Udhalimu wa Utumwa Zanzibar na Pemba: Mababu zetu waliteswa, walihasiwa, walibakwa, na kuuawa kinyama

Udhalimu wa Utumwa Zanzibar na Pemba: Mababu zetu waliteswa, walihasiwa, walibakwa, na kuuawa kinyama

Mie sioni kama wazungu walikiwa na afadhali au warabu walikuwa afadhali. Trans-atlantic slave trade haikufanywa na waarabu, kuyajazawaafrika Yale mabara toka amerika kaskazini, kati hadi kusini, wareno, waspanish, wafaransa, waingereza n.k waligombaniana biashara hii ( je ni kusema wakristo walaumiwe ? ) na hii ilofanyika huku kwetu, walitolewa bara huko kijijini hadi mrima(ufukweni). (Je waislam walaumiwe ? ) Sifikirii kama unaweza kuilaumu dini kwa watu wachache wanoitafsiri wao kama wanavyotaka.

( KKK- ni grupu la kikristo lenye siasa kali, miaka ya 40-60 walifanya mauwaji mengi ya watu weusi , siku hizi hawana nguvu sana, ulaya kuna hawa wanoitwa " WANAZI MAMBO LEO " ni ULTRA ambao ni wabaguzi dhidi ya wahamiaji, kama yule muuwaji wa wanafunzi -Norway. Wanasema ana matatizo ya akili. Je wakristo wote wana matatizo ya akili ? ) mashariki ya kati kuna Isis wanaojigamba kwa uislam, wanawauwa waislam, wakristo n.k Je waislam ni wauwaji ? )

Naona tumeuvaa udini sana ndugu zangu, kismema huyu ni mbaya au yule ni mbaya. Je kuna dini inayoweza kusema watu wake hawakufanya mabaya kwa jina la dini hio ? Tuache mihemko ya kidini ndugu zangu.
 
Unyama kama huu mi Africa ya Tanzania inaona sawa tu kwa kuwaabudu wazungu.
images-14.jpeg
images-26.jpeg
images-9.jpeg
IMG-20160417-WA0008.jpg
 
Thats what History taught us! Mwarabu mtu mbaya,mwarabu anaingilia watu kinyume na Maumbile,mwarabu anajitoa mhanga na mabaya yote! Kuna mtu mmoja alipata kuniambia,tazama picha zote hatopata picha ya kupiga ambayo mwarabu anamtesa Mwafrika,zilizopo ni za kuchora tu! Anae pigwa vita hapo sio Mwarabu laa hasha! Ni UISLAMU! Na wala hatushangai,makufari laiti tungeyaona yaliyo vifuani mwao ni makubwa zaidi ya haya! Vipi watu walio uawa kwenye vita ya kwanza na ya pili ya Dunia! Vipi watu walio uawa na Bush na Obama Libya,Iraq,Afghanstan,Kosovo nakadhalika! History ni Uongo wa kuwatukuza Makatonta zidi ya Uislamu!

Mtawala ndo anaeandika historia, historia huandikwa mezani not on the ground
 
Masikini huyu Muafrica kachoka kufanyiwa ukatili na wazungu, huyo mwingine wanakwenda kumyonga.
 

Attachments

  • images-30.jpeg
    images-30.jpeg
    9.9 KB · Views: 85
  • images-27.jpeg
    images-27.jpeg
    9.3 KB · Views: 91
  • images-15.jpeg
    images-15.jpeg
    11.7 KB · Views: 100
Waarabu si watu wema hata kidogo dini yao yenyewe inajenga ubaguzi mkubwa, pia inaruhusu kujiua kuua na kulipa visasi na ndio maana asilimia kubwa ya magaidi ni waislamu
Ni vema utuambie mwema ni nani? Hitler au George Bush na waamerika wenzie wanaouwa mpaka watoto wadogo huko bara Arabu? Dini yako dini gani? Nadhani nawe ni miongoni mwa wale mnaotembelewa na mwarabu
 
Mbona mashujaa wetu kama Mirambo ndio walikuwa wanakama watumwa na kuwauza ? Hakuna uthbitisho wowote kuwa waarabu walivamia mahali na kuchukua watumwa - wote walikuwa wakiletewa na Waafrika wenzao. Na hii biashara au utumwa ulikuwepo baina ya waafrika wenyewe
 
Watumwa wengi pia walipelekwa Bara arab, Tofauti na Amerika ambapo kuna masalia wengi, waafrika Uarabuni ni nadra kuwaona hao masalia. tungejiuliza kilichotokea.

Ni ukweli usiopingika kuhusu tamaduni za walimwengu. Bara asia hawapendi kabisa mchanganyiko wa damu kutoka afrika. Ulaya hawaoni tatizo.

Ni kweli kuwa ukatili unasababishwa pia na tamaduni za jamii husika. Afrika ina sifa ya kukirimu wageni ni asili yao. sijui kama waafrika wangepokelewa uarabuni au asia kama tulivowapokea sisi kipindi hicho.
Pasco una point katika hoja yako.
 
Mkuu fungia uzi mpya ushushe Nondo kabisa
hakuna haja mkuu, Zitafutwa tu. Niliwahi kuweka story ya Galileo Galilei na Kesi yake hiyo thread hadi sikuiona wakati ilisakafiwa na reliable sources. Nahisi kwa sababu iligusa udhaifu wa kiongozi mashuhuri wa kidini anayeaminiwa sana.

Hiyo homework inatosha kabisa kwa muislamu anayependa kuelewa mambo.
 
Kama kuna binadamu ambae amenyanyaswa na kupuuzwa ni mtu mweusi. Mtu mweusi awe muislam, mkristo, au mpagani. Nimeshtushwa sana na utetezi wa manyanyaso ya mtu mweusi katika jamvi hili eti tu kwa vile huyo aliyemnyanyasa ni muislam au mkristo! Wewe mtu mweusi kweli unaweza ukajidhalilishs kiasi hicho Kisaka eti hate tea uislam au ukristo? Hawa weupe na wanjano bado wanaamini kuwa wewe ni inferior kwao. Sio binadamu mwenye uwezo wa kufikiri kama wao! Bado unashangilia eti utumwa na unyanyasaji wa mtu mweusi ni propaganda na chuki dhidi ya uislam au ukristo? Watu weupe walikuwa waislam au wakristo na waliyafanya hayo kwa baraka ya hizo dini zao! Hakuna mwaarabu au mzungu aliyezaliwa mbinguni! Wote ni binadamu wenye tamaduni na imani fulani ikiwapo hiyo kuwa mtu mweusi hafai! Wamekuwa na kuishi katika jamii iliyoamini hivyo toka papa hadi imam mkuu! Hawa ni binadamu na huwezi kuwatenganisha na utamaduni wao. Ndio kumekuwa na mabadiliko ya kimtazamo kuhusu mtu mweusi lakini ukweli unabaki pale pale kuwa mtazamo wa babu zao kuhusu mtu mweusi ulikuwa hasi! Narudia tena iwe kwa dini ya kikristo au uislam! Hivyo ukiuhalalisha unyama huo eti tu kwa kuwa wewe ni mwislam au mkristo ni kichekesho na dharau kwako wewe mwenyewe mweusi. Historia imevurugwa sana ili kuonyesha kuwa ukristo hauhusiki na utumwa as well as uislam. Ni uongo, maana hawa washenzi waarabu na wazungu ambao hawakuthamini utu wa mweusi walikuwa waislam na wakristo. Mabadiliko katika fikra na mitazamo ya kidunia na dini zake hayafuti huu ukweli. Kama kuna mchangiaji mwaarabu au mzungu anayetaka wewe mweusi eti ukubali unyama waliotufanyia kwa mgongo wa hizo dini mbili na wewe ukakubaliana nae basi jua anakudharau na ataendelea kukudharau! Mtu mweusi na akili zako anakwambia kuwa haya yanayotokea katika siasa Za leo ni sawa na utumwa aliofanyiwa babu na bibi yako na wewe unamuunga mkono eti tu kwa sababu una support uislam au ukristo! Akili yako iko sawa au na wewe bado ni mtumwa! Dharau aliyofanyiwa mtu mweusi, bahati mbaya bado inaendelea underground, haiwezi ikatetewa kwa misingi ya huo upuuzi mnaotaka kujivisha. Nenda bagamoyo, Zanzibar, na Goree island huko Senegal kisha urudi hapa na kutetea ushenzi huu eti tu kwa kuwa waliofanya ni wakristo au waislam. Ni aibu ambayo haijawahi kutokea kwa utu wa mtu uliofanywa na hao wakristo na waislam kwa babu na bibi zetu. Waache waislam waarabu na wakristo wazungu wabishane nani alitudharilisha kidogo na siyo wewe mweusi uliyedharilishwa na unaendelea kudhrilishwa kuwa mtetezi wa wadharilishaji. Ebu tuwe upande unaotustahili. Bahati mbaya sijui kama huyo Pasco na Mohamed Said nao ni weusi kama sisi au ni uzao wa hao wadharilishaji wazungu wakristo na waarabu waislam? Ebu tujivunie weusi wetu!

Utumwa,kunyanyasana na matendo mengine yanayofanana na haya,hayana dini ,rangi wala itikadi,kwani hadi leo hii baadhi ya watu weusi wananyanyaswa tena na weusi wenzao,hapo mzungu au mwarabu au muislamu au mkristo anaingilia wapi?hii inatokana na kutokuwa na hofu ya Mungu na si vinginevyo.
 
Pasco mpaka sasa unebwabwaja na kuhororoja lakini hujaonesha damu aliyomwaga hata mfalme mmoja.

Umeweka link ambayo ni tofauti kabisa na porojo zako nyingi ulizoandika Kiswahili. Umeshindwa ku cite hata moja katika uliyoyaandika. Unapotosha au unajipotosha kwa kujaribu kuaminisha watu uongo?

Hakika shule mlisomea ujinga.

Hivi wale Wareno waliojenga ile ngome Unguja walikuwa na biashara ipi pale?

Hizo za watu kuzikwa kila nguzo ya jumba la maajabu ni ngano za kijinga tu.
 
"UKWELI UKIDHIHIRI UONGO HUJITENGA"

Mtoa mada yake baada ya kupewa iliyokweli katoka UNYOYA (KAKIMBIA) kajitutumua na kujibu comment moja tu ya ndugu Muhammed Said.

Hili darasa linalotolewa hapa ni fundisho kwake na wengine wanaodhani bado tuko katika zama za MTU MMOJA KUOTA NA KUJUA KILA KITU!!!!

Alhamdulillah Mwinyi alituondoa huko kwa nguvu zake zote kwa slogan yake ya RUKSA.
 
Mh! Kiukweli tumetoka mbali
Wale watumwa waliopelekwa Uarabuni vizazi vyao viko wapi!!! kwani wale waliopelekwa India mpaka leo wapo na wale waliopelekwa Ulaya, Marekani mpaka Amerika Kusini mpaka leo wapo tena kwa mamilioni and for your information nchi yenye watu wengi weusi(black) kuliko nchi ingine yeyote duniani ni BRAZIL na siyo Congo wala Sudan wala Tanzania. Ni kweli wapo kule ni kwa sababu hawakuhasiwa kama waliopelekwa Mashariki ya Kati. Who is to blame and have they apologized and compensated!
 
hueleweki,,, kitabu hukiamini ila kimeandika yesu mara 25,unaogopa kukisoma!!!, sasa kama unaamini kimeandika yesu mara25, hakuna mjadala hapa!! unajua ni cha kweli kitabu, kitu cha uongo hakijadiliwi
Mbona unatoa majibu mepesi kwenye maswali mazito!; ebu jipange uweze kutofautisha fake na org
 
Back
Top Bottom