Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Boya wewe, walimu ni kweli wana ujinga mwingi sana, juzi nimetoka kumfokea mmoja,analazimisha mjukuu wangu aende na jero ya twisheni, mimi wakati huo nishamtafutia tuition mtaani,Upuzi unao ww. Na kiaz ni wewe. Why unalazimisha tukubali unalowaza ww acha ufala
Anasema hata kama umemtafutia twisheni huko mtaani,bado eti yeye kabla ya masomo saa kumi na mbili asubui huwa wanafanyishwa mitihani ya kulipia, nikamuambia niorodheshee kwa mwaka mzima itakuwa sh. Ngapi mpe mtoto iyo hesabu aniletee , wala ajathubutu na hamsumbui tena kijana,
Kingine watoto asubui wanawapa uji wanaweka chumvi tu bila sukari, na asubui wakifika wanakwala ela za uji toka kwa watoto,
Serikali iwaboreshee maslai walimu ili kupunguza unyanyasaji kwa watoto,na pia kusaidia walimu wasiwe wehu