Uchambuzi wa Osman Kazi kwenye Kilenga cha Mwisho unapotosha ukweli

Uchambuzi wa Osman Kazi kwenye Kilenga cha Mwisho unapotosha ukweli

Unapiga domo sana. Hujui chochote mzee. Hakuna sheria inayomlazimisha referee kwenye advantage, mwanangu.
Hii hapa, soma tena.

allows play to continue when the team against which an offence has been
committed will benefit from such an advantage and penalises the original
offence if the anticipated advantage does not ensue at that time

Screenshot_20220213-214503.png
 
Hauwezi kwenda ivory coast ukawakuta shabiki wa Simba labda waswahili wanao ishi huko

Utopolo punguzeni ulimbukeni

Hii ndio tofauti kati yetu na nyie

Tafuteni pa kuanzia kesho
Tar 15 si mbali, mtajitokeza tu. Na manungu mtakuwepo pia.
 
Hii hapa, soma tena.

allows play to continue when the team against which an offence has been
committed will benefit from such an advantage and penalises the original
offence if the anticipated advantage does not ensue at that time

View attachment 2118737
Unapiga domo sana. Hujui chochote mzee. Hakuna sheria inayomlazimisha referee kwenye advantage, mwanangu.
Wapi referee kalazimishwa kutoa advantage!?
 
Hongereni kwa ushindi. Vipi tabia ya kuwapiga wapinzani wenu wasiowashangilia, iendelee tuwe tuna record marks tuone nani atapata marks nyingi?
Msimu uliopita mlipokuwa mnashambulia mashabiki wa simba mliona ni sawa.Mechi haiwahusu mnakuwa na kiherehere
 
Nimemsikia huyu mwamuzi mstaafu kichambua matukio ya michezo ya NBC premear League.

Moja ya matukio aliochambua ni "advantage play" alionyimwa Mayele. Osman kaze anatuambia kua kwenye sheria 17 za soka hakuna mahala popote "advantage play" imeandikwa.

Swali kwako Osman, ni kweli huijui Law 5 - advantage rule?
View attachment 2118694
Au ndo tuseme wa mchongo?

Tukio jingine ni penalty dhidi ya Prisons. Uliposema kua refa anaweza kuhukumu kwa kuzingatia reaction za wachezaji kama hajaona tukio vzr. Yaani refa yuko sahihi kuhukumu penati kwa kumsikiliza Bocco ame react na kusema nini juu ya mchezaji wa Prisons kushika mpira 😁. Nashkuru yule mtangazaji mwenzako aliweza kukubana mbavu hukuweza kuchomoka.

Kwamba refa aliekua nyuma alikua kwenye angle nzuri ya kuona. Yaan leo ndo nimeweka tick ✅ kua ww ni wa mchongo.


Ndugu wadau wa michezo; wa michongo hawajaanza leo.

Ushauri kwa Azam media. Kaze ni wa michongo, tafuteni mchambuzi mwingine mwenye uwaafadhali.

Kwahiyo Manara ndivo alivyokwambia kuwa LAW YA 5 NI ADVANTAGE RULE sio?
Sasa THE REFEREES itakuwa LAW NAMBA NGAPI?
Hiyo Sheria ya 'Advantage Rule' itakuwa inapatikana huko Madimbwi ya Utopoloni labda.
Screenshot_20220213-225932.png

Katika hizo 👆 Sheria 17 hapo juu hebu nioneshe Sheria ya 'Advantage Rule' ni yangapi ili tuweze kuitumia.
 
Kwahiyo Manara ndivo alivyokwambia kuwa LAW YA 5 NI ADVANTAGE RULE sio?
Sasa THE REFEREES itakuwa LAW NAMBA NGAPI?
Hiyo Sheria ya 'Advantage Rule' itakuwa inapatikana huko Madimbwi ya Utopoloni labda.
View attachment 2118785
Katika hizo 👆 Sheria 17 hapo juu hebu nioneshe Sheria ya 'Advantage Rule' ni yangapi ili tuweze kuitumia.
Ndiyo, sheria ya 5 ni "The Referee" na na ndani yake ndo kuna "Advantage Rule" ndo maana niliambatanisha chini.
Screenshot_20220213-214503.png
 
Huyu mzee ni choko nilishaacha kumtazama kitambo
 
Hongereni kwa ushindi. Ila tabia mliyoianzisha ya kupiga mashabiki wasio wenu ni tabia hatarishi. Kumbukeni kwenye vita hakunaga mshindi wa kudumu. Mtakuja kufanyiwa ambushi msioitarajia mkiendekeza tabia zenu za kihayawani.
Kwani Asec walikuja na masjabiki pale kwa Mkapa?
 
Nilifikiri ni Mimi pekeyangu ambaye nilishakua na wasiwasi juu ya uchambuzi wake wa Sheria za soka, nadhani anafikra kuwa yeye anajua kutafsiri Sheria kuliko wengine wanao fatilia kipindi chake kumbe anajishushia heshima kwa michongo yake.
 
Ndiyo, sheria ya 5 ni "The Referee" na na ndani yake ndo kuna "Advantage Rule" ndo maana niliambatanisha chini. View attachment 2118964

Kosa limeanza hapo kwenye "Advantage Rule" ndiyo ulipokosea Ndugu, hiyo siyo "Rule" bali ni "Option".
Namaanisha Advantage sio sheria bali ni hiari tu ya Refa akiamua anatoa na asipoamua hatoi na Wala hakuna kumhoji Refaree kuhusu Advantage.
 
Kosa limeanza hapo kwenye "Advantage Rule" ndiyo ulipokosea Ndugu, hiyo siyo "Rule" bali ni "Option".
Namaanisha Advantage sio sheria bali ni hiari tu ya Refa akiamua anatoa na asipoamua hatoi na Wala hakuna kumhoji Refaree kuhusu Advantage.
Hawa wenzetu ni wapumbavu kuzidi. Wanalazimisha nyeusi kuwa nyeupe.
 
Simba SC vs Yanga, kapombe alikuwa anaenda kufunga filimbi ikapigwa eti Kuna mchezaji kaanguka.

Hii mbona hamuisemi????

Yanga wote majuha
 
Sheria hiyo inampa uhalali wa kufanya advantage referee asipofanya hivyo kipi kinatokea!?
Unakuwa mbishi kwa kitu ambacho hukijui na Ni bora ungekubali kueleimishwa kuliko kuwa mbishi. Kanuni hii ni kama ile ya Fair play pale mchezaji anapoumia mchezaji wa timu pinzani akiwa na mpira akautoa nje. Wakati wa kurusha mchezaji anayerusha anatakiwa kuwarushia timu pinzani au kumpa mwenzake ambaye atatakiwa kuipa faida ya umiliki timu pinzani. Lakini asipofanya hivyo hahukumiwi Bali ataonekana hana ustaarabu wa kimichezo.
 
Back
Top Bottom