UDOM yatoa ufafanuzi wa madai ya Wanafunzi 400 kuondolewa masomoni, wasema walidukua mfumo na kuchezea matokeo ya mitihani

UDOM yatoa ufafanuzi wa madai ya Wanafunzi 400 kuondolewa masomoni, wasema walidukua mfumo na kuchezea matokeo ya mitihani

TAARIFA SAHIHI KUHUSU TUHUMA ZA WANAFUNZI 400 WANAODAIWA KUONDOLEWA MASOMONI

Kusoma taarifa ya awali, bofya hapa ~ Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) Kuna Nini? Wanafunzi zaidi ya 400 wame disqualify

Chuo Kikuu cha Dodoma kimepitia taarifa zinazosambazwa mitandaoni za madai zenye madai ya wanafunzi 400 kufutwa masomo kwa tuhuma za kudukua mfumo. Ukweli ni huu;

Jumla ya wanafunzi 170 walituhumiwa kuchezea Mfumo wa matokeo (SR2) Mwaka 2023/2024. Serikali iliunda Kikosi Kazi kilichohusisha wataaalamu wa Mifumo ya Komputa kuchunguza tuhuma hizo na kuwasilisha ripoti yao Chuo Kikuu cha Dodoma. Baada ya Chuo kupokea ripoti hiyo hatua za ndani zilianza kuchukuliwa ikiwa ni pamoja na kuwapa wito watuhumiwa kuja kusikilizwa kabla ya kutoa maamuzi kwa mujibu wa Kanuni zilizopo.

Jumla ya wanafunzi 148 walisikilizwa, wanafunzi 32 hawakufika kusikilizwa. Katika wanafunzi waliosikilizwa, wanafunzi 121 walipatikana na hatia ya kuhusika kuchezea matokeo ya mitihani na kikao cha Seneti ya Chuo kupitisha kuondolewa masomoni (Discontinue). Kesi za wanafunzi 15 zinaendelea na uchunguzi zaidi. Wanafunzi wawili hawakukutwa na hatia.

Kwa mujibu wa taratibu za Chuo Kikuu cha Dodoma, mwanafunzi ambae hajaridhika na maamuzi ya Seneti anapewa nafasi ya kukata rufaa. Hivyo wanafunzi ambao hawajaridhika taratibu ziko wazi, wana fursa ya kukata rufaa kupitia mifumo iliyowekwa na Chuo.

Dirisha la rufaa hufunguliwa wiki mbili baada ya matokeo ya mitihani kutoka na kufungwa baada ya wiki mbili. Mwanafunzi ambae yupo nje ya muda, anaruhusiwa wakati wowote kuomba kukata rufaa nje ya muda

Chuo kitaendelea kusimamia taratibu, Kanuni na Sheria za kimitihani ili kulinda ubora wa taaluma na hadhi ya Chuo, pasipo kumuonena mtu yeyote.

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano na Masoko (UDOM)
22/2/2025
Chuo kimechukua hatua gani kuzuia udukuzi? Kama wanafunzi 400 wameweza kufanya hivyo basi mfumo wao ni wa ovyo na unahitaji kuimarishwa zaidi.

Amandla...
 
UDOM muwekewe porn kwenye website yenu, nyienyie mdukuliwe, hivi mna IT competent au ushuzi tuu
moja ya vyuo vichqhce nchi vinavyofundisha cyber. Nadhan wanafunzi wanafanyia experiments zao hapo hapo

How ever nadhani IT admin wao si compentent enough, knowing wanafunzi ni watu wa kujaribu jaribu
 
Tunah
TAARIFA SAHIHI KUHUSU TUHUMA ZA WANAFUNZI 400 WANAODAIWA KUONDOLEWA MASOMONI

Kusoma taarifa ya awali, bofya hapa ~ Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) Kuna Nini? Wanafunzi zaidi ya 400 wame disqualify

Chuo Kikuu cha Dodoma kimepitia taarifa zinazosambazwa mitandaoni za madai zenye madai ya wanafunzi 400 kufutwa masomo kwa tuhuma za kudukua mfumo. Ukweli ni huu;

Jumla ya wanafunzi 170 walituhumiwa kuchezea Mfumo wa matokeo (SR2) Mwaka 2023/2024. Serikali iliunda Kikosi Kazi kilichohusisha wataaalamu wa Mifumo ya Komputa kuchunguza tuhuma hizo na kuwasilisha ripoti yao Chuo Kikuu cha Dodoma. Baada ya Chuo kupokea ripoti hiyo hatua za ndani zilianza kuchukuliwa ikiwa ni pamoja na kuwapa wito watuhumiwa kuja kusikilizwa kabla ya kutoa maamuzi kwa mujibu wa Kanuni zilizopo.

Jumla ya wanafunzi 148 walisikilizwa, wanafunzi 32 hawakufika kusikilizwa. Katika wanafunzi waliosikilizwa, wanafunzi 121 walipatikana na hatia ya kuhusika kuchezea matokeo ya mitihani na kikao cha Seneti ya Chuo kupitisha kuondolewa masomoni (Discontinue). Kesi za wanafunzi 15 zinaendelea na uchunguzi zaidi. Wanafunzi wawili hawakukutwa na hatia.

Kwa mujibu wa taratibu za Chuo Kikuu cha Dodoma, mwanafunzi ambae hajaridhika na maamuzi ya Seneti anapewa nafasi ya kukata rufaa. Hivyo wanafunzi ambao hawajaridhika taratibu ziko wazi, wana fursa ya kukata rufaa kupitia mifumo iliyowekwa na Chuo.

Dirisha la rufaa hufunguliwa wiki mbili baada ya matokeo ya mitihani kutoka na kufungwa baada ya wiki mbili. Mwanafunzi ambae yupo nje ya muda, anaruhusiwa wakati wowote kuomba kukata rufaa nje ya muda

Chuo kitaendelea kusimamia taratibu, Kanuni na Sheria za kimitihani ili kulinda ubora wa taaluma na hadhi ya Chuo, pasipo kumuonena mtu yeyote.

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano na Masoko (UDOM)
22/2/2025
itaji hackers wa kutosha kama hao, good start.
 
Sio hawana security mkuu, pale wapo learners wanaojua hasa kucheza na mfumo.
Na wahusika ni watu wa CIVE bila shaka
Wanakwama sana.

Yaani Maprof na Madokta wanaofundisha IT washindwe mbinu na wanafunzi wao waliowafundisha katika kudhibiti usalama wa mfumo wao..

Unakuta wanatumia wataalamu wengine kutoka nje ya Chuo kusimika huo mfumo.
 
TAARIFA SAHIHI KUHUSU TUHUMA ZA WANAFUNZI 400 WANAODAIWA KUONDOLEWA MASOMONI

Kusoma taarifa ya awali, bofya hapa ~ Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) Kuna Nini? Wanafunzi zaidi ya 400 wame disqualify

Chuo Kikuu cha Dodoma kimepitia taarifa zinazosambazwa mitandaoni za madai zenye madai ya wanafunzi 400 kufutwa masomo kwa tuhuma za kudukua mfumo. Ukweli ni huu;

Jumla ya wanafunzi 170 walituhumiwa kuchezea Mfumo wa matokeo (SR2) Mwaka 2023/2024. Serikali iliunda Kikosi Kazi kilichohusisha wataaalamu wa Mifumo ya Komputa kuchunguza tuhuma hizo na kuwasilisha ripoti yao Chuo Kikuu cha Dodoma. Baada ya Chuo kupokea ripoti hiyo hatua za ndani zilianza kuchukuliwa ikiwa ni pamoja na kuwapa wito watuhumiwa kuja kusikilizwa kabla ya kutoa maamuzi kwa mujibu wa Kanuni zilizopo.

Jumla ya wanafunzi 148 walisikilizwa, wanafunzi 32 hawakufika kusikilizwa. Katika wanafunzi waliosikilizwa, wanafunzi 121 walipatikana na hatia ya kuhusika kuchezea matokeo ya mitihani na kikao cha Seneti ya Chuo kupitisha kuondolewa masomoni (Discontinue). Kesi za wanafunzi 15 zinaendelea na uchunguzi zaidi. Wanafunzi wawili hawakukutwa na hatia.

Kwa mujibu wa taratibu za Chuo Kikuu cha Dodoma, mwanafunzi ambae hajaridhika na maamuzi ya Seneti anapewa nafasi ya kukata rufaa. Hivyo wanafunzi ambao hawajaridhika taratibu ziko wazi, wana fursa ya kukata rufaa kupitia mifumo iliyowekwa na Chuo.

Dirisha la rufaa hufunguliwa wiki mbili baada ya matokeo ya mitihani kutoka na kufungwa baada ya wiki mbili. Mwanafunzi ambae yupo nje ya muda, anaruhusiwa wakati wowote kuomba kukata rufaa nje ya muda

Chuo kitaendelea kusimamia taratibu, Kanuni na Sheria za kimitihani ili kulinda ubora wa taaluma na hadhi ya Chuo, pasipo kumuonena mtu yeyote.

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano na Masoko (UDOM)
22/2/2025
Hao madogo waache ufwaaalaa.....wasome....elimu ya kweli itawasaidia binafsi.....

Unawezaje "kucompete* katika soko la ajira kupitia njia chafu za kudukua mfumo wa matokeo ?!!

#Kemea tabia mbovu za udukuzi katika taaluma
 
Hata Ukitaka kufanya practical lazima uaendike theory kwanza
Za kukariri.., kama suala ni kutengeneza motor, mtu apewe vifaa aanza kufanya assembly.., mambo ya Faradays law na Ohms law akae nayo kichwani kwake, si ameshasoma? Sisi tunataka motor izunguke na pump ipandishe maji, hapo ndio mwalimu ataoe maksi…
 
Back
Top Bottom