Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
Hapo Kuna VAT imekatwa, kuna TOZO n.k usishangae. Ni kawaida siku hizi hata ukiweka mfukoni tu pesa inakatwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani sisi ndio wezi?Unamke?
Pole sana.Nimevunja kibubu muda huu, kibubu nilichodunduliza 20% ya kila nilicho kipata kwa miezi nane (nilianza pasaka) nimekuta shilingi 4'500/ kweli? Dah
Vingine vinauzwa pale getini Mlimani City, nilikuwa na rafiki yangu yuko na mpenzi wake mzungu, mzungu akauliza what is this? Mpenzi wake akajibu grand mother's bankKibubu ulichonga au ulinunua vile unakuta kishatengenezwa tayar maana vile vilivotengeneza tayari wanawekaga chuma ulete hata me yashawahi nikuta
Kalambanzwite?Nilishawahi lazwa nje +kukombewa pesa zote. Sitakisahau kile kijiji
Asante sana kwa kunifariji kwenye kipindi hiki kigumuPole sana.
Duh... alielewa lakini?grand mother's bank
Noma sanaautopilot
Haha hahaHa ha ha!
Mi ninamhisi yule jirani yako mwenye macho mekundu!
Never too lateChristmas na Mwaka mpya umeshaula vibaya mkuu... Polee sana unawaza vibunda vyako tu
No escape from Sobibo namfuataAliyekuuzia huyo ndiyo mwanga wako.
Tusiwasimange wazee, maisha ndio miyeyushokuna Wazee miyeyusho 😂😂
😂😂😂nimecheka kwa sauti kubwa kweliumpe posho ya uchovu, utadhani wewe hujachoka
Nimekusambukila, tena nimekusambu kibagia😂😂😂nimecheka kwa sauti kubwa kweli
😂😂😂😂aisee...kweli unavituko mkuuNimekusambukila, tena nimekusambu kibagia
Nikajikuta nimeropoka piggy bankDuh... alielewa lakini?
Lakini gest SI tulikubaliana ni AIR BNBKaka, nilivyo bahili nichepuke nipate hasara?
Mizinga ya saluni, waliofiwa kwenye magrupu ya whatsup, marejesho etc.
Siku ya kupiga show utume nauli na ya kutolea, ulipie misosi na mabia, ulipie gesti, umpe posho ya uchovu, utadhani wewe hujachoka. Umpe tena na hela ya Bolt ya kumrudisha, kero yote hiyo ya nini? Si bora tu niwe mwaminifu kwa mke wangu nimuaibishe shetani
Vingapi?😂😂😂😂aisee...kweli unavituko mkuu