Broo twende kwenye shule binafsi za msingi huko wanafundishwa jinsi kusaidiana kwenye mitihani ya kitaifa....
Hili nimelishuhudia kwenye shule nyingi za msingi za Dar es salaam,mwaka juzi niliandika mchezo mzima wa wizi na udanganyifu wa mitihani kwa ushahidi.
Nilitaka niwatumie NECTA,TAMISEMI,wizara husika ya elimu, ofisi ya waziri mkuu,afisa elimu mkoa na wilaya lakini Kuna watu walinitisha sana eti nitarogwa au nitajiingiza kwenye matatizo makubwa sababu nchi yetu haieleweki na haiwezi kukulinda mtoa taarifa.