Uchambuzi wa Osman Kazi kwenye Kilenga cha Mwisho unapotosha ukweli

Uchambuzi wa Osman Kazi kwenye Kilenga cha Mwisho unapotosha ukweli

Ahmad Abdurahman

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2016
Posts
3,251
Reaction score
6,299
Nimemsikia huyu mwamuzi mstaafu kichambua matukio ya michezo ya NBC premear League.

Moja ya matukio aliochambua ni "advantage play" alionyimwa Mayele. Osman kaze anatuambia kua kwenye sheria 17 za soka hakuna mahala popote "advantage play" imeandikwa.

Swali kwako Osman, ni kweli huijui Law 5 - The Referee ~advantage rule?
Screenshot_20220213-202857.png

Au ndo tuseme wa mchongo?

Tukio jingine ni penalty dhidi ya Prisons. Uliposema kua refa anaweza kuhukumu kwa kuzingatia reaction za wachezaji kama hajaona tukio vzr. Yaani refa yuko sahihi kuhukumu penati kwa kumsikiliza Bocco ame react na kusema nini juu ya mchezaji wa Prisons kushika mpira 😁. Nashkuru yule mtangazaji mwenzako aliweza kukubana mbavu hukuweza kuchomoka.

Kwamba refa aliekua nyuma alikua kwenye angle nzuri ya kuona. Yaan leo ndo nimeweka tick ✅ kua ww ni wa mchongo.

Ndugu wadau wa michezo; wa michongo hawajaanza leo.

Ushauri kwa Azam media. Kaze ni wa michongo, tafuteni mchambuzi mwingine mwenye uwaafadhali.
Screenshot_20220213-214503.png
 
Nimemsikia huyu mwamuzi mstaafu kichambua matukio ya michezo ya NBC premear League.

Moja ya matukio aliochambua ni "advantage play" alionyimwa Mayele. Osman kaze anatuambia kua kwenye sheria 17 za soka hakuna mahala popote "advantage play" imeandikw...
Nikushukuru Kwa maoni mazuri, Ila niongeze kwamba Othman Kazi ni Mchambuzi aliyekuwa Mwamuzi awali. Hivyo baadhi ya uchambuzi wake huwa anaegemea Sana kuwatetea wanataaluma wenzie. Ukimsikiliza anapomsifu mwamuzi aliyefanya vizuri ni tofauti Sana na pale anapomkosoa mwamuzi aliyekosea.
 
Kazi ni mwamuzi mstaafu wa FIFA keshawahi kuchezesha mechi ya Simba na Yanga.Inawezekana Kuna maeneo anaweza kukosea lakini anajua sana sheria za soka.

Kupitia tv na uchambuzi wake kwenye tv mimi nimejua vizuri Sheria ya offside iliyokua inanisumbua.
 
Nikushukuru Kwa maoni mazuri, Ila niongeze kwamba Othman Kazi ni Mchambuzi aliyekuwa Mwamuzi awali. Hivyo baadhi ya uchambuzi wake huwa anaegemea Sana kuwatetea wanataaluma wenzie. Ukimsikiliza anapomsifu mwamuzi aliyefanya vizuri ni tofauti Sana na pale anapomkosoa mwamuzi aliyekosea.
Yaan uchambuzi wake pale Azam ni kutetea waamuzi wabovu wanaoshindwa kutafsiri sheria?

Jamaa kama unamsikiliza, kuna mechi/matukio anahukumu kwa kusema wazi kua refa kapotoka. Mfanao penati ya yanga dhidi ya namungo. Lkn hili la simba na prisons utashangaa.
 
Naye huyo ni wakumsikiliza mbona mnajipotezea muda wenu muda wa kumtazama Kazi ni Bora utazame TBC unaweza pata hata mbinu za kilimo Bora Cha parachichi ukajiongezea kipato kidogo
 
Lunyasi mbele kwa mbele
Hongereni kwa ushindi. Ila tabia mliyoianzisha ya kupiga mashabiki wasio wenu ni tabia hatarishi. Kumbukeni kwenye vita hakunaga mshindi wa kudumu. Mtakuja kufanyiwa ambushi msioitarajia mkiendekeza tabia zenu za kihayawani.
 
Naye huyo ni wakumsikiliza mbona mnajipotezea muda wenu muda wa kumtazama Kazi ni Bora utazame TBC unaweza pata hata mbinu za kilimo Bora Cha parachichi ukajiongezea kipato kidogo
Simsikikizi tena huyu mtu. Leo nimeweka tick kua ni wa mchongo.
 
Wanayanga wanahaha sana kutafuta pa kutokea. Hakuna sheria ya Advantage mzee. Advantage ni maamuzi ya referee. Hicho ulichokiweka hapa ni explanations za kuhusu advantage na haimlazimishi referee kufanya hivyo.
 
Msitutoe mchezoni. Tujadili kwanza goli la Pape Osman Sakho na jinsi ya kulitumia goli hilo kuombea mkopo benki ya Dunia.
Hongereni kwa ushindi. Vipi tabia ya kuwapiga wapinzani wenu wasiowashangilia, iendelee tuwe tuna record marks tuone nani atapata marks nyingi?
 
Hongereni kwa ushindi. Ila tabia mliyoianzisha ya kupiga mashabiki wasio wenu ni tabia hatarishi. Kumbukeni kwenye vita hakunaga mshindi wa kudumu. Mtakuja kufanyiwa ambushi msioitarajia mkiendekeza tabia zenu za kihayawani.
Unapiga domo sana. Hujui chochote mzee. Hakuna sheria inayomlazimisha referee kwenye advantage, mwanangu.
 
Wanayanga wanahaha sana kutafuta pa kutokea. Hakuna sheria ya Advantage mzee. Advantage ni maamuzi ya referee. Hicho ulichokiweka hapa ni explanations za kuhusu advantage na haimlazimishi referee kufanya hivyo.
Kama hakuna sheria hiyo, hiyo explanations inaeleza kitu gani na hakipo?
 
Hongereni kwa ushindi. Ila tabia mliyoianzisha ya kupiga mashabiki wasio wenu ni tabia hatarishi. Kumbukeni kwenye vita hakunaga mshindi wa kudumu. Mtakuja kufanyiwa ambushi msioitarajia mkiendekeza tabia zenu za kihayawani.

Hongereni kwa ushindi. Ila tabia mliyoianzisha ya kupiga mashabiki wasio wenu ni tabia hatarishi. Kumbukeni kwenye vita hakunaga mshindi wa kudumu. Mtakuja kufanyiwa ambushi msioitarajia mkiendekeza tabia zenu za kihayawani.

Hongereni kwa ushindi. Ila tabia mliyoianzisha ya kupiga mashabiki wasio wenu ni tabia hatarishi. Kumbukeni kwenye vita hakunaga mshindi wa kudumu. Mtakuja kufanyiwa ambushi msioitarajia mkiendekeza tabia zenu za kihayawani.
Hauwezi kwenda ivory coast ukawakuta shabiki wa Simba labda waswahili wanao ishi huko

Utopolo punguzeni ulimbukeni
Hongereni kwa ushindi. Ila tabia mliyoianzisha ya kupiga mashabiki wasio wenu ni tabia hatarishi. Kumbukeni kwenye vita hakunaga mshindi wa kudumu. Mtakuja kufanyiwa ambushi msioitarajia mkiendekeza tabia zenu za kihayawani.
Hii ndio tofauti kati yetu na nyie

Tafuteni pa kuanzia kesho
 
unalia lia kisa mnyama kamtafuna mimosas na jezi yake ya kiuto uto
 
Back
Top Bottom