luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Hata sare as vita alikua anaaga..kama ulikuaunaangalia live standing saoura alikua namba mbili pale...wanaangalia h2h na sio magoliWana YANGA mnashindana na mipango ya Mungu kwani ile dakika ya 82 As vita si walikuwa wanatushambulia lkn golikipa alikuwa imara, unajua AS vita alijua ile game anamaliza kwa sare sababu alijua JS soura kashapigwa kule CAIRO
Hiyo mask hata wewe unaweza kuvaa na kulala barabarani.Nimeumia sana aisee..hivi binadamu unaweza je kumfanyia binadamu mwenzio huu ukatili?View attachment 1047470
Sent using Jamii Forums mobile app
Sare ilikuwa hapiti. Alitakiwa kushinda nae. Hawaangalii tofauti ya magoli pale kama mmefungana point. Wanaangalia mlipokutana nyie mliofungana point nani alichukua point nyingi. Ktk kindi hilo walikutana mara 2 na soura, vita kapata point moja soura kapata 4.Wana YANGA mnashindana na mipango ya Mungu kwani ile dakika ya 82 As vita si walikuwa wanatushambulia lkn golikipa alikuwa imara, unajua AS vita alijua ile game anamaliza kwa sare sababu alijua JS soura kashapigwa kule CAIRO
Nimekatala. Eske umemupatiya jina ya kabhambee Sana. Bon, umuitanie tu petit jhuuu futboli hayuake hata.Nani kakwambia mnyama Simba anazuiliwa kwa mask,,,
We binti vepee,,,
Simba nguvu moya papaa
Sent using Jamii Forums mobile app
CAF walituma waangalizi wao acha kupuliza zomari ambazo hujui ala zake.
Hivi huo ndio ushahidi kweli na unaona umeongea point?
Labda nikwambie, simba walipokuwa algeria walipokuwa wanamulikwa usoni, angalau wao kama wangelalamika ushahidi wao ni mzito kuliko mtu aliyevaa mask. Unapimaje au unatambuaje kuwa aliyevaa mask kapuliziwa sumu au kitu chochote cha kumdhuru?
Hii kesi hata ustawi wa jamii hawaisikilizi.
Majibizano ni sehemu ya ushabiki na ndio maana pia huu uzi umeletwa. Sidhani kama mleta uzi ameuleta akitegemea point za mlengo mmoja.Ndugu yangu tuipongeze Simba kwa ushindi...majibishano hapa hayana tija...inawezekana mimi sijaongea point na wewe inawezekana una point...kila la kheri...
AS vita ni waongo walijua ya kuwa watapoteza sasa wanafanya ivyo ili wapate ushindi wa mezani CAF ibatilishe matokeo kwa madai vyumba vilipuliziwa dawa lkn njama yao wame fail sababu sampuli ya hewa ktk vyumba vya kubadilishia nguo vilichukuliwaNimeumia sana aisee..hivi binadamu unaweza je kumfanyia binadamu mwenzio huu ukatili?View attachment 1047470
Sent using Jamii Forums mobile app
Sare ilikuwa hapiti. Alitakiwa kushinda nae. Hawaangalii tofauti ya magoli pale kama mmefungana point. Wanaangalia mlipokutana nyie mliofungana point nani alichukua point nyingi. Ktk kindi hilo walikutana mara 2 na soura, vita kapata point moja soura kapata 4.
Droo walikuwa hawapiti hata soura angefungwa mia.
mwehu huyoHiyo mask hata wewe unaweza kuvaa na kulala barabarani.
Sijui mshamba wa wapi wewe.
Achana naye huyo.H
AS vita ni waongo walijua ya kuwa watapoteza sasa wanafanya ivyo ili wapate ushindi wa mezani CAF ibatilishe matokeo kwa madai vyumba vilipuliziwa dawa lkn njama yao wame fail sababu sampuli ya hewa ktk vyumba vya kubadilishia nguo vilichukuliwa
Mpuuzi kweli.mwehu huyo
Sare ilikuwa haiwasaidii. Wangelingana na JS kwa pointi, lakini matokeo yao ya jumla, JS alipata pointi nne kutoka kwa AS, wakati yeye AS alipata pointi 1 kutoka kwa JS.Wana YANGA mnashindana na mipango ya Mungu kwani ile dakika ya 82 As vita si walikuwa wanatushambulia lkn golikipa alikuwa imara, unajua AS vita alijua ile game anamaliza kwa sare sababu alijua JS soura kashapigwa kule CAIRO
Bilashaka hiyo sumu ilipulizwa Samora Iringa pia!!!Wote mtakubaliana na mimi kwamba as vita aliecheza kipindi cha kwanza sio yule aliecheza kipindi cha pili...zilikua ni team mbili tofauti kabisa.
Kipindi cha pili as vita walionekana kulegea na miili yao kuchoka sana hio inatokona na dawa zile za kupuliza ambazo huwa zinafanya kazi taratibu na kadri misuli inavyopata moto ndio mwili unalegea...
As vita walijihadhari lakini kishamba sana wao walitumia "dust masks" ambazo kiuhalisia haziwezi kuzuia gas ya sumu..
Hizo picha hapo moja ni dust masks walizovaa wachezaji wa vita wakiwa vyumbani....
Picha ya pili ndio mask ulizotakiwa wavae kwa kipindi chote wakiwa vyumban ikiwezekana na mitungi ya oxygen mgongoni. As vita mjifunze mkiwa mnakuja kucheza na watu wa figisufigusi mjipange kweli kweli sio kufanya mambo ya ajabu kama jana,mmeruhusu sumu iwaingie wachezaji na ikawapoteza kabisa.
Jambo lingine ni uchawi hili nitalizungumzia siku nyingine hadi na kwa mzee walionda hawa viongozi wa mikia fc View attachment 1047447View attachment 1047448
Sent using Jamii Forums mobile app
Yawezekana hata kule kwa PSG ilitumika.