Nakushukuru sana mkuu,
Nimefurahi kusikia hivyo, hii ni heshima kwangu na jf pia kwakuwa imefungua ukurasa mpya wa historia wazee wetu wanaukombozi iliyokua inaharibiwa na baadhi ya Watanzania wenzetu wasiolitakia mema taifa letu na historia yake!
Nitafurahi sana kuongea na ikiwezeka kuonana na Mzee wangu Mh Joseph Butiku!
Mtafute Yericko. Mtafahamiana vizuri tu badala ya kupitia kwa watu wengine! Nyerre ni viwavi vya panzi au nzige. Hawa wanaharibu sana mazao.Indeed,mzanaki atasema nyerrrre. Nayo Mwalimu aliwahi kuelezea maana yake,kwamba ni yule mdudu,caterpillar anayekula mazao.
Mkuu
Unadhani kuwa hawa hawajui wanachokifanya hapa? Wanajua fika!
Mwanzo walininukuu nilipomaanisha kwamba wanaukombozi wote ni wazazi wangu kama Mohamed Said asemavyo kwa wazee wake!
Tena nilisema hivi
"mimi Mwalimu Nyerere kama mzazi wangu ninakufahamisha..."
Sasa nukuu hiyo nimewapa ufafanuzi zaidi ya mara miamoja hapa kuwa namaanisha wanaukombozi wote ni wazazi wangu, lakini wao wamegeuza agenda yao kuu kutuondoa kwenye mjadala huu!
Wewe waache waendelee lakini sisi tupo kwenye ukweli husika
Ah! Ritz, mimi dikteta? Halafu mimi ni kiongozi kuanzia ngazi ya familia. Sijasikia wakinilalamikia kwa udikteta.WildCard,
Ungekuwa kiongozi ungekuwa dikteta yaani hautaki wengine watoe maoni yao wakae kimya wewe maoni yako ni muhimu.
Mtafute Yericko. Mtafahamiana vizuri tu badala ya kupitia kwa watu wengine! Nyerre ni viwavi vya panzi au nzige. Hawa wanaharibu sana mazao.
Watu wengi tu wanaitwa jina hili kule Mara. Si unajua kule hakuna majina ya ukoo?
Ah! Ritz, mimi dikteta? Halafu mimi ni kiongozi kuanzia ngazi ya familia. Sijasikia wakinilalamikia kwa udikteta.
Hivi kweli ulihitaji kumfahamu Mshume Kiyate aliyepeleka maharage na mchicha nyumbani kwa Mwalimu kule Magomeni?
Nakujibu hapo kwenye Suratul An'biyaa Verse no 30,hujaimaliza iyo verse,
Suratul an biyaa verse no 30 inasema,
"DO NOT THE UNBELIEVERS SEE THAT THE HEAVENS AND THE EARTH WERE JOINED TOGETHER(AS ONE UNIT OF CREATION),WE CLOSE THEM ASUNDER??,WE MADE FROM WATER EVERY LIVING THING.WILL THEY NOT THEN BELIEVE??
IKAFUATIA VERSE NO 31,"AND WE SET ON THE EARTH MOUNTAINS STANDIND FIRM"
kitu unachopaswa kutambua katika qur an kila aya ina mafuhum yanayolink na aya inayofuatia katika mtiririko wa kushuka kwake au wa maudhui yake,unapojaribu kutenganisha na kuzikata ili utimize mission fulan unakua umejipotosha wewe mwenyewe,ss tunakuacha kama ulivyo,
verse no 30 ambayo hukutaka kuimalizia na explanations zake kuhusu kuumbwa kwa mwanadam na concentration kubwa ya maji ktk kuumbwa kwa viumbe kwa ujumla,
About 72percent of the earth's surface of our globe is still covered with water,and it has been estimated that if the inequalities of the surface were all levelled,the whole surface would be under the water,as the mean of elevation of landsphere-level would be 7,000 - 10,000 feet below the surface of the ocean.This shows the predominance of water on our globe.That all life began in the water is a conclusion to which our latest knowledge in biological sciences points,Apart from the fact that protoplasm,the original basis of living matter is liquid or semiliquid and in a state of constant flux and instability,there is the fact that land animals like higher vertebrates including man,show in their embryological history,organs like those of fishes,indicating the watery origin of their original habitat.The constitution of protoplasm is about 80-85percent of water,
THATS THE EXPLANATION OF THIS VERSE WHICH SAYS THAT "WE MADE FROM WATER EVERYLIVING THING,WILL THEY NOT THEN BELIEVE??
Pia ungeendelea kusoma Kusoma kuwa Majinn wanakula "Damu" kafara na "mavi"....halafu ukiulize ktk dunia ya kiislam wanapata wapi supply ya hayo?Tunajua vyooni kwenu watu huanguka sana, na mara nyingi mnahitaji kusema maneno ili muingie..ila hatujui damu inapatika wapi?Hembu tuakikishie si huku kuchanganywa na majinn na sababu kibao ili muendelee mwaga damu tuu...?Usione watu tupo kimya ukahis hatuisomi dini yetu,au hatuifaham dini yetu,
Tunaisoma sana,tunasoma sana facts za kisayansi na jins zinavyoshahabiana na uislam wetu,na tunasoma sana jins gani wagalatia na wayahudi wanavyohangaika kujaribu kuukashifu na kuuchallange kwa namna mbali mbali na jins wanavyofeli mfano wako kama wewe,
Oh yes.....kweli umekamilika...ndio maana kuna mistari miwili miwili yenye kupingana..we ni kuchagua upande unaotaka utumia....ama kuetetea ugaidi au kujietenga nao....ila mateso na mahangaiko ktk dunia yetu ina rais maswali....Kweli umekamilika ndio maana huwezi soma Quran,bila hadith ukaelewa, na Ukisom ahadith hakuna hadith ambayo muislam anaikubali kwa jinsi ilivyojaa kashfa kw auislam wenyewe...Hatupo hapa kwenye mahubiri ya dini,lipo jukwaa lake linalohusu mambo haya,ila sasa kwa kuwa unakuja hapa kutaka kupotosha hatuwez kukaa kimya na kukuacha ukipata kiburi cha ujinga,
Uislam hautauweza,umekuta,utakufa na utaucha watu wakiendelea nao,
Ni mfumo uliokamilika kila sekta,kisheria,kiuchumi,kimahakama,kibenki,kijeshi,kiutawala just to mention few...
Kama uchochez wa moh said mmeshindwa kuuonesha mtauwezea wapi uislam??
Yamefutwa kaka..!!
Kumbe anajivunia backup flan flan??
Hii inaondoa uhalisia sana,
I thought kwamba huu msumeno unakata kote kote,
Ahalan Wasalan
cc@gombesugu & zomba
Na mengine mengi yanayofanana na hayo eti tuyaite HISTORIA iliosahaulika ya TANU na NCHI hii!Hivi kweli tunapaswa kufahamu Mzee Marealle alivyomnunulia bukta,chupi na soksi Nyerere a.k.a "Baba Wa Taifa"!?.
Wanajamvi
Kwakuwa Ndugu yetu Andrew Nyerere amelijuza jamvi kuwa ameniunganisha kimawasiliano na Mh Mzee Joseph Butiku,
Nadhani suala hilo liishie hapa kulikobaki ni kwakifamilia zaidi na ikiwa kutakuwa na ulazima baada basi ndugu yetu mpendwa Andrew Nyerere atawatangazia tena kuwa amegundua mimi ni Yericko Nyerere, Yericko Mshume, Yericko Sykes, Yericko Nyarubanja ama vyovyote!
Nawaombeni tutulizane na mjadala husika!
Mbona unataka kuwafunga watu midomo wewe umekuja humu kama verified user unatumia jina la Julius Kambarage Nyerere, kwa nini watu wasihoji ukizingatia Nyerere alikuwa rais wetu wa kwanza...hii ni forum watu tutaendelea kujadili.
Ritz,ha haa ha kwani Adolf Hitler alikuwa ana familia? Sasa kwa nini unamwambia Andrew anyamaze.
Mkapa aliumbuka Arumeru....ingawa wewe huna aibu kwa vile ni brainless....huwezi ona.Nasikia na wewe huwa unamini mkeo akifa lazima ukaondoe nuksi kabla hajazikwa?Nani amtafute mwenzake? Tatizo siyo jina la Nyerere tatizo ni mtoto wa Kambarage?
Mbona unataka kuwafunga watu midomo wewe umekuja humu kama verified user unatumia jina la Julius Kambarage Nyerere, kwa nini watu wasihoji ukizingatia Nyerere alikuwa rais wetu wa kwanza...hii ni forum watu tutaendelea kujadili.