UDOM kuanzisha kampasi Njombe. Kimaadili hii siyo sawa kabisa ktk nchi hii

UDOM kuanzisha kampasi Njombe. Kimaadili hii siyo sawa kabisa ktk nchi hii

Acha ujinga na upunguani.Uliambiwa hicho kiwango Chake kinatakiwa kufikiwa overnight?

Harafu unatakiwa kuelewa kwamba chini ya program ya HEET, Serikali inaenda kuanzisha vyuo Vikuu au matawi kwenye Mikoa yote ambayo Haina Vyuo Vikuu so sio swala la sijui Njombe Iko karibu na Mkoa upi,that is rubbish argument.

Lengo ki kupanua WiGo wa taaluma Kwa Wananchi.Tqnzania inazidiwa na Nchi zingine zote Wanachama wa EAC kwenye udahili isipokuwa Burundi.

Mwisho Kwa Mamilioni ya Watoto walioanza na Elimu Bure tukisalia stagnant hivyo vyuo unavyosema vina nafasi havitatosha kabisa watakapofika Form 6,na ndio maana hiyo program imekuja.

Acha wivu wa kisengerema
Serikali haitakiwi kushindana kwenye quantity ya kudahili wanafunzi na hizo nchi zingine bali izingatie qualities za elimu husika.Hata kama viwe vyuo vikuu viwili lakini vitoe product ambayo inaweza kutoa ama kupambana na matatizo yaliyopo kwenye jamii. Kuna haja gani ya kuwa na wasomi laki moja wasiojiweza kwa lolote? Bora uwe nao mia wanaojiweza.Na kusema wanapanua wigo wa taaluma, mi nasema si kweli,bali wanasambaza elimu ileile iliyoshindwa vibaya ili kiwafikie wengi.zile sifa sijui tuna vyuo vikuu hamsini na degree holders kibao,sijui tunaongoza east africa kwa idadi ya wasomi hazina tija bila kufanya hizo degree kuwa productive. We need changes.
 
Serikali haitakiwi kushindana kwenye quantity ya kudahili wanafunzi na hizo nchi zingine bali izingatie qualities za elimu husika.Hata kama viwe vyuo vikuu viwili lakini vitoe product ambayo inaweza kutoa ama kupambana na matatizo yaliyopo kwenye jamii. Kuna haja gani ya kuwa na wasomi laki moja wasiojiweza kwa lolote? Bora uwe nao mia wanaojiweza.Na kusema wanapanua wigo wa taaluma, mi nasema si kweli,bali wanasambaza elimu ileile iliyoshindwa vibaya ili kiwafikie wengi.zile sifa sijui tuna vyuo vikuu hamsini na degree holders kibao,sijui tunaongoza east africa kwa idadi ya wasomi hazina tija bila kufanya hizo degree kuwa productive. We need changes.
Quality Inaanza na kuwa na miundombinu Bora.Ile mentality ya kipumbavu ya hapa Tanzania Toka ukoloni ya Kuzuia watu kusoma Elimu Kwa level wanayoutaka na Kwa Wingi kadiri inavyowezekana Sasa imezikwa rasmi.

Asante sana JK Kwa Mpango wa Shule za Kata na Sasa Basic education itakuwa ni form 4.
 
Validity ya kupeleka Hilo Tawi njombe NI IPI?tujadili hoja.kwni njombe na Dodoma kuna umbali gani?si wangefikiria kupeleka Hilo Tawi Mara.
Haya ndiyo Maswali ya kuuliza. Yapo objectively. Na nirahisi kupewa majibu. Lakini, siyo kuibuka na sababu zisizo nakichwa wala miguu eti upendeleo!!! Yaani Taasisi zisifanye kazi sehemu fulani kisa Mkuu wa Taasisi ni wa huko!!!
 
Haya mambo sasa tuseme yanafanyika kiushabiki na pia kiukabila. Nimeona mitandaoni eti UDOM wanaanzisha kampasi mpya mkoa wa Njombe. Hii ni uharibifu wa pesa ya umma unaoongozwa na ukabila.

Ni uharibifu kwa sababu Kampasi kuu ya UDOM pale Dodoma mjini haijafikia kiwango chake cha udahili kama ilivyopangwa, wanafunzi 40,000. Kinakadiriwa kuwa na wanafunzi 25,000 tu. Ina maana miundombinu iliyopo, bado inatumiwa chini ya kiwango. Kwa nini chuo cha aina hiyo kianzishe kampasi nyingine mkoani Njombe?

Njombe ni mkoa mdogo sana ulio karibu na Iringa, na Mbeya na tayari Iringa kuna tawi la Chuo kikuu cha Dar es Salaam na Mbeya kuna chuo kikuu cha MUST! Huu uamuzi ulio na ukabila ndani yake.

VC wa UDOM anatoka mkoa wa Njombe. Ukiilinganisha na mikoa mikongwe isiyokuwa na matawi ya vyuo vikuu vya serikali huu siyo uamuzi wenye sababu. Kwa upande wa bara njombe ndo mkoa wenye idadi ndogo kabisa ya watu, kiasi cha laki 9 tu! Je, kwa idadi hiyo na ukiwa karibu na tawi la UDSM na MUST ya Mbeya, kuna dsababu ya kuwa na tawi la chuo ambacho hakijatimiza malengo ya kampasi kuu yake?

Maoni yangu tawi hilo lingepelekwa Mkoani Lindi au Mtwara ili kupunguza usafiri wa wanafunzi watakaopenda kubaki mikoa ya Kusini. Au lipelekwe KIgoma. Tuache ukabila wa kiasi hiki!
UDSM wanaanzisha tawi/campus Lindi. VC wa UDSM ni mutu ya Rungwe kwa mujibu wa CV yake wakati anapewa hiyo nafasi.
UDOM is too big kwa VC, mutu mmoja kushawishi campus kuanzishwa. Kuna vyombo kama vile Senate na Baraza la Chuo.
Pamoja na maoni yangu hayo, bado naona hakuna haja ya UDOM kwenda Njombe. Waende Mpanda au Kigoma. Hapo watakuwa wamejitahidi kutoka upenuni. DIT wapo Momba. MUST wana campus Rukwa. Na wao wajitahidi kutembea kaumbali.
 
Haya mambo sasa tuseme yanafanyika kiushabiki na pia kiukabila. Nimeona mitandaoni eti UDOM wanaanzisha kampasi mpya mkoa wa Njombe. Hii ni uharibifu wa pesa ya umma unaoongozwa na ukabila.

Ni uharibifu kwa sababu Kampasi kuu ya UDOM pale Dodoma mjini haijafikia kiwango chake cha udahili kama ilivyopangwa, wanafunzi 40,000. Kinakadiriwa kuwa na wanafunzi 25,000 tu. Ina maana miundombinu iliyopo, bado inatumiwa chini ya kiwango. Kwa nini chuo cha aina hiyo kianzishe kampasi nyingine mkoani Njombe?

Njombe ni mkoa mdogo sana ulio karibu na Iringa, na Mbeya na tayari Iringa kuna tawi la Chuo kikuu cha Dar es Salaam na Mbeya kuna chuo kikuu cha MUST! Huu uamuzi ulio na ukabila ndani yake.

VC wa UDOM anatoka mkoa wa Njombe. Ukiilinganisha na mikoa mikongwe isiyokuwa na matawi ya vyuo vikuu vya serikali huu siyo uamuzi wenye sababu. Kwa upande wa bara njombe ndo mkoa wenye idadi ndogo kabisa ya watu, kiasi cha laki 9 tu! Je, kwa idadi hiyo na ukiwa karibu na tawi la UDSM na MUST ya Mbeya, kuna dsababu ya kuwa na tawi la chuo ambacho hakijatimiza malengo ya kampasi kuu yake?

Maoni yangu tawi hilo lingepelekwa Mkoani Lindi au Mtwara ili kupunguza usafiri wa wanafunzi watakaopenda kubaki mikoa ya Kusini. Au lipelekwe KIgoma. Tuache ukabila wa kiasi hiki!
100% nakuunga mkono
 
Quality Inaanza na kuwa na miundombinu Bora.Ile mentality ya kipumbavu ya hapa Tanzania Toka ukoloni ya Kuzuia watu kusoma Elimu Kwa level wanayoutaka na Kwa Wingi kadiri inavyowezekana Sasa imezikwa rasmi.

Asante sana JK Kwa Mpango wa Shule za Kata na Sasa Basic education itakuwa ni form 4.
Wawe wachache ama wengi lakini wawe productive. Kujisifia kuwa na madarasa mengi kichwani bila kuwa na elimu yenyewe inayokusaidia kuwa productive ni bure.
 
Wawe wachache ama wengi lakini wawe productive. Kujisifia kuwa na madarasa mengi kichwani bila kuwa na elimu yenyewe inayokusaidia kuwa productive ni bure.
Kwani hujui kwamba Mageuzi yanafanyika kuanzia chekechea Hadi University?
 
Haya mambo sasa tuseme yanafanyika kiushabiki na pia kiukabila. Nimeona mitandaoni eti UDOM wanaanzisha kampasi mpya mkoa wa Njombe. Hii ni uharibifu wa pesa ya umma unaoongozwa na ukabila.

Ni uharibifu kwa sababu Kampasi kuu ya UDOM pale Dodoma mjini haijafikia kiwango chake cha udahili kama ilivyopangwa, wanafunzi 40,000. Kinakadiriwa kuwa na wanafunzi 25,000 tu. Ina maana miundombinu iliyopo, bado inatumiwa chini ya kiwango. Kwa nini chuo cha aina hiyo kianzishe kampasi nyingine mkoani Njombe?

Njombe ni mkoa mdogo sana ulio karibu na Iringa, na Mbeya na tayari Iringa kuna tawi la Chuo kikuu cha Dar es Salaam na Mbeya kuna chuo kikuu cha MUST! Huu uamuzi ulio na ukabila ndani yake.

VC wa UDOM anatoka mkoa wa Njombe. Ukiilinganisha na mikoa mikongwe isiyokuwa na matawi ya vyuo vikuu vya serikali huu siyo uamuzi wenye sababu. Kwa upande wa bara njombe ndo mkoa wenye idadi ndogo kabisa ya watu, kiasi cha laki 9 tu! Je, kwa idadi hiyo na ukiwa karibu na tawi la UDSM na MUST ya Mbeya, kuna dsababu ya kuwa na tawi la chuo ambacho hakijatimiza malengo ya kampasi kuu yake?

Maoni yangu tawi hilo lingepelekwa Mkoani Lindi au Mtwara ili kupunguza usafiri wa wanafunzi watakaopenda kubaki mikoa ya Kusini. Au lipelekwe KIgoma. Tuache ukabila wa kiasi hiki!
Kama ni kwrli hayo yatakuwa matumizi mabaya ya fedha za umma. UDOM kimejengwa kwa mkopo kutoka pesa za wafanyakazi ambao ni wanachama wa Mifuko ya Hifadhi za Jamii. Bado serikali inadaiwa mabilioni na mifulo hiyo; walipe kwanza hizo pesa ndipo wafungue kampasi nje ya Dodoma.

Vv
 
Siyo poa kabisa hiyo, naipinga hiyo hoja asilimia 100%, kuna mikoa mikongwe kma lindi, mtwara, singida, kigoma, shinyanga, ruvuma, rukwa nk. Haina byuo vikuu afu unampa njombe kichanga. Huu ni upotofu kabisa.
 
Wakafungue tu wafundishe Bachelor of science in
Mathematics
Physics
Chemistry
Biology
Statistics
etc.
 
Yaani ka-mkoa kenye watu laki 8! Kamkoa kasikokuwa na wasomi! Mwanafunzi atakayekwenda kusoma huko anatafuta kulogwa tu!

Mikoa ya Kigoma, Shinyanga, Lindi na Mtwala inastahili heshima hiyo kwa wingi wa watu. Hope Njombe ni bonge ya ukabila.
VC Kusiluka anatoka Njombe
Katibu mkuu kionmgozi anatoka Njombe
Hapo kuna shida!

btw. Nimedokezwa huo haukuwahi kuwa mpango wa UDOM. Umezushwa na Kusiluika alipohamishiwa hapo, na mradi wa HEET ulianza akiwa ahajahamishiwa hapo. Ina maana amegeuza uelekeo wa pesa za chuo.
kwani UDOM wanasoma watu wa Dodoma tu? Njombe kuwa na watu wachache kua uhusiano gani na chuo kutojengwa huko? Njombe hakuna wasomi halafu unasema VC ana toka Njombe unamaanisha nini?
 
Siyo poa kabisa hiyo, naipinga hiyo hoja asilimia 100%, kuna mikoa mikongwe kma lindi, mtwara, singida, kigoma, shinyanga, ruvuma, rukwa nk. Haina byuo vikuu afu unampa njombe kichanga. Huu ni upotofu kabisa.
H ah aha Vijana mnaleta sana Ukanda, waachiwe wataalam wafanye kazi yao, Mh Raisi amewaamini, Selection ya wapi kiwepo chuo hufanyika baada ya kufanyika analysis kubwa, Probably mikoa uliyotaja hapo kuna kampas za vyuo vingine au ipo kwenye mipango ya UDOM kwa badae, kwa sasa wanaanza na Njombe
 
Haya mambo sasa tuseme yanafanyika kiushabiki na pia kiukabila. Nimeona mitandaoni eti UDOM wanaanzisha kampasi mpya mkoa wa Njombe. Hii ni uharibifu wa pesa ya umma unaoongozwa na ukabila.

Ni uharibifu kwa sababu Kampasi kuu ya UDOM pale Dodoma mjini haijafikia kiwango chake cha udahili kama ilivyopangwa, wanafunzi 40,000. Kinakadiriwa kuwa na wanafunzi 25,000 tu. Ina maana miundombinu iliyopo, bado inatumiwa chini ya kiwango. Kwa nini chuo cha aina hiyo kianzishe kampasi nyingine mkoani Njombe?

Njombe ni mkoa mdogo sana ulio karibu na Iringa, na Mbeya na tayari Iringa kuna tawi la Chuo kikuu cha Dar es Salaam na Mbeya kuna chuo kikuu cha MUST! Huu uamuzi ulio na ukabila ndani yake.

VC wa UDOM anatoka mkoa wa Njombe. Ukiilinganisha na mikoa mikongwe isiyokuwa na matawi ya vyuo vikuu vya serikali huu siyo uamuzi wenye sababu. Kwa upande wa bara njombe ndo mkoa wenye idadi ndogo kabisa ya watu, kiasi cha laki 9 tu! Je, kwa idadi hiyo na ukiwa karibu na tawi la UDSM na MUST ya Mbeya, kuna dsababu ya kuwa na tawi la chuo ambacho hakijatimiza malengo ya kampasi kuu yake?

Maoni yangu tawi hilo lingepelekwa Mkoani Lindi au Mtwara ili kupunguza usafiri wa wanafunzi watakaopenda kubaki mikoa ya Kusini. Au lipelekwe KIgoma. Tuache ukabila wa kiasi hiki!
Waanzishe kampasi Tunguu, Zanzibar
 
Haya mambo sasa tuseme yanafanyika kiushabiki na pia kiukabila. Nimeona mitandaoni eti UDOM wanaanzisha kampasi mpya mkoa wa Njombe. Hii ni uharibifu wa pesa ya umma unaoongozwa na ukabila.

Ni uharibifu kwa sababu Kampasi kuu ya UDOM pale Dodoma mjini haijafikia kiwango chake cha udahili kama ilivyopangwa, wanafunzi 40,000. Kinakadiriwa kuwa na wanafunzi 25,000 tu. Ina maana miundombinu iliyopo, bado inatumiwa chini ya kiwango. Kwa nini chuo cha aina hiyo kianzishe kampasi nyingine mkoani Njombe?

Njombe ni mkoa mdogo sana ulio karibu na Iringa, na Mbeya na tayari Iringa kuna tawi la Chuo kikuu cha Dar es Salaam na Mbeya kuna chuo kikuu cha MUST! Huu uamuzi ulio na ukabila ndani yake.

VC wa UDOM anatoka mkoa wa Njombe. Ukiilinganisha na mikoa mikongwe isiyokuwa na matawi ya vyuo vikuu vya serikali huu siyo uamuzi wenye sababu. Kwa upande wa bara njombe ndo mkoa wenye idadi ndogo kabisa ya watu, kiasi cha laki 9 tu! Je, kwa idadi hiyo na ukiwa karibu na tawi la UDSM na MUST ya Mbeya, kuna dsababu ya kuwa na tawi la chuo ambacho hakijatimiza malengo ya kampasi kuu yake?

Maoni yangu tawi hilo lingepelekwa Mkoani Lindi au Mtwara ili kupunguza usafiri wa wanafunzi watakaopenda kubaki mikoa ya Kusini. Au lipelekwe KIgoma. Tuache ukabila wa kiasi hiki!
Naunga hoja
 
Aliyependekeza hili "asogezwe" hapo mirembe ili Ma- Dr 'watusaidie'
Au mkuu wa UDOM katoka huko? Takukuru anzieni hapo.
 
Back
Top Bottom