mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Ilitangazwa masaa 4 kabla ya mechi. Utopolo pia walijua kwani waliarifiwa wote, ila utopolo hawakukubali masna waliona ni upenyo wa kukwepa kichapo!Hivi kweli Bi mkubwa ndio kasababisha game isogezwe mbele, mimi najiuliza tu Simba walijuaje kwamba mchezo umesogezwa mbele wakachelewa kuja uwanjani kwa muda uliopangwa mwanzo.
Hatutaki vya kunyonga, tunataka tujipigie utopolo wetu!!Sasa Simba si wangepewa Point 3
Hayo maujinga hasa ndiyo raha yetu. As long as hatufokewi, hatutekwi, hatuuawi, na wala hatutengwi kimaendeleo kwetu sawa sawa.
Maisha ya Mwendazake ni laana ya kishetani na ndiyo maana mahali anakostahili ni Jejanam tu.
Tuachieni nchi yetu tuishi na ujinga wetu na Rais wetu SSH,
Kwa taarifa yako Mama hawezi kushindwa kwani tayari amevuka huo mtihani. Nchi iko kwenye mikono salama, raia wanatembea kwa uhuru bila woga wa kutekwa au kuuliwa, wafanyabiashara hawana wasiwasi na fedha zao Benki. Vyombo vya dola vinafuata sheria.hujui ulisemalo.unaandika kwa mihemko na raha za pepo bandia.
hatuwezi waacha mumtie ujinga mama yetu,maana nchi itamshinda kwa ujinga na uzembe weñu maana hamtaki hata awafokee wala kuwakaripia.
sisi tuta act badala yake kuwanyoosha.
Pamoja na hayo yote tiketi zetu na gharama tulizotumia kufata mchezo huo je zitarudiiiiiiiiiiiiiSerikali ina ahirisha match ya Simba na Yanga eti sababu Mwinyi anazindua kitabu. Huu ni wendawazimu.
Anayetaka kuhudhuria Uzinduzi wa Mwinyi si aende na anayetaka kwenda angalia mpira si aende?
Huu ndo udhaifu ambao tunaukataa miaka yote. Kuchanganya mambo binafsi ya Serikali na Wananchi. Suala la Mwinyi kuzindua kitabu si issue ya Kitaifa kwa nchi hii kama suala la Simba na Yanga.
Kwenye Simba na Yanga ndipo ambapo Chadema na CCM husahau tofauti zao na kurudi kwenye team zao. Ndo maana hata chadema,act wanavaa jersey za yanga pamoja na kuwa ni za Njano na Kijani.
Huu ni mwanzo wa kuonesha udhaifu ambao miaka yote tunaupigia kelele. Haya angekuwa ni Magufuli ameamua hili tungemwita ni dhaifu na dikteta. Lakini kwa Samia tusemeje? Tuendelee kusifu na kuabudu?
ndio maana nasema unaongozwa na muhemko.Kwa taarifa yako Mama hawezi kushindwa kwani tayari amevuka huo mtihani. Nchi iko kwenye mikono salama, raia wanatembea kwa uhuru bila woga wa kutekwa au kuuliwa, wafanyabiashara hawana wasiwasi na fedha zao Benki. Vyombo vya dola vinafuata sheria.
Unamuambia ninaandika kwa mihemuko, mihemuko gani?
Pro Magufuli anapokuwa mpinzani wa serikali ya ccm.SSH ni failure from the beginning.
Hahahaha... Misukule ya Jiwe bana.namuonea huruma mama sana.
wale aliochagua kuwafurahisha,wana kawaida ya kutoridhika.
hayati mwenda zake kwa kujua hilo,aliamua kudeal na wanyonge maana alijua 100%huko atapata gwala[emoji109] la kweli lisilo na unafiki ndani yake.
sharti ni moja tu,afanye kama mwendazake,au amkatae mazima,na faida zake ndio hizi ameanza kuziona.
RaisSijui nilaumu serikali au nilaumu Yanga. Nitarudi.
Busara ya TFF ni kujiuzulu tu....tena wangekuwa Waungwana wangeshajiuzulu kabla siku ya leo kuisha.TFF SASA WASEME KWANINI MECHI IMEHAIRISHWA
OVA
Nikawaida Sana ndivyo maisha yalivyo huwezi lazimisha mtu kusapoti au kupinga kitu Ni uwendawazimu wakiwango Cha juu.Pro Magufuli anapokuwa mpinzani wa serikali ya ccm.
Maisha yanaenda speed sana
Inasikitisha Sana. Wana saccos wa Ufipa, walikuwa wanafuatilia uzinduzi wa Babu.Serikali ina ahirisha match ya Simba na Yanga eti sababu Mwinyi anazindua kitabu. Huu ni wendawazimu.
Anayetaka kuhudhuria Uzinduzi wa Mwinyi si aende na anayetaka kwenda angalia mpira si aende?
Huu ndo udhaifu ambao tunaukataa miaka yote. Kuchanganya mambo binafsi ya Serikali na Wananchi. Suala la Mwinyi kuzindua kitabu si issue ya Kitaifa kwa nchi hii kama suala la Simba na Yanga.
Kwenye Simba na Yanga ndipo ambapo Chadema na CCM husahau tofauti zao na kurudi kwenye team zao. Ndo maana hata chadema,act wanavaa jersey za yanga pamoja na kuwa ni za Njano na Kijani.
Huu ni mwanzo wa kuonesha udhaifu ambao miaka yote tunaupigia kelele. Haya angekuwa ni Magufuli ameamua hili tungemwita ni dhaifu na dikteta. Lakini kwa Samia tusemeje? Tuendelee kusifu na kuabudu?
ndio hii ni awamu nyingine,lakini utawala huu ndio ulikuwepo awami ile.Hahahaha... Misukule ya Jiwe bana.
Eti afanye kazi kama Mwendazake.
Zama zenu zimekwisha kupita, hii ni awamu nyingine.
Laumu sherikaleSijui nilaumu serikali au nilaumu Yanga. Nitarudi.
Mama Samia atalifanyia kazi hilo muda ukifika.Serikali ina ahirisha match ya Simba na Yanga eti sababu Mwinyi anazindua kitabu. Huu ni wendawazimu.
Anayetaka kuhudhuria Uzinduzi wa Mwinyi si aende na anayetaka kwenda angalia mpira si aende?
Huu ndo udhaifu ambao tunaukataa miaka yote. Kuchanganya mambo binafsi ya Serikali na Wananchi. Suala la Mwinyi kuzindua kitabu si issue ya Kitaifa kwa nchi hii kama suala la Simba na Yanga.
Kwenye Simba na Yanga ndipo ambapo Chadema na CCM husahau tofauti zao na kurudi kwenye team zao. Ndo maana hata chadema,act wanavaa jersey za yanga pamoja na kuwa ni za Njano na Kijani.
Huu ni mwanzo wa kuonesha udhaifu ambao miaka yote tunaupigia kelele. Haya angekuwa ni Magufuli ameamua hili tungemwita ni dhaifu na dikteta. Lakini kwa Samia tusemeje? Tuendelee kusifu na kuabudu?
Leo simba wamekuwa kama binti aliyekula pesa za dereva bodaboda hivyo muda wowote atakaoombwa game lazima atoe. Yaani hana uwezo wa kumchomolea mwana.daaahhh Simba wameonesha unafiki... walipaswa kufika saa ile ile iliyopangwa
Tunasubiri kamanda aliyemaliza ujambazi Dar arejeshwe....pathetic...Serikali ina ahirisha match ya Simba na Yanga eti sababu Mwinyi anazindua kitabu. Huu ni wendawazimu.
Anayetaka kuhudhuria Uzinduzi wa Mwinyi si aende na anayetaka kwenda angalia mpira si aende?
Huu ndo udhaifu ambao tunaukataa miaka yote. Kuchanganya mambo binafsi ya Serikali na Wananchi. Suala la Mwinyi kuzindua kitabu si issue ya Kitaifa kwa nchi hii kama suala la Simba na Yanga.
Kwenye Simba na Yanga ndipo ambapo Chadema na CCM husahau tofauti zao na kurudi kwenye team zao. Ndo maana hata chadema,act wanavaa jersey za yanga pamoja na kuwa ni za Njano na Kijani.
Huu ni mwanzo wa kuonesha udhaifu ambao miaka yote tunaupigia kelele. Haya angekuwa ni Magufuli ameamua hili tungemwita ni dhaifu na dikteta. Lakini kwa Samia tusemeje? Tuendelee kusifu na kuabudu?