Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mag3,

Fata ushauri unaopewa, soma!

Zomba,

Hapa nimegundua kitu kimoja.
Ndugu zetu hawakupata kusoma vitabu huko utotoni.

Ndiyo maana hata uandishi wao ni wa matata matata.
Huoni ile ''intellect'' katika maandishi yao.

Hayana kitu kabisa.
Mwisho yanaangukia katika matusi.

Hatukani mtu mwenye vitu katika kichwa
wala hapandwi na ghadhabu.

Kwa kuwa unaona bao unafungwa unavuruga
kete.
 
Zomba,

Hapa nimegundua kitu kimoja.
Ndugu zetu hawakupata kusoma vitabu huko utotoni.

Ndiyo maana hata uandishi wao ni wa matata matata.
Huoni ile ''intellect'' katika maandishi yao.

Hayana kitu kabisa.
Mwisho yanaangukia katika matusi.

Hatukani mtu mwenye vitu katika kichwa
wala hapandwi na ghadhabu.

Kwa kuwa unaona bao unafungwa unavurugu
kete.

Mimi siku zote huwaambia "sisi huanza kusoma chuo, nyinyi mpaka muwe watu wazima ndio mwende chuo, tena waliobahatika". Hawanielewi!
 
Ritz, Huyu bwana angekuwa anasoma wala asingeuliza maswali hayo.
Ajabu anaandika kwa hamaki na chuki.
Ha ha haa...! Mohamed Said, JF inasomwa na watu makini zaidi ya Ritz, zomba na zubeda, chuki zenu kwa Baba wa Taifa ziko wazi lakini mimi kama nina chuki zangu ni dhidi ya wachochezi na wapuuzi ambao wameamua kwa makusudi mazima kupanda mbegu ya chuki miongoni mwa peace loving Tanzanians kwa kivuli cha dini. Ushahidi wa vitendo vyako nashukuru umevianika wazi wenye macho wavione na matunda yake kama ulivyotuhadharisha hapo nyuma vimeanza kuonekana. Sina ugomvi wowote na Waislaam na naamini Muislaam yeyote anayeongozwa kwa mafundisho mema ya dini ya Kiislaam hawezi kukuunga mkono na, upende usipende, hao wako wengi kuliko, kwa upofu wako, unavyofikiria
 
Ha ha haa...! Mohamed Said, JF inasomwa na watu makini zaidi ya Ritz, zomba na zubeda, chuki zenu kwa Baba wa Taifa ziko wazi lakini mimi kama nina chuki zangu ni dhidi ya wachochezi na wapuuzi ambao wameamua kwa makusudi mazima kupanda mbegu ya chuki miongoni mwa peace loving Tanzanians kwa kivuli cha dini. Ushahidi wa vitendo vyako nashukuru umevianika wazi wenye macho wavione na matunda yake kama ulivyotuhadharisha hapo nyuma vimeanza kuonekana. Sina ugomvi wowote na Waislaam na naamini Muislaam yeyote anayeongozwa kwa mafundisho mema ya dini ya Kiislaam hawezi kukuunga mkono na, upende usipende, hao wako wengi kuliko, kwa upofu wako, unavyofikiria

Mag,

Sina ugomvi na Wakristo kama wewe ulivyokuwa huna ugomvi
na Waislam.

Lakini hii hainizuii kueleza ukweli kuwa nchi ina tatizo la udini.

Hakika umesema ukweli hakuna Muislam atakaeniunga mkono
ikiwa mimi nasema uongo.

Waislam wengi wananiunga mkono na wanaamini nisemayo na
wanachukia dhulma.

Allah katufunza katika Qur'an kuwa tusidhulumu wala tusikubali
kudhulumiwa.

Huo ndiyo Uislam.
 
Ha ha haa...! Mohamed Said, JF inasomwa na watu makini zaidi ya Ritz, zomba na zubeda, chuki zenu kwa Baba wa Taifa ziko wazi lakini mimi kama nina chuki zangu ni dhidi ya wachochezi na wapuuzi ambao wameamua kwa makusudi mazima kupanda mbegu ya chuki miongoni mwa peace loving Tanzanians kwa kivuli cha dini. Ushahidi wa vitendo vyako nashukuru umevianika wazi wenye macho wavione na matunda yake kama ulivyotuhadharisha hapo nyuma vimeanza kuonekana. Sina ugomvi wowote na Waislaam na naamini Muislaam yeyote anayeongozwa kwa mafundisho mema ya dini ya Kiislaam hawezi kukuunga mkono na, upende usipende, hao wako wengi kuliko, kwa upofu wako, unavyofikiria

Kutoka Mwembechai Killings:

[SIZE=+0]It was against the above background that Alhaj Ramadhani Madabida, on behalf of the Muslim community in the country, presented to President Mkapa Muslim grievances about religious discrimination in the country. By way of illustration he cited religious imbalances in education, employment, and imprisonment, the disregard of Muslim Personal Law, religious prejudices against OIC membership, and the handling of the Mwembechai crisis. And it was in that socio-political context that President Mkapa made his milestone speech. Before I look at his response, it is important to keep in mind the immediate public reaction to his speech. The reaction was mixed, and generally polarised along religious lines. While many Muslims exploded with joy, and were generally pleasantly surprised, many Christians seethed with apprehension and genuinely felt the President's speech was ill-advised. All newspapers except the Muslim weekly newspaper, An-Nuur, sidelined the President's speech. It was the Muslim newspaper An-Nuur (January 22-28, 1999)which published the full texts of both, Madabida's speech and Mkapa's response.[/SIZE] [SIZE=+0]In his initial response to the political grievances aired by the Muslim community, President Mkapa encountered the dilemma faced by his government in addressing such complaints. He also suggested procedures which he believed could amicably resolve the problem. His dilemma was, as far as the government was aware, in its vision, in its constitution, and in actual practice, Tanzania had always abhorred discrimination in all its forms and manifestations, which included religious discrimination. And yet a large section of the Muslim community seemed to believe that while in theory Tanzania was religion-blind, in the sense of giving equal opportunities to all citizens, in practice the government was not only openly biased in favour of Christians, and especially Catholics but also decidedly anti-Muslim. Again from the government's point of view there was absolutely no policy, overt or covert, to marginalise Muslims, despite the latter's insistence that their under-representation in education and key government positions was not fortuitous but calculated.[/SIZE]
 
Kaa kimya wewe umeulizwa ulikuwa unakaa nao wapi? walikuwa wanafanya biashara gani? huna jibu.

Kina Gurnah uliza kisutu yote wanajulikana kama wamechanganya damu usipende kudandia mambo wewe mtoto wa kiume unatupa mashaka.
GURNAH,wa kisutu ni yupi? zomba kasema gurnah wa swahili-hawa nawajua fika-my stance ni hawa ni wayemen parsee
 
Last edited by a moderator:
LARGER THEN LIFE
nyerere2.jpg
 
Mag3,

Fata ushauri unaopewa, soma!

Zomba,

Hawa wanaogopa vitabu.

Nimewagundua naweka vitu vya ndani sana
katika historia ya Tanganyika.

Basi hatakutoa ''comments'' hawawezi wao
ni kuuliza maswali yasiyo na tija labda nitashindwa
kujibu wazomee.

Wangeanza hapa wasome na waje na kitu chao nasi
tusome.

Nawapa Mwembechai Kiliings nyingine wapitie:

It is worth recalling that the German colonial authorities decided it was necessary to use forced labour including the use of the lash to induce the African to work. They also believed that Africans, all Africans had criminal tendencies, lacked personal initiative and self-discipline and were lazy by nature (Koponnen, 1995). Similar arguments are now being presented by the privileged group in Tanzania to explain the gross under-representation of Muslims in education and in key government positions. Muslims, we are told have no one to blame except themselves. This is because they do not value education, they are lazy and extravagant, and being fatalistic, they lack the enterprising spirit which is so crucial for personal advancement. In his widely acclaimed book, The Life and Times of Abdulwahid Sykes: The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Said (1998) has presented a detailed account of not only how Muslims spearheaded the struggle for independence but also how their numerous programmes to advance themselves were (and still are being) interfered with by the Christian-dominated government. So far no one has as yet challenged the evidence presented by Mohamed Said. Nor has anyone questioned the devastating findings reported by Sivalon (1992). But since the problem is not lack of information but a determination to maintain the status quo, the derogatory charges against Muslims continue unabated.
 
We vipi! mfumo wa damu unavyofanya kazi mwilini ni sawa na Mfumo kristo, sasa wewe damu ya Mwezini ambayo Mama ako na Dada zako wanazipata kwanini unataka kuunganisha na Mfumo kristo?
Kama wee unaona vitu hivi ni sawa basi, laa ajabu nini? Kwani kwenda mwezini tusi au ndio maumbile ya mwenyezi Mungu? bila shaka mama yangu huenda na dada zangu in fact kila mwanamke amejaliwa hilo, ni sifa kubwa na ndio maana tumezaliwa au wewe mjuzi kuliko Mungu hadi unaona kitendo hicho ni aibu isozungumzwa?..Ati mfumo kristu ni sawa na mfumo wa damu, I mean jamani, sasa wewe ndio ulouunda huo mfumo kristu hadi ujue unavyofanya kazi...
 
Hivi huu mnaouita mfumo kristu sijui, ndiyo unamfanya mtoto wa kiislamu ajibu sivyo ndivyo kwenye mtihani?????

Unamuuliza mwanafunzi swali, Makao makuu ya Tanzania ni mkoa gani? Mwingine anajibu MBAGALA, Mingine DODOMA. Sasa mfumo kristu ndo umemfundisha huyu mtoto makoa makuu ya tz ni MBAGALA? Acheni kubwabwaja, wasomesheni watoto zenu. Huu ujinga wa kujifariji kwa kuonewa na mfumokristu hautawafikisha popote. Unapohisi njaa hupigi kelele, unatafuta chakula unakula.
 
Hivi huu mnaouita mfumo kristu sijui, ndiyo unamfanya mtoto wa kiislamu ajibu sivyo ndivyo kwenye mtihani?????

Unamuuliza mwanafunzi swali, Makao makuu ya Tanzania ni mkoa gani? Mwingine anajibu MBAGALA, Mingine DODOMA. Sasa mfumo kristu ndo umemfundisha huyu mtoto makoa makuu ya tz ni MBAGALA? Acheni kubwabwaja, wasomesheni watoto zenu. Huu ujinga wa kujifariji kwa kuonewa na mfumokristu hautawafikisha popote. Unapohisi njaa hupigi kelele, unatafuta chakula unakula.

Watoto wangu wanasoma Feza
 
Back
Top Bottom