Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mohamed, sidhani neno uongo ni tusi.
Umesema wakristo walinong'onezana wasimpe mwislam tena. Ukishasema hayo tu maana yake ilikuwa ni siri yao hivyo haikusikika. Lakini zaidi ya hayo hatuwezi kutegemea maneno tu ya kusikia tu yasiyo na ushahidi. Huo utakuwa mwanzo wa kuwa na taifa la majungu. Kesho mwingine ataibuka na lake na hivyo kuchanganya umma. Kama una proof weka hapa ndio maana ya mnakasha.

Kitu cha kushangaza sana, malalamiko ya waislam ilikuwa dhidi ya CCM kwa uonevu wa miaka mingi ikiwa ni pamoja na kuwaondoa wazee katika uongozi. Hivyo ndivyo ilivyokuwa inasemwa hadi walipoamua kujiunga kwa wingi CUF ili kutafuta haki.
Sasa ilikuwaje tena wakanong'onezana misikitini wasimchague mkataoliki badala ya kunong'onezana wamchague Lipumba wa CUF

The whole story lacks connection for sober mind individuals na hii inatokana na ukweli kuwa kila kitu kipo fabircated.
Muhimu zaidi, je, kwa kunong'onezana iwe waislam au wakristo kuna aliye na afadhali sasa hivi? Inflation 20% wizi umekithiri na taifa lipo katika mzozo wa masuala ya kijamii, migomo n.k. nani anayefaidika kwa hilo.

Haiwezekani 2013 tukafikiri kwa kutumia majina na si vichwa vyetu! impossibe.
Niambie wapi udini katika Afrika umelata unafuu kwa kundi fulani!

Ukiijuwa sababu ya kiongozi wa nchi katika Afrika yenye serikali isiyo na dini kupewa uwenye heri na kutaka kupewa utakatifu utakuwa umeshapata jawabu.
 
Acha uongo wewe, unajua kuwa mwaka 1985 Mzee Malecela alikuwa umbali gani na ikulu takatifu ya Tanzania?

Bora ungekaa kimya huna unachokijua ungekuwa mtoto wa Kambarage wala usingepinga, mmeomba jina mmpewa nenda kamuulize yupo hai wengine mkitajiwa mnasema marehemu huyu yupo hai.
 
Son...

Nimeeleza kisa cha hotuba hii si muda mrefu kuwa chanzo ni Political Sub
Committee ya TAA 1950 na wajumbe wake walikuwa hawa wafuatao:


  1. Sheikh Hassan bin Amir
  2. Abdulwahid Sykes
  3. Hamza Kibwana Mwapachu
  4. Dk. Vedasto Kyaruzi
  5. Steven Mhando
  6. Said Chaurembo
  7. John Rupia

Mshauri wa kamati hii alikuwa Earl Seaton.

Lakini naona unajisikia faraja kuweka kejeli kidogo.
Huna maswali kuhusu Seaton nk. nk.

Umevutiwa na ''Market Master.''

Si kitu nami nitakujibu.

Huo mshahara wa ''Market Master'' ndiyo uliokuwa ukifadhili TAA na TANU.
Zile ''lunch'' na ''diner'' pale nyumbani kwa Abdu Sykes Stanley Street
vyakula vilikuwa vinatoka katika ofisi ya ''Market Master.''

Hizi ''lunch'' na ''diner'' zikihudhuriwa na vigogo wa siasa wa wakti ule na
hapo ndipo palipokuwa ikipangwa mipango ya kuunda TANU na mbinu za
kumng'oa Mwingereza.

Aliyekuwa akipika hicho chakula na kuwahudumia waheshimiwa hawa alikuwa
mama yangu Bi Mwamvua biti Masha mke wa ''Market Master.''

Ikiwa wewe ni mwizi wa fadhila na ukaona huwezi kushukuru kwa ihsani
si kitu.

Kipi kitanishangaza mimi leo ikiwa hata cheo cha ''Market Master'' katika TAA
kilisahauliwa na medali kama mmoja wa waasisi wa taifa hili kaja kupewa baada
ya miaka 50?
HOTUBA kaandika Nyerere,hao kazi yao ilikuwa ku "rubberstamp"

Hii nyumba ya TANU,mbona inatatanisha ni ya akina sykes AU Cameroun ndio aliyeikabidhi,naona kuna utata ktk original owner
 
nyerere_departing_for_UNO.jpg

TANU Supporters accompany Nyerere to the airport before his departure to deliver a speech UNO

Cha kuchekesha hapa anatajwa Nyerere peke yake wakati hawa wote wanajulikana majina yao.

Na wengine wamejitolea nguvu zao pamoja na mali lakini wametupwa nje ya historia ya TANU pamoja na uhuru.

Hao waswahili wanywa kahawa ndiyo waliomsindikiza Nyerere uwanja wa ndege kwenda UN.

Ritz,

Hiyo safari yote ilitayarishwa na Idd Faizi Mofongo.
Idd Faiz ndiye aliyekabidhiwa jukumu la kutafuta fedha za safari ya UNO.

Yeye ndiye alikuwa mweka hazina wa TANU na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika.

Rashid Ali Meli kenda fungua safe ya Dar es Salaam Municipal Council akachota fedha
kumpa Idd Faiz atunishe mfuko wa safari ya Nyerere UNO.

Fikra ya safari hii ilikuwapo haya kabla Nyerere hajakutana na Abdu Sykes.

Historia hii leo inaitwa ''ngano.''

Nashutumiwa kwa ''uchochezi'' na ''uongo.''

Kwa wale wasiomfahamu Idd Faiz ni huyo aliyevaa koti, tarbush na kanzu.
Mmanyema na ndugu yake Idd Tosiri na Sheikh Mohamed Ramia.

Nyumba yake dhalili hadi leo ipo Magomeni Kondoa ambako anaishi binti yake
maarufu kwa jila na Biti Idd.

Juu ya kuwa alikabidhiwa hazina ya TANU kafa masikini.
Hakudokoa hata senti moja kuinufaisha nafsi yake.
 
nyerere_departing_for_UNO.jpg

TANU Supporters accompany Nyerere to the airport before his departure to deliver a speech UNO

Cha kuchekesha hapa anatajwa Nyerere peke yake wakati hawa wote wanajulikana majina yao.

Na wengine wamejitolea nguvu zao pamoja na mali lakini wametupwa nje ya historia ya TANU pamoja na uhuru.

Hao waswahili wanywa kahawa ndiyo waliomsindikiza Nyerere uwanja wa ndege kwenda UN.

Hiyo ndiyo ukisikia dhihaka ya kivukoni.
 
P,

Nakujibu kwa heshima zote mdogo wangu.
Umenikumbusha nilikotoka mimi miaka mingi nyuma.

Endelea kusoma kuwa na akili ya udadisi mengi utajua.

Ukiniita mdogo wako utakuwa umenipa cheo kikubwa sana.
Miye mtoto wako.
Huku "site"tunakoishi matatizo yanawapiga wote Waislam kwa Wakristo.
Kama ni kupata elimu yeyote mwenye jitihada ataipata na ukiona ameikosa ama mzembe au familia yake haimudu gharama.

Na naweza kukuapia kuwa wapo wengi nimewaona Waislam kwa Wakristo wakipata elimu na wapo niliowaona wakiikosa na ukiona aliyebaguliwa basi ni kwa sababu ya "hali" na si shari tena kwa uchache.

Mimi leo ukiniambia Ukristo wangu umenisaidia kupata elimu utakuwa umenitukana tusi kubwa sana. Kwa namna nilivyohangaika mimi na niliowaona, Baba na Mama wanajinyima ili niende shule. Wanaondoka Duniani napigana kiume na kozi kadhaa na kufaulu. Halafu leo tunaambiwa kuna mfumo Kristo.....Kichekesho kichungu.

Halikadhalika nimewaona walioingia kwenye biashara wakifaniikiwa na wengine wakifeli Wakristo kwa Waislam.

Hayo tuyaache: Wewe kama mtu unaesikilizwa na Waislam wengi unafanya jitihada gani kuhakikisha Waislam kule Kilwa, Kisiju, Korogwe, Kimanzichana n.k wanathamini shule? (Nimeona kwa macho yangu wengi wao wakiacha shule au wazazi wao wakiwaondoa shule au hata kutofuatilia maendeleo ya watoto wao shuleni).

Usiseme waulizwe Waislam kwa sababu una sehemu ya mchango mkubwa tu kwa Waislam kujiona dhalili kama baadhi yao wanavyojiona leo.

Inshallah nitayasoma mapendekezo yako kesho, kwa sasa naenda ukumbini kumuoza mpwa wangu!
 
nyerere_departing_for_UNO.jpg

TANU Supporters accompany Nyerere to the airport before his departure to deliver a speech UNO

Cha kuchekesha hapa anatajwa Nyerere peke yake wakati hawa wote wanajulikana majina yao.

Na wengine wamejitolea nguvu zao pamoja na mali lakini wametupwa nje ya historia ya TANU pamoja na uhuru.

Hao waswahili wanywa kahawa ndiyo waliomsindikiza Nyerere uwanja wa ndege kwenda UN.

Nakuuliza katika safari hii na mafao mengine je Shirika la Maryknoll Sister wanatajwa?

Je Edgar Arestde Maranta anatajwa?

Je Shehe Iss Bin Amir anatajwa?

Je mfadhiri namba moja wa baba wa taifa na aliyekuwa akimlpa mshahara kabisa wa shilingi 600 huku akiwa kaacha kazi akiwa Musoma Padre Art Wille anatajwa popote?

Nakufahamisha kuwa katika moja ya vibwagizo vya Mwalimu mwaka 1985 alitamka wazi kuwa Padre Wille ni BOSS wake halali! Hilo alilisema akikumbuka mbali sana hasa mazngira yake yakukatiwa tiketi ya kwenda na kurudi UNO

Kasisi Wille alikuwa ni mmoja ya wanajopo la wa Maryknoll Sister wakiwa sambamba kabisa na Pandre Maranta wakiunga mkono juhudi za ukombozi zilizokuwa zikiongozwa na Mwalimu Nyerere!
 
Ukiniita mdogo wako utakuwa umenipa cheo kikubwa sana.
Miye mtoto wako.
Huku "site"tunakoishi matatizo yanawapiga wote Waislam kwa Wakristo.
Kama ni kupata elimu yeyote mwenye jitihada ataipata na ukiona ameikosa ama mzembe au familia yake haimudu gharama.

Na naweza kukuapia kuwa wapo wengi nimewaona Waislam kwa Wakristo wakipata elimu na wapo niliowaona wakiikosa na ukiona aliyebaguliwa basi ni kwa sababu ya "hali" na si shari tena kwa uchache.

Mimi leo ukiniambia Ukristo wangu umenisaidia kupata elimu utakuwa umenitukana tusi kubwa sana. Kwa namna nilivyohangaika mimi na niliowaona, Baba na Mama wanajinyima ili niende shule. Wanaondoka Duniani napigana kiume na kozi kadhaa na kufaulu. Halafu leo tunaambiwa kuna mfumo Kristo.....Kichekesho kichungu.

Halikadhalika nimewaona walioingia kwenye biashara wakifaniikiwa na wengine wakifeli Wakristo kwa Waislam.

Hayo tuyaache: Wewe kama mtu unaesikilizwa na Waislam wengi unafanya jitihada gani kuhakikisha Waislam kule Kilwa, Kisiju, Korogwe, Kimanzichana n.k wanathamini shule? (Nimeona kwa macho yangu wengi wao wakiacha shule au wazazi wao wakiwaondoa shule au hata kutofuatilia maendeleo ya watoto wao shuleni).

Usiseme waulizwe Waislam kwa sababu una sehemu ya mchango mkubwa tu kwa Waislam kujiona dhalili kama baadhi yao wanavyojiona leo.

Inshallah nitayasoma mapendekezo yako kesho, kwa sasa naenda ukumbini kumuoza mpwa wangu!

Jee, umepata kusikia kisa cha NECTA?
 
HOTUBA kaandika Nyerere,hao kazi yao ilikuwa ku "rubberstamp"

Hii nyumba ya TANU,mbona inatatanisha ni ya akina sykes AU Cameroun ndio aliyeikabidhi,naona kuna utata ktk original owner

Son,

Mimi nimeeleza yote ninayojua kuhusu nyumba hiyo.
Sina zaidi cha kuongeza.

Ikiwa nyie wenzetu mna habari zaidi Insha Allah ileteni
hapa jamvini tuisikie.

Lakini njuiavyo mimi ilijengwa kati 1929 - 1933 na Abdu
anasema yeye kashuhudia kwa jicho lake nyumba hiyo
ikijengwa kwa kujitolea siku za Jumapili yeye akifatana
na baba yake pale New Street na Kariakoo.
 
Nakuuliza katika safari hii na mafao mengine je Shirika la Maryknoll Sister wanatajwa?

Je Edgar Arestde Maranta anatajwa?

Je Shehe Iss Bin Amir anatajwa?

Je mfadhiri namba moja wa baba wa taifa na aliyekuwa akimlpa mshahara kabisa wa shilingi 600 huku akiwa kaacha kazi akiwa Musoma Padre Art Wille anatajwa popote?

Nakufahamisha kuwa katika moja ya vibwagizo vya Mwalimu mwaka 1985 alitamka wazi kuwa Padre Wille ni BOSS wake halali! Hilo alilisema akikumbuka mbali sana hasa mazngira yake yakukatiwa tiketi ya kwenda na kurudi UNO

Kasisi Wille alikuwa ni mmoja ya wanajopo la wa Maryknoll Sister wakiwa sambamba kabisa na Pandre Maranta wakiunga mkono juhudi za ukombozi zilizokuwa zikiongozwa na Mwalimu Nyerere!

1) Jee, hao unaowataja wako kwenye hiyo picha?

2) Father Kit Cunningham mbona umemsahau?
 
Alikuja nayo Nyerere kutoka Butiama.

wewe zomba hujawahi kuwa "clown" inaonekana wewe wa kwanza ukooni kulikabili darasa la maana lakini huachi asilia you write garbage 24/7 Hiyo Bells haikusaidia kitu-wewe kaa kibarazani uendelee kukusanya kodi
 
Last edited by a moderator:
Nakuuliza katika safari hii na mafao mengine je Shirika la Maryknoll Sister wanatajwa?

Je Edgar Arestde Maranta anatajwa?

Je Shehe Iss Bin Amir anatajwa?

Je mfadhiri namba moja wa baba wa taifa na aliyekuwa akimlpa mshahara kabisa wa shilingi 600 huku akiwa kaacha kazi akiwa Musoma Padre Art Wille anatajwa popote?

Nakufahamisha kuwa katika moja ya vibwagizo vya Mwalimu mwaka 1985 alitamka wazi kuwa Padre Wille ni BOSS wake halali! Hilo alilisema akikumbuka mbali sana hasa mazngira yake yakukatiwa tiketi ya kwenda na kurudi UNO

Kasisi Wille alikuwa ni mmoja ya wanajopo la wa Maryknoll Sister wakiwa sambamba kabisa na Pandre Maranta wakiunga mkono juhudi za ukombozi zilizokuwa zikiongozwa na Mwalimu Nyerere!

Hapa ndio panapomfunga jela Mohamed Said
 
Last edited by a moderator:
wewe zomba hujawahi kuwa "clown" inaonekana wewe wa kwanza ukooni kulikabili darasa la maana lakini huachi asilia you write garbage 24/7 Hiyo Bells haikusaidia kitu-wewe kaa kibarazani uendelee kukusanya kodi

Nyumba ya tatu kutoka Nyumba hiyo ilipozaliwa TANU ndio nilipozaliwa na kukulia mimi.
 
Nyumba ya tatu kutoka Nyumba hiyo ilipozaliwa TANU ndio nilipozaliwa na kukulia mimi.

na hakika ulikuwa less then average student,mpaka mfumo wa Nyerere wa kutaka mcatch up kielimu ukakusaidia-leo umesahau-unatukana
 
"Nyerere's second visit to the United States was sponsored by Maryknoll. Instrumental in arranging it were Fr. William Collins, Fr. Al Nevins and Fr. John Considine. Maryknoll paid for his passage from Europe to America and back. His air line ticket from Tanganyika to Europe and back was bought by money raised in Tanganyika from a number of sources including Fr. Richard Walsh W.F. The purpose of this trip was to enable Nyerere to appear before the Fourth Committee of the U.N. on December 20, 1956. Maryknoll also arranged a lecture tour for Nyerere to visit various universities to acquaint himself with the American educational system and to seek scholarships for Tanganyikans. He also made an appearance on television with Eleanor Roosevelt on the Mike Wallace show"
 
Nakuuliza katika safari hii na mafao mengine je Shirika la Maryknoll Sister wanatajwa?

Je Edgar Arestde Maranta anatajwa?

Je Shehe Iss Bin Amir anatajwa?

Je mfadhiri namba moja wa baba wa taifa na aliyekuwa akimlpa mshahara kabisa wa shilingi 600 huku akiwa kaacha kazi akiwa Musoma Padre Art Wille anatajwa popote?

Nakufahamisha kuwa katika moja ya vibwagizo vya Mwalimu mwaka 1985 alitamka wazi kuwa Padre Wille ni BOSS wake halali! Hilo alilisema akikumbuka mbali sana hasa mazngira yake yakukatiwa tiketi ya kwenda na kurudi UNO

Kasisi Wille alikuwa ni mmoja ya wanajopo la wa Maryknoll Sister wakiwa sambamba kabisa na Pandre Maranta wakiunga mkono juhudi za ukombozi zilizokuwa zikiongozwa na Mwalimu Nyerere!

Yericko,

Taarifa nzuri na zinajazia historia ya uhuru wa Tanganyika.

Kuna fedha katika vyanzo hivyo alipokea Idd Faiz kama mweka
hazina wa TANU?
 
Back
Top Bottom