"Uchumi wa kati" hapa mjini. Akina dada ni wewe na akili yako tu

"Uchumi wa kati" hapa mjini. Akina dada ni wewe na akili yako tu

Uchumi wa kati... Ndio uchumi pekee na huria kila mtanzania anaumudu! na anapaswa kukutumia vyema!(vizuri) haswa!...

Maana hakuna namna sasa!

Kaakaa kiboya sasa utegemee Samia akufikishe kwenye uchumi wa kati.... Wakati uchumi huo kila mtu anao!

Ni namna tu ya kuubrand na kuutumia!

Sasa wee endelea kukaza kiuno na kuringa ringa mjini hapa!

Njia pekee ya kuingia uchumi wa kati... Hakikisha maungo yako ya kati unayatumia vyema(yaongezee thamani)

Sasa wewe endelea kukakaa kiboya!
 
Dada unatembea na kitega uchumi, halafu unalalamika maisha magumu ? Unakwama wapi?

Ili kuyakabili maisha na kuwa na uchumi wa kati jirembe, jibebishe na uwe mtu wa kukaa maeneo ya mawindo.

Anyway. Kuna mwenzenu siku kama ya leo ametengeneza 1M. Asubuhi aliitwa na mshefa wakutane sehemu wapate breakfast na kucheza ile game ya kikubwa, akapewa 400k (siyo wewe unalipwa 40k).

Mida ya lunch kakutana na mjanja kampiga 100k kwa kumpatia namba ya simu tu.

Hivi navyoongea kaingiziwa 500k kwenye simu na mjanja mwingine ili wakale bata usiku huu.

Wewe unakwama wapi na sikukuu zote hizi?
Hayo sio maisha! Laana mikosi nuksi na kifo mkononi!
 
Nimeishi Kigoma miaka 2, I know them to some extent
Mkuu unataka, kuniambia gest za kigoma, zinalaza wageni tu, kama wageni, hakuna anae andika anakotoka Kigoma na anakoelekea Kigoma.
Mapenzi Kigoma mpaka baada ya ndoa, fanya uje Kunduchi oune alafu uniambie hawa wanao nyanduliwa waha wa wapi.
 
Mkuu unataka, kuniambia gest za kigoma, zinalaza wageni tu, kama wageni, hakuna anae andika anakotoka Kigoma na anakoelekea Kigoma.
Mapenzi Kigoma mpaka baada ya ndoa, fanya uje Kunduchi oune alafu uniambie hawa wanao nyanduliwa waha wa wapi.
Huyu jamaa ni Mha.
Aje Kanda ya Ziwa aone Waha wanavyouza utamu mpaka unapewa kwa mkopo.
Kosa lao wewe ulinunua siku Moja, wao wanataka akupende hivyo havijielewi
 
Sasa huyo unamuhesabia kuwa ni mwanamke au ni chombo tu kama lilivyo toroli?
 
Sasa huyo unamuhesabia kuwa ni mwanamke au ni chombo tu kama lilivyo toroli?
 
Dada unatembea na kitega uchumi, halafu unalalamika maisha magumu ? Unakwama wapi?

Ili kuyakabili maisha na kuwa na uchumi wa kati jirembe, jibebishe na uwe mtu wa kukaa maeneo ya mawindo.

Anyway. Kuna mwenzenu siku kama ya leo ametengeneza 1M. Asubuhi aliitwa na mshefa wakutane sehemu wapate breakfast na kucheza ile game ya kikubwa, akapewa 400k (siyo wewe unalipwa 40k).

Mida ya lunch kakutana na mjanja kampiga 100k kwa kumpatia namba ya simu tu.

Hivi navyoongea kaingiziwa 500k kwenye simu na mjanja mwingine ili wakale bata usiku huu.

Wewe unakwama wapi na sikukuu zote hizi?
Umejuaje kapata hela zote hizo au na ww unamsaidia anapokata mauno na kunyonyeshwa bolokoni muda mwingine mkileta taarifa mlete na picha kidogo
 
Umejuaje kapata hela zote hizo au na ww unamsaidia anapokata mauno na kunyonyeshwa bolokoni muda mwingine mkileta taarifa mlete na picha kidogo
Kuna njia nyingi Sana za kupata taarifa, na siyo lazima mpata taarifa awe ni mhusika wa tukio
 
mleta mada pepo la umalaya linakusumbua, nenda kwa mwamposa ukaombewe
 
90% ya kina dada wanatamani hili deal la mleta mada ! Walio wengi hapo katikati wanawaza pawafaidishe ! Shida hii ni biashara kama nyingine zilivyo yaan ni bahati ya mtu na mtu !!

Kama wanabisha jaribu kufuata nyendo za kina Gigy au wolper au Niffer au bongo movie wanaodanga uone ! Sio rahisi dadeki 😆😆 anayewin sana day one anaoneshwa ulimwengu ila zinazobaki ni vi offer offer vya kawaida ambavyo isingekua akili za kivivu angejituma kwenye shughuli zake angevipata.

Walio wengi wanakopwa ndo msemo wanaume tafuta hela ulipozuka. Biashara haina guarantee leo atakopwa , kesho atakutana na bahili , sometime anakutana na sisi kina sele. Kwa hiyo ni jitihada kama unavyobrand biashara ya nguo au keki.
 
mleta mada pepo la umalaya linakusumbua, nenda kwa mwamposa ukaombewe
Kwann waafrika hata biological matters mnazihusisha na pepo?

Nilitegemea useme nina sexual hormones nyingi zinazopelekea libido kuwa juu, hivyo nipunguze vyakula vya proteins ili libido lipungue
 
Back
Top Bottom