Yeah,ndo maana mnaonekana mnajiweza kujitatulia matatizo yenukumbe haitotokea tusikilizwe lakini mbona umeandika tumezidi kunyanyasa wanawake ndio maana tunaonekana tunajiweza
ni kama sijakuelewa hivi
Wanafalsafa wanadai hata dunia ni ya kike sasa hapo unategemea nini?Baada ya ile video ya binti wa Yombo akibakwa na wanaume 5 kusambaa mitandaoni, watu walipaza sauti na wanaendelea kupaza sauti kudai haki itendeke.
Lakini, kuna video nyingine inasambaa mitandaoni na ilikuwepo kabla hata ya ile ya yule binti kusambaa, ikimuonesha jamaa mmoja akidhalilishwa kwa madai ya kutembea na Mke wa mtu.
Inasikitisha sana, maana jamaa anaonekana uso umevimba, anavuja damu, yuko uchi wa mnyama na analazimishwa kucheza taarabu huku akikata mauno. Jamaa anaomba maji, lakini ananyimwa huku akitukanwa matusi ya nguoni.
Soma Pia:
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu
- Jeshi la Polisi lawakamata watuhumiwa 4 kati ya 6 waliofanya tukio la kumlawiti binti wa 'Yombo'. Wasema binti yupo salama
Najiuliza swali, Je, ni sahihi Mwanaume kudhalilishwa lakini siyo sahihi mwanamke kudhalilishwa?
Kwanini tunakuwa na double standards ?
Kama tunataka haki, basi haki hiyo iwanufaishe wote pasipo kupendelea jinsia moja.
Unawanyima upendo wa mama sasa🥲Siko nao mbona,Ila ngoja nikawaone😊
Hapana,nipo Masomoni kidogo hivyo nimewapeleka home ....mwakani nitawachukua....but si mbali sanaUnawanyima upendo wa mama sasa🥲
Hongera sana kwa kuongeza elimu 😊Hapana,nipo Masomoni kidogo hivyo nimewapeleka home ....mwakani nitawachukua....but si mbali sana
Kidogo aisee👊Hongera sana kwa kuongeza elimu 😊
Labda hauna ufahamu na hili ila Nadhani lilishawahi kujibiwa na mkuu 666 chata muda kidogo ngoja ninukuu jibu lake .Jamii yetu kuna mambo haielewi na ukiyasema hadharani, unaonekana wa ajabu.
SIO KOSA KISHERIA MTU KUTEMBEA NA MUME AU MKE WA MTU.
Dawa ni wanawake wasiwe wapiga kura ni upumbavu kuruhusu wanawake kuchagua viongozi wa taifa ..pia tutenge kazi ambazo wanawake wanaweza au wanatakiwa kuwa wengi zaidi mfano ualimu wa shule za msingi wanawake wanaweza kuwa asilimia 70% shule za sec wanawake wanaweza kuwa asilimia 50%.Wanaume wakiweza kujitambua watasaidia taifa kufika mbali lakini siku hizi wanaume wamegeuka walalamishi kama mademu tu no wonder wanashindwa kusapoti hata hussle za wanaume wenzao wanabaki kusimp na madwmu sababu ya nyege za kipuuzi tu. Mwanaume atafanyiwa ukatili hautasikia dume linasaidia au kupuga kelele wanaume wamegeuka fwminists hili ni tatizo.
Ni vyema ukampinga kwa facts badala ya kuulizia aliyemwambia. Pengine ungeweza kuweka vifungu vya sheria vinavyoonyesha kuwa ni kosaSio kosa? Nani amekwambia? Na wewe ni miongoni mwa wanasheria NGULI au WASOMI?
Kama na wewe ni Mwanachama wa TLS basi siwezi shangaa TLS kuwa ilivyo sasa na kabla ya sasa
Sisi wanaume tumeumbwa kutawala na kuwacolonize wanawake na viumbe vyote viijazavyo dunia ndiyo maana mfumo jike wa kishetani umeundwa ili kumuangamiza mwanaume duniani na madhara yake ni makubwa sana na yameshaanza kuonekana waziwazi.Baada ya ile video ya binti wa Yombo akibakwa na wanaume 5 kusambaa mitandaoni, watu walipaza sauti na wanaendelea kupaza sauti kudai haki itendeke.
Lakini, kuna video nyingine inasambaa mitandaoni na ilikuwepo kabla hata ya ile ya yule binti kusambaa, ikimuonesha jamaa mmoja akidhalilishwa kwa madai ya kutembea na Mke wa mtu.
Inasikitisha sana, maana jamaa anaonekana uso umevimba, anavuja damu, yuko uchi wa mnyama na analazimishwa kucheza taarabu huku akikata mauno. Jamaa anaomba maji, lakini ananyimwa huku akitukanwa matusi ya nguoni.
Soma Pia:
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu
- Jeshi la Polisi lawakamata watuhumiwa 4 kati ya 6 waliofanya tukio la kumlawiti binti wa 'Yombo'. Wasema binti yupo salama
Najiuliza swali, Je, ni sahihi Mwanaume kudhalilishwa lakini siyo sahihi mwanamke kudhalilishwa?
Kwanini tunakuwa na double standards ?
Kama tunataka haki, basi haki hiyo iwanufaishe wote pasipo kupendelea jinsia moja.
Kuna unyanyasaji mwingine wa kukosea uwekezaji,hiyo ni hatari kuliko hata kubakwaBaada ya ile video ya binti wa Yombo akibakwa na wanaume 5 kusambaa mitandaoni, watu walipaza sauti na wanaendelea kupaza sauti kudai haki itendeke.
Lakini, kuna video nyingine inasambaa mitandaoni na ilikuwepo kabla hata ya ile ya yule binti kusambaa, ikimuonesha jamaa mmoja akidhalilishwa kwa madai ya kutembea na Mke wa mtu.
Inasikitisha sana, maana jamaa anaonekana uso umevimba, anavuja damu, yuko uchi wa mnyama na analazimishwa kucheza taarabu huku akikata mauno. Jamaa anaomba maji, lakini ananyimwa huku akitukanwa matusi ya nguoni.
Soma Pia:
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu
- Jeshi la Polisi lawakamata watuhumiwa 4 kati ya 6 waliofanya tukio la kumlawiti binti wa 'Yombo'. Wasema binti yupo salama
Najiuliza swali, Je, ni sahihi Mwanaume kudhalilishwa lakini siyo sahihi mwanamke kudhalilishwa?
Kwanini tunakuwa na double standards ?
Kama tunataka haki, basi haki hiyo iwanufaishe wote pasipo kupendelea jinsia moja.
Una uhakika siyo kosa kisheria?Jamii yetu kuna mambo haielewi na ukiyasema hadharani, unaonekana wa ajabu.
SIO KOSA KISHERIA MTU KUTEMBEA NA MUME AU MKE WA MTU.
Unaongea ty, ukishawahi kwenda kwenye legal aid clinic ya LHRC , Unajua LHRC wana legal aid provider wangapi nchi nzima. Watu wanapewa misaada ya kisheria kila siku. Wanasimamia hata kesi za wanaume.TLS na LHRC ni Taasisi Double Standard wapo kama vyama vya siasa kuangalia ruzuku na kucheza mdundo uliopo wakati huo
Hawa ndio wakuongoza mapambano ya haki na sheria lakini wanasikitisha kwa kuwa wana ongozwa na Sisi tusiojua ata hizo sheria
Wasomi, wabobezi, nguli nk lakini unabakia kukumbuka sera ya Mh Rungwe...!
Ni suala la madai, mke au mume ndio anafungua madai kudai fidia kutoka kwa mgoni.Una uhakika siyo kosa kisheria?
Maana yake ni kosa.Ni suala la madai, mke au mume ndio anafungua madai kudai fidia kutoka kwa mgoni.
Watu wana mihemuko balaa. Na huyo jamaa nasikia alikuja kumuoa mchepuko.Huu uzi wa 2016 ndio huo huo wa hizo clip
Na kinachozungumziwa tu si haki kisheria ila reaction ya watu. Ukipitia hiyo thread utaona kuna watu wengi tu waliona hiyo adhabu ni stahiki yake na uzi haukufutwa ila kuhusu huyu mwanamke, nyuzi zote zilizokuwa na mawazo tofauti zilifutwa
Hiyo ndio mantiki ilipo
Ni kosa lakini ni madai . Na watu hawataki kupoteza muda wao kwenda kufungua kesi ambazo hata ushahidi ni ngumu kupatikana. Utazurura mahakamani wee.Maana yake ni kosa.
Maneno mengi kisa Mwabukusi ni Rais wa TLS. Huyo jamaa katetewa Sana mpaka kesi iligunguliwa. Sijui ulikuwa wapi wewe mlalamishi.TLS na LHRC ni Taasisi Double Standard wapo kama vyama vya siasa kuangalia ruzuku na kucheza mdundo uliopo wakati huo
Hawa ndio wakuongoza mapambano ya haki na sheria lakini wanasikitisha kwa kuwa wana ongozwa na Sisi tusiojua ata hizo sheria
Wasomi, wabobezi, nguli nk lakini unabakia kukumbuka sera ya Mh Rungwe...!
Wanaume KAZI mnayo Yani hamthaminiwi kabisaBaada ya ile video ya binti wa Yombo akibakwa na wanaume 5 kusambaa mitandaoni, watu walipaza sauti na wanaendelea kupaza sauti kudai haki itendeke.
Lakini, kuna video nyingine inasambaa mitandaoni na ilikuwepo kabla hata ya ile ya yule binti kusambaa, ikimuonesha jamaa mmoja akidhalilishwa kwa madai ya kutembea na Mke wa mtu.
Inasikitisha sana, maana jamaa anaonekana uso umevimba, anavuja damu, yuko uchi wa mnyama na analazimishwa kucheza taarabu huku akikata mauno. Jamaa anaomba maji, lakini ananyimwa huku akitukanwa matusi ya nguoni.
Soma Pia:
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu
- Jeshi la Polisi lawakamata watuhumiwa 4 kati ya 6 waliofanya tukio la kumlawiti binti wa 'Yombo'. Wasema binti yupo salama
Najiuliza swali, Je, ni sahihi Mwanaume kudhalilishwa lakini siyo sahihi mwanamke kudhalilishwa?
Kwanini tunakuwa na double standards ?
Kama tunataka haki, basi haki hiyo iwanufaishe wote pasipo kupendelea jinsia moja.