Uchawi au Majini hayapo! Nani ameshawahi kukutana na jini

Unajua kilugha tamko "nini" ni kwa vile ambavyo havina akili yaani hayawani. Sasa kwanini iwe nini ? Na nini inaweza kufanya nini ? Yaani unaijua mipaka ya tamko "nini ?" ? Usitake kulazimisha Uongo uwe ukweli,jambo ambalo ni Muhali.
Wewe wakijua kiswahili shukran.......Naona kama huyu mpinga uwepo wa visivyoonekana kwa macho yake ametepeta.
 
thibitisha mungu yupo
Kwa hiyo ndugu yangu huamini kama Mungu yupo.

Niseme tu ndugu yangu unapotea na unaelekea pabaya sana.


Yaani izi akili alizokupa mungu leo unamkana hadharani kanisa.


Mkuu muogope Mungu usiishi ivyo.

Mi nakuusia muamini Mungu, yeye ndiye alieumba ulimwengu, wanyama kila kitu unachokiona na usichokiona.


Unajua na ujanja wako wote ata icho chakula unachokula wewe chanzo chake ni yeye.


Wakati upo tumboni Mwa Mama yako Mungu alikulinda na kukufanya mpk ukafikia hivi ulivyo sasa.


Yeye ndiye anae fisha na kufufua.


Yeye ndiye Mungu asie na mwanzo wala mwisho.


Mwisho kabisa nakukumbusha tu Kiama kipo karibuni KWANI ishara zake zimeonekana nyingi tunasubiri zile kunwa kubwa kama jua kutokezea Magharibi na hapo kutakuwa hakuna toba.ivyo jitahidi sana umuamini Mungu na kufata yale aliyo amrisha na kuepukana na aliyo kataza USIISHI KAMA MNYAMA.

MALI, NGUVU, NAKADHALIKA UTAZIACHA HIVYO KUWA MWANAUME WA UKWELI KW A MUNGU KWANI ANAKUPENDA SANA.
 
Thibitisha mungu yupo
 
Thibitisha mungu yupo
Ni mtihani huo tumepewa ndugu yangu siku unathibitisha ndiyo siku ya kifo chako icho kwa maana muda wako wa mtihani umekwisha hivyo unapokea majibu.


Mbona ishara zake zipo wazi tu mkuu unakwama wapi.
 
Ni mtihani huo tumepewa ndugu yangu siku unathibitisha ndiyo siku ya kifo chako icho kwa maana muda wako wa mtihani umekwisha hivyo unapokea majibu.


Mbona ishara zake zipo wazi tu mkuu unakwama wapi.
Kwa hiyo hujui kama yupo?

We umejuaje ukithibitisha unakufa ilihali uko hai?
 
Kwa wale wanaosema Mungu hayupo
Je mnataka kujihalalishia nini
Mfanye nini
Muende wapi
Mpate nini
Halafu

Basi kila mtu afanye kuamini kile anachoamini
Fanya unachotaka kufanya
Ishi unavyotaka
Ongea unachojisikia
Fikiri utakavyo
Naam uko HURU
Uko free

Ila kumbuka kuwa lazima ufe
Uoze
Ushindwe kufanya chochote tena
NA KAMA TUTAKUTANA TENA NDIO UTAJUA HUJUI
 
Kwa hiyo hujui kama yupo?

We umejuaje ukithibitisha unakufa ilihali uko hai?
Kupitia kwa manabii wake watukufu aliowaleta kuja kufikisha ujumbe wake.
 
Manabii waloteremshiwa vitabu vitukufu
 
Hebu tupe uzi mkuu ilikuwaje kuwaje na alikuwa anafananje alikuambia nini na je hakukutokea tena ? Hebu tupe uzi plz
 
Sio kila kitu ambacho hatuwezi kukihisi,kukionja,kukigusa,kukinusa,kukisikia na kukuiona maana yake hakipo tutakua tunatumia nyenzo dhaifu sana kupima mambo sababu viungo vinavyotumia kufanya mambo hayo ni dhaifu pia
 
Hebu tupe uzi mkuu ilikuwaje kuwaje na alikuwa anafananje alikuambia nini na je hakukutokea tena ? Hebu tupe uzi plz
Eti alikuwa anatoka Club ndo akaona jini mi nashauri jamaa angekumbuka siku hiyo alikunywa pombe aina gani.
 
Ni mtihani huo tumepewa ndugu yangu siku unathibitisha ndiyo siku ya kifo chako icho kwa maana muda wako wa mtihani umekwisha hivyo unapokea majibu.


Mbona ishara zake zipo wazi tu mkuu unakwama wapi.
Basi Mungu anatuviruga sana anasema mwisho wa siku tutaenda juu mbiguni sasa huku duniani katuleta ili iweje? Kwa waislam kasema waoe zaidi mke mmoja huku katoriki kasema tuoe mmoja na mapdre na masister wasioe huoni anatavuruga mwenyewe
 
Basi Mungu anatuviruga sana anasema mwisho wa siku tutaenda juu mbiguni sasa huku duniani katuleta ili iweje? Kwa waislam kasema waoe zaidi mke mmoja huku katoriki kasema tuoe mmoja na mapdre na masister wasioe huoni anatavuruga mwenyewe
Kwa hiyo wapagani wana haki kumbe?
 
Kama uchawi na majini havipo hivyo hivyo shetani na mungu awaweza kuwa wanaweza kuwa character wa kubuni katika similizi ya vinavyoitwa vitabu vitakatifu.
 
Siku ukipewa kazi ya kuapa, utakaposhindwa hata kutaja jina lako utajua uchawi na majini vipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…