Uchunguzi: Ngono zembe inaharibu bahati na future

Mkuu, tatizo lako limewahi kunikumba mimi, nilijiingiza huko sikupata kazi miaka 10, ila niliweza kujitoa kwenye vifungo vya nafsi kwa maombi
 
Uko sahihi sana mkuu...
 
Does this only apply to africans? Mbona wazungu wanazini sana na uasherati kuoitiliza na bado wao ndio wenye mihela hapa duniani? Mwengine juzi juzi tuu hapa kawa mfalme pamoja na roho mbaya ya mama yake lakini wapi, jamaa kaula.
Kuwa na hela nyingi sio baraka mkuu,unajua anayoyapitia pamoja na kuwa na hizo hela nyingi?unaweza kukuta halali usiku,utajuaje,unaweza kukuta maelewano ndani ya nyumba na mkewe ni sifuri kila mtu analala chumba chake,hawali pamoja,huyu akija sitting room mwingine anaondoka utajuaje,watoto wanaugua kila kukicha utajuaje,watoto wanakuwa walevi wafujaji wa pesa hawataki kusoma,wanageukia ushoga au usagaji utajuaje?wewe unabaki tu huku nje unaangalia kiwango cha pesa alichonacho ambacho hakimletei muhusika amani bali huzuni na mikosi...
 
Nakazia,na tukitoka kwenye papuchi tunaoga na magadi Ku neutralize
 
Does this only apply to africans? Mbona wazungu wanazini sana na uasherati kuoitiliza na bado wao ndio wenye mihela hapa duniani? Mwengine juzi juzi tuu hapa kawa mfalme pamoja na roho mbaya ya mama yake lakini wapi, jamaa kaula.

Nakazia; WAAFRICA TUNAJILAANI WENYEWE

kuna vitu vingi sana havina uhalisia ila tunalazimisha tu et ukifanya hivi yatakukuta hayaa na yanatukuta kweli kutokana na kupelekea kuamini hivyoo ila ukweli ni kwamba sio hivyo tunavyoamini

Unaona hapo ulaya/ng’ambo kuna vitoto vijana vina miaka 17-19 vinacheza mpira ligi tofauti tofauti vina mafanikio kinyama na havijaoa wala nini? Vina wachumba tu yaani alaf fresh tu sisi yaani tunajikandamiza kinoma yaani

Na mafanikio kwetu yanakuwa magumu kutokana na ujinga tulioamua kuuingiza akilini mwetu
 
Yah...utumwa wa kifikra...mind slavery
 
Braza japo sikupingi ila naona hapa umeongea ASSUMPTIONS....pia haya mambo yanawakuta hata wasiokua wanafanya hizo zinaaa...

Hapa tunazungumzia mafanikio...na ni jambo la kupendeza hata kiroho watu kufanikiwa
 
Daah!!! Mnajibebesha mizigo mizito sana wakuu kwa vitu ambavyo kwa asilimia kubwa mmeaminishwa tuuu na hamna elimu ya kutosha juu yake...

Binafsi nimekua na imani hiz kwa muda mrefu sana but homestly mantic yake sivyo kama ambayo tunaji surubu nayo...

Anyway kuishi ni vile mtu anaamua na inakua vile vile anavyoniaminisha
 
Mkuu kwenye imani yako je maandiko yameandikwa umfate mfalme suleiman?

#TUELIMISHANE.
Mbona huwa huwa tunahimizwa kumuiga suleman kwenye mambo mengi sana.Na maadam wameandikwa bas ndio tunapaswa kujifunza toka kwao
 
Basi Mungu ana maadui wengi sana kwa usawa huu...
 
Nawezaje dumisha nguvu zangu zakiroho kuwa karibu na MUNGU nakamwe nisifikilie zinaa ama ngono zembe kwa vijana maana unatubu then ukiingie insta ama twitter daa balaa tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…