Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
nyumba za makazi zote zimegeuzwa frem mbezi beach yoteeee
Nilishangaa sana asee kila kona Frem, kuna nyumba ilikuaga kali MOHANS wameweka frem lao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyumba za makazi zote zimegeuzwa frem mbezi beach yoteeee
[emoji2][emoji2][emoji2] maajabu hayaishi nchi hiiTuna uvivu sana. Unakuta mtu yupo kwenye biashara miaka 30+ eti leo na yeye anajenga fremu akodishie watu. Aibu!
Sasa hata hapo lugalo utafanya biashara Gani ili upate faida maana ukitembea kidogo unafika kawe kule Kuna Kila biashara na maduka. I think tuna ubunifu ni zeroHivi ushirikiano ungekuapo apo awali situngegoma wapangaji ili haki zetu zilindwe sasa walivyokua waoga ukipewa notice mtu hajui kuisimamia haki yake sasa cjajua pale lugalo maana hawanaga masiala mwendo wa Sheria tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Frame zinapunguza biashara barabarani.Uchumi wa Frame unashika kasi sana Tanzania, ni Frame juu ya Frame, ni frame ukikata kona ni frame ukinyosha ni frame.
Hii nchi na hisi uwezo wa wetu wa kufikiria nahisi usha fikia tamati yake, nchi kwa sasa iko kwenye uchumia wa frame, si Jeshi la Police, Si Jeshi la Wananchi, Si makanisa yaani wote wanawaza Frame, Frame zinaoteshwa kama uyoga, miji imejaaa frame. Halimshauri, ni frame, Majiji ni Frema, Manisapaa zinawaza Frame.
Sasa wameona mjini hakutoshi, Frame zimehamia hadi kwenye makambi ya jeshi, Vituo vya Police, Mitaani maeneo ambayo ni kwa ajili ya Makazi kumejaaa Frame.
Tunako elekea Frame zitakuwa nyingi kuliko watu kama speed itakuwa ni hii hii ya sasa.
Je, hatuna Idea zingine nje ya Uchumi wa Frame?
Tunaandaa frame za kusapoti uchumi wa China make asilimia 99 ya hizo frame lazima ukutane na products za China.
Tuite franomics🤣Tuiite Framenomics...
Hii ni hatua ya mwisho ya taifa kuwa la madali wa bidhaa za kigeni.
Unaweza kushangaa Profesa wa Chuo kikuu anakomaa kujenga frame na kuli wa bandarini naye anajenga frame. Vivyo hivyo mawaziri na wabunge nao wanapambana kukamilisha frame kabla ya 2025. Hamna mwenye mawazo tofauti wote sawa kana kwamba akili zao zipo controlled na robot.
Uchumi wa kweli, uchumi utakaotuweka huru tumewaachia Wahindi, Waarabu na kwa kasi Wachina. Wao ndiyo wamiliki wa kweli wa njia kuu za uchumi kwa maana ya kilimo cha kisasa, viwanda na usafirishaji.
Kuna kila sababu ya kufanya uasi wa fikra miongoni mwa wazawa wa Tanzania wajue framenomics haiwezi peleka nchi uchumi wa kati bali kwa kufanya uwekezaji kwenye njia kuu za uzalishaji mali.
CCM nao hawajambo wana frame nchi nzima kuanzia kwenye viwanja vya mpira hadi kwenye ofisi zao. Huenda CCM wameambukiza wananchi mahaba ya frame na hivyo kuchochea uchumi wa frame!
......kuna muda hadi unaona aibu kuwa Mtanzania, unaamua kusema ni mkimbizi.....Mkuu hebu anzisha uzi kuhusu frem za pale lugalo... Zivunjwa mara moja.. Na ule uoto wa asili urejeshwe... Ni aibu ya karne..
RAis tunaomba ingilias kati... Kambi za jeshi zimegeuzwa mabaaa na makumbi ya starehe...
😂😂😂😂😂Sasa itakua mwendo wa glossarySasa hata hapo lugalo utafanya biashara Gani ili upate faida maana ukitembea kidogo unafika kawe kule Kuna Kila biashara na maduka. I think tuna ubunifu ni zero
Tuanzie hapo uhamiaji mnaitajika uku kuna mwamba uku katoroka nchini kwake...
......kuna muda hadi unaona aibu kuwa Mtanzania, unaamua kusema ni mkimbizi.....
😂😂😂😂Mpuuuzi kwer wanawake hao sasa na wanaume usiku wanafanya niniFrame mchana
Mdangaji usiku
Frame ni Kama kichaka cha kujifichia
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]DahKuna frame pale mtu anauza vijora
Ova
Ni sawa sasa kwanini hazikujengwa katika mpangilio mzuri?Tatizo lenu ni ujuaji.
Lile eneo kwa sehemu kubwa liko kwenye makazi ya wanajeshi.
Hadi uone limefanyika vile lazima walipata baraka zote kutokea Ikulu.
Hakuna kinachojificha zama hizi za tech.
Inaonesha wengi mmekosa frame pale ndo maana mwapiga kelele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpuuuzi kwer wanawake hao sasa na wanaume usiku wanafanya nini
Watengewe Kambi Yao mbinguniWanahudumia mabwana zao
Mji hauna green spaces za kutosha halafu mtu kutoka taasisi kubwa kama Jeshi anaamua kukata miti kujenga frame!!!Hadi lugalo wamefyeka ile miti na kujenga frame hivi walifanya kwanza tafiti namwomba Rais awaambie wavunje ule uchafu ni aibu Kwa jeshi kuwa na frame chafu za kijanjaa hivo ni aibu
Wife ana plot yake binafsi? Ila plot yako ni ya wote? Vijana kataeni ndoa ni utapeliKatika kitu nimekataa Nyumbani kwangu ni kuweka flemu, kwanza napenda shape ya nyumba yangu ionekane kama ilivyo na iko mtaani kabisa tena mtaa mkubwa kabisa, lakini habari ya fremu kwangu marufuku.
Wife ndio ana plot yake binafsi somewhere huko ndio Kajenga maflemu yake kawapangisha watu apate kodi, ila Nyumbani sitaki kabisa kusikia habari ya fremu.