Uchunguzi wangu katika shule za msingi za serikali umebaini zipo tabia mbaya kwa baadhi ya walimu

Uchunguzi wangu katika shule za msingi za serikali umebaini zipo tabia mbaya kwa baadhi ya walimu

Upuzi unao ww. Na kiaz ni wewe. Why unalazimisha tukubali unalowaza ww acha ufala
Boya wewe, walimu ni kweli wana ujinga mwingi sana, juzi nimetoka kumfokea mmoja,analazimisha mjukuu wangu aende na jero ya twisheni, mimi wakati huo nishamtafutia tuition mtaani,

Anasema hata kama umemtafutia twisheni huko mtaani,bado eti yeye kabla ya masomo saa kumi na mbili asubui huwa wanafanyishwa mitihani ya kulipia, nikamuambia niorodheshee kwa mwaka mzima itakuwa sh. Ngapi mpe mtoto iyo hesabu aniletee , wala ajathubutu na hamsumbui tena kijana,


Kingine watoto asubui wanawapa uji wanaweka chumvi tu bila sukari, na asubui wakifika wanakwala ela za uji toka kwa watoto,

Serikali iwaboreshee maslai walimu ili kupunguza unyanyasaji kwa watoto,na pia kusaidia walimu wasiwe wehu
 
Hawa watekaj walikosa maadili, mwanangu kusomesha shule nzuri haiondoi hatari ya mtoto wa jilani kufundishwa tabia mbaya!

Tunaviongozi leo wanatabia ngumu zinasumbua taifa, madhara yake tunaumia wote kutokana na malezi mabaya!

Usifikiri shule za msingi hata kama mwanao hayupo wakifundishwa tabia mbaya wewe utabaki salama!
Ndugu mzazi, usiwasingizie walimu kwa kushindwa kwako kutimiza majukumu yako ipasavyo. Hao mliwaharibu nyie, walimu hatuhusiki.
 
Umaskini wa mali na akili unakusumbua...
Hivi huoni wabunge wanavyokula mamilioni ya kodi kwa ujinga ujinga? mtu kikao kimoja laki 3.
Huoni polisi wanavyokula rushwa na kusingia watu kesi ili wapate hela?
Huoni viongozi wa dini wanavyokuibia kwa kusema ukitoa ndio utaongezewa?.maskini mama wa watu kauza vitumbua kapata 10k anapeleka yote huku hana ugali wa kula na watoto.

Una chuki wivu na walimu, pia maisha yako ni ya kuungaunga ndio maana unalalamika. Kama vipi mtoe mwanao mpele international ili umtoe huko kwenye vumbi bila madawati

Ninyi ndio mnao amini elimu bure, ukafikiri serikali itamnulilia mwanao madaftari hadi chupi ya kuvaa. Ovyooooooooo!!!!!!!!!!!!!! To yeye Evelyn Salt Poor Brain dronedrake
 
Umaskini wa mali na akili unakusumbua...
Hivi huoni wabunge wanavyokula mamilioni ya kodi kwa ujinga ujinga? mtu kikao kimoja laki 3.
Huoni polisi wanavyokula rushwa na kusingia watu kesi ili wapate hela?
Huoni viongozi wa dini wanavyokuibia kwa kusema ukitoa ndio utaongezewa?.maskini mama wa watu kauza vitumbua kapata 10k anapeleka yote hugu hana ugali wa kula na watoto.

Una chuki wivu na walimu, pia maisha yako ni ya kuungaunga ndio maana unalalamika. Kama vipi mtoe mwanao mpele international ili umtoe huko kwenye vumbi bila madawati

Ninyi ndio mnao amini elimu bure, ukafikiri serikali itamnulilia mwanao madaftari hadi chupi ya kuvaa. Ovyooooooooo!!!!!!!!!!!!!! To yeye Evelyn Salt Poor Brain dronedrake
Huna akili
 
Nimefanya uchunguzi wangu katika shule za msingi za serikali nimebaini mambo ya ajabu sana yanafanywa na baadhi ya walimu kwa watoto!

Kuna tabia za ajabu ajabu kutoka kwa baadhi ya walimu ambao wabadhamana ya kulea watoto wetu kielimu!
Miongoni mwa mambo niliyobaini
1. Walimu hawafuati ratiba ya masomo! Mfano ratiba ya siku ya watoto somo A, anaingia mwalimu wa somo E n.k hii inawafanya watoto wabebe mizigo mikubwa jambo linalowaathili kiafya ukubwani

Mkuu tambua kuwa huyu mwalimu naye ni binadamu ana dharura zake hivyo katika mwaka mzima siku 365 ,Kuna siku 194 za kufundisha si kweli kwamba mwalimu huyu yeye atakuwa mzima tu siku 194 za shule kuna dharura mbali mbali ,pia tambua kwamba huyu mwalimu ana siku 14 za kuugua,au kwenda kusalimia ndugu,misiba nk.

Sasa akiamua kuzitumia hizo usiku kwa ajili ya mambo yake unadhani ni siku zipi atakuja kufidia vipindi viluvyopotea ikiwa utataka kuwa ratiba ifuatwe Kila mara? Pia tambua kwamba Huyu mtumishi ana siku 365 za kuugua bila kuonekana kazini sasa akiamua kuzitumia hizo siku japo 30 tu ni lini atafidia vipindi viluvyopotea ?

Lakini tambua pia kuwa hawa watoto ni sawa na askari,askari anatakiwa awe tayari kwa vita wakati wowote. Askari hatakiwi kujua kwamba vita itatokea lini na muda gani hivyo anapaswa kuwa tayari Kwa mapigana Kila mara.


Acheni kudekeza watoto ,hata sisi walimu tuna watoto bwana ebbo!!! Unadhani ni kazi rahisi kusimamia darasa la watoto 200 Kwa mwalimu mmoja ilikhali miongozo inasema watoto 25 Kwa primary na 40 secondary Kwa Kila darasa!?
 
Umaskini wa mali na akili unakusumbua...
Hivi huoni wabunge wanavyokula mamilioni ya kodi kwa ujinga ujinga? mtu kikao kimoja laki 3.
Huoni polisi wanavyokula rushwa na kusingia watu kesi ili wapate hela?
Huoni viongozi wa dini wanavyokuibia kwa kusema ukitoa ndio utaongezewa?.maskini mama wa watu kauza vitumbua kapata 10k anapeleka yote hugu hana ugali wa kula na watoto.

Una chuki wivu na walimu, pia maisha yako ni ya kuungaunga ndio maana unalalamika. Kama vipi mtoe mwanao mpele international ili umtoe huko kwenye vumbi bila madawati

Ninyi ndio mnao amini elimu bure, ukafikiri serikali itamnulilia mwanao madaftari hadi chupi ya kuvaa. Ovyooooooooo!!!!!!!!!!!!!! To yeye Evelyn Salt Poor Brain dronedrake
Hao mawaziri wanaowapa taarifa watoto wao wanasoma huko? sera ya elimu Bure ni ushumbwada mtupu
Miundombinu mibovu
Sera mbovu
Wanafunzi elf 1500 walimu 20 mzazi km haujiongezi mwanao hatoboi hakuna super power mmojakuhudumia wanafunz 300 kilasiku kufundisha na kusahihisha
Wangelia na serikali ningeona Wana uchungu sana
 
Nimefanya uchunguzi wangu katika shule za msingi za serikali nimebaini mambo ya ajabu sana yanafanywa na baadhi ya walimu kwa watoto!

Kuna tabia za ajabu ajabu kutoka kwa baadhi ya walimu ambao wabadhamana ya kulea watoto wetu kielimu!
Miongoni mwa mambo niliyobaini

1. Walimu hawafuati ratiba ya masomo! Mfano ratiba ya siku ya watoto somo A, anaingia mwalimu wa somo E n.k hii inawafanya watoto wabebe mizigo mikubwa jambo linalowaathili kiafya ukubwani

2. Baadhi ya walimu wanafanya vibiashara kwa lazima kwa watoto mfano! Mwalimu anakuwa na biskuti zile za azam za miatano! Anazibanua kipande kimoja kimoja anawauzia watoto kila kipante cha biskuti tsh 100! Ambae hana anakopesha kwa nguvu kesho alete hela.

3. Baadhi ya walimu wanaingia kwenye darasa wanawagawia visheti, viubuyu watoto kwa lazima na kuwadai pesa jambo linalowafundisha watoto tabia mbaya ikiwemo wizi kwa kuhofia kuchapwa na walimu hao

4. Wanawapanga watoto cha kusema maafisa elimu wanapopanga kuja kutembelea shule! Huwa wanawatishia kuwa atakayesema atafukuzwa shule n.k

Kwa mifano michache ya tabia hizi hawa walimu wanatufundishia tabia mbaya sana kwa watoto!

Tunaomba waziri wa elimu ukalitazame hili, maafisa elimu wako hawatumii mbinu kuwahoji watoto hata kushtukiza,

Walimu wakuu wanakula a kugawana migao ya michango mbalimbali ya watoto..

Ni tabia mbaya sana kuwafanya watoto dili badala kuwafundisha maadili mema!

Tunaandaa watekaji wa baadae pasipo kujua wanaoligharimu taifa!
Ni kweli kabisa kuna baadhi ya walimu wana hizo tabia za kupeleka bidhaa shuleni kama ubuyu,karanga,keki na ice cream tabia hiyo sio nzuri kwa wanafunzi unakuta mtoto muda mwingi anawaza kununua kitu ili ale na sio kuwaza masomo.
 
Nimefanya uchunguzi wangu katika shule za msingi za serikali nimebaini mambo ya ajabu sana yanafanywa na baadhi ya walimu kwa watoto!

Kuna tabia za ajabu ajabu kutoka kwa baadhi ya walimu ambao wabadhamana ya kulea watoto wetu kielimu!
Miongoni mwa mambo niliyobaini

1. Walimu hawafuati ratiba ya masomo! Mfano ratiba ya siku ya watoto somo A, anaingia mwalimu wa somo E n.k hii inawafanya watoto wabebe mizigo mikubwa jambo linalowaathili kiafya ukubwani

2. Baadhi ya walimu wanafanya vibiashara kwa lazima kwa watoto mfano! Mwalimu anakuwa na biskuti zile za azam za miatano! Anazibanua kipande kimoja kimoja anawauzia watoto kila kipante cha biskuti tsh 100! Ambae hana anakopesha kwa nguvu kesho alete hela.

3. Baadhi ya walimu wanaingia kwenye darasa wanawagawia visheti, viubuyu watoto kwa lazima na kuwadai pesa jambo linalowafundisha watoto tabia mbaya ikiwemo wizi kwa kuhofia kuchapwa na walimu hao

4. Wanawapanga watoto cha kusema maafisa elimu wanapopanga kuja kutembelea shule! Huwa wanawatishia kuwa atakayesema atafukuzwa shule n.k

Kwa mifano michache ya tabia hizi hawa walimu wanatufundishia tabia mbaya sana kwa watoto!

Tunaomba waziri wa elimu ukalitazame hili, maafisa elimu wako hawatumii mbinu kuwahoji watoto hata kushtukiza,

Walimu wakuu wanakula a kugawana migao ya michango mbalimbali ya watoto..

Ni tabia mbaya sana kuwafanya watoto dili badala kuwafundisha maadili mema!

Tunaandaa watekaji wa baadae pasipo kujua wanaoligharimu taifa!
Hii ya kuingiliana kwa vipindi inategemeana na uhaba wa walimu kwa mfano kuna shule x ina wanafunzi 1057 na ina walimu watano tu.
 
Nimefanya uchunguzi wangu katika shule za msingi za serikali nimebaini mambo ya ajabu sana yanafanywa na baadhi ya walimu kwa watoto!

Kuna tabia za ajabu ajabu kutoka kwa baadhi ya walimu ambao wabadhamana ya kulea watoto wetu kielimu!
Miongoni mwa mambo niliyobaini

1. Walimu hawafuati ratiba ya masomo! Mfano ratiba ya siku ya watoto somo A, anaingia mwalimu wa somo E n.k hii inawafanya watoto wabebe mizigo mikubwa jambo linalowaathili kiafya ukubwani

2. Baadhi ya walimu wanafanya vibiashara kwa lazima kwa watoto mfano! Mwalimu anakuwa na biskuti zile za azam za miatano! Anazibanua kipande kimoja kimoja anawauzia watoto kila kipante cha biskuti tsh 100! Ambae hana anakopesha kwa nguvu kesho alete hela.

3. Baadhi ya walimu wanaingia kwenye darasa wanawagawia visheti, viubuyu watoto kwa lazima na kuwadai pesa jambo linalowafundisha watoto tabia mbaya ikiwemo wizi kwa kuhofia kuchapwa na walimu hao

4. Wanawapanga watoto cha kusema maafisa elimu wanapopanga kuja kutembelea shule! Huwa wanawatishia kuwa atakayesema atafukuzwa shule n.k

Kwa mifano michache ya tabia hizi hawa walimu wanatufundishia tabia mbaya sana kwa watoto!

Tunaomba waziri wa elimu ukalitazame hili, maafisa elimu wako hawatumii mbinu kuwahoji watoto hata kushtukiza,

Walimu wakuu wanakula a kugawana migao ya michango mbalimbali ya watoto..

Ni tabia mbaya sana kuwafanya watoto dili badala kuwafundisha maadili mema!

Tunaandaa watekaji wa baadae pasipo kujua wanaoligharimu taifa!
Aisee
 
Ni kweli kabisa kuna baadhi ya walimu wana hizo tabia za kupeleka bidhaa shuleni kama ubuyu,karanga,keki na ice cream tabia hiyo sio nzuri kwa wanafunzi unakuta mtoto muda mwingi anawaza kununua kitu ili ale na sio kuwaza masomo.
Noma tu
 
Nimefanya uchunguzi wangu katika shule za msingi za serikali nimebaini mambo ya ajabu sana yanafanywa na baadhi ya walimu kwa watoto!

Kuna tabia za ajabu ajabu kutoka kwa baadhi ya walimu ambao wabadhamana ya kulea watoto wetu kielimu!
Miongoni mwa mambo niliyobaini

1. Walimu hawafuati ratiba ya masomo! Mfano ratiba ya siku ya watoto somo A, anaingia mwalimu wa somo E n.k hii inawafanya watoto wabebe mizigo mikubwa jambo linalowaathili kiafya ukubwani

2. Baadhi ya walimu wanafanya vibiashara kwa lazima kwa watoto mfano! Mwalimu anakuwa na biskuti zile za azam za miatano! Anazibanua kipande kimoja kimoja anawauzia watoto kila kipante cha biskuti tsh 100! Ambae hana anakopesha kwa nguvu kesho alete hela.

3. Baadhi ya walimu wanaingia kwenye darasa wanawagawia visheti, viubuyu watoto kwa lazima na kuwadai pesa jambo linalowafundisha watoto tabia mbaya ikiwemo wizi kwa kuhofia kuchapwa na walimu hao

4. Wanawapanga watoto cha kusema maafisa elimu wanapopanga kuja kutembelea shule! Huwa wanawatishia kuwa atakayesema atafukuzwa shule n.k

Kwa mifano michache ya tabia hizi hawa walimu wanatufundishia tabia mbaya sana kwa watoto!

Tunaomba waziri wa elimu ukalitazame hili, maafisa elimu wako hawatumii mbinu kuwahoji watoto hata kushtukiza,

Walimu wakuu wanakula a kugawana migao ya michango mbalimbali ya watoto..

Ni tabia mbaya sana kuwafanya watoto dili badala kuwafundisha maadili mema!

Tunaandaa watekaji wa baadae pasipo kujua wanaoligharimu taifa!
😄 punguza kwanza makasiriko mkuu mbona kama uhakika na usemayo
 
😄 punguza kwanza makasiriko mkuu mbona kama uhakika na usemayo
Ujue kuna tabia ndogo tunazichukulia poa ila zinaligharim sana taifa!
Kufundisha watoto uongo, kufundisha watoto wizi ndiyo maana kuna vitoto vya shule huko mtaani vinaranda randa kuomba mia kumbe vinaogopa shuleni vinadaiwa na walimu mia mia za pipi vilikopeshwa kwa lazima!

Ujue mtoto mdogo anapokuwa stressed na videni kama hivyo ni rahisi hata kulawitiwa ili apate pesa ya kumpa mwalimu shuleni ili asizomewe na watoto wengine kuwa anadaiwa
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Walimu wanatembea na vipipi mifukoni vya kuwakopesha wanafunzi kwa lazima ! Unategemea mtoto anajifunza nn kama siyo kuanza kuwa mdokoz ili akalipe madeni kwa hofu ya viboko,
Wengine ndo kabisa ni rahisi kulawitiwa ili wapate pesa ya kulipa
 
Elimu ni gharama,sasa kama mtu mzima unalalamikia mia mbili,mia tano, ambayo ni kweli mwanao anakula visheti au kachori au anafanya hiyo mitihani......
Hivi private utaweza kweli??
Hivi kati ya mzazi na mwl ni nani mwenye nafasi kubwa ya ku shape tabia za mtoto??
Tuacheni kusingizia walimu.
Tuwajibike,tutafute pesa..umaskini si kitu kizuri kabisa.
Tafuta hela brother!!
 
Elimu ni gharama,sasa kama mtu mzima unalalamikia mia mbili,mia tano, ambayo ni kweli mwanao anakula visheti au kachori au anafanya hiyo mitihani......
Hivi private utaweza kweli??
Hivi kati ya mzazi na mwl ni nani mwenye nafasi kubwa ya ku shape tabia za mtoto??
Tuacheni kusingizia walimu.
Tuwajibike,tutafute pesa..umaskini si kitu kizuri kabisa.
Tafuta hela brother!!
Waza vizur sawasawa
 
Elimu ni gharama,sasa kama mtu mzima unalalamikia mia mbili,mia tano, ambayo ni kweli mwanao anakula visheti au kachori au anafanya hiyo mitihani......
Hivi private utaweza kweli??
Hivi kati ya mzazi na mwl ni nani mwenye nafasi kubwa ya ku shape tabia za mtoto??
Tuacheni kusingizia walimu.
Tuwajibike,tutafute pesa..umaskini si kitu kizuri kabisa.
Tafuta hela brother!!
Makofi kwako kiongozi. Mia 2, 3 nk analalamika kule wanapolipishwa 3M kwa mwaka atawezana..?
 
Makofi kwako kiongozi. Mia 2, 3 nk analalamika kule wanapolipishwa 3M kwa mwaka atawezana..?
Kulazimisha watoto kwa nguvu wakope vipipi huoni kuwa ni shida.. Kama unaona ni sawa basi taifa linasafar ndefu sana
 
Back
Top Bottom