Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha zako Sexless, sema hujakutana naoUko sahihi. Hili kabila wanajieheahimu sana sana.
Nahitimisha. "Hakuna muha malaya".
Nimeishi Kigoma miaka 2, I know them to some extentAcha zako Sexless, sema hujakutana nao
Hayo sio maisha! Laana mikosi nuksi na kifo mkononi!Dada unatembea na kitega uchumi, halafu unalalamika maisha magumu ? Unakwama wapi?
Ili kuyakabili maisha na kuwa na uchumi wa kati jirembe, jibebishe na uwe mtu wa kukaa maeneo ya mawindo.
Anyway. Kuna mwenzenu siku kama ya leo ametengeneza 1M. Asubuhi aliitwa na mshefa wakutane sehemu wapate breakfast na kucheza ile game ya kikubwa, akapewa 400k (siyo wewe unalipwa 40k).
Mida ya lunch kakutana na mjanja kampiga 100k kwa kumpatia namba ya simu tu.
Hivi navyoongea kaingiziwa 500k kwenye simu na mjanja mwingine ili wakale bata usiku huu.
Wewe unakwama wapi na sikukuu zote hizi?
Mkuu unataka, kuniambia gest za kigoma, zinalaza wageni tu, kama wageni, hakuna anae andika anakotoka Kigoma na anakoelekea Kigoma.Nimeishi Kigoma miaka 2, I know them to some extent
Huyu jamaa ni Mha.Mkuu unataka, kuniambia gest za kigoma, zinalaza wageni tu, kama wageni, hakuna anae andika anakotoka Kigoma na anakoelekea Kigoma.
Mapenzi Kigoma mpaka baada ya ndoa, fanya uje Kunduchi oune alafu uniambie hawa wanao nyanduliwa waha wa wapi.
Nenda Lunzewe! Shamba la nyege utatupa mrejeshoUko sahihi. Hili kabila wanajieheahimu sana sana.
Nahitimisha. "Hakuna muha malaya".
Naweza kubaliana na wewe ila udhaifu wao ni UCHAFUUko sahihi. Hili kabila wanajieheahimu sana sana.
Nahitimisha. "Hakuna muha malaya".
Kwenye hili naunga mkono 100%Naweza kubaliana na wewe ila udhaifu wao ni UCHAFU
Yaani 80% ya waha ni wachafu ,usibishe kama hujachunguza
Umejuaje kapata hela zote hizo au na ww unamsaidia anapokata mauno na kunyonyeshwa bolokoni muda mwingine mkileta taarifa mlete na picha kidogoDada unatembea na kitega uchumi, halafu unalalamika maisha magumu ? Unakwama wapi?
Ili kuyakabili maisha na kuwa na uchumi wa kati jirembe, jibebishe na uwe mtu wa kukaa maeneo ya mawindo.
Anyway. Kuna mwenzenu siku kama ya leo ametengeneza 1M. Asubuhi aliitwa na mshefa wakutane sehemu wapate breakfast na kucheza ile game ya kikubwa, akapewa 400k (siyo wewe unalipwa 40k).
Mida ya lunch kakutana na mjanja kampiga 100k kwa kumpatia namba ya simu tu.
Hivi navyoongea kaingiziwa 500k kwenye simu na mjanja mwingine ili wakale bata usiku huu.
Wewe unakwama wapi na sikukuu zote hizi?
Kuna njia nyingi Sana za kupata taarifa, na siyo lazima mpata taarifa awe ni mhusika wa tukioUmejuaje kapata hela zote hizo au na ww unamsaidia anapokata mauno na kunyonyeshwa bolokoni muda mwingine mkileta taarifa mlete na picha kidogo
Picha tafadhaliKuna njia nyingi Sana za kupata taarifa, na siyo lazima mpata taarifa awe ni mhusika wa tukio
Kwann waafrika hata biological matters mnazihusisha na pepo?mleta mada pepo la umalaya linakusumbua, nenda kwa mwamposa ukaombewe