Uchunguzi wangu katika shule za msingi za serikali umebaini zipo tabia mbaya kwa baadhi ya walimu

Kulazimisha watoto kwa nguvu wakope vipipi huoni kuwa ni shida.. Kama unaona ni sawa basi taifa linasafar ndefu sana
Kama mwanao alikopa mwenyewe kwa njaa yake ..? Unadhan atasema alikopa kwa hiari yake
 
Ndugu twende kwenye shule binafsi za msingi huko wanafundishwa jinsi kusaidiana kwenye mitihani ya moko na ya kitaifa....
Hili nimelishuhudia kwenye shule nyingi za msingi za binafsi jijini Dar es salaam,mwaka juzi niliandika mchezo mzima wa wizi na udanganyifu wa mitihani kwa ushahidi.
Nilitaka niwatumie NECTA,TAMISEMI,wizara husika ya elimu, ofisi ya waziri mkuu,afisa elimu mkoa na wilaya lakini Kuna watu walinitisha sana eti nitarogwa au nitajiingiza kwenye matatizo makubwa sababu nchi yetu haieleweki na haiwezi kukulinda mtoa taarifa.
 
Mwambie huyo maana hajui lolote
 
Walimu wanatembea na vipipi mifukoni vya kuwakopesha wanafunzi kwa lazima ! Unategemea mtoto anajifunza nn kama siyo kuanza kuwa mdokoz ili akalipe madeni kwa hofu ya viboko,
Wengine ndo kabisa ni rahisi kulawitiwa ili wapate pesa ya kulipa
Atajifunza ujasiriamali.....

Mnapigiaga kelele vitu ambavyo wala havina ishu sasa mwalimu kuuza pipi nayo ishu? Watu wanajichotea tu mahela kimyaaaa sh 100 ya mwalimu yowe. Mzazi mpe mwanao hela mwalimu ainjoi 😹
 
haaa umekazia kwel
 
Mpeleke mtoto shule za maana, ushasikia st what mwalimu anauza visheti? Au Ilboru huko mwalimu anauza vipande vya biscuit??

Ukimleta chaurembo shule ya msingi, tutamuuzia tu 😹
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mpeleke mtoto shule za maana, ushasikia st what mwalimu anauza visheti? Au Ilboru huko mwalimu anauza vipande vya biscuit??

Ukimleta chaurembo shule ya msingi, tutamuuzia tu 😹
Hata olympio na diamond pirika hzo zimejaaa hasa darasa la kwanza na la pil vile vile wanandaa home package kila likizo mtoto lazima anunue na mzazi hapew report bila ya kununua sasa report wenyew shallow to extent hazieditiwi na kuhaririwa kwa usahihi halafu wakirudi likizo hawaulizwi hata wanafunzi kama wakuja nazo ili wazisahihishe na zinazoenda shule wanazirundika na kuyatup in bulk mbali na kulazimisha visafar vya nke ya shule bt mifumo hii wamepangana kuanzia the big boss
 
Mwalimu Mpwayungu Village njoo huku mnasemwa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…