Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Naihurumia jamii ambayo imelishwa hizi ngano za Mohamed Said kwa muda wa miaka 15 na yenyewe ikapokea hizo ngano kama zilivyo. Huyu mtu hana nukuu yoyote iwe ya John Sivalon, Andulwahid Sykes wala hiyo listi ndeeefu ya anaowaita wazee wake. Anayotetea yeye ni mawazo yake aliyokaa akayatunga kwa malengo maalum hasa pale alipowasoma aliowakusudia na kutambua mapema kuwa watayapokea mazima mazima bila hata kujiuliza.

Nina wasi wasi na hizo anazozitaja kama nyaraka za Abdulwahid Sykes kama zipo na anazinukuu kama zilivyo, watu wa aina yake ndivyo walivyo, wachochezi. Nikitoa mfano ameombwa alete nukuu ya kitabu cha Sivalon kama kilivyo kuthibitisha maneno anayodai kuyasoma humo lakini kashindwa...kama kawaida ya mbea amebakia kujiuma. Kama tusingepata hiyo hotuba ya Nyerere ambayo imemuumbua mchana kweupee, bado angekazania tu uongo wake kuwa Mwalimu hakuwataja wazee wake.

Kuhusu nyaraka za hao wazee wa Mohamed Said ambazo anadai anazo, hata siku moja hajawahi kuzitoa popote pale, ziko tu kichwani kwake na hakuna mtu amewahi kumdai sauti wala video kuzithibitisha. Uwezekano mkubwa upo kuwa aliziandika yeye mwenyewe na kwa njia aliyotaka. Yeye leo pamoja na kutolewa hotuba ya Mwalimu kwa Wazee wake bado anadai uthibitisho wa sauti na ikiwezekana video. Sasa na mimi leo namwomba na yeye atuletee hapa sauti za wazee wake wakisema na kutenda anayodai Mohamed Said.

Sasa maajabu ya hawa wazee wa Mohamed Said! Sisi tukiongelea wazee wetu Watanganyika wa sehemu zote kusini hadi kaskazini, magharibi hadi mashariki, yeye amekazania wazee wake wa Gerezani Dar es Salaam (ukanda), tukiwataja wazee wetu Watanganyika wa makabila yote makubwa kwa madogo, yeye amekazania wazee wake Manyema na Wazulu (ukabila) na tukiwaenzi wazee wetu Watanganyika wa dini zote pamoja na wasio na dini, yeye amekazania wazee wake wa Kiislaam (udini).

Mwisho nina ombi kwa jukwaa (hii ni JF)...imeonekana kitabu/vitabu alivyoandika Mohamed Said havina ukweli na kama upo ni asilimia kidogo sana, sasa tusiishie hapa...tuende next step...wapotoshaji kama yeye adhabu yao ipo. Their works have to be discredited as academic dishonesty...a deliberate attempt to falsify, fabricate data, records, or information. Taasisi, Waandishi na wachapishaji wote aliowawekea maneno mdomoni kwa nukuu zisizo sahihi, juhudi zifanyike wajulishwe hatua ziweze kuchukuliwa. Nawapa changamoto wana JF.

kanawe miguu ulale hoja yako nyepesi sana au izo post za juu hujaziangalia,, kwanza uko form ngapi?
 
Tusisahau haya yaliyomo kwenye thread hizi tatu, ipo ile ya Mohamed Said, ile ya Mag3 na hii ya @ Yericko Nyerere. Tuwashirikishe pia watu na taasisi nyingi kama MNF, Kigoda cha Mwalimu, BAKWATA,..., nia ni kuweka sawa historia ya nchi yetu na kiongozi mkuu wa kwanza wa Taifa hili.

Alhamdulilah.

Hakika hii ni faraja kubwa kwangu.

Maalim wangu Sheikh Haruna akisema, ''Someni kwa utulivu na acheni uvivu.
Ilm hii mtakuja kuona faida yake Insha Allah. Mtakuwa rais.''

Sheikh Haruna akifafanua rais kwa kusherehesha mno akisema ''rais'' maana
yake pale penye jambo la wasomi wewe mwenye ujuzi ndiyo utatawala.

Leo nashuhudia hekima na ukweli wa maneno ya maalim wangu.

Leo mnajikusanya majeshi na majeshi mje mpambane na Mohamed Said mtu
mmoja yuko peke yake.

Hawa wa JF hawatoshi, mnawaita sasa watu kutoka Mwalimu Nyerere Foundation,
Kigoda Cha Mwalimu, BAKWATA...

Mmeona mtu mmoja hamumwezi Mohamed Said.
 
Umesahau Kanisa Katoliki. Huyu kiongozi alikuwa peke yake.
Cha mwisho kufikiria huwa ni masuala ya makanisa na misikiti. Halafu tofauti yetu na Mzee Mohamed haitakuwepo! Mwalimu hakuwahi kuchanganya masuala yake ya IMANI na UONGOZI wa NCHI. Sio hilo tu, hata familia yake aliiweka mbali kabisa na masuala haya ya UONGOZI. Ndio maana haukuwahi kusikia vitu kama EOTF, WAMA, Mama Maria kuwa mjumbe wa NEC, hata wanae wameingia kwenye siasa yeye ameshaondoka madarakani.
 
alhamdulilah.

Hakika hii ni faraja kubwa kwangu.

Maalim wangu sheikh haruna akisema, ''someni kwa utulivu na acheni uvivu.
Ilm hii mtakuja kuona faida yake insha allah. Mtakuwa rais.''

sheikh haruna akifafanua rais kwa kusherehesha mno akisema ''rais'' maana
yake pale penye jambo la wasomi wewe mwenye ujuzi ndiyo utatawala.

Leo nashuhudia hekima na ukweli wa maneno ya maalim wangu.

Leo mnajikusanya majeshi na majeshi mje mpambane na mohamed said mtu
mmoja yuko peke yake.

Hawa wa jf hawatoshi, mnawaita sasa watu kutoka mwalimu nyerere foundation,
kigoda cha mwalimu, bakwata...

Mmeona mtu mmoja hamumwezi mohamed said.

mwenye ilmu na fikra pevu daima hawezi kuyumbishwa na kutenzwa nguvu na wajinga wasioelewa chochote,ujinga huzaa upotofu na uovu.,
na siku zote kiburi na udhwalimu pia ni zao la ujinga,

"walaa yazi'du dhwal'muuna ila khasaraah"
 
Sio kutekwa unatakiwa ufuatilie nenda hadi DODOMA kwenye hazina ya taifa usome kama upo Dar nenda maktaba uombe zile adidu za rejea zake uzisome ule ububusa wa kusoma kitu na kupuuzia au kukisemea ndio unao turudisha nyuma.
Mengi anayo yaandika ni ukweli mtupu

Mwanaharakati,

Maktaba ya CCM Dodoma, Nyaraza za Taifa Dar es Salaam zile nyaraka muhimu zimenyofolewa.

Maktaba ya Dodoma ya CCM ilikuwa chini ya archivist Said Ngwangwa. Huyu kijana sasa ni marehemu. Alijitahidi sana kunisaidia kupata nyaraka za TAA na TANU za mwanzoni mapema 1950.

Mafaili yote niliyoletewa yalikuiwa matupu.

Pale lipo file la Abdu Sykes, Hamza Mwapachu haya ndiyo niliyoonyeshwa lakini ndani hakuna karatasi hata moja.

Hali ni hiyo hiyo Tanzania National Archives (TNA).

Piteni huko mashuhudie nyie wenyewe kwa macho yenu.
 
Huyu Mzee anzeeka vibaya sana yaani baba yake kutokuwa kwenye historia ndo kinamuuma sana na kutaka kuleta mifarakano ya kidini?alafu anaonekana ni mtu anayependa sifa sana kwamba nimealikwa huku,kitabu changu kimesomwa huku,mambo mengi ili tu kutaka kualalisha udini wake na ndio vitu vinampa kichwa na kujiona yupo juu kumbe amewapata wazee wa madrasa tu,

Huwezi kumshawishi msomi mwenye akili timamu kwa hizo hadithi za Alfu lela Ulela,mimi bado na hautakuja kunishawishi na Baba yako hana umuhimu wa kuwa kwenye historia ya Taifa hili

babako ndo aandikwe coz naona hutaki wake awepo kwenye historia,,ila mi naona both babako na babake wawepo kwasababu ure dad alikua supporter mzuri wa kusema kidumu na zidumu fikra za baba wa taifa, eti hadithi za alf ulela! na wewe tunga yako tuone kama itakua na mashiko
 
Alhamdulilah.

Hakika hii ni faraja kubwa kwangu.

Maalim wangu Sheikh Haruna akisema, ''Someni kwa utulivu na acheni uvivu.
Ilm hii mtakuja kuona faida yake Insha Allah. Mtakuwa rais.''

Sheikh Haruna akifafanua rais kwa kusherehesha mno akisema ''rais'' maana
yake pale penye jambo la wasomi wewe mwenye ujuzi ndiyo utatawala.

Leo nashuhudia hekima na ukweli wa maneno ya maalim wangu.

Leo mnajikusanya majeshi na majeshi mje mpambane na Mohamed Said mtu
mmoja yuko peke yake.

Hawa wa JF hawatoshi, mnawaita sasa watu kutoka Mwalimu Nyerere Foundation,
Kigoda Cha Mwalimu, BAKWATA...

Mmeona mtu mmoja hamumwezi Mohamed Said.
Mzee Mohamed,
Historia ya NCHI haiwezi kuandikwa na mtu mmoja. Historia ya kweli ya nchi inataka akili na mawazo ya wengi. Hatutaki mtu mmoja aandike SIMULIZI kama hii ya kwako. Shida moja kubwa ya kitabu chako kile ni kuwa mengi uliyoyaandika mle umesimuliwa tu. Na ili kuyapa uhalali ukaingiza na DINI ya wahusika mle. Ukasahau asili na makabila yao!

Kumbuka pia kwamba hata vile vitabu vitukufu, Quran na Biblia havikuandikwa na mtu mmoja kajifungia chumbani kwa mkewe.
 
Tusisahau haya yaliyomo kwenye thread hizi tatu, ipo ile ya Mohamed Said, ile ya Mag3 na hii ya Yericko Nyerere. Tuwashirikishe pia watu na taasisi nyingi kama MNF, Kigoda cha Mwalimu, BAKWATA,..., nia ni kuweka sawa historia ya nchi yetu na kiongozi mkuu wa kwanza wa Taifa hili.

Naomba idhini yenu nitoe ushauri kama mtaridhia.

Nyie mmetaharuki.
Kitu ukikifanya katika hali ya taharuki hakiongoki.

Ngoja nikupeni mfano mdogo.

Mie hosoma post zenu kwangu na kwa wengine.
Mnaandika mkiwa mmeghadhibika na taharuki inaingia.

Nini matokeo yake?

Mara nyingi mnaishia katika maneno makali na hata matusi
na kejeli.

Katika njia hii mnashindwa kirahisi sana.
Huenda nyie wenyewe mkaona mmemuweza mtu...

Lakini wafikirie wale wengine wanaokusoma wanaposoma matusi
au kejeli zako.

Fikiri watu wale wanakuonaje?

Sasa hili la kuandika kitabu kwa kweli ni kitu cha hekima sana lakini
kuandika kunataka utulivu wa fikra.

Huwezi kuwa na utulivu wa fikra katika taharuki.
 
Alhamdulilah.

Hakika hii ni faraja kubwa kwangu.

Maalim wangu Sheikh Haruna akisema, ''Someni kwa utulivu na acheni uvivu.
Ilm hii mtakuja kuona faida yake Insha Allah. Mtakuwa rais.''

Sheikh Haruna akifafanua rais kwa kusherehesha mno akisema ''rais'' maana
yake pale penye jambo la wasomi wewe mwenye ujuzi ndiyo utatawala.

Leo nashuhudia hekima na ukweli wa maneno ya maalim wangu.

Leo mnajikusanya majeshi na majeshi mje mpambane na Mohamed Said mtu
mmoja yuko peke yake.

Hawa wa JF hawatoshi, mnawaita sasa watu kutoka Mwalimu Nyerere Foundation,
Kigoda Cha Mwalimu, BAKWATA...

Mmeona mtu mmoja hamumwezi Mohamed Said.

Kwani tupo kwenye mashindano?

Tupo hapa kwaajili ya kuwarudisha waliopotoshwa na wewe,

Ndiomaana tunasema tutakushirikisha na wewe katika andiko jipya!
 
Mzee Mohamed,
Historia ya NCHI haiwezi kuandikwa na mtu mmoja. Historia ya kweli ya nchi inataka akili na mawazo ya wengi. Hatutaki mtu mmoja aandike SIMULIZI kama hii ya kwako. Shida moja kubwa ya kitabu chako kile ni kuwa mengi uliyoyaandika mle umesimuliwa tu. Na ili kuyapa uhalali ukaingiza na DINI ya wahusika mle. Ukasahau asili na makabila yao!

Kumbuka pia kwamba hata vile vitabu vitukufu, Quran na Biblia havikuandikwa na mtu mmoja kajifungia chumbani kwa mkewe.

Umenena mkuu!
 
Mzee Mohamed,
Historia ya NCHI haiwezi kuandikwa na mtu mmoja. Historia ya kweli ya nchi inataka akili na mawazo ya wengi. Hatutaki mtu mmoja aandike SIMULIZI kama hii ya kwako. Shida moja kubwa ya kitabu chako kile ni kuwa mengi uliyoyaandika mle umesimuliwa tu. Na ili kuyapa uhalali ukaingiza na DINI ya wahusika mle. Ukasahau asili na makabila yao!

Kumbuka pia kwamba hata vile vitabu vitukufu, Quran na Biblia havikuandikwa na mtu mmoja kajifungia chumbani kwa mkewe.

Qur'an haikuandikwa na binadamu.

Ni kauli yake Allah kwa Jibril AS na Jibril akamfikishia Muhammad SAW.

Tuje katika kitabu cha historia.
Nakuungeni mkono sana katika kazi hiyo ili tuwe na historia iliyokamilika.

Kitabu chenu kitasahihisha makosa yaliyopo kwenye kitabu changu hili ni
jambo jema sana.
 
Naomba idhini yenu nitoe ushauri kama mtaridhia.

Nyie mmetaharuki.
Kitu ukikifanya katika hali ya taharuki hakiongoki.

Ngoja nikupeni mfano mdogo.

Mie hosoma post zenu kwangu na kwa wengine.
Mnaandika mkiwa mmeghadhibika na taharuki inaingia.

Nini matokeo yake?

Mara nyingi mnaishia katika maneno makali na hata matusi
na kejeli.

Katika njia hii mnashindwa kirahisi sana.
Huenda nyie wenyewe mkaona mmemuweza mtu...

Lakini wafikirie wale wengine wanaokusoma wanaposoma matusi
au kejeli zako.

Fikiri watu wale wanakuonaje?

Sasa hili la kuandika kitabu kwa kweli ni kitu cha hekima sana lakini
kuandika kunataka utulivu wa fikra.

Huwezi kuwa na utulivu wa fikra katika taharuki.
Mzee Mohamed,
Achana na tabia yako hii kujifanya unajua kuzisoma akili na mawazo ya watu wengine. Tabia hii umeifanya sana kwa Mwalimu na hata wazee wako. Kila mara umekuwa unajifanya kufikiri kwa niaba ya watu wengine. Matokeo yake umekuwa unaongopa sana. Umejuaje watu tumetaharuki? Unalithibitishaje hilo ilihali wewe sio Mungu wetu? Tutakapofikia kuandika kitabu na kwakuwa tuko wengi, halitaharibika neno.

Wewe umeandika mtu mmoja kitabu kile, si unaona kilivyopokelewa kwa hisia na mitazamo tofauti? Si umeona kinavyotishia AMANI na usalama wa jamii zetu?
 
uko sahihi kabisa, kwa nyie mnaofikiri kwa makalio atakuwa na mchango mkubwa sana!

kufikiri kwa makalio kwa wengine una maana gani??
Huku ndiko kuishiwa hoja tunakozungumzia,kama wote mmeridhia kuwa katika mjadala kwa kauli njema,matusi ya nini?
Thats why tunawakumbusha si lazima kwenu ninyi kuukubali ukweli huu,hamjalazimishwa,kutoa lugha za matusi ni ishara tosha ya kuishiwa hoja.
 
Mkuu Mzee Mwanakijiji, hapo kwenye bold naomba kutofautiana na wewe kidogo, kwa vile Maalim Mohamed Said is "a man with a mission" lengo lake likiwa ni kueneza uwongo, uzushi, uchanganishi, fitna, uchochezi in the name of Islam, na hii thread mpaka sasa imesomwa na watu 22,482, na kuchangiwa na watu 2,185!, hayo ni mafanikio makubwa sana kwa "a man with a mission", ni kama amadurufu copy nyingine 20,000 za kitabu chake cha uzushi, uchochezi na uchonganishi, ndio maana this time he is more happy kila akipata mwanya alikuwa anazidi kumwaga sumu!. Japo tumemkosoa sana, ila pia amefanikiwa kupata uungwaji mkono mkubwa tuu ikiwa ni pamoja na ku recruit some few diciples ambao wanaamini hii ni vita ya Jihad, na ndio hawa ambao watakuwa tayari kufanya lolote in the name of Islam!, hivyo amefanikiwa sana!. The more we post, the more he gets, and this makes him very successful and very happy!.
Dawa pekee ni ku denounce andiko lake kwa andika la ukweli. Kama amezaliwa 1952, mwaka huu he is 61!, nashauri kazi hii ifanyike mapema akingali hai, ili ashuhudie ule uwongo wake ukiwa defeated akingali hai na uwe screped from literacy books such that ikifika jioni yake wakati wa kulala, "he should sleep a miserable man indeed!". If he sleeps anytime now kabla hatujafanya kitu, "he'll sleep a happy man!" and "a hero wa Wazee wa Darisalama!".
Pasco.

Pasco

Pole sana kwa kukwazika..Ila nadhani ambaye alipaswa kukwazika zaidi alikuwa ni Mzee Nyerere..yeye kwenye kitabu kile ametajwa kwa jina na yooote aliyoyafanya yamaorodheshwa. Haya yalifanyika yeye akiwa hai. Sasa wewe Paco, kaka yangu Mgosi Nguruvi3, Mzee wa Uhamishoni Mwanakijiji, Yericko n.k.n.k ...hivi mtakuwa na ukweli upi kumshinda mwalimu Nyerere..au unataka kufurahisha baraza tu kaka?

Kikwebo.
 
mzee mohamed,
achana na tabia yako hii kujifanya unajua kuzisoma akili na mawazo ya watu wengine. Tabia hii umeifanya sana kwa mwalimu na hata wazee wako. Kila mara umekuwa unajifanya kufikiri kwa niaba ya watu wengine. Matokeo yake umekuwa unaongopa sana. Umejuaje watu tumetaharuki? Unalithibitishaje hilo ilihali wewe sio mungu wetu? Tutakapofikia kuandika kitabu na kwakuwa tuko wengi, halitaharibika neno.

Wewe umeandika mtu mmoja kitabu kile, si unaona kilivyopokelewa kwa hisia na mitazamo tofauti? Si umeona kinavyotishia amani na usalama wa jamii zetu?

kumjua mtu ya kwamba ametaharuki ni kwa kuangalia hizo lugha za matusi,kejeli na ghadhabu katika majadiliano,haihitaji mtu awe mungu ili kuweza kuliona hilo,
na sasa ni wakati wenu kama mnavosema kwa uwingi wenu kukaa chini kuandika kitabu kitachokuja kuuweka ukweli na kuukosaoa huu wa moh said,ambao una takriban miaka 15 sasa tanzania na dunian kote,kwa kufanya hivyo mtakuwa mmefanya jambo la maana na msingi mkubwa.
 
Tutawajumuisha wewe na wenzio wote akiwamo Mohamed Said!

Hapana mimi na hao wenzangu huenda tusiwe na msaada sana katika uandishi huu wa kurekebisha historia ya
uhuru.

Mimi nashauri mngeanza na hawa hapa chini niloweka majina yao katika ''bold'' hawa wana nyaraka na kumbukumbu
nyingi na muhimu katika kazi hii.

Ikiwa wametangulia mbele ya haki basi wapateni watoto au wajukuu zao Insha Allah:

[TABLE="class: cms_table_MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]I am grateful to the pioneers of change in Southern Province, Said Alley Mwalimu and late Mohamed Ali Abdallah ‘Makarios’ both of Mikindani; to Salum Mpunga and Yusuf Chembera of Lindi, both of them now deceased, for letting me draw from their colonial experiences in southern Tanganyika; to Tewa Said Tewa, Dossa Aziz, Zuberi Mtemvu and Sheikh Haidar Mwinyimvua of Dar es Salaam; to Yusuf Ulotu of Moshi, popularly known as Yusuf Ngozi,Mohamed Kajembe, Rashid Sembe and Mmaka Omari of Tanga for providing me with unique information on colonial politics as it related to the ‘educated’ African Christians on the one hand and the ‘uneducated’ Afro-Arabs and African Muslims on the other. This information has helped me understand and interprete the conflict between Muslims and Christians which surfaced soon after independence and the contradictions which I have tried to depict in this work.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] I am also grateful to Omar Suleiman, Haruna Taratibu and Hassan Suleiman,[1] the brilliant political organiser of the period between the two World Wars, and to Germano Pacha, the last TAA provincial secretary and a TANU founder member, for his information on the formation of the Party; and to Rashid Mussa who, not knowing that the person he was referring to was my grandfather, informed me about my grandfather’s early political career and his role in the first General Strike in colonial Tanganyika in 1947. I wish to pay special gratitude to Bilali Rehani Waikela, a Manyema gentleman and a devout Muslim. At twenty-five years of age in 1955, Waikela was one of TANU founding members in Tabora. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Waikela educated me about how Muslims as a political force supported Nyerere and the struggle for independence. He also briefed me about his days in detention with my grandfather at Uyui Prison for ‘mixing religion and politics’. I am indebted to him for putting at my disposal photographs of the period and his personal papers on the Muslim ‘crisis’which emerged soon after independence. I am grateful to Waikela for encouraging me to write this book and to write on the plight of Muslims as a result of their marginalisation by Nyerere’s regime. Unlike many of my informants, Waikela allowed me to quote him without any fear. He was pleased to see that the information he had was being put to good use in preserving the history of our country for the benefit of future generations. He also put me in touch with other patriots like Mohamed Mangiringiri, Ramadhani Singo and others, whom I interviewed at length. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] This work would not have been possible if it were not for the moral and material assistance I received from Ally Sykes. Ally Sykes allowed me to interview him on many occasions in spite of his busy schedules managing his business from his city center office. He allowed me to consult his own private files, personal letters, diaries and other family records. These records were kept in a safe which I was informed remained untouched for over thirty years. Going through the files I was amazed by Ally Sykes’ obsession with record keeping. Every piece of paper with information was kept, however trifling it may have seemed during the struggle -a 1954 pencil note from Zuberi Mtemvu to Ally Sykes, informing him of a discussion he had with Nyerere about him and TANU; a 1953 money order receipt from Ally Sykes to Japhet Kirilo during the Meru Land Case; an undated copy of the letter from TAA to Queen Elizabeth signed by the entire executive (the President, Julius Nyerere, Vice-President Abdulwahid Sykes, General Secretary Dome Okochi, Assistant Secretary Dossa Aziz, Treasurer John Rupia, Assistant Treasurer Ally Sykes) congratulating Her Majesty on her coronation; a 1952 letter from Rashid Mfaume Kawawa from Bukoba to Ally Sykes informing him of the political situation in the Lake Region; a 1963 letter from Lady Judith Listowel; letters from Kenneth Kaunda, Julius Nyerere, Kasella Bantu ... the list is endless. This habit was apparently inherited from his father who used to file each and every piece of paper which had any information worth noting. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] It is a pity that I could not get access to Abdulwahid’s diaries, which I understand had many entries in shorthand and are untranscribed. I was also not able to obtain World War I memoir of Kleist Sykes. There is no doubt whatsoever that these documents are invaluable. It is my hope that one day these important documents on the history of the Party and of our nation will find their way to the Tanzania National Archives for the benefit of future generations. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Over the years, I had many discussions with members of the family, and got very useful information out of our casual talks. The result of all this is what I believe to be an authenticated historical narration of the life and times of Abdulwahid Sykes and other forgotten patriots to whom the country, CCM and the Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, owe so much in one way or another.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] I wish to thank all those who allowed me to interview them but have asked for anonymity. Even those who refused to talk to me about the subject, and to publishers who rejected my manuscript out of fear and those who preferred silence, I must admit, in their own peculiar way contributed to this work.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Qur'an haikuandikwa na binadamu.

Ni kauli yake Allah kwa Jibril AS na Jibril akamfikishia Muhammad SAW.

Tuje katika kitabu cha historia.
Nakuungeni mkono sana katika kazi hiyo ili tuwe na historia iliyokamilika.

Kitabu chenu kitasahihisha makosa yaliyopo kwenye kitabu changu hili ni
jambo jema sana.
Hata hiyo kauli ya Allah ilibidi iandikwe na watu. Tuyaache hayo. Mimi sina utaalam wowote wa DINI. Mara ya kwanza unakiri kwamba makosa yamo kwenye kile kitabu chako. Nakupongeza sana kwa hilo. Hakuna aliye mkamilifu. Kama tutafanikiwa kukiandika kitabu hiki tutakushirikisha sana tu. Una akili sana nami naamini bado unayo mengi unayoyafahamu kuhusu historia ya Taifa hili.
 
pasco

pole sana kwa kukwazika..ila nadhani ambaye alipaswa kukwazika zaidi alikuwa ni mzee nyerere..yeye kwenye kitabu kile ametajwa kwa jina na yooote aliyoyafanya yamaorodheshwa. Haya yalifanyika yeye akiwa hai. Sasa wewe paco, kaka yangu mgosi nguruvi3, mzee wa uhamishoni mwanakijiji, yericko n.k.n.k ...hivi mtakuwa na ukweli upi kumshinda mwalimu nyerere..au unataka kufurahisha baraza tu kaka?

Kikwebo.

tell them,
kwa maana wapo ambao wameshatu-pm mara nyingi sana na kutupa maneno ya kejeli mara ooh nynyi ni wapigana jihad,nyinyi vihiyoo,hamna shule,wazee wa madrasa na wafuasi wa ngano za mzee moh said n.k,,sasa tunashangaa,hayo yote ni ya nini??huu si mjadala wa wazi na kila mtu anasimamia kile anachokiona kina mantiki kwake?iweje mwingine akiwa upande wa yericko mleta hoja awe sahihi,na mwingine akiwa upande wa moh said aonekane hana hoja,kihiyo,mfuasi n.k?
Sijamuona mkristu yoyote waz waz akijionesha kuunga mkono hoja za moh said,je tumehoji kama anapigana crusade war?vipi mimi muislam nikionekana nazikubali hoja za moh said nionekane naungana nae kupigana jihad?ni wazi sasa kila mtu anaonekana kuchagua upande na kuacha kuchagua hoja zinazozungumzwa,by the way lini na nyinyi mnaandika kitabu chenu??
 
Mzee Mohamed,
Achana na tabia yako hii kujifanya unajua kuzisoma akili na mawazo ya watu wengine. Tabia hii umeifanya sana kwa Mwalimu na hata wazee wako. Kila mara umekuwa unajifanya kufikiri kwa niaba ya watu wengine. Matokeo yake umekuwa unaongopa sana. Umejuaje watu tumetaharuki? Unalithibitishaje hilo ilihali wewe sio Mungu wetu? Tutakapofikia kuandika kitabu na kwakuwa tuko wengi, halitaharibika neno.

Wewe umeandika mtu mmoja kitabu kile, si unaona kilivyopokelewa kwa hisia na mitazamo tofauti? Si umeona kinavyotishia AMANI na usalama wa jamii zetu?

WC,

Niwie radhi kama nimekuudhi.
Ndiyo maana nimeanza kwa kuomba idhini ya kushauri.

Lakini nakuasa ndugu yangu.
Miruzi mingi inampoteza mbwa.

Kizungu yake ni ''Too many cooks...''
Wanaukumbi malizieni.
 
Back
Top Bottom