Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


WildCard,

Mfano wako mbona tofauti sana Chadema, CUF, NCCR Mageuzi, siyo vyama kupigania uhuru ni vyama ambayo vinataka kutawala Tanzania huwezi kuvifananisha na AA, TAA, TANU.

Hao wazee wazalendo wacha waendelee kuwa kwenye kitabu cha Mohamed Said inatosha sana.
 
Asikudanganye mtu Ritz. Kuipata Ikulu kama hii ya Tanzania, kwa namna ilivyokamatwa na CCM, ni zaidi ya kupigania uhuru ule wa 1961. Siku CCM ikiondoka Ikulu, Tanzania haitakuwa hii amin nakwambia!
 


Nanren,

Uislam ni dini inataratibu zake Uislam haufuati umaarufu wa mtu wala utajiri wala rangi.

Mungu anasema Muislam bora ni yule anayemcha Mungu na kufuata kitabu Qur'an na Sunna.

Wewe unadhani mtu yeyote tu hakiwa anaitwa Khamisi, Ally basi anaweza kuwa Muislam Muumini bila kufuata mafundisho ya Uislam.
 
Asikudanganye mtu Ritz. Kuipata Ikulu kama hii ya Tanzania, kwa namna ilivyokamatwa na CCM, ni zaidi ya kupigania uhuru ule wa 1961. Siku CCM ikiondoka Ikulu, Tanzania haitakuwa hii amin nakwambia!

Kuiondoa CCM madarakani rahisi sana tatizo kuna kundi moja ambao ni mabaki ya Nyerere linaojiita wasomi wao ndiyo kikwazo.
 
Uislam wa Sheikh Ponda, Mzee Mohamed Said, Mzee Ali Hassan Mwinyi, Ritz, Osama bin Laden, Abdulwahid Sykes, ni sawa?
 
Kuiondoa CCM madarakani rahisi sana tatizo kuna kundi moja ambao ni mabaki ya Nyerere linaojiita wasomi wao ndiyo kikwazo.
Haiwezekani Ritz. Mzee Mohamed alitudokeza humu kuwa ilibidi akina Sheikh Ponda wazunguke nchi nzima kuwaambia Waislam wambakize Jakaya wetu madarakani 2010!
 

Sawa Nimekusoma.
Naomba basi unisaidie, lile neno "muslims" kwenye ile sentensi ya Moh Said, lilikuwa linamaanisha waislam wepi? na wanatambulikaje? Wanatofautishwa vipi na waislam tulio nao makazini na mitaani kwetu?
 
Uislam wa Sheikh Ponda, Mzee Mohamed Said, Mzee Ali Hassan Mwinyi, Ritz, Osama bin Laden, Abdulwahid Sykes, ni sawa?

WildCard,

Muislam bora ni yule anayefuata mafundisho ya kitabu Qur'an na Sunna.

Kama utafuata haya mafundisho lazima utajihepusha na maovu yote na kusimama kwenye haki.
 
Haiwezekani Ritz. Mzee Mohamed alitudokeza humu kuwa ilibidi akina Sheikh Ponda wazunguke nchi nzima kuwaambia Waislam wambakize Jakaya wetu madarakani 2010!

Halafu na nyie Makanisani mkaamasishana lazima Dr Slaa tumchague.

Tuliona kule Sumbuwanga waumini walifukuwa Kanisani kwa kuipigia kura CCM.

Sasa hauoni tatizo hapa kama kuna udini Tanzania au udini kwako upo kwa Mohamed Said tu.
 


Unashangaza sana,na unatia kichefu chefu hata kuendelea kukisoma hiko ulichokiandika..

Umeingiza maneno mengi sana katika andiko lako ya uzushi na uzandiki ili uendeleze na harakati zako za kuwatoa wasomaji walio wengi kuupata ujumbe unaostahiki,hivi kama kweli una nia ya kukosoa kwanin sasa ukosoe kwa kutumia uzushi?

wapi katika kitabu cha Mohamed Said aliposema yeye anashikilia maandiko yake na kile anachokieleza eti kwa kuwa wazee wake walikua mstari wa mbele katika kupigana uhuru basi na vizaz vyao vipewe jazaa ya aina fulan?kama vyeo na kadhalika?wapi ilipooneshwa hivyo katika mantik ya kitabu chake..

Na ni wapi alipoandika kitabu ku-attack christians?mbona unapotosha sana?

Kumbe sasa upo hapa ukipigana vita ya msalaba kutetea christians wenzako si ndiyo?

Na siwez kushangaa,kwa kila nimuonaye katika nyie mnaopinga wote ni christians,hakuna hata mmoja ambae kajitambulisha au kujionesha yeye ni mtu wa iman ya uislam,ni waz kbs nyinyi mmeamua kupigana Crusade war,lakini haitosaidia,kwan mliyoelezwa mmeelezwa kwa ushahid uliojitosheleza kabisa..


Hamna lolote mnalosi mamia zaid ya chuki zenu za kidini,wakati hapa kinazungumzwa kitu chenye uhalisia uliotukuka..

Haitawasaidia..
 
Ni Nyerere nasababu ni chuki zake na kutaka wakatoliki wawe juu na ndio sera inayotawala duniani kukuthibitishia haya nijibu swali hili unajua kwanini Nyerere alipambana kumng'oa Idd Amini?
Sio kosa lako bwana mdogo, tatizo lipo kwenye kiwango chako kidogo cha elimu ambacho Mohamed Saidi amekigeuza kuwa uwanja wake wa kufanyia mazoezi ya kupandikiza chuki dhidi ya watu wengine. Sitakulaumu wewe bwana mdogo, nailaumu CCM na sera zake mbovu za elimu zilizo sababisha vijana kama wewe mkose elimu bora mkaishia kupata bora elimu. Namlaumu sana Mohamed Saidi ambaye badala ya kuwasaidia vijana kujiamini na kutafakari kwa kina matatizo yao, yeye anawajengea kuto kujiamini na kufikiri matatizo yanaletwa na ukristo!
 
Halafu na nyie Makanisani mkaamasishana lazima Dr Slaa tumchague.

Tuliona kule Sumbuwanga waumini walifukuwa Kanisani kwa kuipigia kura CCM.

Sasa hauoni tatizo hapa kama kuna udini Tanzania au udini kwako upo kwa Mohamed Said tu.
Kuna mahala aliji-misdirect Kikwete wetu. Juzi kwenye hotuba yake ya mwisho wa mwezi aliongea vizuri sana kuhusu UDINI. Akaniunga mkono kwa mimi kuwa na mke wa pili Muislam!
 
Ilianza Ban kwa THE BIG SHOW,ikaja Ban kwa zomba,sasa tunaona imekuja kwa Ritz,,


Wale wote wanaoonekana ni wana jitanabaisha na kuzikubali zile zinazoitwa Ngano na Histohisa za Mohamed Said wameondolewa na kupewa Ban kwa lugha zisizofaa,huku wengine wengi wanaotumia lugha za matusi na kejeli kwa makusudi na kuharibu mjadala huu wanaachwa,Basi ufungwe tu mjadala ieleweke moja,kila mtu ana haki ya kuzungumza uhalisia,kunyimwa haki kwa wengine huku wengine wakiachwa kunazua maswali mengi sana juu ya uhuru ndani ya jukwaa hili..
 
Last edited by a moderator:
Huu mjadala unaonekana umeisha.Hapa nawaonaa akina Ritz na Mohammed Said wakipasha moto misuli katikati ya uwanja.Watu majeruhi kama Mzee Mwanakijii ni wa kuokolewa.Anachofanya Mzee ni udowezi na usanii tu.
Wa kumuokoa hakuna kwa sababu refa na mashabiki bado wana matumaini nao huenda wakajibu au wawe wa mwisho kujibu halafu iwe mwisho.
Nilitamani nirudie kuchangia kule Ukweli kuhusu waasisi lakini nikakuta tayari kumefungwa.
Watetezi wakubwa wa Nyerere wanauliza maswali yaliyojibiwa au kujiuliza na kujijibu wenyewe bila kujua wanachokifanya.Hii ni dalili ya kuchanganyikiwa.

Sehemu nyingi wamesema eti historia ya Mohammed Said watu wameipuuza.hapo chini wanajipinga kwa kusikia kwenye gari
kawaharibusi kidogo jana nipo kwenye bus naelekea mwanza ukazuka mjadala kwenye gari.Vijana walivyokuwa wana'quote MS kana kwamba vitabu vyake ni msaafu




hapo ni 410 lakini jibu lilitoka tangu 282.

Mzee Mwanakijiji anapojibiwa tena anakaa kimya kusubiri vumbi litulie aje na swali jengine.Huu ni mjadala wa aina gani jamani?.

Hiyo ya mwisho inajibiwa na maandishi haya ya Mohammed Said.

Yuko wapi Yerico?.Akirudi anauliza viswali vifupi vifupi.Mwenyewe amekubali kuwa Mohammed kaandika historia kutokana na utafiti.Huu si uchochezi bali ndio ukweli wenyewe.
 

Ritz, kala ban.
 
Last edited by a moderator:

Sawa mkuu elimu yangu ndogo wewe mwenye elimu una nini cha maana? mimi siku fichi nimesoma madrasa sana na ndio kimbilio lenu la kudharau madrasa lakini kwangu madrasa na bora sanaaaa kuliko unavyofikiria wewe ni viongozi wangapi leo hii wamesoma lakini hao hao ndio mafisadi wakutupwa au lusoma sana ndio watu wanafundishwa ufisadi lakini kama kweli unaimani yako ya dini kweli Tanzania isingefika hapa ilipo lakini kwa vile nchi haina dini wacha watu wachote wachape mwendo,uislamu unasema mwizi akatwe mkono,anaezini apigwe fimbo 100 na masuala ya mirathi kitabu chetu kimeeleza yote leo hii ni wanawake wangapi waume zao wamekufa na wamedhulumiwa mtihani mkubwa kwahiyo mkuu usome kwanza uislamu siku force uingie wewe baki huko huko kwenye mambo yako
 
Tuanze na cdm nani pale anaweza kuingia kwenye historia ukimwangalia katibu mkuu mzi.......z mwenyekiti jd walabda uwapeleke kwenye guinness book ngoja ninyamaze nisije nikala ban kwamaana hali imechafuka kwenye huu uzi sasa hivi utasikia mzee MS kapigwa ban lakini gwalihenzi anatesa kwa raha zake mfumo kristo bwana uko juu!
 
Pole sana
 
Ha ha haaaaaaaaa....wafia dini wa gerezani wote wamepata Ban. Bado kubwa lao la maadui mzee Mohamed Said.

Lakini mimi niliwaambieni hapa kuwa nyinyi wafia dini wa Gerezani huu mjadala teyari mmeshaangukia pua ila kujiondoa
mkawa mnashindwa kwa kuona aibu, so sasa mlichokuwa mnakifanya hapa ni ushabiki na vijembe tu badala ya hoja.

Sasa mmekosa yote. Kwenye mjadala mmekufa chali na ban juu.....shame on u all.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…