Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
- Thread starter
-
- #6,021
naona umekaa kiushabikishabiki humu,kwanini usiende jipumzisha kule chit-chat???
Usitudanganye. Hata mimi ni muandishi ingawa sijachapisha kitu. Tulifunzwa kuwa neno "inasemekana" ni hearsay. Na kama wewe ni mwandishi makini utafuatilia chanzo cha kusemekana huko na uthibitishe na ndipo itakuwa fact. Kwa mfano nikipewa tip na third party lazima niifanyie kazi hiyo tip. Nikisema "inasemekana" ni kwamba sina uhakika na kinachosemekana na kama ni mtafiti basi hujakamilisha kazi yako mpaka hilo linalosemekana lithibishwe. Hapa naona umeshamhukumu Nyerere kuwa kiongozi mbovu, mchoyo na kibaraka kwa kuamini tu yale yaliyosemekana. Aliyoyasema Nyerere mbele ya mapadri ni matter of public record lakini kwa watu wenye ajenda sishangai mkikimbia kupindisha ukweli ili kukidhi agenda zenu za inasemekana.Hili neno inasemekana alilotumia Mohamed Said umelifanya kichaka cha kukosa kwako eneo la kuteteaa uozo wa uongozi wa Nyerere na uchoyo wake na kuwa kwake kibaraka.Pamoja na hivyo hili neno linatumika sana katika heshima ya uandishi ambayo bila shaka kwako imekuwa nongwa kwa vile hunayo.Hata katika mazungumzo mzee akiponwa hatumwambii kwa uwazi kilichomtokea lakini huwa ni kweli tunajua ameponwa.
Tuje upande mwengine kwenye haya maandiko.Hebu hesabu idadi ya inasemekana na idadi ya matukio yaliyowekewa tarehe zake mengine yaliyotokea ndani ya ikulu ni yepi mengi.Mbona huna takwimu mbadala wa kukanusha aliyoyasema Nyerere kwa padri ndani ya ikulu juu ya njama zake za kuukandamiza uislamu?.
NIMESHAMSIKIA,si kazaliwa pale nyumba ya tatu,ilipozaliwa Tanu,pala kweye kile kibanda
Ami tazama juu alivyokujibu wewe na tazama hapa chizi siku mbili tatu nyuma alivyonijibu mimi:Usitudanganye. Hata mimi ni muandishi ingawa sijachapisha kitu. Tulifunzwa kuwa neno "inasemekana" ni hearsay. Na kama wewe ni mwandishi makini utafuatilia chanzo cha kusemekana huko na uthibitishe na ndipo itakuwa fact. Kwa mfano nikipewa tip na third party lazima niifanyie kazi hiyo tip. Nikisema "inasemekana" ni kwamba sina uhakika na kinachosemekana na kama ni mtafiti basi hujakamilisha kazi yako mpaka hilo linalosemekana lithibishwe. Hapa naona umeshamhukumu Nyerere kuwa kiongozi mbovu, mchoyo na kibaraka kwa kuamini tu yale yaliyosemekana. Aliyoyasema Nyerere mbele ya mapadri ni matter of public record lakini kwa watu wenye ajenda sishangai mkikimbia kupindisha ukweli ili kukidhi agenda zenu za inasemekana.
Kaka,
Mimi si mwandishi. Na si kila mtu ana kipawa cha uandishi. Lakini hilo halininyimi haki yangu ya kufichua upotoshaji. Tungekuwa sote waandishi nani angekuwa na nafasi ya kumsoma na kumkosoa mwenzake?
Maalim,kakutana na vichwa humu,anapewa yeye darsa,anajuta kuijua JF maana huko kwote alikopitia alikuwa haulizwi hard hitting questions,humu kakutana na no nonsense approach ya akina Mwanakijiji basi MS anaona aibu kupandisha bendera nyeupeNgoja Maalim Mohamed Said aje kukupa darsa kwenye hilo, ndio nyanja zake hizo.
Maalim Mohamed Said naomba tukumbushe kidogo kuhusu Bibi Tabu Bint Mzee.
Ami tazama juu alivyokujibu wewe na tazama hapa chizi siku mbili tatu nyuma alivyonijibu mimi:
Hawa ndio watu wanaobisha ilimradi wabishe tu. Ukweli wanaujuwa.
Kwa kawaida inatamkwa darsa kwa ''sekne.''
Wewe umeweka ''alif'''
Kwa lugha ya Kiarabu ambako ndiko asili ya neno lenyewe unakuwa umelikosea.
Lakini sisi ukisema ''darasa'' yote sawa.
Maana ikiwa ''darasa'' unapoteza kabisa ile filosofi yenyewe ya neno ''darsa.''
Katika darsa huwa na adabu zake.
Hakuna kejeli hakuna tusi hapo.
Wanafunzi wamepiga goti wanasoma wameinamia vitabu wanamsikiliza maalim.
Na darsa ina adabu zake wanafunzi wanasomeshwa.
Ndiyo maana mimi napata shida kufanya mnakasha mtu akikejeli au akitukana.
Naweka hapa chini zawadi kwako.
View attachment 79724
Huyo ndiye Mshume Kiyate.
Rafiki kipenzi wa Nyerere kuanzia 1953 pale alipojulishwa kwake na Abdulwahid Sykes katika kundi lile la wafanyabiashara wa Karakoo Market.
Mzee Mshume ndiye alikuwa dalali mkubwa wa samaki pale sokoni biashara ambayo ilimtajirisha.
Abdulwahid alikuwa ndiye Market Master.
Mzee Mshume alikuwa mfadhili mkubwa wa TANU na alikuwa katika Baraza la Wazee wa TANU.
Nyerere alipolivunja baraza hili mwaka 1963 chini ya uenyekiti wa Mzee Idd Tulio wazee wale walisonononeka sana.
Kutokana na ustaarabu wa pwani ukifukuzwa hurejei wazee hawa wa baraza la TANU hawakurudi tena pale ofisi ya TANU yalipokuwa makao yao.
Taratibu mmoja baada ya mwingine wakafa na kuzikwa bila ya heshima yoyote ya chama au serikali.
Idd Tulio aligongwa na gari na kufa akazikwa na nduguze Waislam kimya, kimya, Mshume Kiyate aliugua kwa muda mrefu Muhimbili.
Kiongozi pekee aliyekwenda kumtembelea Mzee Mshume alikuwa Oscar Kambona na ilikuwa kumuaga maana alikuwa yuko njiani kutoroka nchini.
Hata siku ya maziko yake Mzee Mshume Mtaa wa Matumbi Dar es Salaam TANU wala serikali haikuonekana mazikoni.
Allah ana shani yake.
Pale yalipokuwa maziko yake nyumba ile ilikuwa karibu sana na mahali ambapo mwaka 1955 au 1956 Mzee Mshume alikutana na Nyerere (Cameron/Morogoro Road maarufu Mwembe Togwa sasa Faya au United Nations) akielekea sokoni wakajuliana hali na Mzee Mshume akatoa rundo la fedha kumpa Nyerere kisa ambacho nimekieleza huu ukumbini.
Kipindi hiki ni kipindi kigumu sana katika historia ya Waislam na chama cha TANU maana baada ya uhuru kupatikana zilianza kuingia fitna baina yao na Nyerere.
Hii ilipelekea kutolewa risala kwa Nyerere maarufu kwa jina ''Moto wa Waislam Ukiwaka'' risala iliyosomwa na Bilali Rehani Waikela kwa Nyerere katika ufungaji wa mkutano wa mwaka wa 1963 wa EAMWS. Inasemekana risala ile ilikuwa kalamu ya Sheikh Hassan bin Amir.
Historia ya TANU na Waislam ina mengi sana.
Mzee Mshume wanaukumbi msingemjua kama nisingemtaja humu ukumbini.
Ami tazama juu alivyokujibu wewe na tazama hapa chizi siku mbili tatu nyuma alivyonijibu mimi:
Hawa ndio watu wanaobisha ilimradi wabishe tu. Ukweli wanaujuwa.
Maalim,kakutana na vichwa humu,anapewa yeye darsa,anajuta kuijua JF maana huko kwote alikopitia alikuwa haulizwi hard hitting questions,humu kakutana na no nonsense approach ya akina Mwanakijiji basi MS anaona aibu kupandisha bendera nyeupe
Mkuu hujui kuwa kwahisani ya shehe Mohame hiyo ni "inasemekana" tu?Mohamed Said,
..unaweza kutuletea risala "moto wa Waislamu ukiwaka" aliyoisoma Bilal Rehani Waikela mbele ya Mwalimu Nyerere?
..je, ni kweli Bilal Waikela, aliposoma risala hiyo, alimnyooshea bakora Raisi Mwalimu Juliasi Nyerere?
..je, hudhani kwamba risala hiyo ilikuwa ya vitisho, na kuijaribu mamlaka ya Raisi na Amiri Jeshi Mkuu wa Tanzania??
cc: Ritz, Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, zomba, Jasusi, Mag3
hujui kwa sababu gani? unawafundisha ughaidi Mood.Ritz, Katika vitu ambavyo vinanipa shida ni kukosa faragha. Hakuna nitakapokwenda Tanzania nisijulikane. Hata nikiingia msikiti wa pembezoni nikajificha nyuma. Ikisha sala watu weshanizunguka na kama ni Sala ya Ijumaa Imam atatangaza kuwa nimo msikitini. Nashukuru tena nashukuru.
unatuhamisha mjadala. aliiuliza juu ya nini?Umemjibu Swali lake Andrew Nyerere,
hujui kwa sababu gani? unawafundisha ughaidi Mood.
Zomba,Pata darsa dogo:
Source : The Satanic (Catholic) Origins of Saint Valentine's Day
Tupe kidogo habari za Mshume Kiyate.
Acha uwongo mwingine wewe. Mwanza siyo Mara. Ni Wakurya peke yao walio na hii mila ya mwanamke kuoa mwanamke mwingine. Na wala hujui historia yake. Si kwamba huyo mwanamke anaolewa na huyo mama ila mama anamlipia mahari ili watoto atakaozaa wawe wa kwake. Na lengo lake lilikuwa ni kudumisha ukoo kwa mfano kama mama hakuzaa watoto. Usidanganye hapa na kujifanya mjuzi kama ulivyofanya kwenye ule mjadala wa makabila ya Kenya na Uganda.sio wazanaki tu bali makabila yote ya mkoa wa mara hata wanawake nao wanaoa.
nilijifunza haya maajab nilipokuwa huko wakti nipo mwanza.
Tusubiri jibu la Yericko
Ami tazama juu alivyokujibu wewe na tazama hapa chizi siku mbili tatu nyuma alivyonijibu mimi:
Hawa ndio watu wanaobisha ilimradi wabishe tu. Ukweli wanaujuwa.