THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
THE BIG SHOW ndio huyu mchizi uliye mjibu...
Asante sana Jasus kwa taarifa hii kwani kunawatu hapa wanatumia uislam wa Fundikira kama blanketi kufunika swala hilo. Nyerere mara nyingi alilizungumza jambo hilo alipokuwa anaonesha kukelwa na rushwa. Hakuwa anataja jina ila cheo. Sijui Mohamed anasemaje maana sijamsikia akigusia hilo ila kutaja sifa za kumbukumbu za majina ya vizazi!Labda tusahihishe historia kidogo. Fundikira hakujiuzulu uwaziri wa sheria mwaka 1963 kwa sababu ya kutofautiana na Nyerere. Fundikira alikuwa waziri wa kwanza katika serikali ya Tanganyika kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za rushwa. Ilibidi ajiuzulu kwa sababu hiyo. Nyerere kuna sehemu alielezea kuwa Fundikira alipatikana na hatia lakini hakimu Muingereza aliona shida kumfunga jela. Fundikira akahamia Nairobi ambako alifanya kazi kwenye East African Community.
Mkuu Ngongo, umesema kweli kabisa. Hivi unaweza kuwatofautisha THE BIG SHOW na Dullah? kwi! kwi! kw!
mapovu ya nini tena ustaadh Dullah?Mpumbavu akishindwa kuuficha upumbavu wake,tunatumia busara zetu Kumpuuza tuh na kumdharau..
Umeenda haraka sana, na unamihemko sana,Unashangaza sana,na unatia kichefu chefu hata kuendelea kukisoma hiko ulichokiandika..
Umeingiza maneno mengi sana katika andiko lako ya uzushi na uzandiki ili uendeleze na harakati zako za kuwatoa wasomaji walio wengi kuupata ujumbe unaostahiki,hivi kama kweli una nia ya kukosoa kwanin sasa ukosoe kwa kutumia uzushi?
wapi katika kitabu cha Mohamed Said aliposema yeye anashikilia maandiko yake na kile anachokieleza eti kwa kuwa wazee wake walikua mstari wa mbele katika kupigana uhuru basi na vizaz vyao vipewe jazaa ya aina fulan?kama vyeo na kadhalika?wapi ilipooneshwa hivyo katika mantik ya kitabu chake..
Na ni wapi alipoandika kitabu ku-attack christians?mbona unapotosha sana?
Kumbe sasa upo hapa ukipigana vita ya msalaba kutetea christians wenzako si ndiyo?
Na siwez kushangaa,kwa kila nimuonaye katika nyie mnaopinga wote ni christians,hakuna hata mmoja ambae kajitambulisha au kujionesha yeye ni mtu wa iman ya uislam,ni waz kbs nyinyi mmeamua kupigana Crusade war,lakini haitosaidia,kwan mliyoelezwa mmeelezwa kwa ushahid uliojitosheleza kabisa..
Hamna lolote mnalosi mamia zaid ya chuki zenu za kidini,wakati hapa kinazungumzwa kitu chenye uhalisia uliotukuka..
Haitawasaidia..
Huu mjadala unaonekana umeisha.Hapa nawaonaa akina Ritz na Mohammed Said wakipasha moto misuli katikati ya uwanja.Watu majeruhi kama Mzee Mwanakijii ni wa kuokolewa.Anachofanya Mzee ni udowezi na usanii tu.
Wa kumuokoa hakuna kwa sababu refa na mashabiki bado wana matumaini nao huenda wakajibu au wawe wa mwisho kujibu halafu iwe mwisho.
Nilitamani nirudie kuchangia kule Ukweli kuhusu waasisi lakini nikakuta tayari kumefungwa.
Watetezi wakubwa wa Nyerere wanauliza maswali yaliyojibiwa au kujiuliza na kujijibu wenyewe bila kujua wanachokifanya.Hii ni dalili ya kuchanganyikiwa.
Sehemu nyingi wamesema eti historia ya Mohammed Said watu wameipuuza.hapo chini wanajipinga kwa kusikia kwenye gari
hapo ni 410 lakini jibu lilitoka tangu 282.
Mzee Mwanakijiji anapojibiwa tena anakaa kimya kusubiri vumbi litulie aje na swali jengine.Huu ni mjadala wa aina gani jamani?.
Yuko wapi Yerico?.Akirudi anauliza viswali vifupi vifupi.Mwenyewe amekubali kuwa Mohammed kaandika historia kutokana na utafiti.Huu si uchochezi bali ndio ukweli wenyewe.
Maneno ya Kitoto mtu mzima kumwambia mtu mzima mwenzake yanatia shaka sana,
Hiyo yote ni ishara ya kutojiamini,waza na endelea kuwaza mnayowazia,najua kwa jins akili zako zilivyo fupi huwez kujua na hutoweza kujua uhalisia wangu,nafurahi sana kwa jins unavyoweweseka na kivuli cha mtu mwingine hadi kufikia hatua ya kukilandanisha na mimi,
Hapa tunachofanya ni kuwatoa maana na kuonesha jins msivyoweza kutumia akili katika kung'amua mambo...
Bado utazid sana kuweweseka,ila all in all sisi tunajiskia faraja kwa jamii kubwa kuzid kuufam ukweli huu unaosemwa na Mohamed Said..
Hivi unamjua Hannan Ashrawi? hujui kuwa ni Mpalestina Mkristo? au wewe unafikiri Waarabu wote ni Waislamu? hivi unajua Wapalestina Wakristo ni asilimia ngapi?
صور the pope visit to palestine picture‏
Papa akisujudu ardhi ya Palastina! Picha chini akiwa GAZA!
Haya yanafaa kwenye mihadhara yenu na sio hapa!
Halafu na nyie Makanisani mkaamasishana lazima Dr Slaa tumchague.
Tuliona kule Sumbuwanga waumini walifukuwa Kanisani kwa kuipigia kura CCM.
Sasa hauoni tatizo hapa kama kuna udini Tanzania au udini kwako upo kwa Mohamed Said tu.
bwana mdogo wa Mzumbe, hasira zote za nini, ila siku zote ukweli unauma...
Kwani alieyaleta hapa ni Mohamed Said au nyie mnaodai Uchochezi?
Kwa aliyeanzisha hii thread amempa Mohamed credits nyingi.
Mmelikuza jina lake nakumpa nafasi yakuandika kwenye kitabu chake.
Binafsi nilikua sikijui kitabu chake lakini nitakitafuta.
Tunajua ukweli unauma sana,,
Na tunajua ni kwa nini nyinyi mnaumia,ni kwa sababu ya ukweli huu unaosemwa unaosemwa.
Polen sana kwa maumivu mnayoyapata kwa ukweli huu unaosemwa na Mohamed Said..
Tumia akili kidogo, kwani wewe hujui kwamba Mohamed Saidi ni mtu maarufu na hasa kwenye mihadhara? au unadhani mjadala kuhusu Kitabu chake ni mara ya kwanza kuja hapa Jf?Pole sana!Kwani alieyaleta hapa ni Mohamed Said au nyie mnaodai Uchochezi?
Kwa aliyeanzisha hii thread amempa Mohamed credits nyingi.
Mmelikuza jina lake nakumpa nafasi yakuandika kwenye kitabu chake.
Binafsi nilikua sikijui kitabu chake lakini nitakitafuta.
kwa hiyo hayo mapovu yote ya nini?
Hatuwez kuwaacha mkiruka ruka kama kuku mliochinjwa kwenye matambiko kisha mkaachwa mkiwa mnaruka ruka kwa maumivu vile na kuja hapa kuuharibu mjadala na hoja zinazotolewa,
Kama mmeishiwa hoja,tulien na msije na viroja vyenu visivo na mbele wala nyuma..
Tofauti na ccm, hakuna chama ambacho kishawahi kutawala nchi na kikatawala kwa ukanda au udini kama kipo nifahamishe.Tusiichague CCM sawa! wewe unashauri tuchague chama gani mbadala? chenye uadilifu, kisichoegemea udini na ukanda?
havina uhusiano hata na nilichouliza.Hivi na wewe unakubaliana na wale walioamini kuwa Nyerere alikuwa na fikra sahihi? na zidumu? zitadumu kweli?
kwani we umechangia hoja gani zaidi ya viroja, mi na wewe nani mwenye viroja? Nadhani we ndio mwenye viroja...