Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Ona sasa ulivyo wa hovyo kwenye Medulla oblongata yako. Hiyo sheria ya advantage play ni sheria namba ngapi kwenye sheria za FIFA. Utopolo wewe.Unakuwa mbishi kwa kitu ambacho hukijui na Ni bora ungekubali kueleimishwa kuliko kuwa mbishi. Kanuni hii ni kama ile ya Fair play pale mchezaji anapoumia mchezaji wa timu pinzani akiwa na mpira akautoa nje. Wakati wa kurusha mchezaji anayerusha anatakiwa kuwarushia timu pinzani au kumpa mwenzake ambaye atatakiwa kuipa faida ya umiliki timu pinzani. Lakini asipofanya hivyo hahukumiwi Bali ataonekana hana ustaarabu wa kimichezo.
Punguza povu kidimbwi fc😀Senge tu hilo ni kolo la kutupwa
Kazi ni makolo toka zamaniNikushukuru Kwa maoni mazuri, Ila niongeze kwamba Othman Kazi ni Mchambuzi aliyekuwa Mwamuzi awali. Hivyo baadhi ya uchambuzi wake huwa anaegemea Sana kuwatetea wanataaluma wenzie. Ukimsikiliza anapomsifu mwamuzi aliyefanya vizuri ni tofauti Sana na pale anapomkosoa mwamuzi aliyekosea.
Huyu Othman kazi alishafungiwa kutokana na ulaji rushwa uliopitiliza katika game alizokuwa anachezesha,ni JK aliingilia kati kumnusuru.Senge tu hilo ni kolo la kutupwa
Mkuu sheria inatamka wazi Kama kipa ameumia ni sharti refa asimamishe mchezo ili apate matibabu maana ni very vital area ambayo kukosekana kwa kipa unasababisha goal moja kwa moja.......hivyo Kama kipa ameumizwa hata Kama na mchezaji wake na refa akaona tukio ni lazima mchezo usimamishwe.........Sasa Kuna mazingira refa anaweza kuwa hajaona Kama kipa kalala chini kwa kuumia na ikatokea mpira ukapigwa na kuingia golini moja kwa moja,kwenye mazingira haya goal linahesabiwaKimsingi Advantage play siku zote huwa ni busara za refa, hakuna sheria inayomlazimisha kufuata,
Ni sawa na Fair play, ni uungwana lakini sio sheria, kipa wa timu pinzani anaweza kuwa kaumia/ kuumizwa na mchezaji mwenzake na goli linafungwa kipa akiwa yuko chini linakuwa halali.