Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Zomba,
Hapa nimegundua kitu kimoja.
Ndugu zetu hawakupata kusoma vitabu huko utotoni.
Ndiyo maana hata uandishi wao ni wa matata matata.
Huoni ile ''intellect'' katika maandishi yao.
Hayana kitu kabisa.
Mwisho yanaangukia katika matusi.
Hatukani mtu mwenye vitu katika kichwa
wala hapandwi na ghadhabu.
Kwa kuwa unaona bao unafungwa unavuruga
kete.