juma Julius
Member
- Jan 21, 2024
- 6
- 3
Ndg hy ya porn n ya lini tenUDOM muwekewe porn kwenye website yenu, nyienyie mdukuliwe, hivi mna IT competent au ushuzi tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndg hy ya porn n ya lini tenUDOM muwekewe porn kwenye website yenu, nyienyie mdukuliwe, hivi mna IT competent au ushuzi tuu
Kopi original itakuwa ilikuwepo na naamini hivi kabla matokeo yote hayajawekwa kwenye system.Kwamba Ile mitihani huwa inatunzwa..?
Mwl mwenyewe ukute hawezi kufanya hivyo, badala yake ni mtaalamu tu wa Theory.Za kukariri.., kama suala ni kutengeneza motor, mtu apewe vifaa aanza kufanya assembly.., mambo ya Faradays law na Ohms law akae nayo kichwani kwake, si ameshasoma? Sisi tunataka motor izunguke na pump ipandishe maji, hapo ndio mwalimu ataoe maksi…
Ndio maana inabidi tutoke kwenye huu mfumo wa elimu usio na tija. Mtu asome law zote anazotaka yeye, ila kwenye mtihani tunataka adanye assembly na Radio iwake na ishike frequency zote za F.M na A.M, hapo ndio unapewa maksi.., sio hii elimu ya kipimbi.., mtu anafanya titration hata haelewi ina faida gani…Mwl mwenyewe ukute hawezi kufanya hivyo, badala yake ni mtaalamu tu wa Theory.
Udom iwe chini ya UDSM ,matatizo yote yatahishaUDOM ni kawaida yao kudukuliwa
Huwa wanazitunza tena kwa muda mrefu, zinatumika pia mwanafunzi akikata rufaa asipokubaliana na matokeo. Enzi hizo nilibadilishiwa matokeo baada ya semester nzima kupita, aliyejaza kwenye system alikosea..Kwamba Ile mitihani huwa inatunzwa..?
Siku hizi ni mwendo wa kutoa UFAFANUZI kila mahali....TAARIFA SAHIHI KUHUSU TUHUMA ZA WANAFUNZI 400 WANAODAIWA KUONDOLEWA MASOMONI
Kusoma taarifa ya awali, bofya hapa ~ Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) Kuna Nini? Wanafunzi zaidi ya 400 wame disqualify
Chuo Kikuu cha Dodoma kimepitia taarifa zinazosambazwa mitandaoni za madai zenye madai ya wanafunzi 400 kufutwa masomo kwa tuhuma za kudukua mfumo. Ukweli ni huu;
Jumla ya wanafunzi 170 walituhumiwa kuchezea Mfumo wa matokeo (SR2) Mwaka 2023/2024. Serikali iliunda Kikosi Kazi kilichohusisha wataaalamu wa Mifumo ya Komputa kuchunguza tuhuma hizo na kuwasilisha ripoti yao Chuo Kikuu cha Dodoma. Baada ya Chuo kupokea ripoti hiyo hatua za ndani zilianza kuchukuliwa ikiwa ni pamoja na kuwapa wito watuhumiwa kuja kusikilizwa kabla ya kutoa maamuzi kwa mujibu wa Kanuni zilizopo.
Jumla ya wanafunzi 148 walisikilizwa, wanafunzi 32 hawakufika kusikilizwa. Katika wanafunzi waliosikilizwa, wanafunzi 121 walipatikana na hatia ya kuhusika kuchezea matokeo ya mitihani na kikao cha Seneti ya Chuo kupitisha kuondolewa masomoni (Discontinue). Kesi za wanafunzi 15 zinaendelea na uchunguzi zaidi. Wanafunzi wawili hawakukutwa na hatia.
Kwa mujibu wa taratibu za Chuo Kikuu cha Dodoma, mwanafunzi ambae hajaridhika na maamuzi ya Seneti anapewa nafasi ya kukata rufaa. Hivyo wanafunzi ambao hawajaridhika taratibu ziko wazi, wana fursa ya kukata rufaa kupitia mifumo iliyowekwa na Chuo.
Dirisha la rufaa hufunguliwa wiki mbili baada ya matokeo ya mitihani kutoka na kufungwa baada ya wiki mbili. Mwanafunzi ambae yupo nje ya muda, anaruhusiwa wakati wowote kuomba kukata rufaa nje ya muda
Chuo kitaendelea kusimamia taratibu, Kanuni na Sheria za kimitihani ili kulinda ubora wa taaluma na hadhi ya Chuo, pasipo kumuonena mtu yeyote.
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano na Masoko (UDOM)
22/2/2025
Eeeh hilo nalo neno, inamaana ni mfumo ndani ya mfumo na ni mfumo dhidi ya mfumo!!!Wakizuia,wahadhiri watakula wapi?
UDOM ni chuo cha kata.Chuo Cha kata ni UDSM Kwa sasa
Hata UDSM ndo maana hata maprofesa wao wanajiita wametokea jalalaniUDOM ni chuo cha kata.
Aaaah wapiii, ni yeye tyuuh macho makubwa.Hata UDSM ndo maana hata maprofesa wao wanajiita wametokea jalalani
Sasa kama mkongwe anasema hivyo wewe nani Hadi upinge?Aaaah wapiii, ni yeye tyuuh macho makubwa.
Uoga ni akili...Ni kawaida kudukua matokeo vyuo vingi sio UDOM pekee, sisi waoga tulikua tunatumbua tu macho watu wanavyojiondolea supp na kujiwekea A, B+
Mimi ni mkongwe mwenza, nampinga.Sasa kama mkongwe anasema hivyo wewe nani Hadi upinge?
Njoo na factMimi ni mkongwe mwenza, nampinga.