Udhaifu wa Serikali hii tutakuja ona madhara yake baadaye. Leo ni ishara ndogo mojawapo

Udhaifu wa Serikali hii tutakuja ona madhara yake baadaye. Leo ni ishara ndogo mojawapo

Hivi kweli Bi mkubwa ndio kasababisha game isogezwe mbele, mimi najiuliza tu Simba walijuaje kwamba mchezo umesogezwa mbele wakachelewa kuja uwanjani kwa muda uliopangwa mwanzo.
Ilitangazwa masaa 4 kabla ya mechi. Utopolo pia walijua kwani waliarifiwa wote, ila utopolo hawakukubali masna waliona ni upenyo wa kukwepa kichapo!
 
Sijui nilaumu serikali au nilaumu Yanga. Nitarudi.

20210417_103149.jpg
 
Hayo maujinga hasa ndiyo raha yetu. As long as hatufokewi, hatutekwi, hatuuawi, na wala hatutengwi kimaendeleo kwetu sawa sawa.

Maisha ya Mwendazake ni laana ya kishetani na ndiyo maana mahali anakostahili ni Jejanam tu.

Tuachieni nchi yetu tuishi na ujinga wetu na Rais wetu SSH,

hujui ulisemalo.unaandika kwa mihemko na raha za pepo bandia.
hatuwezi waacha mumtie ujinga mama yetu,maana nchi itamshinda kwa ujinga na uzembe weñu maana hamtaki hata awafokee wala kuwakaripia.

sisi tuta act badala yake kuwanyoosha.
 
hujui ulisemalo.unaandika kwa mihemko na raha za pepo bandia.
hatuwezi waacha mumtie ujinga mama yetu,maana nchi itamshinda kwa ujinga na uzembe weñu maana hamtaki hata awafokee wala kuwakaripia.

sisi tuta act badala yake kuwanyoosha.
Kwa taarifa yako Mama hawezi kushindwa kwani tayari amevuka huo mtihani. Nchi iko kwenye mikono salama, raia wanatembea kwa uhuru bila woga wa kutekwa au kuuliwa, wafanyabiashara hawana wasiwasi na fedha zao Benki. Vyombo vya dola vinafuata sheria.

Unamuambia ninaandika kwa mihemuko, mihemuko gani?
 
Serikali ina ahirisha match ya Simba na Yanga eti sababu Mwinyi anazindua kitabu. Huu ni wendawazimu.

Anayetaka kuhudhuria Uzinduzi wa Mwinyi si aende na anayetaka kwenda angalia mpira si aende?

Huu ndo udhaifu ambao tunaukataa miaka yote. Kuchanganya mambo binafsi ya Serikali na Wananchi. Suala la Mwinyi kuzindua kitabu si issue ya Kitaifa kwa nchi hii kama suala la Simba na Yanga.

Kwenye Simba na Yanga ndipo ambapo Chadema na CCM husahau tofauti zao na kurudi kwenye team zao. Ndo maana hata chadema,act wanavaa jersey za yanga pamoja na kuwa ni za Njano na Kijani.

Huu ni mwanzo wa kuonesha udhaifu ambao miaka yote tunaupigia kelele. Haya angekuwa ni Magufuli ameamua hili tungemwita ni dhaifu na dikteta. Lakini kwa Samia tusemeje? Tuendelee kusifu na kuabudu?
Pamoja na hayo yote tiketi zetu na gharama tulizotumia kufata mchezo huo je zitarudiiiiiiiiiiiii
 
Kwa taarifa yako Mama hawezi kushindwa kwani tayari amevuka huo mtihani. Nchi iko kwenye mikono salama, raia wanatembea kwa uhuru bila woga wa kutekwa au kuuliwa, wafanyabiashara hawana wasiwasi na fedha zao Benki. Vyombo vya dola vinafuata sheria.

Unamuambia ninaandika kwa mihemuko, mihemuko gani?
ndio maana nasema unaongozwa na muhemko.

lini watu walijifungia ndani wakiogopa kutekwa??
lini watu waogopa kuweka fedha benk wakiogopa zitapotea??
vyombo vya dolar vinafuata sheria ipi??
 
namuonea huruma mama sana.

wale aliochagua kuwafurahisha,wana kawaida ya kutoridhika.
hayati mwenda zake kwa kujua hilo,aliamua kudeal na wanyonge maana alijua 100%huko atapata gwala[emoji109] la kweli lisilo na unafiki ndani yake.

sharti ni moja tu,afanye kama mwendazake,au amkatae mazima,na faida zake ndio hizi ameanza kuziona.
Hahahaha... Misukule ya Jiwe bana.
Eti afanye kazi kama Mwendazake.

Zama zenu zimekwisha kupita, hii ni awamu nyingine.
 
Yanga ni drama queens hakukua na sababu ya kususia mechi.
 
Pro Magufuli anapokuwa mpinzani wa serikali ya ccm.

Maisha yanaenda speed sana
Nikawaida Sana ndivyo maisha yalivyo huwezi lazimisha mtu kusapoti au kupinga kitu Ni uwendawazimu wakiwango Cha juu.
 
Serikali ina ahirisha match ya Simba na Yanga eti sababu Mwinyi anazindua kitabu. Huu ni wendawazimu.

Anayetaka kuhudhuria Uzinduzi wa Mwinyi si aende na anayetaka kwenda angalia mpira si aende?

Huu ndo udhaifu ambao tunaukataa miaka yote. Kuchanganya mambo binafsi ya Serikali na Wananchi. Suala la Mwinyi kuzindua kitabu si issue ya Kitaifa kwa nchi hii kama suala la Simba na Yanga.

Kwenye Simba na Yanga ndipo ambapo Chadema na CCM husahau tofauti zao na kurudi kwenye team zao. Ndo maana hata chadema,act wanavaa jersey za yanga pamoja na kuwa ni za Njano na Kijani.

Huu ni mwanzo wa kuonesha udhaifu ambao miaka yote tunaupigia kelele. Haya angekuwa ni Magufuli ameamua hili tungemwita ni dhaifu na dikteta. Lakini kwa Samia tusemeje? Tuendelee kusifu na kuabudu?
Inasikitisha Sana. Wana saccos wa Ufipa, walikuwa wanafuatilia uzinduzi wa Babu.
 
Hahahaha... Misukule ya Jiwe bana.
Eti afanye kazi kama Mwendazake.

Zama zenu zimekwisha kupita, hii ni awamu nyingine.
ndio hii ni awamu nyingine,lakini utawala huu ndio ulikuwepo awami ile.

au unaamua kujiliwaza na chupa za pombe ndani umetia maji??
 
Serikali ina ahirisha match ya Simba na Yanga eti sababu Mwinyi anazindua kitabu. Huu ni wendawazimu.

Anayetaka kuhudhuria Uzinduzi wa Mwinyi si aende na anayetaka kwenda angalia mpira si aende?

Huu ndo udhaifu ambao tunaukataa miaka yote. Kuchanganya mambo binafsi ya Serikali na Wananchi. Suala la Mwinyi kuzindua kitabu si issue ya Kitaifa kwa nchi hii kama suala la Simba na Yanga.

Kwenye Simba na Yanga ndipo ambapo Chadema na CCM husahau tofauti zao na kurudi kwenye team zao. Ndo maana hata chadema,act wanavaa jersey za yanga pamoja na kuwa ni za Njano na Kijani.

Huu ni mwanzo wa kuonesha udhaifu ambao miaka yote tunaupigia kelele. Haya angekuwa ni Magufuli ameamua hili tungemwita ni dhaifu na dikteta. Lakini kwa Samia tusemeje? Tuendelee kusifu na kuabudu?
Mama Samia atalifanyia kazi hilo muda ukifika.


Kikwete aliwahi kuitwa rais dhaifu kuliko wote, ngoja tuone kama mama Samia atavunja rekodi ya udhaifu wa kikwete.
 
daaahhh Simba wameonesha unafiki... walipaswa kufika saa ile ile iliyopangwa
Leo simba wamekuwa kama binti aliyekula pesa za dereva bodaboda hivyo muda wowote atakaoombwa game lazima atoe. Yaani hana uwezo wa kumchomolea mwana.

Hao ndio masimba
 
Serikali ina ahirisha match ya Simba na Yanga eti sababu Mwinyi anazindua kitabu. Huu ni wendawazimu.

Anayetaka kuhudhuria Uzinduzi wa Mwinyi si aende na anayetaka kwenda angalia mpira si aende?

Huu ndo udhaifu ambao tunaukataa miaka yote. Kuchanganya mambo binafsi ya Serikali na Wananchi. Suala la Mwinyi kuzindua kitabu si issue ya Kitaifa kwa nchi hii kama suala la Simba na Yanga.

Kwenye Simba na Yanga ndipo ambapo Chadema na CCM husahau tofauti zao na kurudi kwenye team zao. Ndo maana hata chadema,act wanavaa jersey za yanga pamoja na kuwa ni za Njano na Kijani.

Huu ni mwanzo wa kuonesha udhaifu ambao miaka yote tunaupigia kelele. Haya angekuwa ni Magufuli ameamua hili tungemwita ni dhaifu na dikteta. Lakini kwa Samia tusemeje? Tuendelee kusifu na kuabudu?
Tunasubiri kamanda aliyemaliza ujambazi Dar arejeshwe....pathetic...
 
Kitengo kimefeli tena Leo. Shughuli ya uzinduzi wa kitabu ilipangwa muda na wote walijua Leo kuna game inayowaunganisha watanzania pamoja na tofauti zao. Kwa nini Wizara hawakuwasiliana na TFF mapema ili kusogeza muda wa mchezo huo?Ikumbukwe hata wadau wengi wa mpira walipendekezwa mechi ichezwe saa moja usiku, TFF wakachomoa. Kwa kweli katika hili, TFF na wizara wametukosea Sana. Wanatakiwa wawajibike kwa aibu hii waliyolitia Taifa.
 
Back
Top Bottom