Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,251
- 6,299
- Thread starter
-
- #21
Hii hapa, soma tena.Unapiga domo sana. Hujui chochote mzee. Hakuna sheria inayomlazimisha referee kwenye advantage, mwanangu.
Tar 15 si mbali, mtajitokeza tu. Na manungu mtakuwepo pia.Hauwezi kwenda ivory coast ukawakuta shabiki wa Simba labda waswahili wanao ishi huko
Utopolo punguzeni ulimbukeni
Hii ndio tofauti kati yetu na nyie
Tafuteni pa kuanzia kesho
Ameshasema haipo, atakuja na hoja nyingine au atakaa kimya.....Hii hapa, soma tena.
allows play to continue when the team against which an offence has been
committed will benefit from such an advantage and penalises the original
offence if the anticipated advantage does not ensue at that time
View attachment 2118737
Inasikitisha sana kuukataa ukweli.Ameshasema haipo, atakuja na hoja nyingine au atakaa kimya.....
Hii hapa, soma tena.
allows play to continue when the team against which an offence has been
committed will benefit from such an advantage and penalises the original
offence if the anticipated advantage does not ensue at that time
View attachment 2118737
Wapi referee kalazimishwa kutoa advantage!?Unapiga domo sana. Hujui chochote mzee. Hakuna sheria inayomlazimisha referee kwenye advantage, mwanangu.
Msimu uliopita mlipokuwa mnashambulia mashabiki wa simba mliona ni sawa.Mechi haiwahusu mnakuwa na kiherehereHongereni kwa ushindi. Vipi tabia ya kuwapiga wapinzani wenu wasiowashangilia, iendelee tuwe tuna record marks tuone nani atapata marks nyingi?
Kunyasi....Lunyasi mbele kwa mbele
Nimemsikia huyu mwamuzi mstaafu kichambua matukio ya michezo ya NBC premear League.
Moja ya matukio aliochambua ni "advantage play" alionyimwa Mayele. Osman kaze anatuambia kua kwenye sheria 17 za soka hakuna mahala popote "advantage play" imeandikwa.
Swali kwako Osman, ni kweli huijui Law 5 - advantage rule?
View attachment 2118694
Au ndo tuseme wa mchongo?
Tukio jingine ni penalty dhidi ya Prisons. Uliposema kua refa anaweza kuhukumu kwa kuzingatia reaction za wachezaji kama hajaona tukio vzr. Yaani refa yuko sahihi kuhukumu penati kwa kumsikiliza Bocco ame react na kusema nini juu ya mchezaji wa Prisons kushika mpira 😁. Nashkuru yule mtangazaji mwenzako aliweza kukubana mbavu hukuweza kuchomoka.
Kwamba refa aliekua nyuma alikua kwenye angle nzuri ya kuona. Yaan leo ndo nimeweka tick ✅ kua ww ni wa mchongo.
Ndugu wadau wa michezo; wa michongo hawajaanza leo.
Ushauri kwa Azam media. Kaze ni wa michongo, tafuteni mchambuzi mwingine mwenye uwaafadhali.
Ndiyo, sheria ya 5 ni "The Referee" na na ndani yake ndo kuna "Advantage Rule" ndo maana niliambatanisha chini.Kwahiyo Manara ndivo alivyokwambia kuwa LAW YA 5 NI ADVANTAGE RULE sio?
Sasa THE REFEREES itakuwa LAW NAMBA NGAPI?
Hiyo Sheria ya 'Advantage Rule' itakuwa inapatikana huko Madimbwi ya Utopoloni labda.
View attachment 2118785
Katika hizo 👆 Sheria 17 hapo juu hebu nioneshe Sheria ya 'Advantage Rule' ni yangapi ili tuweze kuitumia.
Tunawanyea mbw nyieeKunyasi....
Tar 15 si mbali, mtajitokeza tu. Na manungu mtakuwepo pia.
Tushachoka na majungu ya kibongoTar 15 si mbali, mtajitokeza tu. Na manungu mtakuwepo pia.
Linapokuja swala la kitaifa waungwana wote duniani huungana kui support nchiTar 15 si mbali, mtajitokeza tu. Na manungu mtakuwepo pia.
Kwani Asec walikuja na masjabiki pale kwa Mkapa?Hongereni kwa ushindi. Ila tabia mliyoianzisha ya kupiga mashabiki wasio wenu ni tabia hatarishi. Kumbukeni kwenye vita hakunaga mshindi wa kudumu. Mtakuja kufanyiwa ambushi msioitarajia mkiendekeza tabia zenu za kihayawani.
Ndiyo, sheria ya 5 ni "The Referee" na na ndani yake ndo kuna "Advantage Rule" ndo maana niliambatanisha chini. View attachment 2118964
Hawa wenzetu ni wapumbavu kuzidi. Wanalazimisha nyeusi kuwa nyeupe.Kosa limeanza hapo kwenye "Advantage Rule" ndiyo ulipokosea Ndugu, hiyo siyo "Rule" bali ni "Option".
Namaanisha Advantage sio sheria bali ni hiari tu ya Refa akiamua anatoa na asipoamua hatoi na Wala hakuna kumhoji Refaree kuhusu Advantage.
Unakuwa mbishi kwa kitu ambacho hukijui na Ni bora ungekubali kueleimishwa kuliko kuwa mbishi. Kanuni hii ni kama ile ya Fair play pale mchezaji anapoumia mchezaji wa timu pinzani akiwa na mpira akautoa nje. Wakati wa kurusha mchezaji anayerusha anatakiwa kuwarushia timu pinzani au kumpa mwenzake ambaye atatakiwa kuipa faida ya umiliki timu pinzani. Lakini asipofanya hivyo hahukumiwi Bali ataonekana hana ustaarabu wa kimichezo.Sheria hiyo inampa uhalali wa kufanya advantage referee asipofanya hivyo kipi kinatokea!?
Siku hizi kuna sheria kama timu yako haichezi usiende uwanjani? Mnashabikia mambo ya kihuni utafikiri wahuni?Kwani Asec walikuja na masjabiki pale kwa Mkapa?