Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Ndugu bado hujajua njia stahiki za uandishi wa historia,

Kumhoji mtu ni hatu ya mwisho na ya uhakika kwa asilimia miamoja kuliko kuamini na kuishi katika dhahania tu.
 

Yale yale:

 

Huyo kishasema yeye anapinga mradi apinge tu.
 

Unaamini kuwa Mwalimu Nyerere ndie mwasisi wa hicho unachokiita ni mfumo kristu?

Thread kuu nimeeleza kwakirefu sana juu mfumo kristu na chimbuko lake hadiulipotokomezwa miaka ya 1961-1965 chini ya Mwalimu Nyerere huyohuyo unaedai leo kuwani founder wa mfumo kristu nchini,

Rudiaupyakuisoma ile makala pale juu mkuu
 
Asante sana mkuu kwa maelezo murua, bado mchango wako nimuhimu sana katika uzi huu mkuu, rudi ndugu uzidi kuwafunza waamini wa Mohamed Said

Mkuu, ntaweka record straight tu kwa baadhi ya maandishi yaliyofuatia lakini baada ya hapo ntashiriki kwa kusoma tu. Huu mjadala tulishaupeleka karibia mwaka before sijui this tyme utachukua muda gani.
 
Asante sana mkuu kwa maelezo murua, bado mchango wako nimuhimu sana katika uzi huu mkuu, rudi ndugu uzidi kuwafunza waamini wa Mohamed Said

Mkuu Yeriko,hawafunzi waamini wa M' said tu bali hata sisi tunaotaka kujua historia ya kweli
 
Mkuu, ntaweka record straight tu kwa baadhi ya maandishi yaliyofuatia lakini baada ya hapo ntashiriki kwa kusoma tu. Huu mjadala tulishaupeleka karibia mwaka before sijui this tyme utachukua muda gani.

Asante sana mkuu
 

Nikakuuliza, Jee, kwa kuutokomeza huko ndio kawa mwenyeheri ? Kuelekea utakatifu ?
 

YERICKO leo usiende church sikiliza sasa hivi radio imaan upate darsa mkuu
 
Wewe sipendi kujadiliana nawe kwa sababu ya ukurupukaji na kutotumia akili yako kufikiri wewe ni kurukia tu hoja za wengine.


Hizi kweli ngano ni vizuri liwe bandiko lako la mwisho watu wanajadili mambo mazito wewe unaongelea habari za Madj's kina Chogo, Saydou.

Jambo gani la msingi unaloliongelea, kwa taarifa yako wakati wewe ukiwa inspired na Chogo, vijana wa huko Kanyigo na Kibosho walikuwa inspired na watu waliosoma, sorry that was my generation na hakuna wa kupindisha hii.


Hapa unaonyesha kukurupuka kama kawaida yako, hivi wakati Mohamed Said anasema kanisa katoliki linashiriki mpaka kuchagaua vijana wa kuendelea na masomo alikuwa anazizungumzia Amana, Boma, Ilala, Lumumba, Mnazi Mmoja au gongo la mboto? Tunazungumzia shule za sekondari wewe unakuja na Olympio vipi? Taja shule za sekondari binafsi Dar kuanzia 1980 - 1990 utafahamu naongelea nini.

Hivi kupasi si ndiyo neno lilokuwa likitumika au? Umekurupuka tena. Kwa hiyo kuchaguliwa kulikuwa bila mtihani au ndiyo ile hoja ya mwalimu wako kwamba Malima alianzisha kutumia namba za mitihani?

Unalalamika kuhusu mabaharia wakati Dar kuna bahari hii ingekuwa Moshi, Iringa wangekuwepo mabaharia tu.

Kama Nyerere hakuandika jina lake uwanja wa ndege na chuo kikuu basi hana matatizo mengine
Nani analalamika mm naeleza nilichokiona na kilichokuwepo that time wewe unasema nalalamika Vp mbona unakurupuka tena????, Wanalamika walioshindwa mimi sikushindwa na sijawahi shindwa yale yote yanayowezekana na bado nasonga under the flag of striving for excellence. Habari ya Moshi na Iringa kutokuwa na bahari inakujaje hapa?????? Na nani kasema Mwalimu hakuwa na matatizo mengine?????
 
Ndugu bado hujajua njia stahiki za uandishi wa historia,

Kumhoji mtu ni hatu ya mwisho na ya uhakika kwa asilimia miamoja kuliko kuamini na kuishi katika dhahania tu.

Historia gani sasa mnayoitaka nyinyi??
Si ni nyinyi mlioamua kuiita hii kuwa ni HISTOHISIA?

Kama mmeshaamua kupinga kila kitu yumkin hamtaamini kitu..!!
 

Mohamed Said haya mambo mengine sasa unatakiwa uwe unaona aibu kidogo japo ile ya kiutu uzima.



Wewe bado unakomaa tu na hadithi yako isiyo na ushahidi.
 
Hii redio naisikia kwa watu tu, inapatikana kwenye masafa yapi mkuu?

ha ha haaa yericko umenichekesha yani uliletwa uzi kuhusu radio imaan na wewe ulichangia kwa mbwembwe leo huijui! frequnce zake ni 104.4 mimi najua uko dsm
 

MS kama kawaida yako mzee wangu nimeorodhesha hapo vitabu vitano na waandishi wake na vyote si riwaya. Dinesh D'souza au Glen Beck hawaandiki riwaya. Wewe ulipoona tu majina ya kina Musiba, Hammie Rajab na Shigongo tayari unataka kupindisha hoja. Hawa mm niliwataja kwa sababu ndiyo wanafahamika na watanzania wengi.

Na hao vijana wanaotaka kuandamana mimi niko pamoja nao, lakini tu wasisite kuleta ushahidi yakinifu wa namna gani NECTA inabagua kwa mgongo wa dini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…