Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Una dini lakini adui yako mkubwa ni Uislam...unajua wewe ni mtu muhimu sana kwenye huu munakasha michango yako inawavuta Waislam kumjua adui yao.
Uislam wa aina ya Mohamed Said, Sheikh Ponda, Ilunga, na wengine wa aina hiyo hao ni maadui wakubwa wa UTAIFA wetu. Wewe Ritz, zomba, hamko hivo. Naamini michango yenu imetusaidia kufika hapa tulipofika.
 
Soma tena upumbavu wako huu na kisha jitathimini uone kama unastahili kuwa kwenye hili jukwaa la "Great Thinker" we kibwengo!
 
Uislam wa aina ya Mohamed Said, Sheikh Ponda, Ilunga, na wengine wa aina hiyo hao ni maadui wakubwa wa UTAIFA wetu. Wewe Ritz, zomba, hamko hivo. Naamini michango yenu imetusaidia kufika hapa tulipofika.

Ukiona adui yako analisifia jambo lako basi achana nalo.

Lakini ukiona adui yako analiponda jambo lako basi shikamana nalo mpaka mwisho.

WildCard,

Mohamed Said ni mtu muhimu sana katika jamii yetu ya kiislam huo ndiyo ukweli kafanya kazi kubwa sana sisi hatuna cha kumlipa zaidi ya Dua kwa ALLAH.
 
Last edited by a moderator:
Kama ni kuruka ruka kukwepa kujibu hoja basi wewe ni zaidi ya chura.
Hapo juu kati ya waliopata DIV 1 unayeamini kuwa ni muislamu basi ni huyo wa mwisho.Kamati iliyoundwa na ikatoa ripoti serikali ikakataa kuiweka hadharani na kuitekeleza imeona madudu makubwa kiasi kwamba kupata jina moja la muislamu kwenye shule ya kikristu basi haitoi majibu ya madudu hayo.
Mfano watoto wa kiislamu waliofanya mtihani wa maarifa ya kiislamu kwenye shule za kikristu walifaulu zaidi kuliko wale waliofanya mtihani huo kwenye seminari za kiislamu.Aliyepata Math 43 kwenye shule za kikristu iliitwa B lakini aliyepata 45 kwenye shule za kiislamu iliitwa F.
Sasa huyo Mustapher kupata DIV 1 ilikuwa ni juhudi tu ya kupandisha daraja hiyo shule ya kikristu.Hivyo ulichoona kwa hiyo shule aliyosoma nduguyo ni kidogo sana na hakina mashiko kuliko kilichopatikana na tume.
 

Jasusi,

Katika wazee wako hapo Musoma mnae mtu kama Kleist
na mwanae Abdulwahid.

Watu wanaoweza kukupa historia yao ya harakati kuanzia
Wajerumani walipotia mguu Tanganyika hadi walipoingia
Waingereza?

Hapo Musoma mna Askofu aliyekuwa ndani ya TAA kisha
TANU kama Mufti Sheikh Hassan bin Amir.

Hapo Musoma mnao mfano wa Sheikh Mohamed Yusuf
Badi na mwanafunzi wake Yusuf Chembera wa Lindi
waloasisi TANU na kupambana na fitna za Kanisa Katoliki
lilokuwa linawatisha Wakristo wasijiunge na harakati za
kudai uhuru?

Sitaki nionekane nasimanga lakini ngoja nikuambie neno
langu la mwisho...

Hatungeweza sisi kuona historia hii ya wazee wetu inatupwa
nasi tukakaa kimya.

Hivi unajua kuwa siku ya Nyerere Day ndiyo Waislam nasi
huwaadhimisha mashujaa wetu?

Najua fika.
Hukuwa unajua.

Huu ndiyo ukweli.
Hivi ndivyo mambo yalivyo.
 

Ritz,

Amin Amin Amin kwa sote.
 
Wewe badala ya kulialia hapa, mtake Mwanakijiji alete ushahidi dhidi ya tuhuma dhidi yako!
 
Hapo huna mke una hawara mke ni yule ambaye sheria zilizowekwa na mungu zinamtambua,hapo unaposea hutambui swali la dini ni pumzi ndio zinazokupa kiburi subiri zitakapo katika
Sasa mbona unaleta mambo ya miskitini hapa jamvini? Swala hapa ni kuchambua histohisia ya mzee wako bingwa wa uchochezi Mohamed Saidi. Hizi habari za pumzi kukatika wapelekee jamaa zako muskitini, wewe vipi!
 
Mohamed Saidi, wanenu watafaulu vipi mitihani ya NECTA wakati wanaacha shule na kwenda kuolewa? Usipate shida sana, njoo huku Lindi na Mtwara, shule nyingi mwaka huu hazina wanafunzi wa kidato cha tatu kwa kuwa mtihani wa kidato cha pili ambao hauendeshwi na NECTA umewashinda. Mohamedi, binadamu tumezaliwa na mshipa wa aibu, lakini wewe mshipa huo huna ndio maana unaweza kuja na uongo kama huu bila aibu! Napata shida sana kuamini kama kweli wewe ni mcha Mungu, kwani kama ingekuwa unamuogopa Mungu usingetumia uislam kusema uwongo!
 
Kwenye ukirsto haumo lakini ni mtetezi mkubwa wa Kanisa na mfumo kirsto. Naona unajichanganya si wewe ndiyo uliyekuwa unanipa darsa la Ukatoliki nilivyokuambia Nyerere alikuwa analelewa na Padri.
Kwani mtu kuufahamu ukristo ni lazima awe muumini wa dini hiyo! kwani nyie mnaokesha mukiutetea uislam hapa ni waislam wa kweli?
 
Sasa mbona unaleta mambo ya miskitini hapa jamvini? Swala hapa ni kuchambua histohisia ya mzee wako bingwa wa uchochezi Mohamed Saidi. Hizi habari za pumzi kukatika wapelekee jamaa zako muskitini, wewe vipi!

Hivi wewe mbulula kwann unanifuatilia sana si ulisha sema mimi sio saizi yako sasa mbona povu linakutoka tuliza mshono mtoto
 
Hivi wewe mbulula kwann unanifuatilia sana si ulisha sema mimi sio saizi yako sasa mbona povu linakutoka tuliza mshono mtoto
Nakwambia hivi, mambo ya muskitini na vitisho vyako vya kila siku vya pumzi kukatika wapelekee waumini wenzako, sisi hapa ni kumkoma nyani kwenda mbele juu ya HISTOHISIA ya mzee wako bingwa wa uchochezi Mohamedi Saidi, kwanini huelewi?
 
WEWE mbona umepita ST JOSEPH
 

Mkuu mnakasha umekushinda naona umeamua kuvuka mipaka
 
Ona ulivyodanganywa na ukadanganyika, haya tuwekee hiyo taarifa hapa!
 

Samahani kwa kukujuza kuwa, kwa kuwasoma mafundisho yenu kwa uchache wake nimeweza kuelewa kuwa wewe ni kondoo unaechungwa na mchungaji wa kondoo (si yangu haya, ni yenu wenyewe), sina uhakika cheo cha mbwa na ng'ombe kina tofauti ipi na kondoo. Ngoja nikipitie tena kitabu cha George Orwel "The animal farm", labda ntapata ufumbuzi.

Umesema kweli kabisa "mapenzi hayana dini" na ndiyo maana nikakwambia huyo mkeo hayupo katika Uislaam usijidanganye wala asijidanganye, yeye kafata mapenzi hakufata dini, Uislaam ni dini, hapo sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…