Uchunguzi wangu katika shule za msingi za serikali umebaini zipo tabia mbaya kwa baadhi ya walimu

Uchunguzi wangu katika shule za msingi za serikali umebaini zipo tabia mbaya kwa baadhi ya walimu

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Nimefanya uchunguzi wangu katika shule za msingi za serikali nimebaini mambo ya ajabu sana yanafanywa na baadhi ya walimu kwa watoto!

Kuna tabia za ajabu ajabu kutoka kwa baadhi ya walimu ambao wabadhamana ya kulea watoto wetu kielimu!
Miongoni mwa mambo niliyobaini

1. Walimu hawafuati ratiba ya masomo! Mfano ratiba ya siku ya watoto somo A, anaingia mwalimu wa somo E n.k hii inawafanya watoto wabebe mizigo mikubwa jambo linalowaathili kiafya ukubwani

2. Baadhi ya walimu wanafanya vibiashara kwa lazima kwa watoto mfano! Mwalimu anakuwa na biskuti zile za azam za miatano! Anazibanua kipande kimoja kimoja anawauzia watoto kila kipante cha biskuti tsh 100! Ambae hana anakopesha kwa nguvu kesho alete hela.

3. Baadhi ya walimu wanaingia kwenye darasa wanawagawia visheti, viubuyu watoto kwa lazima na kuwadai pesa jambo linalowafundisha watoto tabia mbaya ikiwemo wizi kwa kuhofia kuchapwa na walimu hao

4. Wanawapanga watoto cha kusema maafisa elimu wanapopanga kuja kutembelea shule! Huwa wanawatishia kuwa atakayesema atafukuzwa shule n.k

Kwa mifano michache ya tabia hizi hawa walimu wanatufundishia tabia mbaya sana kwa watoto!

Tunaomba waziri wa elimu ukalitazame hili, maafisa elimu wako hawatumii mbinu kuwahoji watoto hata kushtukiza,

Walimu wakuu wanakula a kugawana migao ya michango mbalimbali ya watoto..

Ni tabia mbaya sana kuwafanya watoto dili badala kuwafundisha maadili mema!

Tunaandaa watekaji wa baadae pasipo kujua wanaoligharimu taifa!
 
Nimefanya uchunguzi wangu katika shule za msingi za serikali nimebaini mambo ya ajabu sana yanafanywa na baadhi ya walimu kwa watoto!

Kuna tabia za ajabu ajabu kutoka kwa baadhi ya walimu ambao wabadhamana ya kulea watoto wetu kielimu!
Miongoni mwa mambo niliyobaini
Hao walimu akili zao wanazijua wenyewe sijui ni kwakuwa wanashinda na watoto kwahiyo akili nazo zinakuwa za kitoto
Ujuaji mwingi
Kejeli nyingi
Majivuno mengi
Dharau nyingi
Vijembe utafikiri wote watoto wa mtu mmoja
 
Hao walimu akili zao wanazijua wenyewe sijui ni kwakuwa wanashinda na watoto kwahiyo akili nazo zinakuwa za kitoto
Ujuaji mwingi
Kejeli nyingi
Majivuno mengi
Dharau nyingi
Vijembe utafikiri wote watoto wa mtu mmoja
Sasa watu wanafanya ujinga kama huu wanafundisha maadili gan kwa watoto, baadae tunakuwa na jamii kichwa ngumu kumbe msingo wake ni huu ujinga wanafundishwa na walimu
 
Ndiyo maana elimu iko horrible
Yaani mwalimu kabisa ananunua kipakiti cha jero, anabandua vibiskuti anawapa watoto watake wastake ni lazima watoe hela tsh 100, ambae hana kesho alete!
 
Nimefanya uchunguzi wangu katika shule za msingi za serikali nimebaini mambo ya ajabu sana yanafanywa na baadhi ya walimu kwa watoto!

Kuna tabia za ajabu ajabu kutoka kwa baadhi ya walimu ambao wabadhamana ya kulea watoto wetu kielimu!
Miongoni mwa mambo niliyobaini
1. Walimu hawafuati ratiba ya masomo! Mfano ratiba ya siku ya watoto somo A, anaingia mwalimu wa somo E n.k hii inawafanya watoto wabebe mizigo mikubwa jambo linalowaathili kiafya ukubwani

2. Baadhi ya walimu wanafanya vibiashara kwa lazima kwa watoto mfano! Mwalimu anakuwa na biskuti zile za azam za miatano! Anazibanua kipande kimoja kimoja anawauzia watoto kila kipante cha biskuti tsh 100! Ambae hana anakopesha kwa nguvu kesho alete hela.

3. Baadhi ya walimu wanaingia kwenye darasa wanawagawia visheti, viubuyu watoto kwa lazima na kuwadai pesa jambo linalowafundisha watoto tabia mbaya ikiwemo wizi kwa kuhofia kuchapwa na walimu hao

4. Wanawapanga watoto cha kusema maafisa elimu wanapopanga kuja kutembelea shule! Huwa wanawatishia kuwa atakayesema atafukuzwa shule n.k

Kwa mifano michache ya tabia hizi hawa walimu wanatufundishia tabia mbaya sana kwa watoto!

Tunaomba waziri wa elimu ukalitazame hili, maafisa elimu wako hawatumii mbinu kuwahoji watoto hata kushtukiza,

Walimu wakuu wanakula a kugawana migao ya michango mbalimbali ya watoto..

Ni tabia mbaya sana kuwafanya watoto dili badala kuwafundisha maadili mema!

Tunaandaa watekaji wa baadae pasipo kujua wanaoligharimu taifa!
Acha unokosho fanya kazi yako. Kuchunguza kazi za wenzako kama malaika ni uchawi huo. Wakiuza visheti ndio marupurupu yao. Mbona hulalamiki trafik wanavyotukamua nk
 
Yaani mwalimu kabisa ananunua kipakiti cha jero, anabandua vibiskuti anawapa watoto watake wastake ni lazima watoe hela tsh 100, ambae hana kesho alete!
We have a long way to go
 
Hao walimu akili zao wanazijua wenyewe sijui ni kwakuwa wanashinda na watoto kwahiyo akili nazo zinakuwa za kitoto
Ujuaji mwingi
Kejeli nyingi
Majivuno mengi
Dharau nyingi
Vijembe utafikiri wote watoto wa mtu mmoja
Ukute ww na mwanao ndio wenye makosa. Ok. Ipo hivi kazi ya mtu unaweza ikosoa ikiwa tu mwanao labda ameamua kukupa uongo ili uweke trust ya ujuha wa mwanao. Hakuna shule mtu ana lazimishwa kununua kitu cha mwalimu. Vitu vunavyo lazimishwa n kma program zilizopangwa baina ya wazazi na waalimu. Over.
 
Ipo hivi kazi ya mtu unaweza ikosoa ikiwa tu mwanao labda ameamua kukupa uongo ili uweke trust ya ujuha wa mwanao.
Sina mwanangu huko, nawasikia hao walimu live maana nina majirani watatu wanafanya hiyo kazi
 
Mpeleke mtoto shule za maana, ushasikia st what mwalimu anauza visheti? Au Ilboru huko mwalimu anauza vipande vya biscuit??

Ukimeta chaurembo shule ya msingi, tutamuuzia tu 😹
Kabisa tena na tuition za lazima. Wapate wapi waalimu
 
Ukute ww na mwanao ndio wenye makosa. Ok. Ipo hivi kazi ya mtu unaweza ikosoa ikiwa tu mwanao labda ameamua kukupa uongo ili uweke trust ya ujuha wa mwanao. Hakuna shule mtu ana lazimishwa kununua kitu cha mwalimu. Vitu vunavyo lazimishwa n kma program zilizopangwa baina ya wazazi na waalimu. Over.
Ujuaji ujuaji sasa! Inakusaidia nn
 
Mpeleke mtoto shule za maana, ushasikia st what mwalimu anauza visheti? Au Ilboru huko mwalimu anauza vipande vya biscuit??

Ukimeta chaurembo shule ya msingi, tutamuuzia tu 😹
Hawa watekaj walikosa maadili, mwanangu kusomesha shule nzuri haiondoi hatari ya mtoto wa jilani kufundishwa tabia mbaya!

Tunaviongozi leo wanatabia ngumu zinasumbua taifa, madhara yake tunaumia wote kutokana na malezi mabaya!

Usifikiri shule za msingi hata kama mwanao hayupo wakifundishwa tabia mbaya wewe utabaki salama!
 
Ukute ww na mwanao ndio wenye makosa. Ok. Ipo hivi kazi ya mtu unaweza ikosoa ikiwa tu mwanao labda ameamua kukupa uongo ili uweke trust ya ujuha wa mwanao. Hakuna shule mtu ana lazimishwa kununua kitu cha mwalimu. Vitu vunavyo lazimishwa n kma program zilizopangwa baina ya wazazi na waalimu. Over.
Hali kama hiyo ipo kweli mashuleni sio uongo.Waalimu hawasingiziwi
 
Hawa watekaj walikosa maadili, mwanangu kusomesha shule nzuri haiondoi hatari ya mtoto wa jilani kufundishwa tabia mbaya!

Tunaviongozi leo wanatabia ngumu zinasumbua taifa, madhara yake tunaumia wote kutokana na malezi mabaya!

Usifikiri shule za msingi hata kama mwanao hayupo wakifundishwa tabia mbaya wewe utabaki salama!
Ubaya ubwela. Hawa wote wanasadikika kuwa viongozi wabaya wengi wao walisomea seminary. Sasa njoo na kejeli tena
 
Iambie serikali yako iboreshe maslahi ya watumishi wake.
Dawa ni hiyo tu!
Hakuna mshahara unaotosha! Msitumie mshahara kutetea tabia mbovu!
Hata wanaojiuza hujitetea hawana ajira! So tabia mbaya ni mbaya tu
 
Back
Top Bottom