UDOM kuanzisha kampasi Njombe. Kimaadili hii siyo sawa kabisa ktk nchi hii

Sijaona aliposema Njombe hakuna wasomi! Umena wapi? Rudia kusoma kama mimi niilivyofanya.
Muhimu tuangalie maamuzi kama hayo yana tija gani? Unaona ni sawa Kampasi ya Dodoma bado hawajaweza kuijaza, halafu wanaanzisha nyingine Njombe?

Tusipende kutekeleza mawazo ya mtu. UDOM ililenga kuwa na wanafunzi kadhaa na ikaweka miundombunu kwa kiwango hicho je, wameshaweza? Kwa nini mtu awe ni mtawala wa chuo ambacho hakijatimiza malengo ya awali, yeye anaanzisha malengo mengine?
 
Rubbish. Njombe campus iko Tanzania. Chato Airport iko Tanzania. CHADEMA kwao wana University 5 na Airport 4 mbona hawangizi kwenye tumehuru?
STUPID! Unapewa kuwa VC wa chuo chenye malengo ya wanafunzi 40,000.Hujatimiza malengo, miundombinu ipo haitumiki, unawaza kufungua kampasi nyingine mkoa mwigine. lengo nini? Au wajue homeboy kaleta chuo! Nonsense!
 
Wewe na mtoa mada ni wajinga sana.

Sitoi maelezo mengi nakupa mfano mmja tuu harafu utajiongeza.

Unajua baada ya kuanzisha programu ya Elimu Bure Watoto wangapi waliingia standard one na wangapi wanatarajia kumaliza form six?

Jibu la Hilo swali ni Moja ya sababu kibao zilizopo za kwa nini Serikali inaanzisha vyuo Vikuu Mikoa yote.

Mwisho angalia wenzako huku,hii ni just public university za Kilimo Bado vyuo Vikuu vingine na Bado private sector and they keep on building

View: https://twitter.com/StatiSense/status/1734119910064689246?t=0OilcjCqatYbAbtsvNGhcw&s=19
Mna akili fupi kama za kuku.
IFM Chato Campus

View: https://twitter.com/CCMmtandaoni/status/1734961248830136473?t=IHKvgUvoE9OZ9DTi2tEptQ&s=19
 
Acha roho mbaya wewe 😠😠, nenda kajinyonge kama unaumia.
Naamini unaunga mkono kiukabila. HUwezi kuona mtu anapoteza pesa za chuo bila sababu. Sababu ya kampasi mpya ni nini? UDOM imefikia kiwango chake cha udahili?

Mtu hajafikisha mal;engo ya chuo anachokiongoza, anaanzisha kampasi mpya. Yaani kila sehemu kuwe na majengo yasiyo na wanafunzi! Rubbish professor!
 
Another rubbish! Umeulizwa nini malengo yake kuanzisha kampasi mpya wakati ana majengo ambayo hayana wanafunzi? Wewe unaishia kusimulia hadithi za mtandaoni na kusema wenzetu. Nigeria ni wenzako? Wenzako ya nyoko!

Unahesabu idadi ya vyuo vya Nigeria unasema ni wenzako. Mwambieni aache ukabila wa nyumbani! Tunataka uongozi wa chuyo siyo sifa ya kisiasa. Kama anataka ubunge mwakani, umri haufai, he is a deadwood!
 
Umejaza mavi kichwani.Soma maelezo kwenye comment utapata majibu ya swali lako la kipumbavu
 
Umejaza mavi kichwani.Soma maelezo kwenye comment utapata majibu ya swali lako la kipumbavu
Hapa ni ufahamu, hatuhitaji hasira na matusi. Kama ni Kusiluka, nakupa pole! Bado hujakomaa. Majibu ni kitu gani? Unamaanisha 'majawabu'? Hata lugha yetu haipandi, nawe unawaza ukafundishe Njombe University?
 
Kama wameshindwa kutokomeza kunguni wataweza kusimamia chuo kipya?
 
Nakusaiidia .Fikiria Udom imejaa Dodoma kutokana kuongeze Kwa wa.Has a tumefika Idadi ya watu million 80+ je udom itatosha.

Pia ni fursa kiuchumi Mkoa husika inaitwa WIN WIN

Jikite hapa Kwa kina ikibid Google utaelewa vizuri

Mipango ya muda mrefu

Mipango ya muda mfupi

Mipango ya muda Wa kati
 
Ungesema huoni sababu ya kuanzishwa kwa chuo kikuu kishiriki cha Dodoma wakati makao makuu yanajitosheleza na Bado yanahitaji wanafunzi, hii ya kuweka mikoa mingine na sababu za ukabila zimeharibu hoja yako.
 
Ungesema huoni sababu ya kuanzishwa kwa chuo kikuu kishiriki cha Dodoma wakati makao makuu yanajitosheleza na Bado yanahitaji wanafunzi, hii ya kuweka mikoa mingine na sababu za ukabila zimeharibu hoja yako.
Hakuna sababu ya kutoiona akili ya mtu kwa kisingizio cha kuharibu mambo. Hiyo ndo sura ya ukabila. Wengi hapa wanaotetea ni kwa sababu wanaamini kwao, Njombe, panapendeza. Sisi tunaofahamu mawazo ya muhusika lazima tuseme. Ni UKabila unamsumbua tu!
 

sasa we bwege kwann dodoma imefanya kitu gan kuwa n vyuo vyote hivo,,,
au iringa,mbeya,moro,dar, mbona unapwayuka

Kupeleka chuo si kwa sababu ya idadi ya watu ni njia moja wapo ya kubust maendeleo au jamii ambazo hazipendi elimu

Naunga mkono uamuzi huo mikoa ya njombe ,ruvuma imesahaulika sana
 

Sasa hapo kwene elimu ukabila unaingiaje??

Yaan kujenga hoja huwezi kabisa
Je watakaosoma n kabila gan
kuna chuo kinadahili watu kutokana na kabila ??
Jamani watanzania wa hivi ni mzigo sana kwenye hii nchi!!

Hata kama kitajengwa mkoa ambao hau chuo ni sawa!!
Njombe hamna chuo chochote kinachoeleweka wana haki sana!
Hasa ukiangalia mchango wao katika uchumi ilibidi kijengwe chuo tena siyo campus
 
Unaweza kuwa umeongea ukweli lakini ni kitu gani kinachokusukuma kusema huo ni ukabila na si wewe mwenye element za ukabila?

Yeye ndo anaelement za ukabila kupeleka maendeleo nayo anaona ni ukabila utafikiri chuo kinachagua kulingana na kabila badala ya ufaulu
 
Licha ya Hilo mkuu njombe kuna ukimwi San watoto wetu wataambukizwa magonjwa ya zianaa ikiwa watarundikana njombe mji

Udom inatosha kwa hapa dodoma

Dr ?? ulifauluje ww mbona uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana
ukimwi unaambukizwa na mazingira???
Au unaambukizwa na chuo kuwepo sehemu fulani?

Nachojua mm ni kufanya unprotected sex,blood transfusion nk


Pumbafu wewe dakitari vyeti feki[mention]dr namugari [/mention]
 

Asante kwa kumuelimisha huyu mchunguzi ushuzi wa hapa tz [mention]MchunguZI [/mention] akili ziko matakoni muda wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…