Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vingi tu,huwa huoni threads zake😂🙋Vingapi?
Utakua umemsaidia Bujibuji Simba Nyamaume kutunza pesa zake 🤣🤣Yaani sisi ndio wezi?
Dola 4500 sio haba mkuuNimevunja kibubu muda huu, kibubu nilichodunduliza 20% ya kila nilicho kipata kwa miezi nane (nilianza pasaka) nimekuta shilingi 4'500/ kweli? Dah
Kile kijiji ni kycroshkokav huko Russia😀Kalambanzwite?
Kibubu kimehamishwa kikawekwa kipya.Utaambuwa chuma ulete.Hiyo 4500 ndio 20% yenyewe
Mke yupo Dodoma analima ngunianiKama una mke goalkeeper kama Mimi atakuwa nae alikuwa anachukua kidogo kidogo kilasiku hela ya mchango kikoba.Hakijaharibika kitu zitarudi zimezaa
💶💷💸 is my portionDola 4500 sio haba mkuu
Mzee wa Kimara upo? Bado unatumia ile namba? 376Kibubu kimehamishwa kikawekwa kipya.Utaambuwa chuma ulete.
He! Wapi nimesema jamaniYaani sisi ndio wezi?
Kaka itabidi unipe mbinu niishinde michepuko maana kama ni hivyo umefanikiwa kumuabisha shetani...mi ananiabisha kupitia michepukoKaka, nilivyo bahili nichepuke nipate hasara?
Mizinga ya saluni, waliofiwa kwenye magrupu ya whatsup, marejesho etc.
Siku ya kupiga show utume nauli na ya kutolea, ulipie misosi na mabia, ulipie gesti, umpe posho ya uchovu, utadhani wewe hujachoka. Umpe tena na hela ya Bolt ya kumrudisha, kero yote hiyo ya nini? Si bora tu niwe mwaminifu kwa mke wangu nimuaibishe shetani
Kaka itabidi unipe mbinu niishinde michepuko maana kama ni hivyo umefanikiwa kumuabisha shetani...mi ananiabisha kupitia michepuko
😂😂😂haya bhanaMke yupo Dodoma analima nguniani
Amen mtumishi.....ngoja nianze mapambanoUtafanikiwa iwapo tu utaacha kuusikiliza mwili wako. Unyime kila unachokitamani.
Gal 5:16-26 SUV
Basi nasema, Enendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili. Kwa sababu mwili hutamani ukishindana na Roho, na Roho kushindana na mwili; kwa maana hizi zimepingana, hata hamwezi kufanya mnayotaka. Lakini mkiongozwa na Roho, hampo chini ya sheria. Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu. Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria. Na hao walio wa Kristo Yesu wameusulibisha mwili pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake. Tukiishi kwa Roho, na tuenende kwa Roho. Tusijisifu bure, tukichokozana na kuhusudiana.
Somo la kuacha kuusikiliza mwili ndo limenishindaa apa naitaj muongozoooUtafanikiwa iwapo tu utaacha kuusikiliza mwili wako. Unyime kila unachokitamani.
Gal 5:16-26 SUV
Basi nasema, Enendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili. Kwa sababu mwili hutamani ukishindana na Roho, na Roho kushindana na mwili; kwa maana hizi zimepingana, hata hamwezi kufanya mnayotaka. Lakini mkiongozwa na Roho, hampo chini ya sheria. Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu. Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria. Na hao walio wa Kristo Yesu wameusulibisha mwili pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake. Tukiishi kwa Roho, na tuenende kwa Roho. Tusijisifu bure, tukichokozana na kuhusudiana.
Ulikuwa unalipa kodi. Atakutumia list za EFD ambazo ulikuwa unalipia kodiNdio anipurure mapato yangu wa mwaka mzima?
Kaziiba mama mkwe wako kimiujizaNimevunja kibubu muda huu, kibubu nilichodunduliza 20% ya kila nilicho kipata kwa miezi nane (nilianza pasaka) nimekuta shilingi 4'500/ kweli? Dah
Vampire 🧛♂️Kaziiba mama mkwe wako kimiujiza