mapesa yamejaa
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 1,412
- 3,419
Kipindi cha awamu ya tano uchumi uliimarika na kuwa uchumi jumuishi.vitu vingi vilihimilika mfano gunia la mchele liliuzwa 50000lakini kwa sasa 120000,1kg yasembe ilikuwa 700-1000 lakini kwa sasa 1800-2000Uchumi wa Tanzania ulishawahi kukua lini hata ukaleta unafuu kwenye maisha ya watu wa kawaida?
Watz tumewazoea kila anapotawala mwislamu baaasi atadharauliwa mpaka na wapuuzi kabisa
mm siyo mfia dini... naweza kukwambia sishiriki shaughuli za dini za upande wowote ule.Hoja alizoleta ni za kipumbavu, Ila hili la wewe kuweka tena dini ni upumbavu. Hivi kwa nn wafia dini ni wajinga mliopitiliza? Pelekeni Watoto shule muondoe huu ujinga
Ukiacha maradhi, ujinga na umaskini, tatizo lingine ni hili la wafia dini
Ichomoe kwanza ndo utaelewaHuwezi amini sijaelewa
kipindi cha awamu ya tano kulikuwa na vita? mafuta yalipanda bei? kulikuwa na ukame? unataka raisi afanye ninini sasa kama wakulima hawajavuna kwasababu ya ukame?Kipindi cha awamu ya tano uchumi uliimarika na kuwa uchumi jumuishi.vitu vingi vilihimilika mfano gunia la mchele liliuzwa 50000lakini kwa sasa 120000,1kg yasembe ilikuwa 700-1000 lakini kwa sasa 1800-2000
Sasa mambo ya uislamu yameingiaje hapo? Huyu anampinga raisi sababu ya ujinga waliomezeshwa huko ufipa. Wewe unasema sababu ni uislamumm siyo mfia dini... naweza kukwambia sishiriki shaughuli za dini za upande wowote ule.
Kipindi cha awamu ya tano kulikuwa na korona lakini serikali ya kipindi hicho alichukua hatua kudhibiti mfumuko wa bei tofauti na sasa ambapo kila kitu kinajiendea tukipindi cha awamu ya tano kulikuwa na vita? mafuta yalipanda bei? kulikuwa na ukame? unataka raisi afanye ninini sasa kama wakulima hawajavuna kwasababu ya ukame?
ujinga wa kihalaiki unakusumbuaKipindi cha awamu ya tano kulikuwa na korona lakini serikali ya kipindi hicho alichukua hatua kudhibiti mfumuko wa bei tofauti na sasa ambapo kila kitu kinajiendea tu
Hali yako ya maisha ikoje ndugu huko ndugu baada ya hayo makampuni kupata faida?!Sasa with those matatizo ndio kwamba uchumi unaangukia?
Lini uchumi haukuanguka and so matatizo yaliisha?
Acha upuuzi Jenga hoja yako Kwa namna inayofaa sio kupinga unga vipisi vya ujinga ujinga..
Uchumi ungeanguka makampuni makubwa yangepata faida? Banks zingeoata faida? Si ungesikia bad loans na vilio vya Biashara kufungwa?
Sema serikali ipunguze matumizi yasiyo na msingi badala ya kuunga unga upuuzi hapa 👇
Hako ni katakatakaHali yako ya maisha ikoje ndugu huko ndugu baada ya hayo makampuni kupata faida?!
Nitahamaje Nchi wakati ni yangu?yeye ndiyo anatakiwa aende kwao maana nchi imemshindaujinga wa kihalaiki unakusumbua
hama nchi basi
Ni tetesi Duh! WaTZ bhn mnatuonea wivu kweli sisi watawala hamjui kama hatulali tunawafikiria nyieTetesi.kongamano la sensa limetumia pesa za umma billioni7 na kongamano la nishati ya kupikia billion 4 jumla bilion11 ambazo zingetumika kutatua changamoto ya umeme dar
Sasa with those matatizo ndio kwamba uchumi unaangukia?
Lini uchumi haukuanguka and so matatizo yaliisha?
Acha upuuzi Jenga hoja yako Kwa namna inayofaa sio kupinga unga vipisi vya ujinga ujinga..
Uchumi ungeanguka makampuni makubwa yangepata faida? Banks zingeoata faida? Si ungesikia bad loans na vilio vya Biashara kufungwa?
Sema serikali ipunguze matumizi yasiyo na msingi badala ya kuunga unga upuuzi hapa [emoji116]
Makampuni hususani banks hazipati faida kutoka Mbinguni bali kutokana na shughuli zetu ndio maana utakuta Watu wamejaa banks..Hali yako ya maisha ikoje ndugu huko ndugu baada ya hayo makampuni kupata faida?!
Hasira zako peleka kwa mkeoHizo rubbish tweets ndo ushuzi gani unatupostia mtoto wa kike wewe? Bumbavu kabsaa
Weka ushahidi au nenda na wewe kalime kwenye vyanzo vya maji Ili tuamini Serikali imelala vinginevyo chuki zako Wal hazitakusaidia na kubadili chochote kwenye maisha yako..Kuna mda mnalazimisha watu kutukana ..kaaa.
Hii nchi ikiendelea kutawaliwa hivi, basi hatuna chetu mda si mrefu.
Kwa kipindi cha uongozi wa Bi-Tozo uliopita amefaidi sana miuondombinu ya kiutawala iliyokuwepo..sasa kashapanga yake..ambayo kila mtu anataka kula kwa urefu wa kamba yake.
Hakuna ushirikiano kabisa huko serikalini. Mito imeachwa tu na shughuli za binadam zinaendelea humo na serikali haichukuchukua tahadhari, yaani imelala as if utabiri wa hari ya hewa unawahusu wapinga tozo tu..hata wewe inakuhusu.
Suala la Chakula watu wanapiga kelele hadi wanakaribia kukata tamaa..serikali inajifanya haioni. Ikifika mda napo mtasingizia mvua afu kenya wataanza kuleta unga na mchele..Akili za serikali yetu ni kula bata tu.
kwao ni wapi na wewe kwenu ni wapi? kwanini wewe pawe kwenu na yeye pasiwe kwao?Nitahamaje Nchi wakati ni yangu?yeye ndiyo anatakiwa aende kwao maana nchi imemshinda
Hata mm.Huwezi amini sijaelewa
CCM MBELE KWA MBELEMlima kilimanjaro unateketea sisi tunapaisha Ndege na karatasi ya sensa.
Mtungi wa gesi mdogo 24, 000 mazuzu yanakushangilia tu.
Gunia la Mahindi leo linauzwa 100,000
Maharage 200,000 yaani ni mfumuko wa bei juu ya mfumuko wa bei.
Maji yamekuwa adimu Sana utafikiri unatafuta gold kwenye mgodi wa Nyamongo.
Umeme leo umekuwa anasa mjini dsm ukiongeza na joto limefika 33c hapo hakuna feni Wala AC ni mwendo wa kuungua ndani kwa ndani.
Rais ashauliwe kama hataki aambiwe ukweli aachane na mambo ya anasa afanye mambo ya msingi tu.
Tumeshindwa kuomba msaada wa kuzima moto mlima kilimanjaro?
Msitu wa amazon ulipoungua hatukujifunza?
Hii nchi now awamu ya sita kipaumbele chake ni vijisherehe na kusafiri tu sio kutoa Huduma za msingi kwa watanzania.
Serikali ya kifisadi kuliko zote toka tupate uhuru mnachota tu pesa na walala hoi na kuzipeleka kwenye mambo ya kipumbavu.
Hakika huu mchongo tumepigwa watanzania