Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
- Thread starter
- #15,841
Mag3,
Umeandika maneno mingi sana lakini mimi tadadavua kiduchu hizo bayana zako.
Hapa CCM ni mmoja tu chama, hao wengine wote ni wafuasi wa Chadema halafu ni Wakirsto, isipokuwa Mkandara, tu kwenye hii orodha yako Waislam ni wawili tu chama, na Mkandara, hawa wawili toka mwezi wa kwanza ameachana na huu mnakasha baada ya kuona kumbe ni vita vya kidini kati ya Waislam na Wakirsto.
Kwanza tambua Uislam na Uarabu ni vitu viwili tofauti hapa hakuna mtu anayetetea ushenzi wa waarabu, hebu Wanajamvi tusome hapo chini kuhusu habari za utumwa Mag3, anatuambia utumwa wa mwanzo ulikuwa karne ya tisa.
Nadhani wanajamvi mmejionea wenyewe habari za utumwa, ngoja kiduchu tuendelee kudadavua bayana za kaka yetu.
- Naona hapa unatuaminisha kuwa Waislam wapo CCM halafu nyie Wakirsto mpo Chadema.
- Mfumo Kristo umeanza baada ya uhuru wa Tanganyika soma hapa chini kazi ya Nyerere.
- @Mag3, kila siku mnawatukana Waislam lakini hao hao wanawasaidia katika chama chenu, hebu angalia hapa Mzee Sabodo anayowapa hundi kwa dharau anatia sahihi kwa mkono wa kushoto lakini kutokana na njaa yenu amna jinsi.
![]()
Kwa mtu mgeni na Ritz anaweza kukaa kitako na kujiandaa kumsoma hasa akianza kwa neno "ngoja nidadavue"
Lakini atapigwa butwa aina ya udadavuzi huo!
Lakini kwa tunaomjua wala hatutegemei mapya, Ritz ni yule yule jana leo na hata milele!
Yupo kama jiwe la moabi