Kuongezea: wakati wa uhai wake TB Joshua aliwahi kushitakiwa kwa makosa ya kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kutakatisha Fedha.

Nionavyo, hii ripoti na ripoti zijazo lengo ni kumsafisha zaidi TB Joshua kuliko kumchafua.

Acha tuwe na subra, tutasikia mengi!
 


HUU MBONA UONGO MWEUPE TENA WA MCHANA KWEUPE PEEEEEE
Mchunguze mkeo anapelekewa moto na huyo nabii wenu hapo Buza
 
Charracter assasination

BBC walishadadia uwepo wa WMD huko Iraq. Pia imekuwa ni chombo cha kuchafua taswira ya Afrika duniani.

Uongo kwao ni vazi
 
Na bado malimbukeni walimwamini hadi sasa!
Waliokwenda kwake na kuaminishwa kuwa walipona HIV tunaambiwa walikufa karibu wote!
 
Haya makanisa yanasiri kubwa sana. Nimesikia Leo asubuhi BBC nimrbaki kinywa wazi. Najivunia kusali kanisa moja takatifu katoliki na la mitume. Haya makanisa mengine ni utapeli na ujanja wa namna ya kuishi tu. Hata Hawa akina mwamposa, gwajima, gamanywa nk siku wakifa tutasikia mengi.
 
Kwa namna nimecheki video leo ndyo wanatoa taarifa rasmi.
Wameandika 8/1/24
 
Usisifie kanisa mkuu, uchafu upo pale Vatican wakutosha. Umeiona documentary ya BBC SIO?
Search na madudu ya mafaza na masista pale vatican ndo upigie debe kanisa lenu
 
Dini ya Kikristo ni ushenzi tuu
 
Usisifie kanisa mkuu, uchafu upo pale Vatican wakutosha. Umeiona documentary ya BBC SIO?
Search na madudu ya mafaza na masista pale vatican ndo upigie debe kanisa lenu
Mafaza dhambi Yao ni ya kibinadamu kwa baadhi tu. Sijawahi sikia mafadha wameua ili kama tambiko waumini wao kama markenzi
 
Watu ni wabishi sana.

Ukristo mahubiri yake yako wazi, hawa wahubiri wenye utata tukiwasema washirika wao wanakuja juu.

Tanzania kuna
Geodavie
Gwajiboy
Clear Malisa
Mwamposa
Mzee wa Kivule
Kakobe
Lskini ukisema kweli husikilizwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…