Haya maswali yako yote yanajibiwa na jibu moja tu.
Wanaopitisha waajiri serikalini ni Wakirsto wametokana na mfumo kirsto unategemea nini ukitaka uthibitisho angalia "Ratio" kati ya Waislam na Wakirsto katika wizara zote serikali pamoja na taasisi za umma.
Hivi kumbe serikali inaajiri kulingana na dini ya mtu...
Wakiwa waislam wengi sehemu tuite "mfumo mohamad" wakiwa wakristu wengi "mfumo kristu" wakiwa wapagani wengi "mfumo pagan" wakiwa wahindu wengi "mfumo hindu" wakiwa wachaga....wakiwa wamakonde....
Hivi Dubai nako kuna mfumo gani??
Nakukumbusha utoe solution kama uliemjibu alivyoomba...
Hata mimi nikisema Mzee Mwanakijiji ana wivu binafsi na historia ya Mohammed Said na mafanikio yake,na kwamba Mzee huyu ametumwa aifanyie husda kwa kuzusha hili na lile hata kama hana ushahidi.Mtu anaweza akataka nipate barua kutoka kwa aliyemtuma au nilete mahojiano na Mzee mwenyewe.Na wapo watu wana akili timamu wanaweza kabisa kuamini kuwa 'nyerere hakupenda historia ianze kabla yake'! Ukiulizwa ulijuaje hakupenda, utasema 'nisemayo ni kweli, kama unaamini sawa huamini siyo sawa'. Halafu unajitambulisha kuwa ni kazi ya kiacademic!
Kwenye maandishi ya Abdulwahid Sykes ambayo umeyaona kuna barua yoyote au ushahidi wowote ambao alipewa maelezo na Nyerere jinsi ya kuandika historia ya TANU? Of course we don't need any evidence.. neno lako tu linatosha kutengeneza facts!
Wapi imeandikwa?.Tofauti ni juu ya uadui wake kwa wapigania uhuru waasisi na baadae kwa raia zake.Hao Wakristo wasiomtukuza Nyerere hawakubaliani naye si kwa sababu ya Ukristo au Ukatoliki wake bali kwa kutofautiana kwa hoja, falsafa, na misimamo yake.
Wafuasi wengi na MS mwenyewe, mnatofautiana na Nyerere kwa sababu alikuwa Mkristo na Mkatoliki.
Hapa naona kama umewachafulia hali ya hewa wanamfumo.Rudi kinyumenyume:
Kwamba ratio vyuoni ikoje kati ya Waislam na Wakristo
Sekondari ratio ikoje na shule ya Msingi ration ikoje
Halafu unakuja huku uraiani kwenye maeneo yenye Waislam wengi (Pwani, Lindi, mtwara, Tanga, Kigoma)
mwamko ukoje kuhusu Elimu, vipi kuhusu shule za Seminari za Kiislam zipo kwenye hali gani.
Tena nenda hatua moja zaidi linganisha Maua Seminary, Marian girls, St Anthony nk nk ziko kwenye hali
gani na kina nani wana watoto huko.
Unaweza kuchepuka kidogo ukaangalia pia Wachaga, Wahaya, Wanyakyusa kule wanapotoka na mwamko wao
kwenye Elimu halafu piga hesabu mumo ratio ikoje kwa Waislam na Wakristo.
Halafu mbona umechagua nafasi za appointment. Hujafikiria pia madaktari. Nenda Muhimbili utafute akina Kimario
Edward, Swai John, Mwakingwe nk uone wako wangapi halafu linganisha idadi yao na akina Pazi nk.
Au na kwenye udaktari kuna Waislam wananyimwa fursa ya kutibu watu na uhaba woote wa madaktari nchi hii?
Tuambie nani huyo anawanyima watanzania fursa ya kupata matibabu tumlaani.
Huna lolote.Unaweza kujua vipi hiyo ratio? mbona unaomba kitu kisichowezekana? Hivi kweli unaweza kupata ratio hiyo? how? jaribu kupendekeza njia ya mtu kufanya...
Jibu liko hapa!
Huko usiogope unapogusiwa.Ritz kumbe tunashindana hapa! Si lazima.
Back to the topic. Kwenye hii post uliyoi-quote tulikuwa tunakuja kwenye Necta. Lakini umerudi tena
kwenye mwamko lakini naona so far umeelewa.
Sasa kwa hili la mwamko wa Elimu mbona nimeeleza vizuri tu kama hivi:
Huko Dubai, Oman n.k sijagusia, na ndiyo maana specificaly nimeyataja maeneo hayo.
Na nafikiri utakubaliana na mimi kwamba huko wanakaa Waislam wengi sana na mwamko
kuhusu elimu ni mdogo na huwezi kutarajia muujiza.
Lakini pia kuna maeneo yenye Wakristo wengi sana kama Kilimanjaro, Kagera na Mbeya ambako kuna mwamko
mkubwa wa elimu na huko wanapatikana Wakristo wengi sana.
Sasa kwa nini huko kuna mwamko kule hakuna ndilo hilo akina Mzee MS tunawaambia washughulike nalo
si kusingizia NECTA na mgawanyo wa Wizara. Tena nafasi zenyewe hazijai kibaba! Akipata Said unafikri
atakukumbuka wew Hassan badala ya familia yake na ndugu zake wa karibu?
Asante Mohamed Said, sijashangazwa na majibu ya wanafunzi wako Ritz na Tanzania Kwanza...bila shaka na wewe ungetoa majibu kama hayo hayo. Naambiwa, kwenye mitihani, wako wanafunzi wanajibu maswali kwa staili hiyo hiyo na kuishia kupata Division Zero halafu lawama zinaelekezwa kwa watu wengine! Hata hivyo swali langu liko pale pale...unayo mbinu gani ya kuondokana na mfumo Kristo? Kama serikali na vyombo vyake vyote pamoja na viongozi wake wote walio Waislaam hawana ubavu, wewe utatumia mbinu gani? Au katika Uislaam kuna kutofautiana kiimani?
Huko usiogope unapogusiwa.
Hoja uliyotaka kuleta ni kuwa waislamu hawana mwamko wa elimu.Iweje wawe waislamu wa Tanzania pekee?.Inaonekana kuna mfumo unaowakwaza.
Unajuwa watu wa mwanzo waliochangia ujenzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam?.Kwanini waislamu walikuwa wengi kuliko wakristo?.Na kwanini waislamu ndio watu wa mwanzo kutaka kujenga chuo kikuu Tanzania pale Chang'ombe?.
Ukirudi kwenye historia mbona waislamu ndio wavumbuzi wakubwa wakati wakristo wakiwa gizani?.
Shekh MS,
Nashukuru kwa taarifa hiyo! lakini nasikitika kusikia jina la BAKWATA! hapa Moshi kuna Katibu wa hilo Bakwata anaitwa Mallya! huyu bwana anatia kichefuchefu! kauza nyumba zote za wakfu! shule ya msingi na kati ya Muslim iliyotaifishwa na Nyerere mwaka 1967 ilikuwa na ukumbi mkubwa ambayo Nyerere aliwaachia Waislamu waendelee kumiliki nalo Malya kauza! Shule ya Secondari aliyoacha Aga Khan na kuwapa Waislamu nalo kauza kwa Mchaga mmoja anaitwa Mareale! Shule ya secondari Kibohehe hata sijui kama iko hai!
Tangu wakati wa Katibu wa zamani aliyeitwa Sinare, Waislamu wa Kilimanjaro wamejaribu kuzuia hujuma hizi bila mafanikio sababu hawa makatibu wanaheshimiwa sana na Serikali na kwa kweli anaejaribu kuhoji ufisadi huo hukamatwa na Polisi na kufunguliwa mashtaka ya uchochezi!
Ndio maana Shekh MS, nakuambia nikisikia jina la Bakwata huwa naona uchungu sana na zaidi watu kama Mwanakijiji wanapoitetea Bakwata nabaki namshangao sana nakujiuliza kwanini Wakristo wanaipenda Bakwata kihivyo!
Asante Mohamed Said, sijashangazwa na majibu ya wanafunzi wako Ritz na Tanzania Kwanza...bila shaka na wewe ungetoa majibu kama hayo hayo. Naambiwa, kwenye mitihani, wako wanafunzi wanajibu maswali kwa staili hiyo hiyo na kuishia kupata Division Zero halafu lawama zinaelekezwa kwa watu wengine! Hata hivyo swali langu liko pale pale...unayo mbinu gani ya kuondokana na mfumo Kristo? Kama serikali na vyombo vyake vyote pamoja na viongozi wake wote walio Waislaam hawana ubavu, wewe utatumia mbinu gani? Au katika Uislaam kuna kutofautiana kiimani?
Kama ni kugeneralise basi hawe kukushinda wewe.Ubaya zaidi kwako unasema uongo na unajichanganya katika genelization zako. JISOME MWENYEWEYaani, jinsi mzee Said alivyo mwepesi kugeneralize inashangaza; Sijui ni watu gani wanaomuamini...
Maswali ya kipuuzi yanajibiwa na majibu ya kipuuzi, hayo uliandika ndiyo majibu yako muruwa.
Mag,
Unaniuliza kuhusu mbinu.
Mbinu ni hii.
Unajua Waislam Allah ametuamuru kitu ambacho dini nyingine
zote hazina.
Kitu hiki kinaitwa "sijda."
Yaani kusujudu wakati tukiswali.
Tunapokuwa na dhiki kubwa wakati tukiswali tunapokwenda sijda
tunapokuwa nyuso zetu ziko chini pale ndipo binadamu anakuwa
karibu sana na Allah.
Katika hali kama hii Waislam humshtakia Allah matatizo yetu.
Ndiyo maana juu ya kuwa tunahujumiwa Uislam haujatetereka.
Mfano wa karibu sana ndiyo huu.
Humu tuko Waislam wachache sana tunapambana na nyinyi tena
kwenye uwanja wenu na tunakushindeni.
Hii ni ahadi ya Allah kuwa sisi tutashinda.
Sawa umesema vizuri but labda nikuulize kujiita state na kutambulika kama state ni vitu sawa? Vatican inadai kuwa inajiita kuwa state but kimataifa haitambuliki kama state. Labda nikurudishe kwenye vifungu vya sheria a state in accordance to the international law and un charter states as follows:-Sawa, lakini inaonekana hujazingatia historia ya kwanini iyo ilikuwa lazima. Fanya utafiti kuhusu kitu kinachoitwa "Papal States". Monarch wa Italy ilikuwa haigawi ardhi ya Italy kwa Kanisa; ilikuwa inambakishia Papa baadhi ya maeneo yake na mali zake kama kiongozi wa Vatican. Ni vizuri ukajua hili kwani utawala wa Papa katika ardhi ya Vatican haukuanza na Mkataba wa Lateran. Hivi huoni unavyojiichanganya "a non member state" kwa Kiswahili unasemaje? Mzee Historia haisomwi hivyo; ni lazima urudi kidogo utambue uhusiano kati ya Vatican City na US ulikuwaje wakati huo. Wamarekani walikuwa wanaona Kanisa Katoliki kuwa ni kinyumem na Maslahi ya Wamarekani (Un-American) na hivyo kwa muda mrefu katika nyanja za kimataifa hakukuwa na mahusiano mazuri na shuku kubwa hadi mwaka 1984 ambapo Marekani ilianzisha mahusiano ya Kibalozi na Vatican City (Holy See). Angalia US State Department inavyosema kuhusu Holy See: You are missing the point; Papa ni Mkuu wa Kanisa na Mkuu wa Vatican City.. Mambo mengine uliyosema ni kuchanganya vitu tu. Legal opinions za mijadala ya wasomi mbalimbali siyo facts. Vatican City ni nchi kama ilivyo Tanzania. Inalindwa na haki zile zile katika shheria za Kimataifa. Mkuu wake ni Papa ambaye ni Mkuu wa Kanisa Katoliki vilevile. Nikupe mfano mzuri: Iran ni nchi? Jibu ndio.. lakini kiongozi wake mkuu (Supreme Leader) ni Ayatollah Imam Khamenei . Iran ni nchi ya Kidini yenye kuongozwa na kidini na Rais wake ndiye kiongozi mkuu wa dini hihhyo kwenye hiyo nchi. Vatican City ni hivyo hivyo. Iran------------------------------------------------------ Vatican City Nchi inaongozwa kidini------------------------------------Nchi inaongozwa kidini Supreme Leader -Imam Khamenei -----------------------Supreme Leader - Papa Official Religion - Shia Islam ------------------------------Official Religion - Catholicism Head of State - President Ahmedinajad -------------------Head of Vatican City Government - Giuseppe Bertello National Anthem -------------------------------------------- wanayo Vatican City - Wanayo Member International Organization----------------------------- Member INternational Organization Ina uhusiano wa Kibalozi na Tanzania-----------------------Ina uhusiano wa kibalozi na Tanzania La muhimu kwako ni kuelewa tofauti na uhusiano uliopo kati ya Holy See na Vatican City. Ukielewa hili hutapata sida kukubali ukweli (fact) kuwa Vatican City ni nchi. Holy See siyo nchi.
Mag,
Unaniuliza kuhusu mbinu.
Mbinu ni hii.
Unajua Waislam Allah ametuamuru kitu ambacho dini nyingine
zote hazina.
Kitu hiki kinaitwa "sijda."
Yaani kusujudu wakati tukiswali.
Tunapokuwa na dhiki kubwa wakati tukiswali tunapokwenda sijda
tunapokuwa nyuso zetu ziko chini pale ndipo binadamu anakuwa
karibu sana na Allah.
Katika hali kama hii Waislam humshtakia Allah matatizo yetu.
Ndiyo maana juu ya kuwa tunahujumiwa Uislam haujatetereka.
Mfano wa karibu sana ndiyo huu.
Humu tuko Waislam wachache sana tunapambana na nyinyi tena
kwenye uwanja wenu na tunakushindeni.
Hii ni ahadi ya Allah kuwa sisi tutashinda.
Toa solution ya kutokomeza mfumo kristu, acha jazba....au unataka wakristu wakupendekezee kisha urudi kulia lia ni mfumo kristu pia.
Too much inferiority complex. Hii mbinu ya kuweka tone ya kutia hisia ni ya kizamani sana, lakini:
Naomba ushtakie matatizo ya mrundikano wa Vijana wasio na ajira.
Shtakia matatizo ya Wagonjwa wanaokufa kwenye hospitali za umma kwa sababu hawana pesa
za kumhonga nesi au Daktari (humo wamo wa kila kabila na rangi).
Shtakia matatizo ya rushwa katika nchi hii na uingiaji wa mikataba mibovu (Waathirika across the board)
Shtakia matatizo ya wananchi wanonyang'anywa ardhi yao na kupisha mwekezaji bila
kulipwa au kulipwa senti kidogo (mumo wa kila Imani wamo).
Shtakia viongozi wa Ofisi kuu wanaosema hawajui kwa nini nchi hii maskini ilhali wameomba
ridhaa wenyewe..........!
Shtaki, shtaki , shtaki...........Matatizo ni mengi unayajua katika nchi hii, na Allah kaumba wote.
tatizo la mfumo kristo tz ni msingi ulio asisiwa hapo mwanzo hata kama viongozi wa juu ni waislam ni vigumu kuundoa kwani msingi wake ni mkubwa na unalindwa kwa kila hali