zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,930
Hilo tu? Kwa hiyo fisadi Rostam Aziz ni muhimu sana kwa URAIS wa Rais wetu JK?
Ana historia ipi ya wapigania Uhuru wa Tanganyika, hapa hata Mkapa wala Kikwete hawaongelewi isipokuwa mnapojaribu kuwapachika, kuna mafisadi zaidi ya "wasomi" wakatoliki waliokuwa madarakani kila nyanja waloiuwa nchi kwa miaka 44 mfululizo?