Mama Edina
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 850
- 2,019
Salam za Jumatatu.
Iwe Voda, Tigo, Airtel nk, kuna madeni ya kukopa iwe songesha, nk.
Kwa bahati njema wateja waaminifu hukopeshwa fedha nyingi sana. Kwa kuwa kimsingi chip ya mteja ndio ya biashara zake Hana budi kulipa deni. Na Kwa kweli hakuna namna.
Mwezi Januari ni wa malipo mengi, hata wele kina sisi watoto wetu wanatakiwa viatu vizuri, nguo nk. Lazima tukope tulipe. Huduma ya lipa kwa, tena unassongesha basi balaa kubwa kwenye deni.
Iwe Voda, Tigo, Airtel nk, kuna madeni ya kukopa iwe songesha, nk.
Kwa bahati njema wateja waaminifu hukopeshwa fedha nyingi sana. Kwa kuwa kimsingi chip ya mteja ndio ya biashara zake Hana budi kulipa deni. Na Kwa kweli hakuna namna.
Mwezi Januari ni wa malipo mengi, hata wele kina sisi watoto wetu wanatakiwa viatu vizuri, nguo nk. Lazima tukope tulipe. Huduma ya lipa kwa, tena unassongesha basi balaa kubwa kwenye deni.