Uchunguzi ulilenga kumkuta Hamza Mohammed Gaidi

Ni Tanzania tu mojawapo ambapo polisi huwa inajichunguza, hakunaga tume maalumu huru.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Mnatumia nguvu nyingi sana kumtetea huyu gaidi. Huyu ni gaidi mfia dini.

NB: Mtu wa dini yeyote anaweza kuwa gaidi mfia dini.
 
kumbuka sirro anapewa taarifa za uchunguzi mapema kabla hajazitoa hadharani.

ukiona namhukumu mtu kabla ujue kuna kitu anakijua vizuri.
 
Matukio kama la yule jamaa hufanyika sana huko Marekani wangesema nao wayatambue kama ugaidi basi huko Marekani kungekuwa na magaidi ya kutosha.
kwamba marekani ndio wa kukwambia gaidi yukoje!!!
 
Ila mkuu linapokuja suala la Dini Mimi sioni kama Tanzania Kuna udini kiasi hicho manaake hata hao maaskari wengi wao ni waislam sidhani kama serikali imeajiri wakrito pekeake
mpumbavu huyo,hawezi kutumia akili hata siku moja.
 
Hamza alikuwa ni mwana CCM, kada kindakindaki / mkeleketwa. Sasa unamtenganishaje Hamza na CCM ?



Kama kweli Police ni waungwana na wanatenda kazi kwa weredi basi wangeanza Upelelezi hapa kuwa kuwahoji hawa watu wawili ambao wamekaa na GAIDI meza moja.
 
Duuuh 🤣🤣

Hivi mkuu hatuwezi tukawa objective tu? Yaani tukawa kama waungwana tu?

Hamza aliweza kuwa yeyote kati yetu.

Nani hajawahi kukwazwa kwa kuonewa tu na polisi hawa?

Hivi si kweli kuwa kila mtu ana namna yake ya ku react kwenye manyanyaso, ikizingatiwa kuwa temporary insanity nayo ni sehemu ya maisha?
 
Marehemu hawezi kujitetea......

Kila jambo litokealo huwa ni FUNZO kwa anayehitaji KUJIFUNZA.....

#SiempreJMT
 
Lady Macbeth...

Here's the smell of the blood still:
All the perfumes of Arabia will not sweeten this little
Hand. Oh, oh, oh!

Out, damned spot! out, I say!—One: two: why,
Then, 'tis time to do't.—Hell is murky!—Fie, my
Lord, fie! a soldier, and afeard? What need we
Fear who knows it, when none can call our power to
Account?—Yet who would have thought the old man
To have had so much blood in him.

The thane of Fife had a wife: where is she now?—
What, will these hands ne'er be clean?—No more o'
That, my lord, no more o' that: you mar all with
This starting.


By courtesy of William Shakespeare

Kada mtiifu wa CCM...alizaliwa, akalelewa, akakua na akakomaa ndani ya CCM, mara ghafla kawa gaidi. Swali ni je wako wangapi? Je mpaka wote kugundulika watakuwa wametenda mangapi?

Even all the perfumes of Arabia will not cleanse CCM's bloody hands! Adui namba wani wa taifa hili ni CCM!
 

Wako wangapi? Ni swali la msingi sana.

Amini nakwambia Sirro na Wambura na polisi nzima kwa ujumla wake wa najua hayupo mwingine!

Sababu ni kuwa wanajua pia kuwa Hamza hakuwa!
 
kinachonisikitisha ni hasara aliyoipata Wambura , weledi wote aliokuwa nao umezikwa rasmi
 
Marehemu hawezi kujitetea......

Kila jambo litokealo huwa ni FUNZO kwa anayehitaji KUJIFUNZA.....

#SiempreJMT

Ni bahati mbaya kuwa hata kunako mafunzo lengo limekuwa ni kutanguliza siasa na ubinafsi mbele.

Siku tukifanikiwa kuweka siasa na ubinafsi pembeni tukalala mbele na yanayotusibu kama taifa tutafika mbali sana.
 
Kama kweli Hamza alikuwa ni mtu wa kujitoa muhanga - hawa abilia wote leo wangekuwa makaburini

Hamza aliwataka wabaya wake - polisi pekee!

Palihitaji kutanzuliwa hapo. Kwanini polisi peke yao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…