UDOM: Wanafunzi wamkamata mkufunzi anayewapa 'Sup' ili afanye nao ngono

Na wengi wao hawasomi, wako bussy na appointments. Mitihani ikifika wanatafuta ufadhili wa wakufunzi.
 
Hata wenye ushahidi huwa wanateteana sana tu, sio wote ni easy prey, na ma lecturer hupenda watu watulivu ndio wanakusunbua
 

Kwenye hiyo video mbona kama mkufunzi anachekelea?
 
Siku hizi hamsini vijana ndio chanzo hiki. Utoto na u much know umekuwa mwingi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…