Udanganyifu NHIF, Ndugu Waoana Wapate Kadi ya Bima

Udanganyifu NHIF, Ndugu Waoana Wapate Kadi ya Bima

Si unajua anaekutibu ni daktari chief nasio NHIF. Hivyo yeye ndio anatoa dawa gani itumike kukutibia na dawa gani isitimike. Nahakuna muongozo wa NHIF bali kuna muongozo wa matibabu wa taifa ambao anaouitengeneza ni wizara ya afya nasio NHIF. Pili ukifuata mwongozo wa matibabu, dawa ya kutumika ni mseto halafu kuna ngazi za dawa kadri ugonjwa unavyokuwa sugu. Huwezi kuchukua morphine kutibi maumivu ya kichwa, kwanza utajiharibu kiafya pili utaumia kiuchumi.
Mimi Nina kadi ya bima, Jirani kuna dispensary cha kushangaa Dawa ya kuchuwa volin ambayo pharmacy inauzwa 2500 hapo dispensary unaambiwa hawaruhusiwi na NHIF kuwapa watu wa bima inabidi ulipe cash, sasa maana ya bima ni nini?

Kwa kifupi Mimi huwa situmii bima na kwenda tu pharmacy direct nanunuwa Dawa ninazohitaji basi imeisha hiyo, ukiona unatumia bima basi nimeenda hospitali kubwa kama Regency, Hindu mandal, Dar group and likes.

Labda tu kidogo niseme hizi bima ni msaada kwa watu wenye magonjwa makubwa.

Kwanza ukienda hospitali mtu wa cash ndio anapewa kipaumbele cha huduma.
 
Mimi Nina kadi ya bima, Jirani kuna dispensary cha kushangaa Dawa ya kuchuwa volin ambayo pharmacy inauzwa 2500 hapo dispensary unaambiwa hawaruhusiwi na NHIF kuwapa watu wa bima inabidi ulipe cash, sasa maana ya bima ni nini?

Kwa kifupi Mimi huwa situmii bima na kwenda tu pharmacy direct nanunuwa Dawa ninazohitaji basi imeisha hiyo, ukiona unatumia bima basi nimeenda hospitali kubwa kama Regency, Hindu mandal, Dar group and likes.

Labda tu kidogo niseme hizi bima ni msaada kwa watu wenye magonjwa makubwa.

Kwanza ukienda hospitali mtu wa cash ndio anapewa kipaumbele cha huduma.
Ndio maana nikakwambia kuna miongozo ya kufuatwa. Zahanati kwaujumla wanaohusika ni matabibu yaani clinical officers ambazo wao huishia kutoa dawa mwisho level B tu. Zaidi ya hapo, taaluma haiwaruhusu na hiyo ni kwamujibu wa muongozo sio taratibu za NHIF. Muongozo huo ulikuwa updated na kutolewa mpya 2021 July. Ila mtoa huduma wengi kuelezea hili ni wagumu na wakiambiwa waweke wataalamu wenye utaalamu zaidi kwakuwa muongozo sasa umewaruhusu, wao ni wagumu maana wao hupima faida pia. Kumlipa MD ni 1.5M wakati C.O ni 650,000/=. Watu wamefanya afya biashara.
 
Sema huelewi, sio kupuyanga. Unataka umfundishe daktari akutibu vipi😂😂😂
Una kadi ya NHIF lakini? Nisije nikawa najibizana na wewe kumbe hata hujua uhalisia kinachofanyika. Nimeeleza vizuri tu hapo juu
 
Sasa kama wewe sio wa NHIF kiherehere cha kutetea kinatoka wapi? Au wewe ndo sample za akina musiba?
Sasa kama wewe sio muhusika mkuu wa maamuzi ya NHIF, kiherehere cha kuuliza usiyoyajua undani wake ni nini?
 
Michango ya wanachama mmoja mmoja ukisema utumike wenyewe kuhudimia watu wake watano hautatosha hata siku moja kwakuwa asilimia 80 ya wanachama mchango wa mtu mmoja mmoja haufiki 80,000/= kwa mwaka labda kwa asilimia 20 iliyobaki kwakuwa mishahara ya watumishi wengi ni chini ya 1M. Ila kinachofanya uone unaweza kuhudumia watu wote watano ndani ya mwaka mmoja ni kwasababu bima tunayotumia ni social insurance. Tunachangiana kwenye matibabu, asiyeumwa anamchangia anayeumwa apate matibabu. Mfano, kwawastani mgonjwa mmoja hutumia wastani wa 40,000/= kwa siku moja kwa magonjwa ya kawaida aendapo hospitali ya rufaa. Ila ukiweka magonjwa yasiyoambukizwa kama kisukari na pressure huo mchango unamalizika ndani ya siku 1 ndani ya mwaka na bado itazidi. Ukiweka matibabu maalumu kama dialysis au matibabu ya cancer ndio unaweza usione thamani hata ya mshahara wanaokulipa.
Kwanini isiwe ihari?
Mtu akate bima ya kifurushi cha uwezo wake? Kama ni mtu mmoja, kumi au wawili.
Mfano.
Binafsi nna miaka kama 15 sijakanyaga Hospitali sina tegemezi huoni mtu kama mimi kulipia Bima sawa na mtu mwingine ni aina fulani ya Ujamaa.

Then kuhusu hao kaka na Dada kama wanacheti cha Ndoa wao NHIF inawahusu nn tena? Kuna sheria wamevunja? Wana uhakika gani huyo jamaa hamlali huyo dada Usiku?
 
Mimi Nina kadi ya bima, Jirani kuna dispensary cha kushangaa Dawa ya kuchuwa volin ambayo pharmacy inauzwa 2500 hapo dispensary unaambiwa hawaruhusiwi na NHIF kuwapa watu wa bima inabidi ulipe cash, sasa maana ya bima ni nini?

Kwa kifupi Mimi huwa situmii bima na kwenda tu pharmacy direct nanunuwa Dawa ninazohitaji basi imeisha hiyo, ukiona unatumia bima basi nimeenda hospitali kubwa kama Regency, Hindu mandal, Dar group and likes.

Labda tu kidogo niseme hizi bima ni msaada kwa watu wenye magonjwa makubwa.

Kwanza ukienda hospitali mtu wa cash ndio anapewa kipaumbele cha huduma.
Vituo vya afya wanakwepa Kwasababu NHIF hawawalipi.

Hakuna dawa nzuri unaweza kupewa kwa kutumia card za NHIF.


NHIF Wana vimasharti vingiiiiiii, Kituo kinaweza kudai 2M ikakatwa wakalipa Laki 8 tu.

Ili kukwepa hasara hii ndio maana vituo vingi hasa binafsi havipendi kutoa Dawa nzuri kwenye NHIF (HASA LOCAL CHANGANYIKENI).

Maana Kuna NHIF Premium zinatumika huko TRA, NSSF, NHIF wenyewe, bunge.
 
Huyo jamaa wa NHIF bado hajaeleweka vizuri.

Usajili wa bima ya mke unahitaji cheti cha ndoa, cheti cha kuzaliwa na namba ya NIDA. Sasa kama ni dada wa baba mmoja itagoma kwa sababu majina yatafanana, labda kama ni dada ndugu si wa damu.

Kile cheti cha kuzaliwa kinakuwa na majina ya baba na mama!
Inaonekana Kama hivyo vyeti waligushi na ikaja gundulika kua hao ni ndg na siyo Mume na Mke!!
 
Vituo vya afya wanakwepa Kwasababu NHIF hawawalipi.

Hakuna dawa nzuri unaweza kupewa kwa kutumia card za NHIF.


NHIF Wana vimasharti vingiiiiiii, Kituo kinaweza kudai 2M ikakatwa wakalipa Laki 8 tu.

Ili kukwepa hasara hii ndio maana vituo vingi hasa binafsi havipendi kutoa Dawa nzuri kwenye NHIF (HASA LOCAL CHANGANYIKENI).

Maana Kuna NHIF Premium zinatumika huko TRA, NSSF, NHIF wenyewe, bunge.
Binadamu bana, kwahiyo na hapo kwenye bima kuna binadamu na nusu binadamu nusu nyani?
 
Una kadi ya NHIF lakini? Nisije nikawa najibizana na wewe kumbe hata hujua uhalisia kinachofanyika. Nimeeleza vizuri tu hapo juu
Nawewe ukaeleweshwa kuhusu miongozo, unaijua muongozo wa matibabu lakini au unajua daktari anatibu tu boss. Kadi ya bima sio hatimiliki ya kuchagua dawa kwa
Kwanini isiwe ihari?
Mtu akate bima ya kifurushi cha uwezo wake? Kama ni mtu mmoja, kumi au wawili.
Mfano.
Binafsi nna miaka kama 15 sijakanyaga Hospitali sina tegemezi huoni mtu kama mimi kulipia Bima ni sawa na mtu mwingine ni aina fulani ya Ujamaa.

Then kuhusu hao kaka na Dada kama wanacheti cha Ndoa wao NHIF inawahusu nn tena? Kuna sheria wamevunja? Wana uhakika gani huyo jamaa hamlali huyo dada Usiku?
Kuhusu kufanya hiari kwa mtumishi ni kwa wizara ya utumishi kurekebisha sheria wao, NHIF haimfuati mtumishi boss. Nakuhusu cheti, fukua utapata story zaidi hiyo uliyopewa ni superficial tu.
 
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umebaini kuwapo udanganyifu unaofanywa na baadhi ya wanachama na viongozi wa dini kwa kufungisha ndoa batili ndugu wa familia moja ili wakidhi vigezo vya kuwamwanachama wa Mfuko huo kama mke na mume. Hayo yalibainishwa jana katika mkutano wa wadau wa mfuko huo kwa Mkoa wa Mtwara, wakati Meneja wa Mkoa wa Mfuko huo, Dk. Adolph Kahamba, akiwasilisha tarifa mbele ya mkutano huo.

"Kuna tukio lilitokea nadhani vombo vya habari vilitoa hapa Mtwara kwamba mtu amefunga ndoa na dada yake ili apate bima ya afya, kwa hiyo kumekuwa na udanganyifu na bahati nzuri viongozi wa dini mpo mtusaidie ili kuweka maadili."

"Ofisi yetu ina kesi shekhe ana 'confess' (kiri) bwana mimi kwa kweli nilidanganya nikafungisha ndoa ya uongo mtu na dada yake ili apate bima ya afya," alisema Dk. Kahamba.
Shida ya NHIF wanachanganya mafaili na kufanya Bima ya Afya Iwe in accessible.Binafsi Nafikiri inabidi kwanza wao waachane na Habari ya kuweka Vizuizi vya kijinga.Kwani hao watu wawili walioamua kuwa na BIMA kama Familia lazima wawe na Cheti cha Ndoa?Wao waweke MAsharti Rahisi ambayo mtu akitaka BIMA anaweza kuipata.Kwa mfano.

Wawe na Bima Za Primary Health Care,Bima za Specialist Health Care,Bima za Comprehensive Health Care na Bima za VIP Health Care.

Primary Health Care iwe ni Universal ni iwe ni nafuu kabisa.Specialist Health Care iwe ni Optional na Mtu wa Primary awe na uwezo wa Kuupgrade kwenda Specialist.Comprehensive iwe ina ina ICU Services,Post Mortem etc na VIP iwe ni ya EXPRESS services.

Nafikiri wakiweza kuwekeza hapona kutengeneza Vifurushi vizuri kisha wakawa na Vituo vyao vya Afya Vingi mambo yatakuwa vizuri
 
Binadamu bana, kwahiyo na hapo kwenye bima kuna binadamu na nusu binadamu nusu nyani?
Asikuchanganye mkuu, hizo taasisi wao wanatumia supplementary packages kwamaana kwamba taasisi imeingia makubaliano kuwa watalipa ya ziada kwaajili ya watumishi wao kupata huduma fulani. Ni kama vile, mtumishi wakawaida akitaka huduma ya ziada anaandika barua kwamuajiri wake sasa wao wakaamua wasifanye hivyo bali wawe wanalipia huduma zote directly bila barua ya maombi. Ni marupurupu wenyewe wanasema kwenye ile barua ya kuajiriwa. Taasisi inakulipia hadi hata ukitaka kutibiwa nje ya nchi kutokana na makubaliano kati ya taasisi husika. Ni muajiri mwenyewe ndio kaamua kulipia sio mtumishi.
 
Binadamu bana, kwahiyo na hapo kwenye bima kuna binadamu na nusu binadamu nusu nyani?
Ndio ujue nchi hii Ina vimfumo tofauti visivyoingiliana viiingi. Hata Rais mwenyewe Kuna vitu vinafanyika hajui, yupo yupo tu.

Tanzania unaweza kuwa unalalamika kumbe tatizo lako siyo la kila mmoja.

TZ ukiwa Mwalimu, nurse, mhasibu au daktari ujue ni mfanyakazi daraja la mwisho.

Bima utapewa ya mchongo, wao wanapeana premium.

Kikokotoo kitakuhusu wao Mfano Wabunge hakiwahusu.

Foleni zitakuhusu wewe, wao Wana ving'ora.

Mikopo kandamizi ya Bank itakuhusu wewe, wao wanakopeshana pesa za NHIF, NSSF, PSSF.

Ni nchi zig zag
 
Ndio ujue nchi hii Ina vimfumo tofauti visivyoingiliana viiingi. Hata Rais mwenyewe Kuna vitu vinafanyika hajui, yupo yupo tu.

Tanzania unaweza kuwa unalalamika kumbe tatizo lako siyo la kila mmoja.

TZ ukiwa Mwalimu, nurse, mhasibu au daktari ujue ni mfanyakazi daraja la mwisho.

Bima utapewa ya mchongo, wao wanapeana premium.

Kikokotoo kitakuhusu wao Mfano Wabunge hakiwahusu.

Foleni zitakuhusu wewe, wao Wana ving'ora.

Mikopo kandamizi ya Bank itakuhusu wewe, wao wanakopeshana pesa za NHIF, NSSF, PSSF.

Ni nchi zig zag
Fact.
 
NHIF isiwapangie wanachama tegemezi wa kuingizwa kwenye orodha ya mwanachama.

Kama ni nafasi 5 aachwe mwanachama achaguwe anamuingiza nani anaweza kutowa sadaka kumuingiza hata mtoto yatima.
Huna akili na huelewi chochote
 
Mbona wao NHIF wanatudanganya huduma itakuwa bora lkn tukifika huko tunakutana na miseto?
Kwa sasa naona Dialysis imeondolewa kwenye Bima kwa wanaojiunga upya.

Pia kwenye huduma za Mionzi unachangia kuanzia 25% hadi 50%
 
Back
Top Bottom