Uchambuzi wa Mkataba wa kuendesha bandari ya Dar es Salaam kati ya Tanzania na Dubai

Uchambuzi wa Mkataba wa kuendesha bandari ya Dar es Salaam kati ya Tanzania na Dubai

Huo mkataba hata mie kwa akili zangu ndogo na sijui sheria, ila baada ya kuusoma tena kifungu kidg hapo hapo niliuona hauna maana, ndo iwe yeye Rais??

Acheni kutetea kila kitu bhana. Khaaaah
Uko wapi huo mkataba?
 
Watu wamerukia article ya 23 kuhusu termination wakaacha articles za awali kuhusu jinsi miradi iliopo kwenye makubaliano itakavoendeshwa.

Kila mradi utakuwa agreements (Host Government Agreements) zake. Nafasi ya TPA kama muakilishi wa serikali kwa upande wa Tanzania ni kusimamia hizi agreements za kila mradi ziwe ni kwa muda gani.
Hata wakisimamia Ni faida gani ikiwa hawawezi kumuwajibisha mwekezaji?
 
Kumbe ubaguzi tu unakusunbuwa, wewe kwenu wapi?

"Kule zenji" kama ghuelewi mkataba na Dubai walianza na eyapoti, wa bandari ukafatia.

Mbona ni zamani mpaka imekuwa historia, wewe ulikuwa umelala

Kumbe ubaguzi tu unakusunbuwa, wewe kwenu wapi?

"Kule zenji" kama ghuelewi mkataba na Dubai walianza na eyapoti, wa bandari ukafatia.

Mbona ni zamani mpaka imekuwa historia, wewe ulikuwa umelala?

Kumbe ubaguzi tu unakusunbuwa, wewe kwenu wapi?

"Kule zenji" kama ghuelewi mkataba na Dubai walianza na eyapoti, wa bandari ukafatia.

Mbona ni zamani mpaka imekuwa historia, wewe ulikuwa umelala?
Ehe ehe tupeni faida mnazopata nyie omba omba wahead! Tuondoleeni biashara ya utumwa hapa!
 
Acha, Acha..
Huu mkataba unaiingiza rasmi Tanzania kwenye biashara za Kimataifa.

Wenye uelewa wa biashara za Kimataifa watalielewa hilo.

Mambumbumbu wa biashara mtabaki bandari imeuzwa, imeuzwa.

Imeuzwa kupelekwa wapi?
Acha kabisa Kuongea ujinga Nchii inauzwa hii alisema Job..na inatokea kweli.
 
Hata wakisimamia Ni faida gani ikiwa hawawezi kumuwajibisha mwekezaji?
Na yeye anaweza kukuwajibisha wapi kama hujafata mkataba?

Jibu lako na langu kasome article 20 ya mkataba.
 
Kwa akili zangu ndogo ninavyojua mkataba ilibidi aandae mwenye mali
 
Acha mzaha Rais anaweza soma mavifungu yote hayo yenye lugha za kisheria ,hata akisoma ataelewa? Hata wewe hapo kama sio Mwanasheria hakuna unachoelewa,Ndio maana kuna wasaidizi..

Unless useme hivi aliambiwa ukweli na kama alijadiliana na Waarabu wakakubaliana hapo ni sawa..

Kwa sababu kama alidanganywa mda huu angeshakuwa amewaweka korokoloni wahusika ila Kwa kuwa alikuwa ndio maana Yuko kimya..

Kwa staili hii nadhani Kila mtu apiganie maslahi yake ,inakera sana
Mkataba kabla haujawekwa kisheria hua kuna mazungumzo, mazungumzo nayo hayakueleweka?
 
mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu za zanzibar hazihusiki

ila kuna sauti ya ndani kabisa inaniambia tufungue macho hawa wazanzibar wataturudisha myuma na pabaya na udini ukiwemo
 
Hilo lisikupe shida, toka mama alipoenda Dubai lilikuwa tayari.


Halihusishi Bandari ya Dar tu. Bandari zote na mifumo yake.


Nyinyi kaeni mnalalamika bandari inapoteza mapato kila kukicha. Mama kapata Mwarubaini wake.

Ndanib ya miezi mitatu toka wakiabidhiwa rasmi tutaona bandari inavyo kuza uchumi wetu.
Mwarubaini❎ = mwarobaini ☑️
 
Huo mkataba hata mie kwa akili zangu ndogo na sijui sheria, ila baada ya kuusoma tena kifungu kidg hapo hapo niliuona hauna maana, ndo iwe yeye Rais??

Acheni kutetea kila kitu bhana. Khaaaah
Acha uongo wewe umedandia waliokudadavulia
 
Back
Top Bottom