zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,930
Ritz,
Mke wangu wa pili ni Muislam. Sina chuki na Uislam hata kidogo. Mwenye chuki na Uislam ni mzee Mohamed ambaye ameutumia vibaya kwenye kitabu chake na mahubiri ya ajabu anayoendelea nayo sasa misikitini. Uliona virungu na mikong'oto ya jana?
Mke wangu ananieleza vizuri juu ya utii wa Muislam kwa Allah, wazazi na mamlaka za nchi. Muislam safi kabisa hawezi kuilazimisha serikali impe dhamana Sheikh Ponda kwa njia kama ile ya jana. Kuna haja ya kuwaangalia upya watu kama Mzee Mohamed. Serikali isibaki kukimbizana mabarabarani na hawa vijana wadogo ambao hata hawajui walifanyalo.
Huyo mkeo si Muislaam ni murtaad, mwanamke wa kiislaam akiolewa na mwanamme ambae si Muislaam anakuwa amejitowa katika Uislaam. Asikae anajidanganya kuwa yeye ni Muislaam.