Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Nafurahi kuona mwamko wa watanzania kulinda hadhi za wanaukombozi wetu na kuulinda umoja wetu,

Safari ya kuzima maasi ya kiroho ni ndefu na inahitaji busara sana, mwitikio wa watu katika uzi huu ni dhahiri shahiri watanzania waaunga mkono juhudi za mashauriano ya kuzima uasi unaoongozwa kiroho na akina Mohamed Said na kundi lake,

Watanzania wenzangu, tujikite katika mashauruano, tusijadili watu, kwakuwa kufanya hivyo ni kupoteza shabaha ya mashauriano haya.

Tunataka watanzania wenzetu wote wasioijua historia ya uhuru na harakati zake basi watumiejukwaa hili kuijua, hata wale waliopotoshwa na maasiya kiroho ya Mohamed nao warejee kundini mwa umoja wa kitaifa.

Mzee Mohamed Said akiwa kama baba yangu mzazi sitamnyamazia pale anapolifarakanisha taifa kwa ngano zake hasa akitumia mwito wa kiroho.
 
Ritz, kilio changu,

..Al-Azhar ilianzishwa mwaka 972 kama chuo cha kidini.

..kwa miaka mingi waliendelea na utaratibu huo, na wameanza kufundisha degree za ki-secular miaka ya 1960.

..Chuo Kikuu kikongwe kabisa Oman kinaitwa Sultan Qaboos Univ na kimeanzishwa mwaka 1986.
 
Last edited by a moderator:
naona umekaa kiushabikishabiki humu,kwanini usiende jipumzisha kule chit-chat???

Ushabiki upi mbona unamtetea wewe na mtoto wa kwanza wa Julius Kambarage tuamini nani? Andrew Nyerere anasema ni habari hizi ni mpya kwake amemwambia Yericko ataje mama yake nani swali dogo tu. Jibu basi wewe unayetetea.
 
Usitudanganye. Hata mimi ni muandishi ingawa sijachapisha kitu. Tulifunzwa kuwa neno "inasemekana" ni hearsay. Na kama wewe ni mwandishi makini utafuatilia chanzo cha kusemekana huko na uthibitishe na ndipo itakuwa fact. Kwa mfano nikipewa tip na third party lazima niifanyie kazi hiyo tip. Nikisema "inasemekana" ni kwamba sina uhakika na kinachosemekana na kama ni mtafiti basi hujakamilisha kazi yako mpaka hilo linalosemekana lithibishwe. Hapa naona umeshamhukumu Nyerere kuwa kiongozi mbovu, mchoyo na kibaraka kwa kuamini tu yale yaliyosemekana. Aliyoyasema Nyerere mbele ya mapadri ni matter of public record lakini kwa watu wenye ajenda sishangai mkikimbia kupindisha ukweli ili kukidhi agenda zenu za inasemekana.
 
Ami tazama juu alivyokujibu wewe na tazama hapa chizi siku mbili tatu nyuma alivyonijibu mimi:

Kaka,
Mimi si mwandishi. Na si kila mtu ana kipawa cha uandishi. Lakini hilo halininyimi haki yangu ya kufichua upotoshaji. Tungekuwa sote waandishi nani angekuwa na nafasi ya kumsoma na kumkosoa mwenzake?

Hawa ndio watu wanaobisha ilimradi wabishe tu. Ukweli wanaujuwa.
 
Last edited by a moderator:
Reactions: Ami
Ngoja Maalim Mohamed Said aje kukupa darsa kwenye hilo, ndio nyanja zake hizo.

Maalim Mohamed Said naomba tukumbushe kidogo kuhusu Bibi Tabu Bint Mzee.
Maalim,kakutana na vichwa humu,anapewa yeye darsa,anajuta kuijua JF maana huko kwote alikopitia alikuwa haulizwi hard hitting questions,humu kakutana na no nonsense approach ya akina Mwanakijiji basi MS anaona aibu kupandisha bendera nyeupe
 

zomba,

Bila Mohamed Said tungeyajua haya kusoma hujui hata picha uoni.
 
Last edited by a moderator:
Ami tazama juu alivyokujibu wewe na tazama hapa chizi siku mbili tatu nyuma alivyonijibu mimi:



Hawa ndio watu wanaobisha ilimradi wabishe tu. Ukweli wanaujuwa.

Hata kuambia umechakachua watu wanabisha mpaka wanapoteza kumbukumbu wengine mpaka wanawakana baba zao wazazi.
 
Last edited by a moderator:
Mohamed Said,

..unaweza kutuletea risala "moto wa Waislamu ukiwaka" aliyoisoma Bilal Rehani Waikela mbele ya Mwalimu Nyerere?

..je, ni kweli Bilal Waikela, aliposoma risala hiyo, alimnyooshea bakora Raisi Mwalimu Juliasi Nyerere?

..je, hudhani kwamba risala hiyo ilikuwa ya vitisho, na kuijaribu mamlaka ya Raisi na Amiri Jeshi Mkuu wa Tanzania??

cc: Ritz, Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, zomba, Jasusi, Mag3
 
Last edited by a moderator:
Maalim,kakutana na vichwa humu,anapewa yeye darsa,anajuta kuijua JF maana huko kwote alikopitia alikuwa haulizwi hard hitting questions,humu kakutana na no nonsense approach ya akina Mwanakijiji basi MS anaona aibu kupandisha bendera nyeupe

Naona umeamua kujifariji na kujiliwaza.

Vipi picha zimeisha unapozitoa.

www.juliusnyerere.info
 
Mkuu hujui kuwa kwahisani ya shehe Mohame hiyo ni "inasemekana" tu?
 
Last edited by a moderator:
hujui kwa sababu gani? unawafundisha ughaidi Mood.
 
sio wazanaki tu bali makabila yote ya mkoa wa mara hata wanawake nao wanaoa.

nilijifunza haya maajab nilipokuwa huko wakti nipo mwanza.

Tusubiri jibu la Yericko
Acha uwongo mwingine wewe. Mwanza siyo Mara. Ni Wakurya peke yao walio na hii mila ya mwanamke kuoa mwanamke mwingine. Na wala hujui historia yake. Si kwamba huyo mwanamke anaolewa na huyo mama ila mama anamlipia mahari ili watoto atakaozaa wawe wa kwake. Na lengo lake lilikuwa ni kudumisha ukoo kwa mfano kama mama hakuzaa watoto. Usidanganye hapa na kujifanya mjuzi kama ulivyofanya kwenye ule mjadala wa makabila ya Kenya na Uganda.
 
Ami tazama juu alivyokujibu wewe na tazama hapa chizi siku mbili tatu nyuma alivyonijibu mimi:



Hawa ndio watu wanaobisha ilimradi wabishe tu. Ukweli wanaujuwa.

Sasa hapo unataka maelezo? Mimi ni muandishi in the sense that I have a degree in journalism and I have worked in the media profession. Mimi si mwandishi in the sense that I have not published anything worthwhile. Context. Mukhtadha.
Unalo jengine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…