu toka wakiabidhiwa rasmi tutaona bandari inavyo kuza uchumi wetu.
Acha uongo wewe umedandia waliokudadavuliaHuo mkataba hata mie kwa akili zangu ndogo na sijui sheria, ila baada ya kuusoma tena kifungu kidg hapo hapo niliuona hauna maana, ndo iwe yeye Rais??
Acheni kutetea kila kitu bhana. Khaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nime usoma na ku translate na nimeulewa vyema.Acha uongo wewe umedandia waliokudadavulia